Naisikiliza kila siku naipenda sana hii nyimbo jaman hongera kwa mwimbaji na wapiga vinanda ❤❤
@joycekalago532
2 ай бұрын
Hili song nikilisikia linanitoa machozi jamani 😢😢😢mtu unamtendea wema lakn anakatangaza kwa mabaya yale mazuri anayafunika kweli? Inaniumansana lakn yote kwa yote malipo yako kwa Mungu
@user-ez2un4go3h
7 ай бұрын
Hivi Zuhura Shabani yuko wapi kwa sasa? jaman huyu mama na mkubali sana
@akiduamidu1214
2 жыл бұрын
Dada zuhura jamani sio kwakunikosha huko. Naukiwa mkweli hukosi fungu kwa Mungu
Пікірлер: 14