KAMISHENI YA WAKFU NA MALI YA AMANA ZANZIBAR
Kamisheni ya Wakfu na Mali ya Amana ni taasisi ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar iliyoundwa chini ya Sheria namba 2 ya mwaka 2007. Madhumuni makubwa ya kuundwa kwake ni kutoa na kusimamia haki, kutoa manufaa kwa wanufaika wa Wakfu, kuwawezesha wananchi kiuchumi, kijamii na kiibada. Kimsingi Utekelezaji wa majukumu hayo unafuata misingi ya Sheria ya Kiislamu, Sheria za Zanzibar na maadili mema kupitia mambo sita makuu ambayo ni Zakka, Hijja, Mirathi, Wakfu, Amana pamoja na Baytul-mal.- 2:57
- 4 сағат бұрын
MAANDALIZI YA IBADA YA HIJJA KWA MWAKA 2025 ZANZIBAR YAPAMBA MOTO.
- 1:35
- 16 сағат бұрын
UHALALI WA MTU KUDAI HAKI YAKE YA MIRATHI
- 3:47
- 21 күн бұрын
MAANDALIZI YA IBADA YA HIJJA YAANZA TANZANIA
- 3:15
- Ай бұрын
MAANDALIZI YA IBADA YA HIJJA YAANZA RASMI.
- 3:33
- 2 ай бұрын
MAHUJAJI WA MWISHO WAWASILI ZANZIBAR 3/07/2024
- 1:17
- 2 ай бұрын
KUNDI KUBWA LA MAHUJAJI LAWASILI ZANZIBAR 29/06/2024
- 1:17
- 2 ай бұрын
Kadhi Mkuu wa Zanzibar ashiriki katika mapokezi ya Mahujaji katika Kiwanja cha Ndege Zanzibar.
- 2:14
- 2 ай бұрын
HAJJAT ASIA ASIMULIA ALIVYOTEKELEZA IBADA YA HIJJA.
- 3:31
- 2 ай бұрын
KUNDI KUBWA LA MAHUJAJI LAWASILI ZANZIBAR 29/06/2024
- 1:48
- 2 ай бұрын
KUNDI KUBWA LA MAHUJAJI LAWASILI ZANZIBAR 29/06/2024
- 4:36
- 2 ай бұрын
KUNDI KUBWA LA MAHUJAJI LAWASILI ZANZIBAR 29/06/2024
- 6:13
- 2 ай бұрын
MKUU WA MKOA WA KUSINI UNGUJA AYOUB MOHAMMED MAHMOUD ATOA NASAHA BAADA KUTEKELEZA IBADA YA HIJJA.
- 4:40
- 2 ай бұрын
KUNDI KUBWA LA MAHUJAJI LAWASILI ZANZIBAR 29/06/204
- 2:07
- 2 ай бұрын
SHEKH: Hasnuu H. Ali ahimiza Waislamu kujiandikisha mapema katika taasisi zinazosafirisha Mahujaji.
- 3:31
- 2 ай бұрын
Mufti Mkuu wa Zanzibar awahimiza Vijana kwenda kutekeleza Ibada ya Hijja wakiwa na Umri mdogo.
- 2:42
- 2 ай бұрын
Mahujaji wa Zanzibar Watekeleza Ibada ya Hija kwa Amani
- 2:20
- 2 ай бұрын
Пікірлер