We,Mtumishi wa Mungu upo vinzuri saaana,jpili iliyopita,ulitrend mtandaoni kuwa umefukuza washirika,wasio na Bibliasafi sana❤,hata wanaotumia Biblia za cm,waonywe,Biblia hizo zinamapungufu.Kanisa limejiingiza ili Mataifa watukubali'"Neno la Tokeni Kati yao limeishia wapi"Kweli Yesu anarudi ,,Nakuelewa sana,aMungu akubariki kwa Misimamo🔥💯
@NoelKiwike-wc8wh
3 ай бұрын
Nakushukuru baba nipo kanisani kwako.nakushukuru.sana pamoja bado mgeni ila naamini nimepata mlezi bora
Пікірлер