Hapo ni kweli Mchungaji, Nikiwa Kenya Nilikua na Rafiki Wangu tulikua twa Fanya Kazi pamoja na Alikua Mmislamu Alikua Ana nieleza kua Kuna Majini wazuri na Majini Wabaya, Ndio Mana Wa Mwokozi Yesu peke ndo Njia Amina 🙏🏾🙏🏾🙏🏾👍👍👍👍❤️
@WaridawaridaWarida
3 жыл бұрын
Amen
@RacheleRamadhan
17 күн бұрын
Amen amen
@haikajohn7580
3 жыл бұрын
Ingefaa sana wakristo tuwalinde hawa watu nungu anaotupa tuwatunze kiroho shangaa ndio wanaotulea kiroho tuwalinde sana naupendo wakristo uwahifadhi natudumu kuwaombea wasirudi nyuma tutadaiwa
@EvaDaniel-y2u
8 ай бұрын
Mungu azidii kkutunza mtumishi wa mungu tunakupenda sanaa
@HelenaSoka-l1h
11 ай бұрын
Ubarikiwe kwa ushuda
@anitababyderickwasike7872
3 жыл бұрын
very true Amen sema mchungaji lazima watu wajue kazi ya shetani na kazi ya Yesu Amen...
@WaridawaridaWarida
3 жыл бұрын
Amen
@favourmaria
3 ай бұрын
Mtumishi wa Mungu,ubarikiwe sana na Mungu akuhinue sana, Asante Kwa ujumbe mwema, umenifungia macho.
@cmsa1r
3 жыл бұрын
Aisee waislamu kubalini yaishe Jamani khaaaaa
@peninahkariuki4679
3 жыл бұрын
Hawakubali😂😂 Lakini siku inakuja kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri Yesu ni mwana wa Mungu🙏🙏🙏🙏🙏
@bossej1212
21 күн бұрын
Asante kwa huo ushuhuda
@bonylove6192
2 жыл бұрын
Mungu akubariki mtumishi amiry
@jonathankatana1173
2 жыл бұрын
Mungu akubariki Ndugu Amiri kwa kumpokea Bwana Yesu, udumu katika Bwana,Asanta kwa kujua ukweli, nawatakia na wengine wasiojua Ukweli, Ukweli wapatikana kwa Yesu Kristo pekee, Wala sikwamwingine awake yote, soon dini itakayomwokoa, Bali no Yesu Kristo means was Mungu aliye hai Amina
@cmoshi7014
3 жыл бұрын
Sema Mtumishi wa MUNGU waache hao wasiotaka kujua haya mambo wabaki hivyo hivyo na ujinga wao ibilisi awakokoteee mwishowe awapeleke huko anakotaka. Mimi unanibariki sana see you in Hevean.
@cmoshi7014
3 жыл бұрын
Nakupenda paka naumwaa by the way am watching you from UK
@jonasyohana3258
3 жыл бұрын
Good
@kodekijacobo4489
3 жыл бұрын
Ahsante ubarikiwe mwenye masikio amesikia ukweli ,okoka acha ubishi huyu tayari alikuwa amesha lala kwenye kilindi cha mapepo wewe hata kanisani wala msikitini huendi halafu mbishi mwamini yesu,
@amiriforjesus8689
Жыл бұрын
Bwana yesu kristo asifiwe mimi s
@MosesNathanael-s2j
11 ай бұрын
Ubarikiwe Sana Sema watu wapone Kuna tunakuomba uandike kitabu tutanunuwa kwabei yeyote
@sekigosi4902
2 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi sanaaa
@mercykwame1436
2 жыл бұрын
Tunakuanga mkono bwana yesu asifiwe 🙏
@barakaomary7468
Жыл бұрын
Asante kwa ushuhuda mzuri pastor🙏
@barakanyella315
3 жыл бұрын
Mungu azidi kukupa kibali cha kupaza sauti zaidi 🙏
@powerplus1933
3 жыл бұрын
Asante Sana ustadh amir.ingelikuwa bora wewe kuandika kitabu ama kufanya filamu ya ushuhuda huu.
@dodoted5033
3 жыл бұрын
Mtumishi Amir,ubarikiwe kwa ufunuo huu,wale wenye kukukataa usihofu nao maana bado wako upande ule uliotoka,hawajasimama Na Yesu.
@cyprianchale602
3 жыл бұрын
Naendelea kukufatilia be blessed man of God
@jaredochieng4725
3 жыл бұрын
Asante sana kwa ujumbe na lazima nisambaze ujumbe huu.
@WaridawaridaWarida
3 жыл бұрын
Amen
@thelordismystregth
3 жыл бұрын
Amina Amina Yesu akulinde
@florasingano5859
3 жыл бұрын
Amen ubarikiwe mtumishi,ongea wana wa Mungu tupone,nilipitia shuhuda zako zote na nika share
@WaridawaridaWarida
3 жыл бұрын
Amen
@mercykwame1436
2 жыл бұрын
Ushuhunda zuri..amefuguwa roho za watu wengi 🙏
@wanjikunaftary9378
3 жыл бұрын
Karibu kwetu mtumishi wa mungu
@hebronsdaughter1661
3 жыл бұрын
Hallelujah barikiwa sana Mtumishi wa Bwana hakika lazima watu wafunguliwe
@WaridawaridaWarida
3 жыл бұрын
Amen
@esaumahundi5076
3 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa mungu kazi nzuri endelea kutupa Siri ili tuendelee kumpiga adui
@t7zkc5tpxgim28
3 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi 🙏
@sallymumia8425
3 жыл бұрын
Learning something new.thank you so much.be blessed,
@MegaMagoti
Жыл бұрын
ubarikiwe mtumishi kwa kuokoa roho zilizopotea
@alinefeyi6731
3 жыл бұрын
Asante Mungu akubariki mcungaji
@lauriansaid5964
3 жыл бұрын
Hongera mtumishi , ,na pole kwa majaribu yote ya yote yesu ni simba wa yuda
@WaridawaridaWarida
3 жыл бұрын
Amen
@shadrackmasungandolo9494
3 жыл бұрын
Amen MUNGU akubariki sana
@jacklinealphoncemwacha772
3 жыл бұрын
Amina mtumishi tunabarikiwa sana
@gratianmugumya1952
3 жыл бұрын
Uko vizuri Mtumishi wa Bwana
@everwasike655
3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana kwa mafundisho
@yususfzulekha6183
2 жыл бұрын
Subhana Allah Allah akuongoze maskini
@gablielsamwely1081
3 жыл бұрын
Jactani msafili napenda sana ushuhuda huu wa ostadhi amiri endelea kutu letea ushuhuda ili tujifunze na tu mtumikie mungu pekee
@WaridawaridaWarida
3 жыл бұрын
Amen
@aminaally4163
3 жыл бұрын
Amen Ubarikiwe Sana Sana
@blessingmalaika4045
3 жыл бұрын
Ahsante mtumishi, nimefunguka macho
@sarapetro1603
3 жыл бұрын
Ubarikiwe na ukweli lazima uswemwe tu.wanaopinga ndio wanatumikishwa na majini hawajasoma wanakokotwa tu na mashehe wao ndio maana wana mioyo migumuu
@anitababyderickwasike7872
3 жыл бұрын
Amen
@mawananasoro4405
3 жыл бұрын
Amina Amina
@davidwambura5915
3 жыл бұрын
Fanya mpango utuandikie kitabu mtumishi, tuta nunua kwa ghalama yoyote Maana hii ni elimu nyeti Sana sio rahisi kuipata.
@florencendatila9183
3 жыл бұрын
Fact
@jonasyohana3258
3 жыл бұрын
Kabisa
@farizalhamza5157
3 жыл бұрын
Mwizi sana huyu alikua mwz
@hawakiza6067
3 жыл бұрын
@@farizalhamza5157 huyu namfaham sana amefata pesa huko kwa wakristo, ameritad kwa tamaa anawasingizia mashekh uongo
Asante baba sasa nisaidieni kwa kusema dua ya kiswa hili itakayo indoa satan aliingia sikioni jamani ananiletea ugonjwa kila mahali
@alinefeyi6731
3 жыл бұрын
Wewe muamini Yesu Kristo tu shetani atashidwa usisahawu mawombi kuwa Mungu anaskiya
@b.a.m6243
3 жыл бұрын
Hakika na mm nipone katika kwenye eneo la hofu ususani katika kupiga hatua za maisha yangu... MUNGU anibadilishe.
@mwajumabulonvu7038
3 жыл бұрын
AMEN,Amen mutumishi
@ngwanafabian9668
3 жыл бұрын
Ndugu zangu katika kristo Yesu jihadharini hasa tunaompenda Yesu kuna mkakati wa Shetani kupitia malikia wa pwani kueneza roho ya uasherati. Mbinu inayotumika ni kusambaza mapepo kwenye channel za youtube na mitandao ya kijamii hususani inayotangaza habari za ufalme wa mbinguni ndiyo sababu utaona comment za kuhamasisha uzinzi kwenye channel kama hii nawaonya kwa jina la Yesu zipuuzeni na tuzikemee kwa jina la Yesu kristo.
@nyingos
2 жыл бұрын
Ukiwaambia watu wenye dini kuwa "majini wote ni wabaya na hakuna jini jema" watakubishia utafiriri wao ndio majini. wanayatetea kwa jasho la damu kupita yanavyojitetea yenyewe. Ni hatari sana.
@nizaruddeenal_awsy.
3 жыл бұрын
Kuweni makini sana na hawa matapeli. Wanatunga urungo ili kupata pesa kiurahisi. Asanteni.
@lenardkenedy542
Жыл бұрын
Pinga hoja Kwa hoja ngudu wa Jini usieke makasiliko jifuze
@MuslimYouthman
2 күн бұрын
Angalia wakristo mnavyodanganywa huyu yupo kwa ajili ya kupotosha uislamu unaharamisha kumiliki jini kuabudu jini ,wewe unayeabudu Yesu na anaye Abudu jini wote mashetani kwa mujibu wa uislamu SASA HILO LIZEE LIMETOKA KUVUTA BANGI LIKAONA LIHAMIE KWA WAKRISTO ILI LIWADANGANYE NGURUWE HUYU
@kirshnaindia890
3 жыл бұрын
Pastor ni kweli kabisa, tomboa yote
@kirshnaindia890
3 жыл бұрын
Thanks
@WaridawaridaWarida
3 жыл бұрын
Amen ila ulikosea kidogo hiyo toboa hapo
@agathasungura5047
2 жыл бұрын
Uiniliwe utumike kwa BWANA sikuzoote
@dejosh100
3 жыл бұрын
Jactan ushuhuda wa uzorma mbon umekoma kutuletea tutasahau,jitahidi na Mungu akusaidie
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Amen,ntauleta hivi karibuni
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Amen,ntauleta hivi karibuni
@mussamdota5913
3 жыл бұрын
Shuhuda nzuri sana,ila punguza kurudiarudia
@aminam267
3 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
@mariachannelke9769
3 жыл бұрын
Pls jactan tuletee mwendelezo wa prof uzorma Jameni si nitausahau
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Ok Maria Asante kwa kufatilia na kukumbushia,naahidi utauona mwendelezo hivi karibuni
@mariachannelke9769
3 жыл бұрын
@@PromovertvTz Asante Good luck unapo utayarisha
@hebronsdaughter1661
3 жыл бұрын
Umefanya vizuri kukumbusha twausubiria kwa hamu
@millicentayangokunting3728
3 жыл бұрын
@@hebronsdaughter1661 hata mimi nimesubiria
@Abetto8313
2 жыл бұрын
@Hawa kiza Kuna sheikh nilisikiza akisema majini ni marafiki wa binadamu. Eti majini sio mbaya wameumbwa kusali na watu.. Kwa hivo amir a nasema ukweli.
@deliverancechurchintmeliku3353
2 жыл бұрын
NDUGU AMIRI NAKUELEWA SANA ENDELEA ZAIDI
@benjaminilukas9449
3 жыл бұрын
Mtumishi wa MUNGU nabarikiwa Mnoo kwa ujumbe mzito na kujua siri ya Hawa viumbe wasumbufu katika uzao wa wanadamu,,,Lakni Naomba badilisha Jina mtumishi wa MUNGU
@queenesther2639
2 жыл бұрын
Achana na wapinzani ni pepo wale wale hata km wana jina la kujiita wakristo
@henryosoro7696
3 жыл бұрын
Pia tunasubiri ushuhuda wa pastor Hussain kutoka ujiji aliyekuwa shehe.. Atwambie naye kwa nini aliokoka.Tutafutie huyo jameni
@WaridawaridaWarida
3 жыл бұрын
Amen
@pericykiko6198
3 жыл бұрын
Muendelezo Mtumishi
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Unakuja
@Marigwe
3 жыл бұрын
Naomba simu yako Ustaadh
@merryn.mwambene2945
3 жыл бұрын
0624404015
@lastgospel706
3 жыл бұрын
amazing
@fredrikndinda7553
3 жыл бұрын
Asante sana Kenya
@agathasungura5047
2 жыл бұрын
Tuambie tupone na tujue niwapi pakupiga
@cmoshi7014
3 жыл бұрын
💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞
@gablielsamwely1081
3 жыл бұрын
😍😍
@WaridawaridaWarida
3 жыл бұрын
Kweli huo ushuhuda sema mtumishi
@nizaruddeenal_awsy.
3 жыл бұрын
Ukweli ni kuwa... Kama vile mnavosumbuliwa nyinyi na mapepo, na sisi pia tunasumbuliwa hivo hivo, ila sisi tunaitumia Quran kuwachapa hao mapepo.
@lenardkenedy542
Жыл бұрын
Sio kweli nyinyi ni ndugu zenu
@MohamedAhmed-yi1yf
2 жыл бұрын
A genuine believer couldn't leave his faith
@frankipol1049
2 жыл бұрын
When Christian joins Muslims you celebrate and it's okay, if Muslims join Christians you say they were not genuine believers,That's discriminatory and superiority complex
@mchopaluka4319
2 жыл бұрын
Pole coz Yesu KRISTO ndie njia pekee
@Yesunimwokozi1
Жыл бұрын
Hata maswahaba wa muhammad waliacha UISLAMU
@khatibuyunus1727
3 жыл бұрын
Muogope Mungu wako. Iyoyote ninjia yautafutaji. Yani umekuwa Aidi yafirauni aliye laaniwa. Mrudie Mungu wako.
@lenardkenedy542
Жыл бұрын
Pinga hoja Kwa hoja ngudu wa Jini acha kutetea majini jifuze
@ngwanafabian9668
3 жыл бұрын
Ndugu nimekuelewa kuhusu ml. Kilimanjaro sasa nimeelewa kwanini miungu ya wachaga ina nguvu sana ikilinganishwa na miungu mingine. Pia kuhusu matumizi ya pete binafsi sioni faida ya kuvaa makorokoro mwilini ikiwa hayawezi kutufaidisha kitu.
@WaridawaridaWarida
3 жыл бұрын
Amen
@acksakombo7222
3 жыл бұрын
MUNGU akuzidishie ujasiri wa kuinena kweli yake
@erastusmacharia1653
3 жыл бұрын
Ujiji has a long history of witchcraft and Evil Deeds....Jesus is Lord
@nizaruddeenal_awsy.
3 жыл бұрын
Ndugu zangu wakiristo kuweni makini sana na hawa matapeli... Mkitaka kujua ukweli kuhusu uislamu, muulize muislamu.
@listonjiwe3467
3 жыл бұрын
Huyu alikuwa shehe mkubwa ndio anaeelezea unataka tumuulize mwislamu gani tena?
@listonjiwe3467
3 жыл бұрын
Wakilisto tunaoijua biblia wanafahamu hilo majini ni maraika waasi waovu
@lenardkenedy542
Жыл бұрын
Pinga hoja Kwa hoja ngudu wa Jini usieke makasiliko jifuze
@jaredochieng4725
3 жыл бұрын
Wapende wasi pende neno litaendelea.
@carolinewanjiku5727
3 жыл бұрын
Amen Amen
@hawakiza6067
3 жыл бұрын
Nipe andiko kwenye biblia lililo fanya uwe mkristo
@japhetlameck547
2 жыл бұрын
Ushuhuda wako nimeamini kabisa.
@mohamedmasoud6565
2 жыл бұрын
Sura zake huyu jamaa ni mrongo njaa tu hiyo
@lenardkenedy542
Жыл бұрын
Pinga hoja Kwa hoja ngudu wa Jini
@WaridawaridaWarida
3 жыл бұрын
Tunaogopa kwakua hawapo kwenye bible ila wezetu wapo kwenye Quran na wamesujud kusilimu baada ya mtume kusoma Quran sura inaitwa surat jini mpaka sagada jini anasari nilioneshwa jini anasari nilipo kuwa Oman yani ukitaka ujue nenda saudia kuhiji ndiyo utajua kuwa majini wapo ambao wanasari nao
@nizaruddeenal_awsy.
3 жыл бұрын
Mungu yuwakuona Mnafiki mkubwa wewe. Wawadanganya ndugu zetu wakiristo kwa ajili ya njaa zako.
@admerarobert3485
3 жыл бұрын
Wewe hujielewi maana wewe hayo yote unayajua kama anadanganya njoo kanisani au ndo wale wale
@eldkibeh
10 ай бұрын
Ni wapi amedanganya?
@zeinabali5809
3 жыл бұрын
Wacha zako
@annamalingi7415
2 жыл бұрын
Shauriyako we baki namashetani zako kama unasema nimuongo.
@consolataisangia273
2 жыл бұрын
Acha wapinge lakini ukweli utabaki kuwa ukweli Bwana ni nuru yako na wokovu wako umuogope nani?Bwana ni ngome ya uzima wako umuhofu nani? Watenda mabaya walipokukaribia wakule nyama yako, watesi wako na adui zako,Walijikwaa wakaanguka
@hawakiza6067
3 жыл бұрын
Biblia ni kitabu kutoka kwa nani na aliteremshiwa nabii gani?
@barakaharony4396
2 жыл бұрын
Siku utakapo kufa utamuoana mtu akija kukuhukumu kwa kutumia biblia na sio kitabu kingine endelea kuuliza maswali yasio kua na kichwa wala miguu
@hawakiza6067
2 жыл бұрын
@@barakaharony4396 bibilia kapokea mtume yupi
@hawakiza6067
2 жыл бұрын
@@barakaharony4396 toa jibu
@lenardkenedy542
Жыл бұрын
Jifuze ndugu wa Jini
@gaitamaemmanuel
6 ай бұрын
Biblia ni kusanyiko wa vitabu vingi...mule kuna torati alishushiwa musa..mule kuna injili ambayo ni ya Yesu, mule kuna zaburi ya daudi, mule kuna mithali za Sulaiman....kuna vitabu vingi mule...bibilia ni maktaba sio kitabu kimoja
@mary.matullu8279
3 жыл бұрын
Amen
@nizaruddeenal_awsy.
3 жыл бұрын
Mungu yuwakuona Mnafiki mkubwa wewe. Wawadanganya ndugu zetu wakiristo kwa ajili ya njaa zako.
@johnanton8899
2 жыл бұрын
Mkili yesu kristo awe bwana na mwokoz wa masha yako
@hellenngecho4893
Жыл бұрын
jamani uko na wivu mkubwa Sana mwenzako ashapokea Jesus ww pia tia bidii ubadiliki bado ungali na nafasi Mungu anakuitaji Sana🙏
Пікірлер: 160