Huyu mzee ni mzalendo,ingekuwa watoto wa sasa wangeingia kolabo,asante sana nimependa uzalendo wako hii ndio inatakiwa.
@gastonmodestkaziri2566
10 күн бұрын
Wonderful Commandant Abdallah Mssika, you really did a very excellent job for the country! And this tells why Tanzania will remain a highly respected country in the intelligence arena! God bless you Commandant Mssika, and God bless the Tanzania security agents!
@didimeandrewngowi
6 ай бұрын
Namkumbuka sana kamanda msika, aliwahi kuwa hapa moshi akiwa Inpector wa polisi, nakumbuka alikuwa mwendesha mashtaka katika mahakama hapa moshi alikuwa tinashari aliyekuwa anajipenda na smart,nashukuru sana mpaka sasa yuko vizuri.Hongera sana afande mstaafu, uko vizuri😂😅🎉Didime Andrew Ngowi, Moshi Tanzania.
@USACAUDIOVISUALMATERIALS
5 ай бұрын
Mzee Msika ulinitendea haki nilipotupwa lumande pale Central, nikiwa Chuo Kikuu DSM. Nakukumbuka sana sana Mzee. Mungu akubariki sana.
@mc-omoro2366
5 ай бұрын
Namkumbuka Kamanda Msika alipokuwa mkuu wa kituo cha polisi Osterbay alikuwa mtu wa msaada sana asiyependa watu kuwekwa kituoni bila sababu ya msingi. Mweledi na mtu wa kuielewa kazi yake. Mungu ampe umri zaidi.
@user-py4kv5gk5y
5 ай бұрын
Huu ndo uzalendo wa nchi👏👏👏
@emmanuelmambarera141
Ай бұрын
Hongera zako kamanda Msika
@mohammedsaqry3036
4 ай бұрын
Abdallah Msika Allah akuhifadhi sikujuwa kama upo Dar es Salaam Insha Allah nitakutafuta
@mssikaadam6909
4 ай бұрын
Amiin
@kibundapesamadimba6352
3 ай бұрын
Well trained Police Officer with ethics and integrity, respect hero!!!!!!
@kibundapesamadimba6352
3 ай бұрын
Safi Sana wazalendo ndio hawa,sasa sio hawa wanajitapa majukwaaani.
@ghatichomete74
4 ай бұрын
Mungu akulinde mzee
@suzanambatta1126
4 ай бұрын
Kwa kweli nimejifunza kitu👏
@viatorymkama8925
26 күн бұрын
Kwa operation yenye mafanikio nakufananisha na Rafi Eitan aliyeongoza mossad katika operation ya kumkamata Ricardo Clement. Hongera sana kwa utumishi uliotukuka.
@Mapenzi2635
17 күн бұрын
Asante mtangazaji kutuelimisha. Tumshukuru Mungu kwa Uzalendo wa Nyerere, ndiyo ulitupatia viongozi mahiri kama Msika.
@Marjeby
Ай бұрын
Kamanda Msika mtu mwema sana kuwahi kutokea kati jeshi la polisi bila shaka now anaishi kwa furaha sana
@soplisjoachim5884
5 ай бұрын
Huyo jamaa is a real champion
@justinmichael768
4 ай бұрын
Kwanza pongezi nyingi kwa huyu Mzalendo. Jeshi la police linapaswa kujifunza mengi kupitia kwa huyu bwana
@Kidotii
5 ай бұрын
Miaka 74 anonekana .muhandsome bado mwili mzur sana. Hongera pia kamanda Msika! Kwa kazi nzur
@akonaayako7185
4 ай бұрын
Huyu ni Mwongo. Thomas Zangira alipigwa risasi.
@Kidotii
4 ай бұрын
Eti enheee ahajahahha
@user-km1do5lq7c
Ай бұрын
Mwaka 74 anaka awa 45
@Kabeya410
28 күн бұрын
@@akonaayako7185wee mtoto wa juzi hujui kitu aliepigwa risasi ni jeneral kombe mkuu wa usalama wa taifa siyo zangira, na mwingine ni yule komando alierukia gari la bia aluoiwatoroka mapolisi na usalama wa taifa pale kinondoni nimemsahau jina na hii ilikua kesi ya kumoindua nyerere kesi ya zanngira ilikua nyingine
@halemmmbarak16
5 ай бұрын
Very intelligent officer.
@yusufmohamed8874
9 ай бұрын
Huyu jamaa ni mtu muhimu sana ktk hili taifa
@mwasakafyukasamson
22 күн бұрын
ISHI sana kamanda Mssika, tunajivuniakazi zako
@soplisjoachim5884
5 ай бұрын
Kwa kipindi kile technology ilikuwa ndogo lakini mwamba uliweza kufanya upelelezi....... Ulijitahidi sana
@kazikazini1042
Жыл бұрын
Mzee yuko vizuri. Jargon zinamtoka pasi na shaka.
@michaelmatonange630
3 ай бұрын
Nimefurahi sana kusikia story hii
@abubakarimburu9096
5 ай бұрын
Kila aliyewahi kufanyanaye KaziI hawezi kumsahau msika
@hajjsuleiman3317
6 ай бұрын
Namkumbuka kamanda msika alikuwa kamanda anayefanya kazi yake vizuri saana na kwa uhakika kabisa na uweledi wa hali ya juu
@robisonikadogo7371
26 күн бұрын
Namjuwa vizuri uyo msika akiwa Kagera na shinyanga ,nimtata kweri kweri
@devothasimbi6495
19 күн бұрын
Utata wake unatokana na misimamao Yake kiutendani au ulitaka afuate unachokitaka wewe kifanyike? 😂
@husseinibnuhassan1272
5 ай бұрын
Kasaidia wengi sana pale shinyanga
@user-jj7mw7fi4q
5 ай бұрын
Hili tukio nalikumbuka la helicopter kuanguka lilitokea tukiwa darasan tulisikia kishindo tulikimbilia kwenda kuangalia uwanja wa polis 1996 nikiwa darasa la sita.
@user-md3fh4kg1b
19 күн бұрын
Msalimiie sana mama Tunu tuliikuwa NH za Arusha roads Moshi 1990.unanipa lift kwenye gari lako mpaka Mwenge s/msingi nikiwa mwl pale.Mungu azidi kukubariki.
@salumhassanallymkurdistan7006
5 ай бұрын
CHEZEA NCHI ZOTE DUNIANI LAKINI USIICHEZEE TANZANIA KATIKA ULINZI NA USALAMA.
@israelmkaka2807
5 ай бұрын
Enzi zile....Sikuhizi Siri za Nchi zinavuja hovyo,,Wanaoajiriwa hawana nadhani Vigezo ni Undugu
@barnabasmwingira7063
24 күн бұрын
You are the best one of the best 🫡
@johndominic7754
4 ай бұрын
Hongera sana abdala sasa ndio wajue CCM ni baba wa waafrika wanasiasa msichezee ccm imetoka mbali
@selemanshineni7809
Жыл бұрын
Salute Kamanda
@user-qt1bi3rr5h
4 ай бұрын
KAMANDA UMETISHA SANA HONGERA SANA
@aziza9093
5 ай бұрын
Mashaallah
@cbegram6161
5 ай бұрын
Sasa bongo movie Mbona movie Ndiyo hizi au waandika story ndiyo wanazingua? Maana watu wanaponda sana😂😂 ushauri wa bure
@imamuhamisi4421
5 ай бұрын
Bonge la story sema nd ivo apo kunaitaj investment bongo movie wanatak movie zisizo zid milion 2 budget
@justinmichael768
4 ай бұрын
Hawana akili hizo boss
@hassannzota7442
29 күн бұрын
Liuuuu@@justinmichael768
@mtzhalisi2232
25 күн бұрын
Umenena point sana
@AntidiusFelix11
23 күн бұрын
Shida ni budget na ubunifu.
@jamestaifa3461
5 ай бұрын
Hii ndo maana ya utumishi uliotukuka
@georgelugwisha8798
Ай бұрын
Angetunga kitabu ingekuwa poa sana
@user-vp8vc3ko7d
29 күн бұрын
Anaongea pole pole sana atia uvuvi
@devothasimbi6495
19 күн бұрын
Pole
@mtzhalisi2232
25 күн бұрын
Juma thomas zangira yuko wapi kwa sasa? Je bado yuko jela? Au alifariki?
@suratibrahim6417
5 ай бұрын
❤❤❤🤝🤝🤝madini kabisa.
@mwabuselectors
26 күн бұрын
Aisee hizi hazina za story zinahitajika sana kwa taifa,
@simbilomwakipamba6970
27 күн бұрын
MALANGALI💥
@shedyjr3227
4 ай бұрын
Hyo nyimbo kwa background inaitwajwe!?
@salumjabir813
5 ай бұрын
😂😂😂😂...intelligence ya tanzania imekuwa sana..😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@mariakibwana3700
25 күн бұрын
Tunaomba Diet yako mzee,mana bado uko fit.Mimi nina 50yrs tu,lkn niko hoi.
@EmmmaTembo
9 ай бұрын
01:30 nimecheka huyu baba mtu mzuri
@hon.fahadijumalikwena1012
Жыл бұрын
Kama movie vile
@SHEIKHMWAIPOPOTV
7 ай бұрын
Kamanda msika nakupata sana kama wangu nilikuwa na wewe mwanza ongela sana
@kinanaomar
27 күн бұрын
Samahani wakati huo kikwete hakuwa raisi bali mkapa ndiye aliye kuwa raisi
@AbdalahDudu
26 күн бұрын
Nakumbuka sana tukio ili la ajali ya ndege nachingwea
@josephlorri431
5 ай бұрын
Hapo 19:00 usimwamini mtu aliyemsaliti rafiki yake
@simonnyangusi9973
4 ай бұрын
Mzee yuko fit,kweli kustaafu sio mwisho wa maisha.Tutafutie na kamanda mstaafu zpaul chagonja
Hongera saaana mkuu kamanda Abdallah ulikuwa jasiri mno na wewe ni mtu muungwana saana
@victoriamazula5592
5 ай бұрын
Nilimfahamu Zangira. Alikuwa karibu sana na Ikulu. Kwa kweli alikuwa ni mtu muongo sanaaa
@ericktesha7046
5 ай бұрын
Embu tupee Kidogo tips,Alidanganya jambo gani?
@suratibrahim6417
5 ай бұрын
😅😅😅😂😂😂
@michaelmulokozi1512
Ай бұрын
Zangira alikua na Kamba nyingi Sana sitamsahau uyu jamaaa 😅
@mataypanga5262
24 күн бұрын
😂
@user-db6gr1gn2d
5 ай бұрын
Andika Kitabu
@user-xf6pg4vf2t
4 ай бұрын
Je mna undugu na Abdalah Waziri Msika au ndio we mwenyewe , mwaka 1973 alikuwa CCP Moshi akiwa na lank ya Cpl
@user-ct4vj9gg6w
4 ай бұрын
Ndio yy
@ahmedameir3302
9 күн бұрын
Tanzania ina watu
@user-rs3zg1wj6q
4 ай бұрын
Kama kamanda ulifikia rank gani ktk karate??
@jacksonsilaa415
5 ай бұрын
Jet Ranger mliiacha Nachingwea Bwana
@abbiecox1
5 ай бұрын
muhim mngetuambia yu wapi Thomas Zangila je kama alifungwa gereza gani na yuko wapi sasa! kama alikufa ni mwaka gani na alifia gereza gani na lini!
@publicrelations4600
15 күн бұрын
Hayo mambo kiusalama huwezi kusimuliwa
@masalakulwa7601
5 ай бұрын
Mzee Abdalah namtafuta mwanao mmoja alisema wwe babake mdogo kama sikosei...anaitwa Mohamed Msika...aliend south Africa...mwenye taarifa zske pls..nilikutana naye Mbeya miaka ya 2000's
@princematumbo
5 ай бұрын
Mohammed msika ni mwanae haswa,Sio babake mdogo,na hayupo Africa kusini.
Çha kujiuliza sasa hivi je bado yupo ndani au kashatoka maàna mmmh
@mssikan9223
4 ай бұрын
Hayupo tena
@mwabuselectors
26 күн бұрын
Lazima anakua anatumika
@meckcassius3983
5 ай бұрын
Iringa boy
@mussakingazi8875
5 ай бұрын
Alitapeliwa na deo mgasa kwamba angempa ua igp,
@vayeen
5 ай бұрын
Huyu mwandishi anatakiwa kuwa controlled
@akonaayako7185
4 ай бұрын
Tukio la Thomas Zangira ilikuwa wakati wa Utawala wa Nyerere. Nashangaa huyu Msika abazungumza kwamba Bosi wake alikuwa Adadi Rajabu na Tibaigana. Hawa ni watu wa juzi. Zangira alipigwa risasi wakati wa jaribio la kupindua serikali mwaka 1982. Mhusika Mkuu alikuwa Mabere Marando
@akonaayako7185
4 ай бұрын
Huyuni Mwongo
@victortemba
4 ай бұрын
Nilivyomuelewa mimi Adadi Rajabu na Tibaigana walienda kupekua nyumbani kwa Zangira hivyo walikua askari wa chini kivyeo,kama huyu alikua Sajenti.Walikua vijana wadogo wa jeshi la polisi wapelelezi.
@halfanitambu525
4 ай бұрын
Msikilize vzr utamuelewa
@jee9473
4 ай бұрын
@akonaayako7185 Jaribio la mapinduzi la mwaka 1982, halikumuhusisha Thomas Zangira. Hivyo basi, hakuuliwa katika sakata hilo la 1982. 1982 iliwahusisha kina Pius Lugangira, Hatibu Gandhi (McGhee), na wengine 17.
@Chemba67
5 ай бұрын
Hiki ndio kizazi cha mwisho cha jeshi la polisi kilichojenga heshima ya taasisi ya usalama na jeshi kwa ujumla.Baada ya kizazi hiki kilichofuata kilikua ni fungu la kukosa........mpaka sasa hivi.
@devothasimbi6495
19 күн бұрын
Nimecheka kwa ujumbe wako
@thelistener8357
3 ай бұрын
Jeshi la polisi ?? Polisi ni polisi jeshi ni jeshi mbona mna-confuse watu
@allymoshi2053
24 күн бұрын
Hakuna kuconfuse labda kama unachanganya majeshi yako mbalimbali watu wengi wamekalili tu jeshi la wananchi lakini ni zaidi mfano= kuna jeshi la polisi,jeshi la magereza, jeshi la zimamoto na uokoaji
@edwingideon3606
4 ай бұрын
Mbona shati imeloa na jasho, alikuwa anatembea kuja kwenye kipindi?
@mssikan9223
4 ай бұрын
Hilo ni shati la light blur, na hapo ni nyumbani kwake, sebleni kwake na ni full AC... kwahiyo ni aina ya shati na sio jasho 😊
@jotafungo4622
10 ай бұрын
Usaliti haujaanza leo
@akonaayako7185
4 ай бұрын
Mbona inafahamika Zangira alifariki kwa kupigwa Risasi?
@jee9473
4 ай бұрын
Utakuwa umechanganya na taarifa ya mtu mwingine.
@theteacherchance6750
Жыл бұрын
Day, miaka hiyo kumpeleleza/kumfatilia mtu hulali, hunywi, huendi, hurudi. Eeh bwana wee, si Mark Zuckerberg kaja na Facebook, iPhone na Samsung wakaja na spy cam 📷. Upo kitandani mwako na jamaa wanajua maua ya shuka na rangi ya chumba. NSA, FBI, CIA, GCHQ, MI5, MI6 ... shikamooni. Edward Snowden shikamoo.
@SALEHSALEH-lk5jr
24 күн бұрын
Umewasahau MOSSAD
@cbegram6161
5 ай бұрын
Sasa hapo inabidi na Zangira mwenyewe ahojiwe
@ramsojimmykelly3379
5 ай бұрын
ahojiwe akiwa jela au
@israelmkaka2807
5 ай бұрын
Tena atafutwe, aelezee..Wenzetu kule Nchi zilizoendelea, Siri za namna hiyo baada ya miaka kadhaa, inakuwa sio siri
@cbegram6161
5 ай бұрын
@@ramsojimmykelly3379 waandishi wanajua namna ya kufanya na sharia zinasemaje
@rashidimasoud558
17 сағат бұрын
Zangira alishafariki Dunia
@Kabeya410
28 күн бұрын
Asante ila kuna story iliendelea kuhusu hukumu ya Zangira kuna sehemu tuliambiwa alihukumiwa miaka 23 akakata rufaa kapunguziwa mpaka miaka 12 nadhani atakua kisha toka, la pili huyu mtu yupo vizuri kiuongozi alifaa kuwa IGP maana mwanafunzi siro kaja kuwa IGP 😅hongera kwa uvumilivu kamanda Msika
@florencejohn6427
5 ай бұрын
Mzee anaonekana ni msafi na yuko well coordinated kwenye mavazi. White shirt, blue suit, soksi, and watch. Black kofia and shoe. Kwenye lugha ya kiswahili and kiingereza na lafudhi zake nzuri. Huwezi kujua ni mzaliwa wa wapi. Anajua kujenga hoja pia. Afya yake kwa nje inaonekana nzuri. Anaonekana ni kijana kuliko mtangazaji. Ambako mtangazaji bila shaka ni mdogo sana kiumri
@kilamegroup2968
5 ай бұрын
Ana miaka 74
@aliferuzi1537
5 ай бұрын
ITUMIKE MARA NYENGINE HELIKOPTER IKIENDA KUTUA UWANJA WA VUMBI WAMWAGE MAJI YA KUTOSHA UWANJA ULOWE NA KUZIPA TABAKA LA VUMBI. HONGERA KAMANDA, KWA UWELEDI
Пікірлер: 121