Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu Bwana aende Lee kukupaka Mafuta Sanaaaa!!!!!!
@issachege5606
2 жыл бұрын
God Jesus May u countinue showing our Muslims brothers that u are a real path.... nobody cometh to the Lord bt by u only
@adrianoscar1974
Жыл бұрын
Yesu ni Mfalme wa wafalme
@davidsolomon5240
4 жыл бұрын
Praise the lord 🙏🙌!Bwana Mungu wa Israel awabariki Sana watumishi wa Bwana Kwa jina kuu la mfalme YESU!
@pastornyundo1835
3 жыл бұрын
Hongera
@mathewrongorongo8841
4 жыл бұрын
Kwakweli kwa YESU kunaraha sanaa
@jamilankaya3667
3 жыл бұрын
Ni kweli kabisa jina la yes Ni Moto kea majini
@sallygrace1495
4 жыл бұрын
Kama umemchagua Yesu, hakuna "demon, devil au mchawi" hakuna kitu kitakusumbua, Nguvu za Baba Mungu na Yesu nipekee 🕆🙌 🙏
@trophywilson7211
2 жыл бұрын
Mmm acha kabisa ,Hapo ndo Ametangaza vita kali
@bonykaulagwa2688
Жыл бұрын
@@trophywilson7211 hakuna cha kuogopa ukiwa na yesu kikamilifu
@isabellisabellwairimukingo1536
4 жыл бұрын
Ushuhuda mzuri sana. Asante Ndugu Jacktan kwa kazi nzuri. Mungu akubariki 🙏🙏
@rosemongi5273
4 жыл бұрын
Asante mtumishi kwa elim nzuri nimjifunza mengi kupitia ushuhuda huu, barikiwa Sana kwa jina la Yesu.
@Born5519Jesus
3 жыл бұрын
Sheikh Amir. Aaaah yani umetia moto. Barikiwa Sana. Sasa umenifanya nimeongeza imani yangu maradafu. Ulichambua vizuri. Nakuelezea. Huku kenya Baraka tu. Barikiwa Sana. Promover Tv MUNGU awabariki. Shuhuda hizi nazi sambaza kwa rafiki ili waone jinsi Mwenyezi MUNGU anavyojidhirisha. Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah 🔥🔥🔥🔥
@PromovertvTz
3 жыл бұрын
Amen
@swaumabdul2968
4 жыл бұрын
Ameen nakubali kabisa kwa jina la yesu kila viumbe watasujudu mbele zake
@lilianngushi1531
3 жыл бұрын
Nazidi kujifunza mengi zaidi Mtumishi wa Mungu Jackson.
@Born5519Jesus
3 жыл бұрын
Sheikh Amir Mwenyezi MUNGU akubariki yani nahisi tu uwepo wake Mwenyezi Mungu 🔥🔥🔥
@dodoted5033
3 жыл бұрын
Roho mtakatifu azidi kutawala Roho yako. Yule mtu aliyekuwa na mapepo wa makaburini alipoponywa na Yesu alienda akahubiri akashuhudia ufalme wa Mungu akihubiri. Mimi nakuamini mtumishi. Eneza injili ya Bwana na ubarikiwe sana. Watakuamini tu mpendwa,hata Paulo alikimbiwa na wanafunzi wa Yesu,mpaka Roho alipowashuhudia kuwa yu upande wao😀❤
@alexndambukiemmanuel3894
4 жыл бұрын
Jameni Jameni Jameni, uislamu, Mungu gani anayekuwa na uhusiano na majini?..Hivi hamuoni mumepotea nyie wafuasi wa kiislamu bwana?... Kwa upole, mgeukieni Yesu enyi waislamu , mtapata uzima was milele... Yesu aliwatoa mapepo kwa wanadamu ,nyie mwawaalika majini kwa watu....
@hebronsdaughter1661
4 жыл бұрын
Amen amen Hallelujah kweli kabisa Yesu ndiye jibu asante sana Mtumishi wa Bwana kwa ushuhuda wako barikiwa kabisa
@djbj-yh9jy
Жыл бұрын
Rakini Mimi siwamini wupako uuu😮😮😮
@mussapeter8522
3 жыл бұрын
Mimi Mussa naomba uniombee sana mtumishi wa Mungu nusumbuliwa na magonjwa pia ninapotaka kwenda kanisani inakuja roho ya kugaili
@pericykiko6198
4 жыл бұрын
Mungu akuzidishie Neema zaidi Baba yetu
@happynessmarki2780
4 жыл бұрын
Glory to GOD Glory to GOD yaaani MUNGU naomba utufungue macho na fahamu zetu tupate kuuona ukuu wako maishan mwetu Ameeen
@FridayMwassa
Ай бұрын
Ndiyo maana waislam wengi hawawezi kuondoka kwenye dini yao kwasababu wamekaliwa na nguvu ya Ibilisi
@yeshuasweapon4384
3 жыл бұрын
Kweli ulikuwa umepotea kaka YESU kakuokoa
@euniceeunice7680
4 жыл бұрын
Tunasema sisi waislam ni wachawi jamani wanashirikiana na majini ndo mala kila sheikh anajua majina ya majini na kazi zao kwetu Sisi awana nafasi washindwe kwa jina la Yesu......sasa jini anaongea kiarabu anasoma Qran ndo nn sasa?alafu mnasema Allah ni Mungu 😂😂😂😂😂Allah sio Mungu bali ni miungu na mana mnatumia tasibin na Roma catholic wao wanatumia rozari wote aho ni yule mpinga kristo
@@eastcuisines124 HONGERA KUWA NA MUNGU MWENYE MAMA
@eastcuisines124
4 жыл бұрын
shenjama mzingi Mungu akurehemu na kwa wakat wake utaelewa kumuheshim na kumkiri
@trophywilson7211
2 жыл бұрын
Jina la Yesu tu hata Nabii wa uongo anataja labda Damu ya Yesu sawa
@mimsbaibe6mimsgul737
4 жыл бұрын
Glory to God always am a Christian but yu know more than me hongera umenibless nmesoma mengi I think that's why many pple in Saudi wanapenda kuaisha udi yesu akulide na unjili iendelee.
@erickouma
4 жыл бұрын
Umenifurahisha sana eti "kile kijini kikaniambia....", yaan jinsi kilivyo kidogo
@melckizedeckdaudi4746
4 жыл бұрын
Hahahaaa... Kwamba kile kijini! Hahaaaaa
@melckizedeckdaudi4746
4 жыл бұрын
Hahahaaa... Kwamba kile kijini! Hahaaaaa
@abrahamkyando4048
4 жыл бұрын
Yesu Kristo akubariki sana
@jennjaja1586
4 жыл бұрын
Mungu ni mwema asifiwe. Amen.
@nswilayella3295
4 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@annacharles2842
4 жыл бұрын
Mungu akubariki Dr. wa kiroho
@kemalswaleh9527
3 жыл бұрын
Mungu akubariki Mtumishi wa mungu haktani msafiri napenda kufatilia ushuhuda wako na neno lamungu unalotuhubiria ubarikiwe sana mungu azidi kukupa nguvu uzidi kuwafunguwa watu wa mungu nakuangalia kutoka kenya mombasa Cecilia nahitaji maombi mtumishi wa mungu ndoa yangu inashida,biashara kila nikifanya inaanguka,kila nifanyalo haliendi naamini yesu kristo nibwana nakupitia ushuhuda huu naamini yesu kristo ndo njia yakweli na uzima
@jaredochieng4725
4 жыл бұрын
Asante yesu kwa ushuhuda wa nguvu. 💪💪💪💪
@josephinemumbua159
4 жыл бұрын
Pastor ushuuda wako umenifuza mengi nisio yajua mungu aishi na wewe na awambariki Kwa kazi yenu zuri
@catherinefoluso
4 жыл бұрын
Bwana Yesu Apewe Sifa!
@chelagatmalakwen7804
3 жыл бұрын
Glory to God for this testimony. Can I get his number .....for sure this is a true servant God.
@kelvinramson2164
4 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi
@lilianngushi1531
3 жыл бұрын
Ushuhuda mzuri Sana, kuhusu.majini
@nizaelluka627
4 жыл бұрын
Kwa yesu ni raha sana, ubarikiwe
@thelonewolf4429
4 жыл бұрын
Misiko kidini dini sana lakini kusema kweli jina la YESU KRISTO ni hatari maana jinalake ukilitaja tu siotu pepo peke yake bali kilanguvu ya giza utafta njia yaku kwepea yaan YESU ndio kilakitu. Huna iziri au nini jina pekeyake nakuamini basi apo umeshamaliza... YESU KRISTO njo babalao waukweli... nimeona pepo wengi washa kimbia kupitiya hilo jina...
@annewanjiku52
4 жыл бұрын
Huyu ni shetani anakutokea mfano wa mwana wa Adam yani anajifananisha na yesu jameni shetani ameshindwa milele daima Amen
@blessedlovedandfavoured4129
4 жыл бұрын
Mbona hakuna notifications please check your account sir....
@PromovertvTz
4 жыл бұрын
The videos are not yet public, it is always starts to be available only for our members especially on WhatsApp.
@nizaelluka627
4 жыл бұрын
Amina amina,
@glorianishimwe1587
4 жыл бұрын
Mungu akubariki mucungaji
@Lifeisspiritual
4 жыл бұрын
Freshi kabisa. Yesu ni bwana. Wapi Part 3?
@charlesn4289
4 жыл бұрын
Hakika Yesu ni BWANA wa mabwana.prt3 ndio hiyo imedunda! Haleluya
@benardzacharia1172
4 жыл бұрын
Amen!! huu ushuhuda ni wa kweri kabisa mana nilisha wah kukusikiliza zaman sana mtumish na huja ongeza wala kupunguza neno+++ ubarikiwe sana
@romanusfikiri3194
4 жыл бұрын
Kumbe amewahi kuusimulia before? Mungu ambariki sana
@mohdbest9488
4 жыл бұрын
kwa hiyo ushuhuda ukiwa wazamani haui uongo? kwa taarif yako ukristo bil uongo hausimami zindukeni amkeni jamani kondoo
@janetsemahimbo8083
2 жыл бұрын
@@mohdbest9488 nyie ndio wa kuzinduka. Mwenzenu kazinduka kaijua kweli. Mbona poleni
@mohdbest9488
2 жыл бұрын
@@janetsemahimbo8083 utakufa na midhambi yako kwa udhabiki kassome ujue ukweli acha kudanganywa kwa Mungu hutakuwa na mtetezi
@janetsemahimbo8083
Жыл бұрын
@@mohdbest9488 Subiri moto wa milele
@carolinetalam5832
4 жыл бұрын
Thanks for sharing with us very good testimony.
@didatratranee2531
3 жыл бұрын
Huyu alikuwa muislam lakini anaetumikia majini hakuwa anamtumikia mungu kwa hy sio kila muislam anatumikia majini wengine wanamtumikia mungu waislam tuendelee na ibada ya kweli maana hata walookoka wapo wanaowatumikia majini na upako was uwongo na wapo walookoka was kweli cha msingi tumtafute mungu kwa kweli
@aimerinamugisho5182
3 жыл бұрын
Yesu iko nanguvu na mamuraka asifiwe sana
@josephinemumbua159
3 жыл бұрын
Pastor God bless you for your testimony
@kinotititus8798
3 жыл бұрын
Majini-malaika waliohasi mbinguni pamoja na shetani
@erickmislakuba4136
3 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu usirudi nyuma Mtumish
@Ali-ui7qh
3 жыл бұрын
MUONGO WW NJAA UMEKUTOA AKILI ALLAH AKBAR SUBHANA LLAH
@janetsemahimbo8083
2 жыл бұрын
Uongo Nini badilikeni ndugu zetu
@monalisajuma5641
4 жыл бұрын
AMEEN MTUMISHI mungu akubariki sana
@sarahyvonne4580
4 жыл бұрын
Ila ndugu yangu,umewacha uislamu,umekuja kutafuta yesu,uwe makini sana wakristo wengi wanabudu yesu bandia,ndio maana vituko vimejaa makanisani,mara mchungaji,nimsherati,mara nguvu zake ni za giza,mara, amefungua.kanisa kutafuta pesa,ila anahaja na yesu kristo,mara anataka abudiwe yeye, miujiza mingi lkn yesu hayupo ,wameva ngozi yakondoo kumbe ndani ni mmbwa mwitu,yani mimi ni mesnafunzi wa yesu,ila yanayo tendeka makanisani leo hii,hua nabaki nikishangaa
@alhamdulillah5796
4 жыл бұрын
Ala kumb, halafu mnategemea waisilam wote wawe waumini. Mkimuona muisilam anafanya uovu mnaanza kichanganya waisilam wote
@alhamdulillah5796
4 жыл бұрын
Na huyo hajawahi kua muisilam ni kafiri mwenzenu tangu hapo awali tushakuzoeeni
@adriandanford208
3 жыл бұрын
Be healed in jesus name
@commisormboga1970
2 жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 Natamani kabla hujafa upate neema ya kumjua Yesu ninani... maana Mtume wenu yule ni mwanadamu tu ambae nayeye anasubiri hukumu kama sisi.. kwahio jitafakari nafsi ako kwanza, soma vzuri upate maarifa wengi wenu mnabishanaga halafu maarifa kichwani hamna zaidi ya kufata mkumbo kwa viongozi wenu. kaa umwombe Mungu akupe maarifa. YESU ANARUDI KUUHUKUMU ULIMWENGU SIKU ZIMEISHA.
@mussapeter8522
3 жыл бұрын
Napatikana Magu Mwanza
@colletaadan9261
3 жыл бұрын
Ulipoona mwangaza,hiyo ilikuwa Siku yako ya mtembeleo,hivyo nguvu zote za majini ziliteketezwa kwa nguvu za roho mtakatifu.
@blackman7532
3 жыл бұрын
Wenye mawazo yakufikilia kuwa mwenye mapepo anaweza kutumia kwanza mapepo huwa ya nasema yote uliyo nayo kama ni feki unaumbulika Hao hawajui lolote wakajifunze Imani sio kurukia Gari kwa mbele.
@euniceeunice7680
4 жыл бұрын
Nasemaga jini anaga mali ni kiini macho tuu ndo mana lzm utoe sadaka kwao za damu na kualibu family...kwann awatoi mali bure bila mashart?kwakua lzm mjue amna cha bure ata mikopo bank lzm ujaze form na ela juuu ndipo upewe mkopo na apo umelipa ela nusa na utalipa zaidi ya ulivyo tegemea
@wairimumuchiri2775
3 жыл бұрын
Your testimony is similar with jonh Ramirez who use to be a high priest in the kingdom of darkness.
@lilyrose7983
4 жыл бұрын
Cjakuelewa kakangu unasema mlikuwa Ziwa Tanganyika badae tena unasema baharini.Ila asante kwa ushuhuda mzuri.Be blessed
@millicentayangokunting3728
4 жыл бұрын
Kwana bahari ni nini sini hiyo Tanganyika
@manirahofelix1693
3 ай бұрын
Jesus saves
@fei3668
4 жыл бұрын
jackatan usitucheleweshe baba😰barikiwa
@PromovertvTz
4 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/s4Wes5hpmGNql2k
@bennackmtie7671
4 жыл бұрын
Jamani ubarikiwe mtumishi dah!
@bilalihamis1975
4 жыл бұрын
Inabidi uweke na english substiles ile asikike kwa wengi zaidi
@tantinemwemendi8790
3 жыл бұрын
Mungu atuhokowe kweli duniani kunamitiani
@mosesmboka6520
4 жыл бұрын
Nice work mtumishi
@mishibaron5021
4 жыл бұрын
Yesu ni bwana ...hakuna wakufanana naye
@augustinebright1369
4 жыл бұрын
Una maana hakuna wachingaji wanaopata nguvu za uponyaji toka kuzimu? Tunaambuwa kuna manabii wengi wanapata nguvu kwa shetani na wanaponya kwa jina la Yesu... yako makanisa ya kiroho wanafanya uponyaji ila ni counterfeited.... wanataja jina la yesu but they dont mean it... wako wachawi wanaingia kanisani kuharibu ibada wanataja jina la yesu ... Naomba kujifunza zaidi...
@nooor1120
4 жыл бұрын
Hapo sasa
@hassankombo4475
4 жыл бұрын
Wapo wachungaji wanapata nguvu kutoka kwa shetani na wanatumia jina la yesu ila ni raisi sana kuwagundua
@augustinebright1369
4 жыл бұрын
@@hassankombo4475 nakusoma ila wanaenda huko wapate maelfu ya wafuasi na wanapata mkuu... na ukiuliza waumini wao wanasema tumeipima roho "kama 1 Yoh 4:1".... na bado wako polini hawatambui...Huwa natamani mnaowatambua muwataje wazi
@alhamdulillah5796
4 жыл бұрын
Laa tushriku billahi. Ikiwa wanamshirikisha Mungu na alichokiumba bila ya khofu na kutafuta wafuasi ilhali wanajua kama ni upotovu na ukafiri watashindwa kumshirikisha na shaitwani?
@azizasaid7660
4 жыл бұрын
@@hassankombo4475 sio kweli tangu miaka na miaka mnawaamin ilhali wanatumia nguvu za giza acheni chuki zenu binafsi juu ya uislam
@wahurabathi4845
4 жыл бұрын
Jesus is lord of lord king of kings.
@sifaeliamazia6022
4 жыл бұрын
Waislamu ata awajitambui
@alhamdulillah5796
4 жыл бұрын
Nyie ndio msiojitambua mnaeabudu mtu anakula, kunywa, kunya, kulala, kazaliwa.....km nyie
@sifaeliamazia6022
4 жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 kumbe ataujielewi maskini.....Yesu alifanyika kuwa mwili akaja duniani soma maandiko
@rehemasimonmsemo3139
4 жыл бұрын
Hizo sura za kuita majini usirudie kuzisoma huku maana kuna watu watafanya majaribio
Ila kiukweli sikuizi,nivigum kutambua mtumishi wa kweli,maana wengi sikuizi,wanatumia nguvu za giza,tena watu wana wamini,yani tunashindwa kumkubali yesu kikamilifu ilikutambua yupi mtumishi wa kweli
@alhamdulillah5796
4 жыл бұрын
Wote wanatumia nguvu za giza. Ukimkubali Yesu kisawa sawa basi atakupeleka kwenye uisilam. Mana Yesu ni muisilam kama Mitume wote waliopita
@jenifercynthiakazimoto5392
3 жыл бұрын
Wewe ukiamua kumkubali YESU mkubali TU,usisubiri watu wakushawishi.
@humphreykiveu9428
4 жыл бұрын
Part 3
@PromovertvTz
4 жыл бұрын
kzitem.info/news/bejne/s4Wes5hpmGNql2k
@humphreykiveu9428
4 жыл бұрын
Thanks, looks like the videos were uploaded 3 days ago but nothing shows up. Could you please share the link for part 4 too .
@merryn.mwambene2945
4 жыл бұрын
Bwana Yesu kiristo asifiwe wapendwa namba ya mutumisha sheikhe ariye okoka yawasapu arisahahu kuweka kwenye cd 0763280587
@judiththomas3165
2 жыл бұрын
Tofauti ya jini na pepo nigani?
@ramadhaninyangasa7275
3 жыл бұрын
Muongo !! Tumikia dunia kesho kiama nijikoni, ikiwa hujasilimu
@janetsemahimbo8083
2 жыл бұрын
Sio mwongo hiyo ni kweli. Badilikeni njia mnayoiendea sio nzuri
@joyceshile6322
4 жыл бұрын
SASA WEWE ALIPOKUSALIMIA HIYO SALAMU YA KISLAM, ULIJUAJE KAMA NI JINI? WAKATI MAJINI HUWAJUIIII, AU AKIKUPIGIA SIMU KAMA ATAKUJA?
@mishibaron5021
4 жыл бұрын
Kama umgonjwa wa masikio enda hosii ukasafishwe kila kitu ameeleza vizur...hukusikia akisema aliambiwa wakati huyo jini alipokua anakuja....rudia video tena ukitoka hosii
@isongacharlesnilanga2582
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nasemaje mpaka wakang'oe hiyo ngoma ya sikio wamwekee nyingine ndio atasikiliza na ataelewa
@alhamdulillah5796
4 жыл бұрын
Hayo ndio mnaodanganywa na kwa kua hamna elimu mnashindwa kujua majini ni kama sisi wanadini tofauti
@mishibaron5021
4 жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 mmmmh naona mayb ni kama wewe na ukoo wako juu mnakunywa mpaka damu...hujielewi wewe okoka umjue yesu kristo ndio utajua jini ni nani na alitoka wapi
@jenifercynthiakazimoto5392
3 жыл бұрын
Kiswahili kimeeleweka jamani mbona
@enuelabunimkali9529
4 жыл бұрын
Nzooni phwa jesu asena: phwa Jesu kuna uzima na amani
@carolinewanjiku5727
4 жыл бұрын
Ushuhuda wanguvu una mafunzo mengi.lulu ni nini in English?
@lutufyodixon9997
4 жыл бұрын
Lulu is Pearl
@carolinewanjiku5727
4 жыл бұрын
Thanks l never knew
@carolinewanjiku5727
4 жыл бұрын
Nasubiri kwa hamu muendelezo wa testimony
@lutufyodixon9997
4 жыл бұрын
@@carolinewanjiku5727 amen
@lutufyodixon9997
4 жыл бұрын
@@carolinewanjiku5727 kiswahili is very rich in words but only known to coastal regions!!
@fastnetpangani6650
4 жыл бұрын
Nakupongeza sana kwa kutokewa na Yesu, lakini nilitaka kujua kabla ya kuingia kwenye imani nyingine ,je hukuwahi kujiuliza ukweli wa hizi imani ?
@glorianishimwe1587
4 жыл бұрын
Tup mwendelezo jactani
@mercyjesus6637
4 жыл бұрын
Jactan muendelezo please
@merryn.mwambene2945
4 жыл бұрын
Namba ya WhatsApp 0763280587
@selemanali5053
4 жыл бұрын
Hapana hujajibu swali mbona wapo mapasta wnatumia nguvu za giza na nikweli usizuie ukwer hata mashekhe wapo wanatumia uchawi au majini
@jamesswai6583
4 жыл бұрын
Mapasta wanaotumia nguvu za Giza wamepotea na wao wanajijua lakini mashehe wanaotumia majini ni kawaida yao.
@abbyadams8691
4 жыл бұрын
Acheni kubalansi hoja. Uwepo wa wachungaji na manabii washirikina na wachawi haibadirishi ukweli wa ushuhuda huu. Tatizo kuna mambo mengi ya siri ambayo Mashekh wanawaficha waumini wao wasijue nini kiko nyuma ya pazia katika Uislamu.Huyu si Shekhe wa kwanza kutoa ushuhuda km huu.Wapo weeengi sana. Je wote hawa wananunuliwa? Na wananunuliwa kwa faida ya nani? Unawezaje kumnunua msomi km huyu aliyebobea kwenye dini? Dini haimpeleki mtu mbinguni. Yesu hakuja kwa ajili ya Wakristo km wachache wanavyozani, bali kwa wanadamu wote.
@wardawarda3427
4 жыл бұрын
@@abbyadams8691 kweli
@violettemitchel6772
4 жыл бұрын
@@abbyadams8691 Kweli kabisa
@hassankombo4475
4 жыл бұрын
@@abbyadams8691 yesu akuja kwa wakristo tuu bali bali kwa watu wote na dini zote na alisema amna ataekuja kwa baba bila mimi ndimi njia kweli na uzima atakae niamini na kuokoka atarithi uzima wa milele
@selemanali5053
4 жыл бұрын
Sasa wewe ulipewa majini 99 utatoaje majini hukua na imani
@janetsemahimbo8083
2 жыл бұрын
Badilikeni wandugu
@boyyotally1966
4 жыл бұрын
Njaa mbaya
@patricknanyaro6391
4 жыл бұрын
Jifunze ,dini zetu zinatupeleka pabaya.
@alhamdulillah5796
4 жыл бұрын
Njaa mbaya au inaeza kua muongo hajawahi kua muisilam. Kwani si tushawazoea. Hawana namna ya kuthibitisha dini yao kua ni dini isipokua kusema uongo
@samutykuntathebantu8402
4 жыл бұрын
@@alhamdulillah5796 umwa kabisa
@nizaelluka627
4 жыл бұрын
Panatisha apo
@germainekahambu
4 жыл бұрын
Mimi nina swali?kwa nini ma shehe wanafunja watu aina ya majini shabaha yawo ni nini?
Пікірлер: 168