He watoto wanafundishwa kiroho hizo nyimbo mlizoweka ndio kiroho hicho au
@maduhujoseph7991
Күн бұрын
Sherehe hiyo ndgu,, watoto wanatakiwa wafrah
@kadzitumapesah7996
4 күн бұрын
Kwanini wazazi wanateuka maadali yatoto kupitia mwenyez mungu???
@veronicamodest842
5 күн бұрын
Hongera baba Askofu kwa kukubalika na jamii hii ya wazee hao.
@NechLove
7 күн бұрын
Mwisho wa haya itajulikana tu maana asaivi mambo ya MUNGU hayajulikani wala mambo ya dunia
@GetrudeNicodemus-zz9ho
9 күн бұрын
Wonderful
@Fr.MedardChegere-vg5bg
10 күн бұрын
Tuchele kunyangi ya Yesu tokole ikimwenso na Yesu.
@winifridamasiaga9915
10 күн бұрын
Hongereni watu wa nyamwaga pamoja na msubi wetu
@Agness-t5i
13 күн бұрын
Mmependeza🎉🎉🎉🎉🎉
@jamesmboyi30
15 күн бұрын
Hongera yao wapo vizuri 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
@jamesmboyi30
15 күн бұрын
Hongera yao wapo vizuri 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
@jamespaul104
16 күн бұрын
Hongeren sana
@veronicabea7895
20 күн бұрын
Ongereni sana
@chrisantnyakitita7926
20 күн бұрын
Hongereni Wana Moyo Mtakatifu 🙏
@jamesmboyi30
20 күн бұрын
Hongereni sana Wana Moyo Mtakatifu wa Yesu ❤❤❤❤❤
@jamesmboyi30
22 күн бұрын
Hongera yao sana 🎉🎉🎉🎉🎉
@yohanaroux3888
23 күн бұрын
Ujumbe mzuri kwa vijana hawa
@mariachoge3988
25 күн бұрын
Home sweetie home❤❤
@esteradam437
Ай бұрын
Hongera mhasham baba askofu MICHAEL GEORGE MABUGA MUSONGAZILA 🙏🏽
@chrisantnyakitita7926
Ай бұрын
Hongereni sana Watoto kwa Wimbo❤
@GeraldNyerere
Ай бұрын
🙏
@anthonydavid-mp1uh
Ай бұрын
Hongereni sana wanajimbo la musoma kwa ujumla.
@MUSAWAMBURA-r7v
Ай бұрын
hongera mhasham baba askofu
@chrisantnyakitita7926
Ай бұрын
Hongereni sana Utoto Mtakatifu kwa kuijilisha vema. Mwenyezi Mungu aendelee kumbariki Mtumishi wake Baba Askofu Michael Msongazilla wa Jimbo letu Katoliki la Musoma❤
@josephalex2887
Ай бұрын
Hongereni Sana kwa utume wenu wimbo mzuri mm mwal Joseph Alex utoto Mt parokia nyehunge Jimbo la geita
@femidayahaya9293
Ай бұрын
asante mama yetu kwa kutuletea mtoto huyu..ambae leo ni mtumishi wa MUNGU
@israelkisaila8401
Ай бұрын
Mungu amtunze sana
@annamarypeter4583
Ай бұрын
Hongera Sana baba 🎊 🎊 🎊 🎊 🎊
@annamarypeter4583
Ай бұрын
Pongezi nyingi kwa vijana wetu
@jamesmboyi30
Ай бұрын
Tumshukuru Mungu 🎉🎉🎉❤❤❤
@lucasjohn3122
Ай бұрын
Hongera mtunzi hongera waimbaji pia
@Frolamagufuli
Ай бұрын
Baba mungu azid kukujlinda
@MaryGomba
Ай бұрын
Hongereni ma frt kwa utumewenu
@JescaPius-t4m
Ай бұрын
Mungu akubarikiii askofu wetu akupe afya nje ufikishe miaka 50, ya upadre wako, na utuinjilishee vyema
@Catholicdioceseofmusoma
Ай бұрын
@@JescaPius-t4m Amina
@DenisMlay-ef1od
Ай бұрын
Hongera sana Baba askofu.
@TijoInvestment
Ай бұрын
Hongera baba ,Mungu akupe umri mrefu tunakupenda mno
@ibanzatvonline
Ай бұрын
Hongera Baba Askofu kwa Utume
@fredricklazaro2327
Ай бұрын
Hongera sana, Baba askofu safari ni ndefu mungu akuongoze.
@RenathaTiibuza-ps6ux
Ай бұрын
🎉Good
@redemptamartin6291
Ай бұрын
Hongera sana Baba Askofu...
@lamecklaurentius8936
Ай бұрын
Hongera
@fridanguli2271
Ай бұрын
Baba Msonganzila, askofu wetu, Mungu aendelee kukutumia uwachunge vema kondoo wake... hongera kwa miaka 40 ya kutumika shambani mwa Bwana🎉
@benedictampery3275
Ай бұрын
Huyu baba nampenda bure, Mungu akutegemeze ktk utume wako kwa kazi nzuri unazofanya Jimboni musoma
@Robert-ev5hp
Ай бұрын
Hongera sanaaaaaaa Baba Askofu kutimiza miaka 40 ya Upadre.
@YohanaMbano
Ай бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@annamarypeter4583
Ай бұрын
Hongera Sana baba kwa jubilei yako. Mungu aendelee kukutunza
@anthonydavid-mp1uh
Ай бұрын
Hongera sana Kwa Jubilei ya miaka 40 ya upadre Baba Askofu
Пікірлер