KAMA WEWE UNAHITAJI KUTOTOLESHA KWA KUTUMIA INCUBATOR SIKIA HII:
Changamoto kubwa inayowakuta wanatumia incubator ni MAYAI KUTOTOTOLEKA KWENYE INCUBATOR AU VIFARANGA, KUFIA NDANI YA YAI,
JAPO changamoto zipo nyingi leo tutazungumzia Moja wapo AMBAYO ni ngumu kujua kama ni tatizo.
(INCUBATOR CALIBRATION)
TESTING INCUBATOR
tatizo hili hutokea pale Mashine haitoi taarifa SAHIHI zilizopo ndani ya incubator na kuzipeleka kwenye controler ambayo inaendesha mfumo mazima WA Mashine Yako,
Mfano endapo joto au unyevu ukiwa ndani ni 36.5c na 53% ila kwenye controler Yako inaonyesha 38.1c Kwa 81% , hili ni kiashilia kuwa joto litakuwa linapisha bila wewe kujua kinachotokea ni MAYAI KUTOPATA JOTO NA UNYEVU KIWANGO SAHIHI , hapo NDIPO wewe mtoyoleshaji unakutzna na matukio VIFARANGA KUFIA NDANI YA YAI au Mashine KUTOTOLESHA kabisa,
Hili tatizo ni ngumu kulitambua mpaka UPATE mafundi wenye uwelewa WA incubator,
Nikuyoe hofu tu kama ushakutana na changamoto hii
Karibu ECO AFRICANA POULTRY FARM tukufanyie testing incubator kwa bei ya chini kabisa .
KWA MTEJA ATAKAYENUNUA INCUBATOR KWETU ATAPEWA HUDUMA HIYO BURE KABISA ,
INCUBATOR ZILIZOPO
MAYAI 60 SH 350,000
MAYAI 112 SH 450,000
NA KUENDELEA
OFISI ZETU ZIPO
TEGETA KIBAONI DSM
AU TUPIGIE
0687990118
0759716493
LOCATION MAP
maps.app.goo.g...
#incubator #testingincubator #incubatorsolaumeme #incubator #alizeti #brushcutter #kilimo #kubota #mafuta #agriculture #farming #grasscutter
Негізгі бет ZINGATIA VITU HIVI KABLA UJANUNUA INCUBATOR YAKO | UMUHIMU WA TESTING INCUBATOR. 0687990118
Пікірлер: 1