Dj sma fanya kazi yako kaka huwezi kukubaliwa na kila mtu
@heliudjulias7748
11 ай бұрын
Daah nakusikiriza vizuri sana dj sma napenda erim yako maana cjawai kuipata wara siwezi kuipata popote una facts nyingi naduria mara mbili ira bado natamani nipate na picha nina daftari
@abdulgwelo7150
11 ай бұрын
Dj sma utisha ALLAH akuhifadhi na akufungulie mwangazaid na akupemo wa kutuelimisha na akulipe kila lakheri, Abdulazizy gwelo morogo.
@yahayaannu3663
11 ай бұрын
Umemaliza kila kitu big up sana DJSMA
@BizimanaMuhamed-yo2pq
2 ай бұрын
Nakukubali saaaana kabisa Endelea kutuelimisha
@Zidna050
20 күн бұрын
Nakusikiliza vizuri sana dj sms sisi tunapenda kudanganywa na hao wa magharibi sasa inabidi tuamke atakae kuelewa huyo ameamka atakae kataa huyo Bado amelala tusonge mbele atakae kataa tunamuacha njiani tende kazi dj
@user-hp6eh6oi2o
11 ай бұрын
Asante ustadh smaa🎉🎉🎉❤❤❤
@yusafbayu7016
11 ай бұрын
Nakubali sana
@AishaTabi-e2z
Ай бұрын
Asante sana bro ❤
@youngbona3804
11 ай бұрын
Mwnangu #sma unafanya kazi kubwa sana jah bless you mamen✊ uschoke kaka tueleweshe✊✊✊
@fredrickkagwa8853
11 ай бұрын
DJ Sma Asante sana kwa taarifa. Ngoja nkupe mistari ya Biblia kidogo. Soma Yoshua 23:13 Yapo makabila ya Parastina Kama Wayebusi Mungu aliruhusu waendelee kukaa na Wana wa Israel ili Kama Israel wakisujudu miiungu yao au kuoa mabinti zao au kuwaoza ,waweze kuwa miiba machoni pa Waisrael mpaka watakapotoka ktk hii nchi . Hii vita yao labda mpaka kurudi kwa Yesu- Jesus mara ya pili
@mohamedally121
11 ай бұрын
Bado watu wapo usingizini, kumuelewa djsma inataka uwe open mind, hongera smaa
@suleimanhosea4618
10 ай бұрын
WAYAHUDI SIYO WAISRAELI NAMAANISHA fuatilia,Huu ni mchanganyo tu wa maneno,Waisrael ni wale tu wanaomwelewa Mungu na kumpenda Muumba wao na sheria zake ambao wengine ni waarabu,wazungu na makabila mbalimbali na hao wanaoua watu huko Gaza ni Wayahudi ambao hawamtaki yesu tangu mwanzo na ndio walimuua Yesu hao ni maadui na ukristo,historia inaonesha kuwa waliangamizwa na warumi na walibakia wachache sana na akaja Adolf Hitler yeye ni mkatoliki akaona awafute wayahudi kwenye uso wa dunia ndipo akatokea Mwingereza na Marekani ili kuwasaidia na dhahama ya Hitler hapo umoja wa mataifa uliundwa haraka haraka na mengi yakafanyika Wayahudi wakarudishwa kwenye ardhi yao ya asili pale ambapo kuna makaburi ya wahenga wao na misingi ya hekalu na masinagogi mlima wa golgotha na kaburi wazi la Yesu Kristo Masihi wa Waisraeli ambao kwa ulimwengu wa leo wanaitwa WASABATO watu wapole wanaozitetea amri za Mungu,wakitetea afya za watu wote na kuongoa Roho na hao hawapiganii mpaka wa ardhi kwa sababu wanaishi popote katika hali zote na wala hawapigani na mtu wao hupigana na shetani ambae amewagawa watu.YESU ALISEMA,VITA VYENU SI VYA DAMU NA NYAMA BALI VYA ROHO MTAKATIFU.Hao wanaoua watu wamewekwa na kurutubishwa na Wamerekani ili kupambana na uislamu maana ardhi hiyo inagombaniwa na Waislam ni takatifu kwao na wayahudi,Sasa nia kubwa ya wazungu ni kuua ukristo ushahidi upo nao ni ushoga unaoingizwa kwa nguvu makanisani,madhehebu ni mengi na mafundisho ni mengi tofauti tofauti,wanaabudu masanamu,wanakunywa pombe makanisani nk nk. Hao unaosema ni waisrael siyo hao ni kundi tu la mpinga Kristo ili kuua uislam ambao unapingana na mambo yao wanayopenda wamarekani na waingereza ,wanataka kuua Uislam kama walivyouua ukristo kwa takribani asilimia 99,huo ni mpango mkubwa wa shetani wa kuangamiza dunia ili wanadamu wote wamfuate yeye.Asante.
@barakamshiu7146
11 ай бұрын
huyu jamaaa DJ SMA yupo mbele sana ya mudaa.... huwezi elewa kama hujakaa class vyema
@suleimanhosea4618
10 ай бұрын
WAYAHUDI SIYO WAISRAELI NAMAANISHA fuatilia,Huu ni mchanganyo tu wa maneno,Waisrael ni wale tu wanaomwelewa Mungu na kumpenda Muumba wao na sheria zake ambao wengine ni waarabu,wazungu na makabila mbalimbali na hao wanaoua watu huko Gaza ni Wayahudi ambao hawamtaki yesu tangu mwanzo na ndio walimuua Yesu hao ni maadui na ukristo,historia inaonesha kuwa waliangamizwa na warumi na walibakia wachache sana na akaja Adolf Hitler yeye ni mkatoliki akaona awafute wayahudi kwenye uso wa dunia ndipo akatokea Mwingereza na Marekani ili kuwasaidia na dhahama ya Hitler hapo umoja wa mataifa uliundwa haraka haraka na mengi yakafanyika Wayahudi wakarudishwa kwenye ardhi yao ya asili pale ambapo kuna makaburi ya wahenga wao na misingi ya hekalu na masinagogi mlima wa golgotha na kaburi wazi la Yesu Kristo Masihi wa Waisraeli ambao kwa ulimwengu wa leo wanaitwa WASABATO watu wapole wanaozitetea amri za Mungu,wakitetea afya za watu wote na kuongoa Roho na hao hawapiganii mpaka wa ardhi kwa sababu wanaishi popote katika hali zote na wala hawapigani na mtu wao hupigana na shetani ambae amewagawa watu.YESU ALISEMA,VITA VYENU SI VYA DAMU NA NYAMA BALI VYA ROHO MTAKATIFU.Hao wanaoua watu wamewekwa na kurutubishwa na Wamerekani ili kupambana na uislamu maana ardhi hiyo inagombaniwa na Waislam ni takatifu kwao na wayahudi,Sasa nia kubwa ya wazungu ni kuua ukristo ushahidi upo nao ni ushoga unaoingizwa kwa nguvu makanisani,madhehebu ni mengi na mafundisho ni mengi tofauti tofauti,wanaabudu masanamu,wanakunywa pombe makanisani nk nk. Hao unaosema ni waisrael siyo hao ni kundi tu la mpinga Kristo ili kuua uislam ambao unapingana na mambo yao wanayopenda wamarekani na waingereza ,wanataka kuua Uislam kama walivyouua ukristo kwa takribani asilimia 99,huo ni mpango mkubwa wa shetani wa kuangamiza dunia ili wanadamu wote wamfuate yeye.Asante.
Isfahan ni Iran-- asante sana vile umewaelewesha watu ukweli kwani ukweli ni huo nimefika Israel na nimeyaona hayo yote tena ukristo wanaona kama ni miujiza tu na wanafaa kuuwawa
@yohanachacha8890
Ай бұрын
Big up brother
@msangodiesel3132
11 ай бұрын
❤ djsma fanya kazi nzuri achana na wanao kuponda sisi kama matango pori kushabikia vitu tunalazishwa kufanya usiku kuwa mchana tunapo pata chochote tutakupa sapoti hupendi harafu unamfwatilia kaeni kwenye udaku huku tuachia sisi
@HUMPHREYMWIHAMBI
11 ай бұрын
Km ambavyo Yeye anatoa elimu akubali kupokea maoni yanayomkubali na yasiyomkubali. Yeye sio kamusi ya Elimu kuhusu mgogoro huo. Anaweza kuwa na makosa na ndio maana tunamkosoa ili awe Bora ktk lile analolijua.
@zakariaissa7574
11 ай бұрын
Nimekulewa
@seifyahya5756
10 ай бұрын
video sioni
@ramadhaniseifuledi513
10 ай бұрын
Nakukubali mkuu
@suleimanhosea4618
10 ай бұрын
WAYAHUDI SIYO WAISRAELI NAMAANISHA fuatilia,Huu ni mchanganyo tu wa maneno,Waisrael ni wale tu wanaomwelewa Mungu na kumpenda Muumba wao na sheria zake ambao wengine ni waarabu,wazungu na makabila mbalimbali na hao wanaoua watu huko Gaza ni Wayahudi ambao hawamtaki yesu tangu mwanzo na ndio walimuua Yesu hao ni maadui na ukristo,historia inaonesha kuwa waliangamizwa na warumi na walibakia wachache sana na akaja Adolf Hitler yeye ni mkatoliki akaona awafute wayahudi kwenye uso wa dunia ndipo akatokea Mwingereza na Marekani ili kuwasaidia na dhahama ya Hitler hapo umoja wa mataifa uliundwa haraka haraka na mengi yakafanyika Wayahudi wakarudishwa kwenye ardhi yao ya asili pale ambapo kuna makaburi ya wahenga wao na misingi ya hekalu na masinagogi mlima wa golgotha na kaburi wazi la Yesu Kristo Masihi wa Waisraeli ambao kwa ulimwengu wa leo wanaitwa WASABATO watu wapole wanaozitetea amri za Mungu,wakitetea afya za watu wote na kuongoa Roho na hao hawapiganii mpaka wa ardhi kwa sababu wanaishi popote katika hali zote na wala hawapigani na mtu wao hupigana na shetani ambae amewagawa watu.YESU ALISEMA,VITA VYENU SI VYA DAMU NA NYAMA BALI VYA ROHO MTAKATIFU.Hao wanaoua watu wamewekwa na kurutubishwa na Wamerekani ili kupambana na uislamu maana ardhi hiyo inagombaniwa na Waislam ni takatifu kwao na wayahudi,Sasa nia kubwa ya wazungu ni kuua ukristo ushahidi upo nao ni ushoga unaoingizwa kwa nguvu makanisani,madhehebu ni mengi na mafundisho ni mengi tofauti tofauti,wanaabudu masanamu,wanakunywa pombe makanisani nk nk. Hao unaosema ni waisrael siyo hao ni kundi tu la mpinga Kristo ili kuua uislam ambao unapingana na mambo yao wanayopenda wamarekani na waingereza ,wanataka kuua Uislam kama walivyouua ukristo kwa takribani asilimia 99,huo ni mpango mkubwa wa shetani wa kuangamiza dunia ili wanadamu wote wamfuate yeye.Asante.
@KaluNyale
25 күн бұрын
Nikweli kabisa dj naomba unitumie hizo vidio
@user-pn5gv7ix3g
11 ай бұрын
Binafsi naheshimu sana kazi kubwa ya DJ Sma..na ni haki yako kuwa na hisia binafsi. Japo hisia inaweza kujengwa na dhana iliyojengeka.
@machaliakulima76
11 ай бұрын
DJ SAM simfahamu hata kidogo, ila Dr Sulle wa Tabora namuelewa sana.
Nondo kalinsana nimependa na nimefarijika sana.... Nasikiliza kutoka nchini Bahrain 🇧🇭
@NicksonMlay-b9k
10 ай бұрын
Nimekubal bba.
@davidwalalason7630
11 ай бұрын
Simuoni mtangazqji jamani upande wangu
@adamsichinga7173
11 ай бұрын
Mtangazaji umechagua upande tayari alafu ni kama unahusianisha ukristo na uislam kwenye vita ya Israel na hamas
@sifatiiman
11 ай бұрын
umesha ambiwa ukubali ukatae huu ndio ukweli lete fact apa toa propaganda sawa tunaenda na fact
@NR-ll4sr
11 ай бұрын
I was waiting for this❤
@user-fx5gu6xs5o
11 ай бұрын
Tatizo dj sma ushabiki mwingi sana hakuna uchambuzi hapo
@khalidbelhasa2137
11 ай бұрын
Chakufanya kuepokua na hayo wewe akitoa usiangalie wala kumsikiliza
@MsAggie5
11 ай бұрын
Ushabiki mwingi kuliko ukweli. Hana analojua kuhusu bible anataka waislamu wamuamini
@sifatiiman
11 ай бұрын
@@MsAggie5sio lazima muwe hapa nyie ma mbu mbu mbu
@sifatiiman
11 ай бұрын
@@MsAggie5sio lazima muwe hapa nyie ma mbu mbu mbu
@rahmasaleh1984
11 ай бұрын
@@sifatiimankweli kabisa,ni mambu mumbu hao hawana dawa
@manuelmtawa6533
11 ай бұрын
Nimekuelewa sana
@salimmadafa4840
11 ай бұрын
Wanawafundisha kuwachukia watoto wa kiarabu. Ili kuzakisha chuki na kuwaona kama maadui zao kwa maisha yao yote Kwenye The long way to freedom Mandela said "No one is born hating another person because of the color of his skin, or his background, or his religion, People must learn to hate, and if they can learn to hate, they can be taught to love, for love comes more naturally to the human heart than its opposite"
@lodricophd728
11 ай бұрын
✋🏻🤚🏻 dj smah for life
@awadhrajabu1403
11 ай бұрын
Kumbe Wewe Umebenzi Upande Mmoja Auna DJ Lolote Wewe Palestina
@hamsikrasheedi1796
11 ай бұрын
respect 🫡
@MwandigaRuhobe-fm3it
11 ай бұрын
Mbona video sionikwangu
@aminaamina3972
11 ай бұрын
❤💯💯💯💯💯💯From 🇴🇲
@Issa-ud6sy
11 ай бұрын
Jaman,mbona sioni hizo picha kwenye simu yangu?
@hamadiselemani8665
11 ай бұрын
Mie Sio Video
@alikarisa
10 ай бұрын
DJ Naomba uniunge kwa group la FuSE.
@edesaron9070
11 ай бұрын
Yohana 5_43yesu anawaambia wayahudi kumukataa yeye na kumpokea mpinga chrsto.
@kassimbayuu
11 ай бұрын
Unapita mapito ya salim msangi hongera Kijana
@gigoyrn4394
11 ай бұрын
Hii makala uliandaa Kwa ajiri ya kuisema Israel tu
@sifatiiman
11 ай бұрын
tuliza akili acha kutumia mavi
@MoiseNgiruwonsanga
11 ай бұрын
Mbona mnasema mabaya ya Israel lkni hamsemi hamas walioyafanya?
@MsAggie5
11 ай бұрын
Huyu ni mgombanishi hana lolote anataka kuwafurahisha waislaam wenzie
@MsAggie5
11 ай бұрын
Wayahudi wawakatae wakristu au awakubali sio kazi yako. Mkristu hana shida na myahudi anashida na Yesu na Mwenyezi Mungu mwenyewe. Usiwafundishe usichokijua
@sifatiiman
11 ай бұрын
toa mavi kichwan tumia akili wewe
@MsAggie5
11 ай бұрын
@@sifatiiman hiyo ndiyo shida yenu, kwenu mmejaa roho ya kishetani, matusi na maugomvi kama hao mayahudi ndo maana mnauana hovyo. Yesu ndo mpango mzima, upendo, msamaha na amani. Pole sana
@salymsuleiman2035
11 ай бұрын
Umeongea point sana brother Allah akulunde na akupe umri mrefu..... Na wapo wajinga wenye macho ila hawaoni
@Elitraders
11 ай бұрын
I stand with Israel....
@esterjoseph670
10 ай бұрын
Hongera kwa uchambuzi mzuri,Ila adui yetu c muyahud wla mpalestina!adui hapo ni shetani watu hajui na wala hawataki kujua kama kuna shetani!
@SM-fu1yv
11 ай бұрын
Ni ina changanya sana ni story ndefu kuelewa
@kennethkawia5821
10 ай бұрын
Kwann unakataa sio taifa la mungu kwani hata wakati wa yesu wapo wayahudi walio mkubali wengine walimkataa kwa ukisema sio taifa lamungu sipati jibu
@MuanassaChabane
11 ай бұрын
Nauliza swali,hawa wayahudi kama nikikutana nao nitawajuwaje yaani namaanisha kimuonekano wao wamefananaje,?wapo kama wazungu,wahindi,waarabu ,ama?
@Hussein-gx4qu
11 ай бұрын
Muisraeli na mwarabu kuwatofautisha ni ngumu kwasababu asili ya Israeli ni Iraq wakurd WA iraq
@AldiniKombe-yo6yh
11 ай бұрын
Video mbona siioni au cmyangu kimeo?
@seifyahya5756
10 ай бұрын
Baba mie naona picha tuunsioni kitu
@RayMakini
Ай бұрын
Hahahhahahah daaahh Chuki za kidini ni mbaaayaa sna Duu anyway tutajua tu kifa. Ibi dini ya Mungu, ila saiv apa fresh tuviwaaasheeee!!! ukishndwa vunga
@CharafimalisalimoAli-qw3hk
11 ай бұрын
MTIHANI SANA PALESTINA. . MAF UNDISHOHAYA YA UBAGUZI KWA WAISLAMU au mafundisho ya MWENYEZMUNGU hakuna. Mana usahihi nikua mborawetu kwa MWENYEZMUNGU ni mchamungu.
@hamsikrasheedi1796
11 ай бұрын
yani kama kuna mtu yoyote ambaye hamuelewi dj sma uyo atakuwa na matatizo ya kili 🤣 na wala ataweza kulewa chochote 😂🔥
@sifatiiman
11 ай бұрын
kabisa yaan
@rahmasaleh1984
11 ай бұрын
Anaeleweka sana kwa mwenye kutaka ukweli na haki
@eezybugeraha
11 ай бұрын
Nimemsikiliza mpaka mwisho kuna vitu anavipotosha either kwa makusudi au haujui ukweli, mfano; inaonekana anadhani kwamba wakristo hawajui kwamba wayahudi si wakristo na hawamkubali Yesu, ukweli ni kwamba wayahudi hawajawahi kua wakristo tokea enzi za kristo mwenyew na hilo kila mtu analijua, they are Jews as their religion even Jesus was a Jew as human race and Religion as well.
@suleimanhosea4618
10 ай бұрын
WAYAHUDI SIYO WAISRAELI NAMAANISHA fuatilia,Huu ni mchanganyo tu wa maneno,Waisrael ni wale tu wanaomwelewa Mungu na kumpenda Muumba wao na sheria zake ambao wengine ni waarabu,wazungu na makabila mbalimbali na hao wanaoua watu huko Gaza ni Wayahudi ambao hawamtaki yesu tangu mwanzo na ndio walimuua Yesu hao ni maadui na ukristo,historia inaonesha kuwa waliangamizwa na warumi na walibakia wachache sana na akaja Adolf Hitler yeye ni mkatoliki akaona awafute wayahudi kwenye uso wa dunia ndipo akatokea Mwingereza na Marekani ili kuwasaidia na dhahama ya Hitler hapo umoja wa mataifa uliundwa haraka haraka na mengi yakafanyika Wayahudi wakarudishwa kwenye ardhi yao ya asili pale ambapo kuna makaburi ya wahenga wao na misingi ya hekalu na masinagogi mlima wa golgotha na kaburi wazi la Yesu Kristo Masihi wa Waisraeli ambao kwa ulimwengu wa leo wanaitwa WASABATO watu wapole wanaozitetea amri za Mungu,wakitetea afya za watu wote na kuongoa Roho na hao hawapiganii mpaka wa ardhi kwa sababu wanaishi popote katika hali zote na wala hawapigani na mtu wao hupigana na shetani ambae amewagawa watu.YESU ALISEMA,VITA VYENU SI VYA DAMU NA NYAMA BALI VYA ROHO MTAKATIFU.Hao wanaoua watu wamewekwa na kurutubishwa na Wamerekani ili kupambana na uislamu maana ardhi hiyo inagombaniwa na Waislam ni takatifu kwao na wayahudi,Sasa nia kubwa ya wazungu ni kuua ukristo ushahidi upo nao ni ushoga unaoingizwa kwa nguvu makanisani,madhehebu ni mengi na mafundisho ni mengi tofauti tofauti,wanaabudu masanamu,wanakunywa pombe makanisani nk nk. Hao unaosema ni waisrael siyo hao ni kundi tu la mpinga Kristo ili kuua uislam ambao unapingana na mambo yao wanayopenda wamarekani na waingereza ,wanataka kuua Uislam kama walivyouua ukristo kwa takribani asilimia 99,huo ni mpango mkubwa wa shetani wa kuangamiza dunia ili wanadamu wote wamfuate yeye.Asante.
@zdaima
11 ай бұрын
Unaudini sana bro tunajuwa wewe ni mwinamisha mgongo So I understand
@Clex-f5s
10 ай бұрын
Picha ziko wapi na video
@laizerjones5385
11 ай бұрын
Israeli is powerful in Jesus name. Mungu na awasaidie wayahudi
@sifatiiman
11 ай бұрын
umesha ambiwa ukitaka kubaki na ujinga wako ni wewe tu
@rahmasaleh1984
11 ай бұрын
Allah ndio powerful wacha ujinga zinduka
@suleimanhosea4618
10 ай бұрын
WAYAHUDI SIYO WAISRAELI NAMAANISHA fuatilia,Huu ni mchanganyo tu wa maneno,Waisrael ni wale tu wanaomwelewa Mungu na kumpenda Muumba wao na sheria zake ambao wengine ni waarabu,wazungu na makabila mbalimbali na hao wanaoua watu huko Gaza ni Wayahudi ambao hawamtaki yesu tangu mwanzo na ndio walimuua Yesu hao ni maadui na ukristo,historia inaonesha kuwa waliangamizwa na warumi na walibakia wachache sana na akaja Adolf Hitler yeye ni mkatoliki akaona awafute wayahudi kwenye uso wa dunia ndipo akatokea Mwingereza na Marekani ili kuwasaidia na dhahama ya Hitler hapo umoja wa mataifa uliundwa haraka haraka na mengi yakafanyika Wayahudi wakarudishwa kwenye ardhi yao ya asili pale ambapo kuna makaburi ya wahenga wao na misingi ya hekalu na masinagogi mlima wa golgotha na kaburi wazi la Yesu Kristo Masihi wa Waisraeli ambao kwa ulimwengu wa leo wanaitwa WASABATO watu wapole wanaozitetea amri za Mungu,wakitetea afya za watu wote na kuongoa Roho na hao hawapiganii mpaka wa ardhi kwa sababu wanaishi popote katika hali zote na wala hawapigani na mtu wao hupigana na shetani ambae amewagawa watu.YESU ALISEMA,VITA VYENU SI VYA DAMU NA NYAMA BALI VYA ROHO MTAKATIFU.Hao wanaoua watu wamewekwa na kurutubishwa na Wamerekani ili kupambana na uislamu maana ardhi hiyo inagombaniwa na Waislam ni takatifu kwao na wayahudi,Sasa nia kubwa ya wazungu ni kuua ukristo ushahidi upo nao ni ushoga unaoingizwa kwa nguvu makanisani,madhehebu ni mengi na mafundisho ni mengi tofauti tofauti,wanaabudu masanamu,wanakunywa pombe makanisani nk nk. Hao unaosema ni waisrael siyo hao ni kundi tu la mpinga Kristo ili kuua uislam ambao unapingana na mambo yao wanayopenda wamarekani na waingereza ,wanataka kuua Uislam kama walivyouua ukristo kwa takribani asilimia 99,huo ni mpango mkubwa wa shetani wa kuangamiza dunia ili wanadamu wote wamfuate yeye.Asante.
@FreeGod368
11 ай бұрын
Mimi wapigane wasipigane , WAUANE WASIUANE WAFANYE WANAVYOFANYA MI NITAHUZUNIKA TU ILA MIMI NACHOJUA MIMI NA YESU NI KIDOLE NA PETE,SICHOMOKI HATA IWEJE NIME OBSERVE MENGI KWENYE HII IMANI KHAAA👐👐
@suleimanhosea4618
10 ай бұрын
WAYAHUDI SIYO WAISRAELI NAMAANISHA fuatilia,Huu ni mchanganyo tu wa maneno,Waisrael ni wale tu wanaomwelewa Mungu na kumpenda Muumba wao na sheria zake ambao wengine ni waarabu,wazungu na makabila mbalimbali na hao wanaoua watu huko Gaza ni Wayahudi ambao hawamtaki yesu tangu mwanzo na ndio walimuua Yesu hao ni maadui na ukristo,historia inaonesha kuwa waliangamizwa na warumi na walibakia wachache sana na akaja Adolf Hitler yeye ni mkatoliki akaona awafute wayahudi kwenye uso wa dunia ndipo akatokea Mwingereza na Marekani ili kuwasaidia na dhahama ya Hitler hapo umoja wa mataifa uliundwa haraka haraka na mengi yakafanyika Wayahudi wakarudishwa kwenye ardhi yao ya asili pale ambapo kuna makaburi ya wahenga wao na misingi ya hekalu na masinagogi mlima wa golgotha na kaburi wazi la Yesu Kristo Masihi wa Waisraeli ambao kwa ulimwengu wa leo wanaitwa WASABATO watu wapole wanaozitetea amri za Mungu,wakitetea afya za watu wote na kuongoa Roho na hao hawapiganii mpaka wa ardhi kwa sababu wanaishi popote katika hali zote na wala hawapigani na mtu wao hupigana na shetani ambae amewagawa watu.YESU ALISEMA,VITA VYENU SI VYA DAMU NA NYAMA BALI VYA ROHO MTAKATIFU.Hao wanaoua watu wamewekwa na kurutubishwa na Wamerekani ili kupambana na uislamu maana ardhi hiyo inagombaniwa na Waislam ni takatifu kwao na wayahudi,Sasa nia kubwa ya wazungu ni kuua ukristo ushahidi upo nao ni ushoga unaoingizwa kwa nguvu makanisani,madhehebu ni mengi na mafundisho ni mengi tofauti tofauti,wanaabudu masanamu,wanakunywa pombe makanisani nk nk. Hao unaosema ni waisrael siyo hao ni kundi tu la mpinga Kristo ili kuua uislam ambao unapingana na mambo yao wanayopenda wamarekani na waingereza ,wanataka kuua Uislam kama walivyouua ukristo kwa takribani asilimia 99,huo ni mpango mkubwa wa shetani wa kuangamiza dunia ili wanadamu wote wamfuate yeye.Asante.
@عبداللهالعامري-ل1ع
11 ай бұрын
Lakini kila leneh muanzo lazima linamusho ikosiku
@hedwigkimario6993
8 ай бұрын
Mbn ujaweka link wa WhatsApp channel
@mohamedmbaraka7343
11 ай бұрын
😅😅😅 wataelewa siku Kiama kikisimama
@gaudencemihungo4348
11 ай бұрын
SNS mnawaruhusu watu kusikika watu wanaopotosha ukweli na kusababisha chuki. Pls! Uongozi wa SNS uwe makini ili kuepusha chuki.
@MsAggie5
11 ай бұрын
Kweli kabisa huu ni udini sio mjadala WA kweli
@sifatiiman
11 ай бұрын
umesha pewa fact na umeambiwa ukatafute zingine usome mwenyewe ili uone kama kuna uongo apa acha kuwa kubwa jinga unaonekana kama mla mavi
@owenmutale8686
11 ай бұрын
Chuki utaileta ww mwehu jinga wewe
@MsAggie5
11 ай бұрын
Hakuna fact za upande mmoja, kuna matukio mengi wapalestina waliyafanya Kwa Israel Kwa nn asiyaongelee hapa? F
@irenendeki696
11 ай бұрын
Kidogo ungekuwa straight kwenye story telling inakuwa ngumu kukufollow ingawa una material lkn story telling uwiii
@jayaron5991
11 ай бұрын
Unadanganya sana kuusu mambo ya israel
@venerandapeter6222
11 ай бұрын
Mngekuwa unasimama na kupaza sausi kwa ndugu zenu wa Congo ningeona mnaubinadam lkn kukaa kimya kwa waafrika wenzenu na kutetea watu wanaowaita ndani bado afrika ni watumwa wa Africa
@djsma255
11 ай бұрын
Wewe kipi kinakuzuia kupaza sauti kwajili ya wakongo.... Siufanye wewe sio kutupia watu lawama ... Fanya ww wamana sana
@animalchannel296
11 ай бұрын
❤
@hamsikrasheedi1796
11 ай бұрын
dj sma una baya ♥🫡
@themoredwamichano8636
Ай бұрын
Huwezi kuamchambuzi mzur wakati tayar unachuki na Upande mwingine
@chancekambale3498
11 ай бұрын
Dj Sma kama naye anaanja vuta! Mbona anatukana? Hakuna ambaye amekutuma kuleta makala hiyi😢 kama umechoka acha tutasikia pengine. Kuchangia sio makazo ila kujitakia .Dj Sma: Kazi inaanja kushinda 22:11
@zuberisalum2004
11 ай бұрын
Anataka kufilwa unawashwa
@JeannetteManirambona-o6m
11 ай бұрын
Nani amekuleta hapa ondoka
@mbarushimanaissa5650
11 ай бұрын
Aslamu alayikum warahamatulah wa barakath nauliza israheli na urusi ni nani mukali?
@saidsalim851
11 ай бұрын
dadako
@mariamsefu825
11 ай бұрын
Uongo haudumu na ukweli utadumu daima
@JeannetteManirambona-o6m
11 ай бұрын
Mungu akubariki na akupe maisha marefu kaka
@iqmediatz
11 ай бұрын
hapa umeenda chaka knoma,
@Zoneink
11 ай бұрын
Kwa maelezo yote kila mmoja ana haki ya kuishi katika ardhi mama maana nyakati za tawala za kifalme islael alikuwa mmliki halali then baada ya kutawanyika utumwani palestine akawa mmiliki wa pili sasa kutokana na vizazi vingi kupita kila mmoja sasa anaitaji analiitaji eneo zima sasa ni bora kila mmoja kupewa haki ya kuishi pale
@MsAggie5
11 ай бұрын
Ndo nashindwa! Wanataka waisrael waende wapi? Kwa nini wasiishi pamoja kama zamani? Huyu nae badala ya kuongelea Amani anaongeza chuki.
Flag yao inaeza kilakitu kama unajielewa jijazie ni ma Luminati 💯 NAKAMA AWATAKI WAJIOGEZE
@suleimanhosea4618
10 ай бұрын
WAYAHUDI SIYO WAISRAELI NAMAANISHA fuatilia,Huu ni mchanganyo tu wa maneno,Waisrael ni wale tu wanaomwelewa Mungu na kumpenda Muumba wao na sheria zake ambao wengine ni waarabu,wazungu na makabila mbalimbali na hao wanaoua watu huko Gaza ni Wayahudi ambao hawamtaki yesu tangu mwanzo na ndio walimuua Yesu hao ni maadui na ukristo,historia inaonesha kuwa waliangamizwa na warumi na walibakia wachache sana na akaja Adolf Hitler yeye ni mkatoliki akaona awafute wayahudi kwenye uso wa dunia ndipo akatokea Mwingereza na Marekani ili kuwasaidia na dhahama ya Hitler hapo umoja wa mataifa uliundwa haraka haraka na mengi yakafanyika Wayahudi wakarudishwa kwenye ardhi yao ya asili pale ambapo kuna makaburi ya wahenga wao na misingi ya hekalu na masinagogi mlima wa golgotha na kaburi wazi la Yesu Kristo Masihi wa Waisraeli ambao kwa ulimwengu wa leo wanaitwa WASABATO watu wapole wanaozitetea amri za Mungu,wakitetea afya za watu wote na kuongoa Roho na hao hawapiganii mpaka wa ardhi kwa sababu wanaishi popote katika hali zote na wala hawapigani na mtu wao hupigana na shetani ambae amewagawa watu.YESU ALISEMA,VITA VYENU SI VYA DAMU NA NYAMA BALI VYA ROHO MTAKATIFU.Hao wanaoua watu wamewekwa na kurutubishwa na Wamerekani ili kupambana na uislamu maana ardhi hiyo inagombaniwa na Waislam ni takatifu kwao na wayahudi,Sasa nia kubwa ya wazungu ni kuua ukristo ushahidi upo nao ni ushoga unaoingizwa kwa nguvu makanisani,madhehebu ni mengi na mafundisho ni mengi tofauti tofauti,wanaabudu masanamu,wanakunywa pombe makanisani nk nk. Hao unaosema ni waisrael siyo hao ni kundi tu la mpinga Kristo ili kuua uislam ambao unapingana na mambo yao wanayopenda wamarekani na waingereza ,wanataka kuua Uislam kama walivyouua ukristo kwa takribani asilimia 99,huo ni mpango mkubwa wa shetani wa kuangamiza dunia ili wanadamu wote wamfuate yeye.Asante.
@KaluNyale
25 күн бұрын
Nitumie kwe. WhatsApp
@alikarisa
10 ай бұрын
Mtupe link ya what's app jamanii
@optatusduqangw1071
11 ай бұрын
Wana sns sasa kama hii part 2 ni kuwa makini maana kama kuwa waongo kuwa makini bundala
@ramsonmugisha961
9 ай бұрын
Video hatuoni mkuu
@yusuphrashidi-dr1kb
11 ай бұрын
Mwamba nakuelewa from 🇬🇧 Mwamba unatumia nguvu nyingi hawa wabongo wengi shule hakuna na hawajasafiri ndomana hawaelewi labda ukanda wa pwani ndy watakuelewa coz dunia nzm wako kusafiri University
@DaudiHamisi-un2uu
11 ай бұрын
Pole Dj Sima kuna watu humu umewavuruga akili zao
@suleimanhosea4618
10 ай бұрын
WAYAHUDI SIYO WAISRAELI NAMAANISHA fuatilia,Huu ni mchanganyo tu wa maneno,Waisrael ni wale tu wanaomwelewa Mungu na kumpenda Muumba wao na sheria zake ambao wengine ni waarabu,wazungu na makabila mbalimbali na hao wanaoua watu huko Gaza ni Wayahudi ambao hawamtaki yesu tangu mwanzo na ndio walimuua Yesu hao ni maadui na ukristo,historia inaonesha kuwa waliangamizwa na warumi na walibakia wachache sana na akaja Adolf Hitler yeye ni mkatoliki akaona awafute wayahudi kwenye uso wa dunia ndipo akatokea Mwingereza na Marekani ili kuwasaidia na dhahama ya Hitler hapo umoja wa mataifa uliundwa haraka haraka na mengi yakafanyika Wayahudi wakarudishwa kwenye ardhi yao ya asili pale ambapo kuna makaburi ya wahenga wao na misingi ya hekalu na masinagogi mlima wa golgotha na kaburi wazi la Yesu Kristo Masihi wa Waisraeli ambao kwa ulimwengu wa leo wanaitwa WASABATO watu wapole wanaozitetea amri za Mungu,wakitetea afya za watu wote na kuongoa Roho na hao hawapiganii mpaka wa ardhi kwa sababu wanaishi popote katika hali zote na wala hawapigani na mtu wao hupigana na shetani ambae amewagawa watu.YESU ALISEMA,VITA VYENU SI VYA DAMU NA NYAMA BALI VYA ROHO MTAKATIFU.Hao wanaoua watu wamewekwa na kurutubishwa na Wamerekani ili kupambana na uislamu maana ardhi hiyo inagombaniwa na Waislam ni takatifu kwao na wayahudi,Sasa nia kubwa ya wazungu ni kuua ukristo ushahidi upo nao ni ushoga unaoingizwa kwa nguvu makanisani,madhehebu ni mengi na mafundisho ni mengi tofauti tofauti,wanaabudu masanamu,wanakunywa pombe makanisani nk nk. Hao unaosema ni waisrael siyo hao ni kundi tu la mpinga Kristo ili kuua uislam ambao unapingana na mambo yao wanayopenda wamarekani na waingereza ,wanataka kuua Uislam kama walivyouua ukristo kwa takribani asilimia 99,huo ni mpango mkubwa wa shetani wa kuangamiza dunia ili wanadamu wote wamfuate yeye.Asante.
@midundotechtz6843
11 ай бұрын
DJ SMA link ya video yenye ushahd ipo wapi
@salimmalaka256
11 ай бұрын
DJ SMA WENGINE HATA HAWAJUWI NINI MAANA YA( AI ) NI NINI HAWAJUWI KUWA KUNA HABARI FEKI ZA KUTENGENEZA.
@allahisone6386
11 ай бұрын
🙌🌹🙌
@josephstuart5388
11 ай бұрын
Dj sma picha hazionekani mkuu
@djsma255
11 ай бұрын
kzitem.info/news/bejne/rYSgmoqboqybhKQ
@user-nj1vo5tp6r
10 ай бұрын
Acheni ujinga hawa mayahudi sio wakristo musimchukie DJ bure yeye unangea ukweli
@suleimanhosea4618
10 ай бұрын
WAYAHUDI SIYO WAISRAELI NAMAANISHA fuatilia,Huu ni mchanganyo tu wa maneno,Waisrael ni wale tu wanaomwelewa Mungu na kumpenda Muumba wao na sheria zake ambao wengine ni waarabu,wazungu na makabila mbalimbali na hao wanaoua watu huko Gaza ni Wayahudi ambao hawamtaki yesu tangu mwanzo na ndio walimuua Yesu hao ni maadui na ukristo,historia inaonesha kuwa waliangamizwa na warumi na walibakia wachache sana na akaja Adolf Hitler yeye ni mkatoliki akaona awafute wayahudi kwenye uso wa dunia ndipo akatokea Mwingereza na Marekani ili kuwasaidia na dhahama ya Hitler hapo umoja wa mataifa uliundwa haraka haraka na mengi yakafanyika Wayahudi wakarudishwa kwenye ardhi yao ya asili pale ambapo kuna makaburi ya wahenga wao na misingi ya hekalu na masinagogi mlima wa golgotha na kaburi wazi la Yesu Kristo Masihi wa Waisraeli ambao kwa ulimwengu wa leo wanaitwa WASABATO watu wapole wanaozitetea amri za Mungu,wakitetea afya za watu wote na kuongoa Roho na hao hawapiganii mpaka wa ardhi kwa sababu wanaishi popote katika hali zote na wala hawapigani na mtu wao hupigana na shetani ambae amewagawa watu.YESU ALISEMA,VITA VYENU SI VYA DAMU NA NYAMA BALI VYA ROHO MTAKATIFU.Hao wanaoua watu wamewekwa na kurutubishwa na Wamerekani ili kupambana na uislamu maana ardhi hiyo inagombaniwa na Waislam ni takatifu kwao na wayahudi,Sasa nia kubwa ya wazungu ni kuua ukristo ushahidi upo nao ni ushoga unaoingizwa kwa nguvu makanisani,madhehebu ni mengi na mafundisho ni mengi tofauti tofauti,wanaabudu masanamu,wanakunywa pombe makanisani nk nk. Hao unaosema ni waisrael siyo hao ni kundi tu la mpinga Kristo ili kuua uislam ambao unapingana na mambo yao wanayopenda wamarekani na waingereza ,wanataka kuua Uislam kama walivyouua ukristo kwa takribani asilimia 99,huo ni mpango mkubwa wa shetani wa kuangamiza dunia ili wanadamu wote wamfuate yeye.Asante.
@francisshimbala1629
11 ай бұрын
Mbona sauti tuu, hakuna kinachoonekana DJ?
@anaabsaid3544
11 ай бұрын
Kwa watanzania kuelewa it will take time
@ramadhaniiddbandola1710
11 ай бұрын
Wa tz ni mbumbumbu me niliyajua haya kabla ata DJ sma
@RahmaFaraji-e2k
11 ай бұрын
Wengi ni vichwa maji aisee
@ramadhaniiddbandola1710
11 ай бұрын
@@RahmaFaraji-e2k DJ sma kaniongezea madini mengi
@allahisone6386
11 ай бұрын
😂Proud to be Tanzanian-Mbumbuuumbu😂
@allahisone6386
11 ай бұрын
😂HAYA 🙌😋🙌😂
@animalchannel296
11 ай бұрын
wanaukupinga DJ SMAA watoe zao tuwaskilize
@awazimalilo3869
11 ай бұрын
Picha zako unayosema,atuitazame
@fredrickkagwa8853
11 ай бұрын
Lakini pia katika Biblia kitabu cha Yoshua 24:3 inasema Nae Mungu alimtwaa Ibrahim kutoka n'gambo ya mto ( Mesopotamia) au Iraq ya leo akamwongoza akae Kanaani(Parastina) na aongeze uzao wake kupitia mtoto wake Isack , Yakobo na wakazaliwa watoto 12 wenye kuwakilisha makabila 12 ya Wa Israel. Na Mungu aliwafukuza makusudi waparastina ili nchi hiyo apewe Ibrahim na uzao wake kupitia Isack
@suleimanhosea4618
10 ай бұрын
WAYAHUDI SIYO WAISRAELI NAMAANISHA fuatilia,Huu ni mchanganyo tu wa maneno,Waisrael ni wale tu wanaomwelewa Mungu na kumpenda Muumba wao na sheria zake ambao wengine ni waarabu,wazungu na makabila mbalimbali na hao wanaoua watu huko Gaza ni Wayahudi ambao hawamtaki yesu tangu mwanzo na ndio walimuua Yesu hao ni maadui na ukristo,historia inaonesha kuwa waliangamizwa na warumi na walibakia wachache sana na akaja Adolf Hitler yeye ni mkatoliki akaona awafute wayahudi kwenye uso wa dunia ndipo akatokea Mwingereza na Marekani ili kuwasaidia na dhahama ya Hitler hapo umoja wa mataifa uliundwa haraka haraka na mengi yakafanyika Wayahudi wakarudishwa kwenye ardhi yao ya asili pale ambapo kuna makaburi ya wahenga wao na misingi ya hekalu na masinagogi mlima wa golgotha na kaburi wazi la Yesu Kristo Masihi wa Waisraeli ambao kwa ulimwengu wa leo wanaitwa WASABATO watu wapole wanaozitetea amri za Mungu,wakitetea afya za watu wote na kuongoa Roho na hao hawapiganii mpaka wa ardhi kwa sababu wanaishi popote katika hali zote na wala hawapigani na mtu wao hupigana na shetani ambae amewagawa watu.YESU ALISEMA,VITA VYENU SI VYA DAMU NA NYAMA BALI VYA ROHO MTAKATIFU.Hao wanaoua watu wamewekwa na kurutubishwa na Wamerekani ili kupambana na uislamu maana ardhi hiyo inagombaniwa na Waislam ni takatifu kwao na wayahudi,Sasa nia kubwa ya wazungu ni kuua ukristo ushahidi upo nao ni ushoga unaoingizwa kwa nguvu makanisani,madhehebu ni mengi na mafundisho ni mengi tofauti tofauti,wanaabudu masanamu,wanakunywa pombe makanisani nk nk. Hao unaosema ni waisrael siyo hao ni kundi tu la mpinga Kristo ili kuua uislam ambao unapingana na mambo yao wanayopenda wamarekani na waingereza ,wanataka kuua Uislam kama walivyouua ukristo kwa takribani asilimia 99,huo ni mpango mkubwa wa shetani wa kuangamiza dunia ili wanadamu wote wamfuate yeye.Asante.
Пікірлер: 415