Hii ni tz jaman naipenda nchi yangu na wasanii wetuu
@Queenwolper9728
Жыл бұрын
𝐑𝐚𝐲 𝐧𝐢 𝐦𝐨𝐭𝐨 𝐧𝐚𝐦𝐩𝐞𝐧𝐝𝐚 𝐬𝐚𝐧𝐚❤
@DirectortristanKevin_POKOTTV
Жыл бұрын
Respect 💯🔥
@MwanaishaHemed-xi6rj
Жыл бұрын
Simba atakuvunja miguu kweli 😂😅❤❤❤
@HipHop_2024
Жыл бұрын
Zuchuu ❤️❤️❤️
@timothyesho809
Жыл бұрын
Ila Simba atakuja nivunja mguu... I love that
@kelementbushishi3687
Жыл бұрын
🙌🙌🙌🏆
@wahidamaulid9527
Жыл бұрын
zuchu the Queen of bongo flavour
@officialkassimu7791
Жыл бұрын
Wacha uongo Mzee ., Nandy ndio queen of bongo maana yeye hayupo chini ya Lebo yeyote
@wahidamaulid9527
Жыл бұрын
@@officialkassimu7791 iyo juu yako mi namtambua zuchu
@blessmimi
Жыл бұрын
@@officialkassimu7791nonsense..Nandy just got label last year and not much going on
@Swahili14
Жыл бұрын
@@officialkassimu7791tf is wrong with you Kipaji ndo kimembeba label only promoted it to potential Market 😂 Zuchu's far more talented and versatile than Nandy let alone her VOCALS Kasikize HASARA, RAHA, NISAMEE UTANIUA,MTASUBIRI na NUMBER ONE!!! ZUCHU'S GOD GIVEN TALENT BTW hata Nandy alibebwa na late Ruge na clouds media SANA! 💀
@innocenthaulee
Жыл бұрын
@@officialkassimu7791nandy yupo chin ya Mr eazi, emPawa
@willgod_wamipango3239
Жыл бұрын
vany bway 🎉
@omarykombo8584
Жыл бұрын
Lv
@Channe57Hotvibes
Жыл бұрын
Someone kiss my comments ❤❤❤
@JipemoyoRizik-jl2gx
Жыл бұрын
Rayvan umezingua unaogopa kwenda nyuma simba atakuvunja miguu😂😂😂😂😂😂😂
@sophiapeter7843
Жыл бұрын
Ningekuja kwa nyuma ila Simba atanivunja miguu😅😅😅😅😅😅.nimependraaaa
@kamuogo
Жыл бұрын
Kama kawa kiwashee
@ronacassm9516
Жыл бұрын
Hii nyimbo noma
@helenaphilipo-6202
Жыл бұрын
Nawakubali
@PrinceBonnyTz8
Жыл бұрын
Najua wakenya MKO HAPA 😅😅 mjifunze kuwa support wasanii WENU muache kubishana na sisi
@Tanganyikatv965
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@office_sharan7437
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@officialkassimu7791
Жыл бұрын
Hip-hop Sisi ndio kusema East Africa nyinyi muimbe bongo na singeli Tu 😂😂
@marrypius576
Жыл бұрын
@@officialkassimu7791aaah wap bila sis ninyi hamtoboi 😂😂😂
@Tanganyikatv965
Жыл бұрын
Kama Kenya na Tanzania wakiwa kitu kimoja tutaonesha mfano kwa africa
@Brenda-uz8yj
Жыл бұрын
Ulijua aje atuwasaport tunawasaport mbaya tena Sana🤣🤣💯💯💯
@AshaMwasema
Жыл бұрын
Sidhani Kama wakenya wanasaport wasanii wao
@matanohassan9667
Жыл бұрын
We vipi wacha ubaguzi kaka kama sio sisi wakenya kusuport mziki wa tz usingefika ulipo wakenya tumesuport mziki sana kiba Mombasa kwake mondi kenya mzima vani boy ndio kabisa zuchu ndio mauwano mboso visiwani kwake we vipi
@sharlharl5890
Жыл бұрын
❤❤❤❤
@EagerMars-vz8sp
7 ай бұрын
Mbosso jukwani eti kama sijaona wakufanana nawe
@GisaniMasebo
Жыл бұрын
Waelekeze hao
@jacobmwalituke8981
Жыл бұрын
Mi nimekuja kuangalia show,sijaja kuimba,ushamba wa kuimbisha watu ni ushamba tu
@lillamwadini7315
Жыл бұрын
Hakuna maradhi mabaya kama maradhi ya kwa nini
@CastrovaganceKinsly-ll5lw
Жыл бұрын
Tumia tu zuchu simba hana shida
@meaningoflife651
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂Ila ray
@RaudexxBelief1
Жыл бұрын
chui de murder en xtage qyller
@peterdavid4230
Жыл бұрын
Mbona watu hawana vibe😂😂😂tatizo mnatumia nguvu😂
@amriamraan2612
Жыл бұрын
Hata hueleweki unasema nini 😂😂 unadhani mtu anaweza kulipa shuka la mmasai kiingilio halafu akose vibe? Au unataka watu warukeruke tu hata kama van anaongea? Timu chinga mna wivu sana. Iliyobaki pigeni picha na mobeto tu
@elizabethchabluma-zw5qz
Жыл бұрын
Acha uongo mbwila wewe
@josephevaristi8923
Жыл бұрын
Asa mtu atoe hela akose vibe kweli,,kwaiyo unataka mapige makele2,kama wehu ndo ionekane kuna vibe,,duh bongo nyoso😂😂
@lareineminah1353
Жыл бұрын
@@amriamraan2612😂😂😂😂 Nakupendaaaaaa ujuw
@amriamraan2612
Жыл бұрын
@@lareineminah1353 😂😂😂😂😂😂 wanatuvuruga kenge hawa wakati vichwa venyewe vya moto muda wote
Пікірлер