Waoh..!! am so proud of you Dr. Tulia, yani upo vizuri mno. Sheria unazijuwa, hoja unazo msimamo unao
@hatiburajabu4480
6 жыл бұрын
hapo ww unaona kasimamia sheria
@saviomlelwa
4 жыл бұрын
You are the best MP.s Mr zito
@patrickkambale777
6 жыл бұрын
Nakukubali sana mheshimiwa Zito Zuberi Kabwe
@ramadhaniabdi9530
4 жыл бұрын
Mtu ambaye namkubali katika siasa za Nchi yangu Zitto Kabwe
@andrewtegos6854
4 жыл бұрын
Dr Tulia kweli katulia
@georgekalugaba282
7 жыл бұрын
kwa Mara ya kwanza namuona mhaya mwenye upeo mdogo Wa kufikiri kamugisha
@HeddySonBrownjr
5 жыл бұрын
Kigoma one of the best member of parlement 🙌🙌💯.
@faustinefesto7705
4 жыл бұрын
Magufuli mjanja sna bila kuwa n mtaalam w sheria pangeyumba xna
@saidomary4950
7 жыл бұрын
Bunge limezalauliwa sana kwa serikali ya awamu ya 5 hakuna heshima ya bunge kabisa juu ya police
@hamadialihamad4126
4 жыл бұрын
Zitto Hakuna Anae kufikia Tanzania mzima ww na lisu Na mzee wenu malim seif
@crimsonrider1591
4 жыл бұрын
Hamadi Ali Hamad alafu kuna heche
@kudraomar7053
4 жыл бұрын
Kwakweli tunakoelekea tunaenda kuchaniana mashati kwa visu
@shukurumalewa3115
7 жыл бұрын
nataman ifike siku wabunge wote watambue wapo bungeni kwa ajili ya wananchi wote wa Tanzania na sio kwa ajil ya vyama vyao wawe wamoja ktk mambo ya msingi kwa faida ya Taifa letu... lakn leo hii wanaangaliana usoni hoja kaleta nan badala kuangalia hoja ina faida gani... ama kweli siasa inaaribu nchi yetu na itaturudisha Nyuma... Rais alishasema siasa tusubiri 2020 sasa hv tuwe wamoja ktk kujenga nchi.. Tanzania kwanza vyama baadae..
@annahockson1427
7 жыл бұрын
tunaelekea wapi, kwann hivyo jaman, we are need freedom
@rebeccaisack6481
3 жыл бұрын
Kabwe ww nichombomuhimu Sana katika nchi hihi nakuku balisana
@fayeezomar2902
7 жыл бұрын
respect u!
@kibwanamohammed5836
5 жыл бұрын
Ukimungalia moleli utajua kama atakuja kua msaliti
@titomwashuya6460
2 жыл бұрын
Nchi hii tunahitaji wabunge aina ya zito
@kigambontv9748
7 жыл бұрын
Zitto kwann haui mbuge wa jimbo lngu
@gloryndakidemi3243
7 жыл бұрын
i respect you zitto kabwe
@jumashija3652
3 жыл бұрын
Tunamic xna Ila back to
@erickmapunda4231
6 жыл бұрын
Mkulima hana kinga; mbunge ana kinga, unaona hizi sheria za kipuuzi mnajitungia sheria za kujipendelea nyie," eti msikamatwe mpk SPK apewe taarifa sisi huku mbona tunakamatwa bila taarifa na hatulalamiki.
@mbwanaseif404
4 жыл бұрын
Well said broo
@fortunatuskapinga5250
3 жыл бұрын
Kweli kila mwambangima ngozi huvutia kwake Sioni ni kwanini mbunge hawe na haki yakutenda maovu bila kushughulikiwa kisheria
@renaldakamugishazeramulake940
7 жыл бұрын
huyu halima ana matatizo
@daybrelimite1856
7 жыл бұрын
Akajielewi ako ka naibu spika ka ccm
@paulndutu2784
5 жыл бұрын
Daybre Limite
@nairasyjuma4509
7 жыл бұрын
that is why nakukubali coz unaenda kwenye main point
@stanslausmteme8455
6 жыл бұрын
zito anajua ila anamtingisha tu naibu spika
@giftkelvin7
6 жыл бұрын
Mtu anazungumza bungeni amesubiriwa nje na police hii ni hatari.
@maxmziba9699
7 жыл бұрын
usanii ni mwingi sana Tz
@HekimaBaraka
Жыл бұрын
Uishi milele
@naftalichacha5393
7 жыл бұрын
Daa kwel Democrasia n Afrika still n ndoto za mchana...... Mungu tusaidie wana wako tunapotea hiv hiv
@johnsemu5516
6 жыл бұрын
Naftali Chacha
@mapesaevarist9094
7 жыл бұрын
mwana siasa aliye komaa uyo zto kbwe
@mamaalmas4314
7 жыл бұрын
Kiukweli kuna ukiukwaji mkubwa sana Wa kanuni na taratibu ambazo sisi kama nchi tumejiwekea inaonekana hivi sasa viongozi wore Wa juuu wapo juu ya sheria kuna ukiukwaji mkubw sana Wa katiba ya jamhuri ya muungano ya mwaka 77 ila nikumwomba mwenyezi mungu inshallah awajaze wepesi viongozi we2
@leonidasalfaxad3077
6 жыл бұрын
R
@leonidasalfaxad3077
6 жыл бұрын
2
@magembeedward9483
4 жыл бұрын
Zito anafaa kuongoza hii nchi,na huyu naibu spika ni poyoyo kabisa
@wilsonkitaa1054
7 жыл бұрын
tutaona mengi sana kwa hii Miaka mitano ya uongoz wa mheshimiwa wetu
@akidahamad142
Жыл бұрын
Natamani hata nimtukane huyu naibu spker
@komufredy3739
7 жыл бұрын
tuna vyombo vya kipuuzi sana.... ila sishangai wengi wao ni wale waliofeli....
@restitutamelchiades902
4 жыл бұрын
Hivi Tundulisu kwa ushenzi aloufanya anastahili kupiganuwa na serikali ipi? Acha akanyee ndoo. Si ndo alichokuwa anatafuta?
@blandinamwarabu5025
3 жыл бұрын
Kumbe ndio maana hawakurudi michango yao wala hawachangii kuulizia shida za wananchi waliochagua.
@mwaramiissa3553
3 жыл бұрын
Wanaongelea kukamatwa na mahakama maana ndio stahili yao. Wanajijua tu kuwa ni wahalifu
@francissalamba8112
7 жыл бұрын
huyu naibu spika namashaka na unaibu wake
@rugugumangobo1069
7 жыл бұрын
kuliwa kigoma ni digree.
@oswardosward2019
4 жыл бұрын
Mungu tuokoe
@lgffumbuka183
2 жыл бұрын
PhD
@shizoshop2469
3 ай бұрын
Kipindi hicho zitto akiwa na akili na hajawa chawa
@Prince0fald
7 жыл бұрын
Respect for this madam
@kelvincharles7263
7 жыл бұрын
Hii situation inayoendelea ya kamatakamata ni upuuzi kabsa
@lyaruusiayako2642
6 жыл бұрын
Siasa inaharibu Ubongo
@hatiburajabu4480
6 жыл бұрын
is not true
@yohanamsabila4653
4 жыл бұрын
Duh
@emmanueljames2652
4 жыл бұрын
safi bunge
@gloryndakidemi3243
7 жыл бұрын
huyo naibu speaker bhn ni shida
@zainabrashid8670
4 жыл бұрын
Tangu lini mnyonge akawa hakiiii
@tinnomdete4841
7 жыл бұрын
ndio maana hataki kuonyesha live bunge ili fanye yao komaeni kuhakikisha haki inachukua mkondondo wake
@castorynchilu425
7 жыл бұрын
tinno mdete hata wangeonesha wewe ungefanyeje sasa, unashabikia upuuz tupu rafik yangu, fanya kazi kwa mafanikio yako siyo kukodolea TV ukiangalia bunge, mbona saiv umeyajua? let you run with Technology, wee ulifurahi lisu kumwita rais wa ajabu?
@hishamally4846
7 жыл бұрын
Castory Nchilu dunia nzima bunge linaonekana live wacheni kasumba zenu ukiyona mwenzio ananyolewa na wewe tiya maji
@samirymickdady8131
7 жыл бұрын
+Castory Nchilu na wewe ulifurahi rais kuwajibu waathirika wa tetemeko kagera kuwa hawezi kuwachangia kwa kuwa yeye hajaleta tetemeko na watu tuliwachangia waathirika
@kalolintalima5454
7 жыл бұрын
wenzetu wanapambana kuleta maelendeleo sisi tunaoneshana ubabe wa vyama!! endeleeni tuone tunatafika wapi!!
@erasmusndrew9135
4 жыл бұрын
Maendeleo gani akuna machine za kupumulia
@kudraomar7053
4 жыл бұрын
Tunaelekea kuchaniana mashati kwa visu
@mwaramiissa3553
3 жыл бұрын
Kitu nilichogundua ni kwamba wapinzani wanaongelea vifungo badala ya kujadili mambo mbalimbali ya maendeleo kwa wananchi wake. Ndio maana wamepigwa chini
@denniskahinda4125
2 жыл бұрын
Huna unachokijua kuhusu mambo ya nchi
@gerarrdhesrom2202
2 жыл бұрын
Huyo ndo zitto kabwe
@augustinomgonde1505
4 жыл бұрын
Bonge la kichwa. Jamaa ana kipaji kikubwa Sana.
@ephraimathanas7833
7 жыл бұрын
hivi wabunge wa ccm hawana aibu uku wenzao wanatetea haki za bunge pamoja na wananchi kwa ujumla
@sananesteve6157
4 жыл бұрын
HALIMA APUNGUZI MAKALI
@Ba63828
5 жыл бұрын
FAIDA YA KIONGOZI WA SHUGHULI ZA BUNGE KUWA MWANASHERIA.
@muddymwankunda9024
4 жыл бұрын
Xpka 2nakuhitaji mbeya tafadhariiiiiii
@simonfundi5472
7 жыл бұрын
I hate ccm too much
@hatiburajabu4480
6 жыл бұрын
why
@rajabuabdallah3840
7 жыл бұрын
mbna spka hksema kma ana trfa hyo ya kkamatwa kwa lisu kama ni kakamatwa kw ksa la madai au nni kwhyo anafahmu au cjaelewa mm hpo jmn
@sambweboi4753
5 жыл бұрын
ooh
@suleimanbakar1271
5 жыл бұрын
huyu malaya naye asema nini?naona anazunguka tu kamq pia
@abelmirwatu19
7 жыл бұрын
Mi nashauli wabunge wa upinzani ikifika 2020 wasigombee uraisi wala ubunge, diwani, waache chama kimoja tu, inatosha na tumesha choka ina maana upinzani ndiyo wana makosa kila siku?
@andunjejonas5211
7 жыл бұрын
Richi jonas
@frabomdemu4767
7 жыл бұрын
kweli sasa hii nnchi sio yenyewe kama serikari inaogopa kukosolewa basi iseme moja tu hakuna vyama vingi katibu ibadilishwe Aaaaaa huu sasa ni udicteta na mii sasa nakubari
@davidmosha3545
7 жыл бұрын
Fr zitto point
@bulunomberwa5282
Жыл бұрын
O
@mwidausaid5701
4 жыл бұрын
Saf mzee hujawai kuniangusha hotuba zako unastaill kuwa si tu kuwa mbunge unastail kuwa rais wa nchi hii sio hao vilaza wa ccm
@alfredanthony6282
5 жыл бұрын
🖐🖐🖐🖐🖐🖐🖐🖐
@ericmulinga5869
7 жыл бұрын
bomboclact system where's equal rights and justice 👹👹👹👹
@noahmwasile499
5 жыл бұрын
Balaza LA madiwan ileje
@burtonsatshop2061
7 жыл бұрын
Hamna ubabe. hapo wala nini? kama kupinga kapinga kwa vifungu vya sheria,ni kawaida ya upinzani kulala kila jambo wakihisi kuonewa.Chadema yenyewe haijitambui inatembelea nyota ya Zitto bado
@obedikilibaha1437
7 жыл бұрын
Burton Jorde ucwe kichaa inamaana nyumba ya JIRANI yako ikiungua usaidii kuzma kama ni hivyo ukiunguliwa ww ucsaidiwe?
@jaynermmbaga4487
7 жыл бұрын
Burton Jorde umeongea ukweli lakini hao ukawa hawaelewi kwamba zito ni ccm b .kama kweli zito ni mtu mzur kwa ukawa mbona siku zote hakusema haya mpaka leo anasubiriwa na police ndio analiongelea it means yasingemkuta na yeye asingelizungumzia
@gabrielalbinus5533
7 жыл бұрын
Duh!!"""""
@kumozhaiz5997
6 жыл бұрын
Gabriel Albinus
@agnesmgomba3421
7 жыл бұрын
mi sion kosa LA naibu spka, hao wabunge wanakera hawana Sera zaid ya makelele na kuleta uvyama ndan ya bunge na hawajui kuwatetea wananchi waliowachagua
@tumainrenatus9733
6 жыл бұрын
Agnes Mgomba ww Ni msenge tu
@kilimohub580
5 жыл бұрын
She talks too much
@saimonxaimon4509
4 жыл бұрын
Hahaha
@alphaxadmagoma6252
7 жыл бұрын
public comment
@renaldakamugishazeramulake940
7 жыл бұрын
kwanini mnamtukana rais wewe zitto ulijificha wiki 2 ulikuwa wapi? haya sasa lako hilo
hao wakamatwe tuu maana hawana Sera zaid ya kujifanya wanashombo chafu na matus, tumechoka kuskiliza kashfa zao Bungen, waongee Sera hao, mi sion kama ccm inawaonea hao, Bali matus yao na kashfa zao ndyo zinafanya wakamatwe na polis
@stephanokayega2792
5 жыл бұрын
.
@omarymwigula5479
7 жыл бұрын
Huyu tulia aliwahi kusema kwenye chombo kimoja cha habari kwamba yeye ni zaidi ya wabunge waliochaguliwa na wananchi kw sababu aliteuliwa na Rais mnategemea nini?
@japhetndege3534
7 жыл бұрын
Omary Mwigula ni kweli
@lutherdennis2378
5 жыл бұрын
nikweli kuna ukiukwaji wa kanuni hivyo lazma ulimbukeni wa madaraka
Пікірлер: 124