Pamoja na kumpongeza Mhe. Rais na Jeshi la polisi. Baadhi ya mabinti wa vyuo vikuu wana tabia ngumu ngumu sana. Wanapenda wanaume wenye pesa bila kujali ni baba zao.
@angelistertarimo8215
7 күн бұрын
Hakika
@ziadasalimu1730
7 күн бұрын
Haswa Sasa kumbe huyu Binti alikuwa ni mtu wake Sasa amembaka vipi jamani huyu si Malaya tayari jamani , na yeye mwenyewe amesibitisha kuwa alikuwa mwanaume wake
@muhsiniissa8151
7 күн бұрын
Uyu katumwa amchafue jamaa,,kwanini aingie nae kwenye mahusiano ilihali anajijua yeye Ni mwanafunzi?,uyu mwanafunzi Chenga 2
@ashangohi450
6 күн бұрын
Tatizo wanaacha kilicho wapeleka wanafata tamaaa.hv angepewa ma v8 kabla ya hiyo kitu angeongea
@FatimaAli-of4gh
6 күн бұрын
Tatizo munatamaa ya pesa wewe ni mwanafunzi ilikuwaje ukawacha masomo ukafata dudu la yuyu la mtu mzima wa kumwita baba sasa hivi unamchafua na alikuwa mpenzi wako wacheni tamaa
@InjiliyaUfalmetv
7 күн бұрын
Tubuni kwa Maana ufalme wa Mungu umekaribia ,YESU Anarudi
@francejuya1248
6 күн бұрын
Yesu hajawahi kuwepo, amka mtu mweusi
@viwawakkuu_dodoma
6 күн бұрын
Unajielewa kweli wewe@@francejuya1248
@yassinhamza1969
6 күн бұрын
Wayahud huko ndio usiseme mashoga kibao angekuwa karud
@Mina.15
5 күн бұрын
Yesu akirudi niete jimbwa koko 😂😂😂
@theodorythobius3965
5 күн бұрын
Ameen❤❤
@muhsiniissa8151
7 күн бұрын
Hana cha maana anachokieleza ni upuuz mtupu2,njaa mbaya sana,kumbe mtu alikua mtu wako na unasema alikua na tabia iyo kwanini usingemkataa moja kwa moja,,unaenda kupokea apology kwani mmeo huyo??,mjinga sana.acheni umalaya kaeni darasani msome
@isakaonehealthdigitallabor8630
6 күн бұрын
Huyu demu malaya mbaya zaidi alivyo mjinga baada ya kufilwa kwa maelezo yake alitoka rock city eneo alipokua amepaki Gali jamaa na kumfila Kisha kwenda nyumbani nyezi hostels kwake suala la kwenda police alienda kesho yake baada ya mama yake kumshauli aende police so nijinsi Gani ukiweka doti unaona kabisa demu alinogewa kifilo kwanini asingeenda Rock City Bank hapo mbele kuna askali muda ota wange mkamata jamaa hapo hapo usiku huo huo but isitoshe baada ya yote jamaa alituma watu 3 wakamuita hotel akaenda tena s msenge huyu demu alafu vingereza feki vingi mjinga mkubwa huyu mapumbu ya shangazi yake.....na akome kumuomba Rais wetu akusaidie muache Rais wetu atutaftie maendeo watakatifu wewe kaendelee kuuza mkundu mbwa huyu....eti nilipewa barua nikaikopi na kuweka Dole gumba PUMBAVU ZAKE
@MariamLigoha
4 күн бұрын
Upo wapi Kwani, kunywa soda kabisa nakuja kulipa, mitoto ya siku hizi hovyo sana
@rogerabdallah439
4 күн бұрын
Jinsi ninavyonikera kama ningekuwa jilani ningedili nae
@tunsumegideonmwamboneke9639
3 күн бұрын
@@rogerabdallah439 mnamtetea nawanda mnamjua ? Uliza graduates wa sua 2010.
@ericfelician7996
2 күн бұрын
Hahaha matoto mapuuzi haya ,acha lifirwee
@ommarallyhamad7435
8 күн бұрын
KESI IPELEKWE MAHKAMANI UKWELI UJULIKANE HAKI IPATIKANE
@verdianabanabi2205
8 күн бұрын
Sahihi kabisa
@user-du6bd3no2b
6 күн бұрын
Very right
@goodluckjohnuiso-gt1fg
8 күн бұрын
Hivi kwanini IGP hajawapandisha cheo hao polisi wa Mwanza kwa kufanya kazi ya kizalendo?
@briankatani6770
7 күн бұрын
Wakuu. Wa mikoaaaaa Hahahaaa.washitakiwe na yule aliyemsaidia
@user-yd1pc8uy8x
6 күн бұрын
Habar imetengenezwa
@johnsonsabanya5860
6 күн бұрын
Hakika
@wazirisaid8326
5 күн бұрын
Walichokifanya Ni majukumu yao na police wote wanatakiwa kuwa hivyo.
@wazirisaid8326
5 күн бұрын
Ulipo amua kuwa na uhusiano na mume wa mtu ulikua na Nia gani? Unajiaibisha Bora ungetulia Sasa kila mtu anajua kua ushapitiwa huko!!
@nurumvungi2210
6 күн бұрын
Kazinzi haka😂😂 Mwaka wa kwanza chuo,kana miaka 21 kameshaanza kuchukua waume za watu...tumuiteje kama sio mzinzi...acha ball itembee.
@EdinaLaulent
5 күн бұрын
Kapumbavu Malaya mkubwa wewe unamharibia mwenzio maisha kumanina ingekuwa Mimi wewe Malaya wewe
@jackiefredrick586
8 күн бұрын
Kufanyiwa kwa mara ya kwanza kwenye gari sio kweli. Ulishindwa kumng'ata na kumparua. Yaan utoe tako kabisa bila mapambano. Mi angeniua kabla ya kunila tako. Tena kwenye gari. Mdogo wangu kuwa mkweli acha kutuzungusha.
@barakaalecnathaniel3716
8 күн бұрын
Kazoefu haka
@paschalmartin9598
6 күн бұрын
Hivi vitoto jamani mtu ana miaka 21 anakuwa na uhusiano na mtu sawa na baba yake
@FatimaAli-of4gh
6 күн бұрын
Alimpa sasa hilo dudu la yuyu lilichana nguo itakuwa alivaa chupi na nguo zake nyingine labda aliwekea dawa ya usingizi kwenye drink ndio akatiwa
@williammbwambo79
6 күн бұрын
Amepangwa
@isakhamisi8923
6 күн бұрын
Haya ndiyo yanayoendelea kwa watoto wetu wanapokuwa vyuoni .@@williammbwambo79
@MercySalmon
5 күн бұрын
Binti wa hovyo umeperekwa kusoma ww unafanya yoko
@HappyAgilityPuppy-lg8wg
8 күн бұрын
kwa sisi' tulio soma quba tushaelewa hyo 😂 huyu dada kwakifupi RC alikuwa mtu wake sawa na hako kamchezo huwa nikao au au hyo dada alisha zowea Kuliwa nyuma asa wamepishana tu mambo Frani au Kafikwa bei na mahasimu wa RC so kaamua kumgeuka mwenzie, nahili gemu linawadau we wengi wanajua hata akipmwa atakutwa hana malinda so it's true. but kes hii wakikabiziwa polisi makini watabaini kitu
@issaidrisamusa5962
8 күн бұрын
Iwe alifanya kwa hiari , au kwa lazima , ila kwa vile amesharipoti hiyo ni kesi kama kesi nyingine
@George-jz3jg
8 күн бұрын
Upo sahihi
@George-jz3jg
8 күн бұрын
Namchukia huyu binti kwasababu ameshindwa kumsitiri mama yake ameamua kumudhalilusha na mama yake kifupi amekosa busara kwasababu hayo mazingira yeye ndo aliyaanzisha
@user13375
8 күн бұрын
@@George-jz3jg kamalaya kubuu
@WaziriAbdallah-vr4xg
7 күн бұрын
Hicho kitoto huu ndo mchezo wake ila ukikaangaria ni.kama.hakapo.sawa inabidi atafutwe mtu wa kumuweka sawa pili tamaa hivi vibinti vya 2000
@peterlyimo6696
8 күн бұрын
Unaingiaje mahusiano na mume wa mtu tena mwanafunzi wa mwaka wa kwanza?
Mbaya ni mwanamume kwa ninu asitulie na mkewe mpaka anarubuhi mtoto wa chuo si angeenda kwa magumegume
@ivanamkapa2369
8 күн бұрын
Binti karubuniwa mubaya ni mkuu wa mkoa wa simuyu mtu mzima anarubuni mtoto wa chuo amfire wewe kama mzazi utamlaumu mwanao au hilo lifilaji
@user-ii6gs2jg4g
8 күн бұрын
Huyu nae anatakiwa akamatwe na mke wa mkuu wa mkoa kwa kuzini na mume wake. Shenziiiii
@ayoubmtumishi50
6 күн бұрын
Amelazimishwa huyu
@livingstonekabantega
6 күн бұрын
@@ayoubmtumishi50kivipi kwani alifatwa chuoni kufanyiwa hivyo Binti mwenyew SI ndo alienda Kwa Rc na mahusiano kwanin aliyakubal na yey ni mwanafunzi
@Namtumbo
6 күн бұрын
@@ayoubmtumishi50alienda kufanya nne fundisho kwa mabinti
@josephlorri431
5 күн бұрын
RC mbakaji
@HamisMghuna-fj3vz
5 күн бұрын
RC c mbakaji huyo alisha liwa nyuma na w kwnza mku w mkoa n pili huyo n mzoefu,jambo gan we n x y pil,nyuma huyo alokula nyuma w kwanza, mbona humtaji we hii n dunia
@tosh7671
8 күн бұрын
Hivi hii sio comedy kweli mbona maelezo haya eleweki. Upuuzu tu huu
@user-zq7jb2ij4u
6 күн бұрын
Umeona eee mm pmj ni mzazi na nina mtt wa kike kafungua saa ngapi mlango wa gari na pia police uende asubuhi jmn jmn hz kesi za mafunzo !!!
@SamwelSimon-tf6oo
4 күн бұрын
Anaeleweka hujaelewa nni wwe apo
@emm93132
4 күн бұрын
@@user-zq7jb2ij4uhii ni habari ya kweli 💯💯 ila imefunikwa na mambo mengi mno...kama ni haki yake justice will privail..km pia pasingekua kua na ukweli mh. Asingetumbuliwa ila binti ndio angekua ndani sasa ..think
@user-ml5tq8hj2x
8 күн бұрын
We mtoto umejiingiza mahali pagumu ambapo hujui mwanzo wake na mwisho Mungu ajuaye yote akusaidie na hata hyo mkuu wa mkoa alyesimamishw kazi Mungu amsaidie na familia yake maana hili pito ni gumu mnoo
@kokusimabayona4179
7 күн бұрын
Hii issue ni kubwa sana...huyu binti aisee ajilinde tu mwenyewe maana
@samwa9496
6 күн бұрын
Hili ni shushu limetumwa tuliosom Cuba tuelewa
@YusuphMwangobola
6 күн бұрын
Mkuu wa mkoa ni raia tu kama raia wengine acha kumtisha binti.
@samwa9496
6 күн бұрын
@@YusuphMwangobola simtishi angekubali kuanikwa sura kama mabanda ya uwani yamebomolewa huo uzushi haoni haya aseme alikuwa mpenzi wake na alitaka fungu kubwa akalikosa ndipo akaamua kumuanika cheza na watoto wala bangi la Arusha
@yahayaolomi1057
Сағат бұрын
Namba za simu zinaweza kufuatiliwa Ili kudhibitisha hayo anayo yasema maana walikua wakipigiana simu
@victoriampunza1016
8 күн бұрын
Ogopa sana vitoto vya efu mbili😂😂😂 havikawii kukuharibia kazi
@kefamwakipesile275
8 күн бұрын
Kwani huyu dogo alikutana wapi na Rc kama sio Rc kumfuata
@MwanaishaShattry
8 күн бұрын
Anajiuza huyu@@kefamwakipesile275
@MwamvuaKing
8 күн бұрын
Hahahaaaa
@angelistertarimo8215
7 күн бұрын
Balaa.na milioni kumi juu bado kimekomaa huku nyumbani kunanuoa shida
@ziadasalimu1730
7 күн бұрын
@@kefamwakipesile275mwelewe huyo mtoto asema alikuwa mwanaume wake harafu akagombana ,baada ya hapo alipo pigiwa Tena sm akakubali kwenda akijuwa rc amebadisha mawazo ya kuto taka Tena mkundu, huyu Binti yeye alikuwa alishakubali kuwa naye Kwa jili ya kugombana tu , Sasa huyu si Malaya km Malaya wengine kabakwa vipi
@EdwardMaziku-td2li
8 күн бұрын
Huyu msichana ni muongo sana kuna jambo lipo limejificha maana toka mwanzo ni mpenzi wake,kwa fikira zangu walishindana tu kwa pesa aliyotaka na ndiyo maana akamugeuzia kibao mkuu wa mkoa na wanafunzi wa chuo ndivyo walivyo tania zao .hivyo muheshimiwa raisi alilichukulia haraka hili jambo kwani wengine wanatumwa na watu kumuharibia mtu.kwa maoni yangu muheshimiwa raisi wetu murudishe kazini nakuomba sana .asante
@machasofficialsite6221
8 күн бұрын
We akili huna chukulia angekuwa dada yako au mwanao katendewa haya ingekuwaje? Acha ujinga
@EdwardMaziku-td2li
8 күн бұрын
@@machasofficialsite6221 we ndiye mjinga na mpumbavu usijua hata kumusikiliza mtu alichoongea pia hata hujui chochote baadhi ya wanafunzi wanayofanya,(wee mjinga nikuulize,alipelekwa chuo kusoma au kufanya mapenzi ?)maelezo yake yanaonyesha ni mwingi wa habari tokea mwanzo
@matallahkhamis9579
7 күн бұрын
Dada au Mwanangu anaongea huu uwongo anastahili@@machasofficialsite6221
@israelmkaka2807
6 күн бұрын
Pia amepokea 10ml..Mama yake kapokea 3ml. Pia anasema aliwahi kufanyiwa na kijana mwenzake enzi za Balehe,Mama akayamaliza
@MasterOil-qm6vw
7 күн бұрын
Hayo ni mapenzi yenu kwa nn uje kuyatangaza huku kwenye mitandao na kama ungekua hujakubali ungevunja hata kioo cha gari yaonekana ulikubali sema hajakufanya yale mliokubaliana ndio maana umekuja kumuanika huku
@tunsumegideonmwamboneke9639
3 күн бұрын
Kabla hujahukumu angalia age difference. Unadhani kwa nini huyo mhe. Alijialini kufanya aliyofnya tofauti na makubaliano naye. Intemidation is real. Hayajakukuta pia yakikukuta ndio utaamini.
@wisemaliva5376
2 күн бұрын
Anaoneksna mzoefu na Mambo ya sodoma
@rachelsam8912
8 күн бұрын
Kiingereza chenyewe anaongea broken, but kama ni kweli Mungu akusaidie
@akwilaisseri5312
7 күн бұрын
Total broken 😂
@edithandunguru3405
7 күн бұрын
@@akwilaisseri5312 Hata Kiswahili tu ni shida
@lucykristensen7145
6 күн бұрын
Kingeraza shida sana. Aoge kiswahili tu😅😅
@Darian2550
6 күн бұрын
Ni first year bado...
@khadijanurdin3163
6 күн бұрын
Hata kiswahili chenyewe broken,eti alfajil,unavofkilia,kusogerea
@jumakapilima7295
8 күн бұрын
Kwa maelezo ya huyu dada anaonekana ni mzoefu wa hayo mambo,,,,,ni bwana Nawanda tu, amekutwa na dhahama!!
@graceruvugo610
4 күн бұрын
Kabisa
@YusufuMalila-b1d
7 күн бұрын
Binti Mungu anakuona acha kuharibu maisha ya watu kwa kutumikia watu
@thefinalstand2022
6 күн бұрын
Binti huyu ni binti shetani!
@josephlorri431
5 күн бұрын
RC mbakaji
@agathanyundo6798
5 күн бұрын
Hivi ufanyiwe tendo la kikatili namna hiyo usahau tarehe kweli!!!???
@AmiriMchikirwa
5 күн бұрын
@@agathanyundo6798Akili yako haipo sawa
@darajalakidatukilomgi2362
5 күн бұрын
@@agathanyundo6798hujawahi kubakwa tulia yakikukuta ndio utajua
@AMOSSILYVESTER
7 күн бұрын
Mama nae ni malaya anazibitisha kuwa umefilwa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-lt1bi5nr1x
6 күн бұрын
Huyu ni binti sio mama na ni mzoefu
@gracekagoma3231
5 күн бұрын
NI kweli kabisa.uko Ndani damu yao😅
@vero57
8 күн бұрын
Hawa wanafunzi wana acha kusoma wanaaza mambo ya matusi mapemaa!!! Ovyo sana , eti mausiano wewe ndiyo kilocho kupeleka shule??? Alafu unatembea na mme wa mtu, na wewe kiongozi acha kutu alibis watoto tafadhali!!!!
@jamesmzaki6041
8 күн бұрын
Kila siku mnaambiwa vitoto vya afu 2 sio hamuelewi,,, ona sasa kimemramba RC mstaafu.
@ScopionScopion-zj9cd
8 күн бұрын
kwenda zako malaya ww kumbe ulienda mwenyewe ulijua unaenda kusuka au wewe inaonekana ulikua unampa siku zote sema kwa sababu mmegombana Ndio unataka kumkomoa kwenda zako uko Yani mpaka Nauli umetumiwa halafu unasema Nini wewe ulitaka mwenyewe sasa ivi eti samia akusaidie akusaidie Nini yeye Ndio alikutuma uende au Nenda zako endelea Nahiyo tabia yako2
@anodearsulusi7536
7 күн бұрын
Kwani kuwa na mahusiano na mtu ni dhambi? Kutumiwa nauli ni dhambi? Kosa ni kumwingilia kinyumbe na maumbile mtu
@muhsiniissa8151
7 күн бұрын
Ni dhambi ndio,kwani wameoana!?,we hujui kua kuzini Ni dhambi???
@FatimaAli-of4gh
6 күн бұрын
@@anodearsulusi7536 Kwani alimchoma sindano ya usingizi alipokuwa anatiwa nalo nyuma kwa sababu tuangalie yy alitoka akaako mpaka akafika kwa muheshimiwa na akamvulia nguo si kutaka huko au alimkuta njiani akamtia na nguo zake aibu mambo mengine
@HanifaOman-oo4pl
6 күн бұрын
@@anodearsulusi7536siangekataa
@ScopionScopion-zj9cd
6 күн бұрын
bora umenisaidia kumfahamisha huyu
@matukutajuma156
8 күн бұрын
HE! SIKIO LA KUFA MTUHUMIWA KAAHIDI ML5 KWA MAMA KAINGIZA ML3 BANK PILI YAELEKEA MLALAMIKIWA KALETA ZARAU POLISI! ILA BINTI MZOEFU!! NA KAPANGWA!!
@subirajohn728
6 күн бұрын
Inawezekana kabisa!
@kirotostima
8 күн бұрын
Shenzi kabisa kaongo kweli kashazoea kuliwa tigo haka
@jesusismyeverything1630
8 күн бұрын
Mungu ambadilishe , ni muongo Ni tabia yake
@sylvanjosam3402
11 сағат бұрын
Huyo muongo hujielw
@marymanoni5536
8 күн бұрын
Ulipata wapi no ya mkuu wa mkoa ulipata wapi mtoto mdogo mbona wa kawaida sn dd jamani mbona unajiaibisha ,tuone uwo muamala
@kokusimabayona4179
7 күн бұрын
Ila this generation.....🙌🏾🙌🏾🙌🏾
@ziadasalimu1730
7 күн бұрын
Kachafu sn kahovyo mno Malaya huyo yeye mwenyewe si alisema alikuwa bwana yake kwahiyo km asingefilwa wangeendelea kutombana , unajiabisha tu
@EzekiaMtwale
7 күн бұрын
Huyo mwongo tu alipangwa ni kamchezo!@@ziadasalimu1730
@marymanoni5536
6 күн бұрын
@@ziadasalimu1730 yani kamejiaibiaha sn waache kujipendejeza kwa viongozi na kujipitisha pitisha ovyo aàaaa wanatuaibisha watt wetu htr
@bolelambunda6554
5 күн бұрын
Je angetombwa kawaida isingekuwa ugomvi
@hamisidale2704
6 күн бұрын
Umelalamika kinyume na maumbile ingekuwa kawaida na maumbile tusingekusikia!
@user-hj8sc7jv5m
5 күн бұрын
Anatafuta ada huyo mwaka wa kwanza tu shida je akihitimu
@bahatimashauri3945
4 күн бұрын
Tusingesikia maana c alkuwa mtu wake ko walishakulana Sana ko mzee baba aliamua abadili kwingne baada ya kufanya Sana mbele
@user-nb2jw4km6f
2 күн бұрын
😂😂😂😂😂@@bahatimashauri3945
@user13375
8 күн бұрын
RC arudishiwe u RC wake tuu😮😮
@SamwelSimon-tf6oo
4 күн бұрын
Rc anyongwe
@justinealistides5146
7 күн бұрын
Ee Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema utusamehe sisi tulio dhaifu na kwa haki yako utuponye.
@johanessmwitamwita1723
8 күн бұрын
Mmmmh jmn huyu binti anatumiwa kwa jinsi navyijua tz kwa issue kama tayri alishapotezwa siku nyingi huyu anatumika tuuu sio yy
@xxxl-jf2ji
7 күн бұрын
Nikweli kbs
@user-yd1pc8uy8x
6 күн бұрын
Kweli huyu mhhhh hakuna kitu.
@user-hj8sc7jv5m
5 күн бұрын
Delila huyo
@raymond5175
8 күн бұрын
Ni mpenzi wake, ameingia mwenyewe kwenye gari tayari ni mapenzi ya hiari hayo mengine ni kuharibiana maisha
@MayleenDonaldharris
6 күн бұрын
Kidada chenyewe kibayaaa
@karimdaud3993
3 күн бұрын
Kwani umemuumba wewe?
@damiankageba77
8 күн бұрын
Ni upuuzi uliopitiliza
@user-jg2dy4kb6j
8 күн бұрын
huyo Binti anachangamoto ya akili apimwe Kwa maelezo yake
@tunsumegideonmwamboneke9639
3 күн бұрын
Huyu binti hadanganyi kabisa, ana uchungu moyoni na she is very brave kucome public. Watoto wengi wa kike wanafanyiwa huu unyama kwa sababu ya umaskini tu. Jaribu kufikiria angekuwa binti yako au mdg ako. Stop this . Nyie ndio sababu watoto wanalawitiwa na kukaa kimya kuohopa watu msio na imani nao kama ninyi . Jamii ibadilike 🤬
@magallahramadhani8762
3 күн бұрын
Boss mkuu mama yako
@ernestsinje9700
3 күн бұрын
Ameenda shule au kaenda kutafuta wanaume?Wasichana wengi wanatabia hii kutafuta wababa wenye pesa wakati wazazi wao wanafikiri wako chuo wanasoma@@tunsumegideonmwamboneke9639
@edwardmkwelele
3 күн бұрын
Acha ujinga
@edwardmkwelele
3 күн бұрын
@@tunsumegideonmwamboneke9639 point
@graciousmgeni7249
4 күн бұрын
KWAHIYO GARI LAKE ULIANZA KUPANDA LINI.
@edwardmkwelele
3 күн бұрын
Amesema ni mpenzi wake sasa anataka kumlawiti KILA SIKU binti alikuwa anakataa
@graciousmgeni7249
3 күн бұрын
@@edwardmkwelele HEE mbona hajaongelea swala la kupiga kelele?????
@namsifubwana2152
8 күн бұрын
WAKILI TV NIMEFURAHI SANA KUWAONA KAZINI. TETEENI WATANZANIA WANAONEA DAY N NIGHT😢😢😢
Umeonaeeeh mshenzi huyu mtoto umelaya wake unamfanya mpaka hamuonei huruma mamaake.
@OmanOman-dd5qk
6 күн бұрын
Sahihi mtowaji na mpokeaji wote ndani na mtenda kosa mwanafunzi kwenda gest
@SamwelSimon-tf6oo
4 күн бұрын
Mama yako akamatwe haraka sana
@titongholo6261
8 күн бұрын
Napata mashaka makubwa sana na maelezo ya huyu binti. Hivi kwa kitendo cha kuingiliwa kinyume ni rahisi hivyo kama anavyoeleza. Kama ni kweli Mungu anajua
@gracemwailima1780
8 күн бұрын
Hata mm sielew elew huyu bint yuko timamu kwel
@bonyngoyindengoyinde6139
7 күн бұрын
Uyu n mzoefu na mhuni tu!😅
@FatimaAli-of4gh
6 күн бұрын
Watt wetu hamuendi kusoma munafata mengi huko nje wazee wanahangaika kutafuta ada kama hamuwezi kusoma muolewe tu musiwapotezee wazee wenu pesa zao za mikopo wazazi tuna mikopo kila cona tunasomesha hatari hii
@georgeanyosisye2182
5 күн бұрын
Mshenzi huyu kwanza jinga hata kizungu anachoongea kinaonesha serikali inapata hasara kama kapokea bumu.
@FamilyVideos-pt1mo
Күн бұрын
Pole sana tena sana na nawapongeza Polisi wa TZ kwa kufanya kazi nzuri bila kujali cheo , Mama alikuvunja moyo ila usijali Allah atakulipia, ni jasiri sana
@user-sp4jr4vw6t
7 күн бұрын
Pumbavu mnapenda ngono mno majbu yenu ndio hayo mnapenda maisha rahisi kwa kuuza miili yenu sasa mnalia nn hao mabinti wanaoenda wenyewe nao wapewe adhabu pia tofauti na wanaokamatwa kwa nguvu.
@saidlindi9619
4 күн бұрын
Wenye D mbili lazima wajue huyu dogo kapagwa kumuharibia mheshimiwa,,,anag'ata maneno tu
@AliSalim-yu4mo
2 күн бұрын
Angalikuwa ni mtoto wako angaling'ata nini badala ya maneno!
@omarymwenda1146
7 күн бұрын
Mwalimu Nyerere alisema ukipewa kazi ya Nchi ni lazima UJIHESHIMU, Ingawa hii issue ni very complicated so tusihukumu, TLS na LHRC mnafanya kazi nzuri sana. Tusubiri hatma ya Mahakama.
@SayyidAhmadBaalawy
5 күн бұрын
Unaona wanafanya kazi nzuri kweli?? Atakapo potezwa huyu mschana ndio utajua kazi nzuri wanayo ifanya hawa watu ni wahuni sana mwanasiasa na mwana sharia wote niwatu wasio aminika. Mamake mwenyewe akipewa hela alikua akipokea nahakutaka kujua binty yake alipata wapi. Sasa ukiambiwa ana ukimwi ndio utajiona ukicho kifanya kilikua tamaa yako imekuponza
@msafirimaulidi5054
20 сағат бұрын
Kwanza nimuulizw ilikuwaje mpk akawa na mausiano na mkuu wa mkoa akat wauni kinao tu wa lika lake? Aka nikamalaya
@chrismassawe2939
2 күн бұрын
Mungu akutetee maana unaweza kupotezwa pia wenye nguvu ni hatari kabisa hii ni vita mbaya katika maisha yako..
@efraimjohn4956
8 күн бұрын
huu udokta ambao haufungui kichwa . bado kinakuwa na mambo ya kishenzishenzi tu unasaidia nn?
@barakanatus5676
7 күн бұрын
Doctor ni MUNGU tu.
@stevenkuhanwa7819
8 күн бұрын
Duh! Kumbe walikuwa wapenzi awali!, inawezekana, lakini siku hizi hata mke halali anakwenda kushitaki kuwa kabakwa na mumewe halali! Kuna hofu ya kuwa aliahidiwa vitu fln ambavyo hakutekelezewa na ndio maana kaamua kulipa kisasi kwa mpenziwe! Kurudi rudi kwa X ndio hivyo unakutana na plan X!
@anodearsulusi7536
7 күн бұрын
Watu Wana roho za kikatili sana
@hamidabarraball3162
8 күн бұрын
Nyie watoto mmejaa tamaa Mkikosa mnachotaka mnabadilisha maneno, unawezwajje, kulawitiwa ndani ya gari bila ya wewe kukubali? Kwani hakuna nafasi kama hujatulia, Unaongea uongo
@jamaliddiin9357
6 күн бұрын
Kishenxi hiki kibinti alikubaja au ulivua nguo mwenyewe ,panya rodi weee
@fatimahants1526
6 күн бұрын
Mtu mzima unalawitiwa muongo , kamuwa kuchafuwa huwara yake, akumbke hii interview itakutesa sana kwenye life yako
@SamwelSimon-tf6oo
4 күн бұрын
Wewe unashangaa nni kwani
@user-fg8hg9fe1w
8 күн бұрын
Kamesema kalianza kufirwa toka kapo form two kumbe kazoefu kasitupotezee muda😢
@ziadasalimu1730
7 күн бұрын
Haswa Malaya huyo asipotezee muda watu
@ziadasalimu1730
7 күн бұрын
Haswa Malaya huyo asipotezee muda watu
@ziadasalimu1730
7 күн бұрын
Wanaume Huwa mnajitafutia wenyewe matatizo ,cheo chako kikubwa waenda pata zahma Kwa mchafu huyu Binti mnyooo wa chooni huo
@EzekiaMtwale
7 күн бұрын
Waandishi wae wanamhoji mtu kabla il wabaini KULIKO kumalizia watu bundle na kuwachafulia watu!
@Lifebeaconuplift
6 күн бұрын
Wapi amesema kwamba tokea form two
@shabanirashidi2486
8 күн бұрын
Shetani ibilisi tokaaa ,uyu dada Ata ongea yake anamchoma muheshimiwa hiv hiv dah
@jumakapilima7295
8 күн бұрын
Kama alimfira kwanini asimseme?
@user-du6bd3no2b
6 күн бұрын
Nyinyi sijui mpoje...mnamponda huyu dada ila ipo siku yatawarudieni na nyie...
@NamalaPothino
7 күн бұрын
Naomba uchunguzi wa kina ufanyike ,duniani kuna mambo mengi mno
@kimwerihamza4152
8 күн бұрын
Tuliosoma cuba tumeshamuelewa huyo binti,mwanafunzi wa chuo anashindwa kutamka maneno ya kiswahili,tumuogope mungu kwenye kufitini
@user-zq7jb2ij4u
6 күн бұрын
Kabisa
@alinanusweosward-ov2nq
6 күн бұрын
Yaaan bint anajikanyaga na kiingereza kingi ,mabint wa sample hii wa hovyo sana na always wanajifanya wajuaji sana na nadhani wapelelezi watafanya kazi Yao kujua nn na vip ilikuwa
@mrsferuzi7443
4 күн бұрын
Wallah mungu anakuona wewe binti
@mchawaamanmchawa593
8 күн бұрын
Nawanda mara tatu kweli ulifanya mbona naona kuna namna hapo lambda kuna Siri nyingine
@moriscollins4494
8 күн бұрын
Kama anamkana mama yake huyu binti
@jamaliddiin9357
6 күн бұрын
Wewe binti pia ni mshenzi ,kumbe ni wazinifu toka zak hapa ,haya pia huna ,uso kavu kama kauzu ,muongo mkubw wewe ,
@gervasatilio5683
5 күн бұрын
Hapo hakuna aliye salama, kabla hujamuhukumu mtu aliye sababisha matatizo kwenye maisha yako jihukumu kwanza mwenyewe, Mungu haziakiwi apandacho mtu atavuna,
@johnsonsabanya5860
6 күн бұрын
Uyu Dada kajieleza Vizuri kabisaaa tuache maneno ya ajabu Hawa watu ndo michzo yao hapo wanajiongezea vyeo na pesa kuingia kwa wingi, Sema ili liwefunzo kwa wadada wanaopenda pesa Sana, pole Sana mdogo wangu Mungu akusimamie.
@sakinayahya78
5 күн бұрын
Wanajuana ni mtu wake
@EmanuelMandoo
5 күн бұрын
Hapo kametumika kisiasa
@majutojackson5718
8 күн бұрын
msimshutumu huyu binti,acheni haki ipatikane, maana kama ni hela amepewa nyingi mno angepiga kimya
@MusaMapinda-ch6gz
7 күн бұрын
Binti ni malaya
@user-du6bd3no2b
6 күн бұрын
Si vibaya kuwa na mkuu wa mkoa...ila mkuu wa mkoa kumlawiti bila ridhaa yake kakosea sana
@josephmantago2837
5 күн бұрын
hakuna acha kumtukana hyu Binti Bali ni jasili kwani mapenzi nikosa kufanya acha unafiki
@marcoenock4596
4 күн бұрын
@@josephmantago2837hakuna kitu Kama icho bint kaingiziwa pesa kwenye a/c na iko hvyo Kuna kit wanagombea Kat ya RC na huyo mwamba aliye toa pesa
@Mima-cl2im
2 күн бұрын
Mama umejitahidi. Kumureport huyu jamaa umewasaidia wanawake wengi pengine hata watoto. Hongera dada
@rogersiddy
3 күн бұрын
Mabinti wa chuo mue na tahadhani kuongeza elimu kichwani sio kubadili muelekeo wa mausiano hapo ushishangae ulikuwa na mshaki wako ila hana kitu ukaamua kuwa na mkuu wa mkoa ili upate pesa tu mwingine alipata ajali na kiongozi mmoja DODOMA binti kafariki jmn kiongozi uyo kiongozi akapelekwa Hospital kisili sili tamaa wekeni pembeni
@josephmoses5406
8 күн бұрын
Mkuu wa mkoa wa mwanza nae alitakiwa kuwajibika.
@laninjeje8290
4 күн бұрын
Mkundu wewe mwambie mama yako mzazi akatombwe na mkuu wa MWANZA Kisha amuwajibishe huyo mkuu wa mkoa MWANZA
@ericfelician7996
2 күн бұрын
Pumbafu awajibike Kwa huyu malaya
@shabantelack5716
8 күн бұрын
Ila mkuu wa mkoa ana Roho , na aka kambao mbao 😂😂😂😂😂😂😂😂 alikuwa naafanya nako nn 😂
@luganokitwika7359
7 күн бұрын
Hahahahahaaaaaaa duh, umenifanya nicheke wakati nalengwa na machozi dah
@alexpangani1944
2 күн бұрын
Pole sana we binti, hali yako itatendeka
@LeticiaShoka-me2wq
4 күн бұрын
Kwani kesi ikiisha atalipwa awe bilionea au?!! Maana huu ni utapiamulo tu mwanachuo mwenye mtindi wa ubongo. Sasa anapata Nini.....kajitia fedhea tu. Rc atashinda kesi na atampa umaarufu zaidi Yeye ataogopwa kama ukoma.sijui ataishije maskini na jamii huyu
@shabanirashidi2486
8 күн бұрын
Ata kilivyo vaaa tu kimepangwa
@nestor384
8 күн бұрын
Hongera nyingi sana kwa polisi na vyombo vyote vilivyojaribu kukabili hadaa za wakuu wa mikoa hawa wawili, Aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Simiyu anapaswa kufungwa na mkoa wa Mwanza wa sasa alipaswa kufukuzwa kazi pia mshenzi kabisa!
@mkadammkadam
7 күн бұрын
Ni peke yako uliyeonyesha mawazo yaliyokomaa. Kama kila mmoja wetu anatetea kwa nguvu zote uhalifu ambao kila siku tunalalamika kuwa vitendo hivi vimekithiri katika jamii zetu. Vipi tutaondosha kama hatutashirikiana kuvipiga vita?
@livingstonekabantega
6 күн бұрын
Sio kweli afukuzwe kisa tamaa zake
@alphaexaud5279
4 күн бұрын
Huyu wa Mwanza mhhhh!
@tausmoses7447
8 күн бұрын
Pole! Kama kweli vitendo hivyo vinakurudia rudia hiro ni pepo, Hiyo roho inayokunyemelea ikemee. Pole sana
@Mima-cl2im
2 күн бұрын
Hongera dada dada. Sio wakina dada wengi wa Tanzania wanaweza kupeleka kesi kama hii polisi. Kuna wanawake wengi sana wanafanyiwa hivyo kwa woga na kutishwa wana kaa kimya. Hawa wahalifu wanaendelea kuwafanyia maovu wanawake hata watoto. Wanaokuzomea pengine na wawo wana tabia hiyo.
@user-yv7xg4em4s
8 күн бұрын
Kumbe alikuwa mtu wako sasa anakulawitije
@user-cm7yl9ej7i
8 күн бұрын
Kwa hyo mama yako angeombwa na baba yako na kuachika siku Moja angekuelea huyo ni sababu ya kuachana na baba yako ungejiskiaje
@JuliusMahinya-wl7mq
8 күн бұрын
@@user-cm7yl9ej7ikwa nn usitolee huo mfano kwa mama Yako? Kwa nn mama yake na si mama Yako? Yaani jambo la kujadili kawaida unamhusisha mzazi wa mtu!!!
@stevenmrama3123
8 күн бұрын
Ulienda chuo kusoma ,hayo uliyoyatafuta una sababu ya kulalamika.
@adinantv4701
3 күн бұрын
Pole sana mwanangu mungu atakusimamia kwa hili na haki itatendeka na nyie munao muongelea vibaya mungu anawaona leo kwake kesho kwenu mungu ni fundi kwenye utendaji wake acheni kumzihaki binti wa watu watanzania tunatakiwa kukemea kwa pamoja vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia
@MansourKabuhaya
3 күн бұрын
Untanyasaji gani wakat kapanda gari mwenyewe?? Huyu ni Malaya mzoefuuuuu, Wacha apambane na alichokichaguaa
@denisshow522
Күн бұрын
🎉uyu Dada ni malaya.dada mwogope mungu.utamwaribia uyo kaka maisha ila unayalaani maisha yako
@SalumFuraha
8 күн бұрын
Kingereza kingi mjinga we mwanafunzi unaingia kwenye mapenzi
@user-cm7yl9ej7i
8 күн бұрын
Na mtaman mtoto wako wa kike kama umezaa
@josephmantago2837
5 күн бұрын
hyo sio mtoto ndg ni mtu mzima mbona mnamshambulia bint wa watu acha aeleze ukweli
@abou.salimu1795
8 күн бұрын
Khaa mkuu wa Mwz nae yuko upande upi sasa
@hamisimuhunzi7916
8 күн бұрын
yuko upande wa mbakaji
@alphaexaud5279
4 күн бұрын
Rc Mwanza umezaa? Je ulitaka kuficha na huu ufedhuli Ikithibitika Rais tunakuomba umtafakari Rc Mwanza
@foundationforcommunityhope7327
Сағат бұрын
POLICE waendelee kukulinda sana maana hali sio nzuri ninavyoona... Hongera Sana ulinzi na usalama wa Tz.
@amosimariba9820
3 күн бұрын
Yaani huyu binti anatumika kisiasa kumharibia huyo kiongozi heshima yake, hivi mtu ufanyiwe ukatili huo halafu uelezee mkavu mkavu hivo, halafu maelezo ya kutendewa ni tofauti na maelezo ya kupanga, ila kuna kitu nimegundua hapo, kwanza amedhihirisha kuwa walikuwa wapenzi sasa inawezekana kuna kitu alimuahidi atamsaidia halafu hajampa ndo ameanza kumchafua, au la basi anatangaza kuwa alitembea na Mkuu wa Mkoa anatafuta sifa, kuhamazisha wanafunzi wenzake kutembea na viongozi
@edwardmkwelele
3 күн бұрын
Acha ujinga
@edwardmkwelele
3 күн бұрын
Kuwa wapenzi siyo kosa, kosa kulawitiwa kwa nguvu bila ridhaa yake AU hata kwa ridhaa yake ni kosa
@bonifaceibunga9443
8 күн бұрын
Wewe huo mchezo umeshauzoea hivo acha kutusumbua maana umekiri ni mpenzi wako kwa zaidi ya miezi sita sasa shida ni nini ? Maana hakuna kipimo cha kutambua lini ulianza kufirana. OVER
@jumamohamed3168
8 күн бұрын
Acha ujinga ,hilo jambo sio zuri kama unavyofikiria ,watu wengi sasa hivi ujinga tu unawasumbua wa kuchezea uchafu mavi .
@protasreshola9744
8 күн бұрын
Mnyonge mnyongeni, haki yake apewe. Binti 😅anadai kulawitiwa na X RC na anadai alifika hospitali. Binti kama aliingiliwa kinyume hospitalini lazima mbegu za kiume zilionekana hivyo ilipaswa zipimwe vinasaba, DNA. Ikibainika ni RC aadhibiwe. Lakini pia binti anaweza kupanga mchezo na kuingiliwa na mtu mwingine ili kesi amtwishe X RC kwa vigezo kuwa walikuwa na ukaribu kimahusiani.
@user-fw6dp9iy4i
8 күн бұрын
Huyu ndiyo Gen z wa Tanzania,,,, Sasa mkuu wa mkoa mwanza anasalimikaje,,, Naiona tuhuma mpya,,,,nini kipo nyuma ya pazia,,,,
@MariamLigoha
4 күн бұрын
😂😂😂,hhaaa haaa, mbona gen-z haaaa😂😂 nimechoka Kwa sauti😅😅
@danieljoseph1610
7 күн бұрын
Kivyovyote vile huyu mudada atakuwa mwongo kwa upande wakuingiliwa kinyume na maumbile! Maana kama alikubali kuwa wapenzi! We jiulize tu kwa nini huyu binti alikubali kutembea na mkuu wa mkoa? Hapo kuna vitu walitofautiana akaamua kutunga hi ishu!
@user-yv7xg4em4s
8 күн бұрын
Binti wewe
@josephmoses5406
8 күн бұрын
Hawa polisi walau wamejaribu kuwajibika
@AmanziyasiniAmanzi
2 күн бұрын
Pole sana mkuu kuwa makini huyo binti katangulizwa kuna maadui zako nyuma yake kuna kitu kimejificha.
@sarahkinyashi6213
4 күн бұрын
Watoto bhanaa🙏🙏🙏 wazazi tuombee sana kizazi chetu kinaangamia peke yetu hatuwezi bila msaada wa Mungu 🙏🙏
@hassankhalid2465
8 күн бұрын
Kaulizwa km alishatumiwa kupitia ac/au cm kakubali kuthibitisha karuka ilikua cash.
POLE SANA MDOGO WANGU USHAURI WANGU JUU YA HILO LILIVYO TOKEA NI VEMA UHAMISHWE CHUO USOME SEHEMU NYINGINE MBALI NA HAPO NA WASIJUE ULIPO ILI UENDELEE KUWA SALAMA MAISHA MENGINE YAENDELEE
@HamisMghuna-fj3vz
6 күн бұрын
Karembo mashaaalah,lzm n mkewe, mdogo lkn umejazwa maneno,na watu,
@user-fr7jj1bo7y
8 күн бұрын
wakili TV please tunawezaje kumsaidia huyu binti ili apate haki yake
@florarwegerera8025
8 күн бұрын
Anapataje haki yake wakati alikuwa mpenzi wake, alimfata wa nini? Huyu kaamua kumchafulia huyu baba
@hamisimuhunzi7916
8 күн бұрын
@@florarwegerera8025hata kama alikuwa mpenzi wake hana haki ya kumwingilia kwa nguvu na bila idhini yake huo ni ubakaji
@MwanaishaShattry
8 күн бұрын
Hana haki ni mwanaume wake na wanatoka kamefirwa huyu sasa kashawishiwa kumchafua.
@EzekiaMtwale
7 күн бұрын
Ni mchezo tu kashawishiwa kumchafua mh!
@user-lo8ef9qn2r
8 күн бұрын
Uyo muongo iv ubakwe ulale kesho ndio uende kesho kweli iyo ni njama tu kumchafua tu uyo mtu ikitaka kujua anaujasili wa kuja midia kuongea uo upuuzi
@rodrickchonde
6 күн бұрын
Ni kweli,angeenda usiku ule ule police,na hata taarifa angeanza kutoa pale pale reception!je hospital wana sumple ya manii za mtuhumiwa?ikiwa zinalingana na zilizotolewa kwa binti?je kama baada ya kutoka pale alienda kwa mwingine? maana ukifuatilia maelezo yake si mgeni wa huo mchezo.
@mustaphajuma7619
2 күн бұрын
Naushungi! Kama kweli vile! Wachunguzaji wawe makini sana na watu kama hawa.
@JosefuSwai
2 күн бұрын
Ata kama alikua mpenzi wake siyo sawa kuingia mlango wa nyuma haikubaliki iko wazi unakuwaje na kiongozi wa aina hii mbaya
@user-vf8wv8hi5b
8 күн бұрын
Kaongo hako
@MwanaishaShattry
8 күн бұрын
Muongo hasa katimwa huyu
@aminitu3766
8 күн бұрын
Duh kwaiyo umefanywa nyumba duh
@graciousmgeni7249
4 күн бұрын
ILA "MAGU" HAYUPO TU. NAHISI WE BINTI NA MLIOPANGA HUO MPANGO MNGEKUTANA NACHO LIIIIIVE
@festusmakanja3645
4 күн бұрын
Hapa kunajambo linafichwa,najiuliza,kwa nn ww tu ulawitiwe????kumbe ulishakua na kesi kama hiii na muhuni wa mtaan????
@jimonmwakalebela9470
8 күн бұрын
Mnachafua watu unatakiwa uwekwe ndan
@user-cm7yl9ej7i
8 күн бұрын
Kwa hyo mama yako angeombwa na baba yako nyuma na mama yako akaachika siku Moja ukaomba sababu akakwambia nikiombwa nyuma ungejiskiaje Kuma wewe
@matallahkhamis9579
7 күн бұрын
Hatuzingatii unasaba wetu tunazingatia maelezo yake yana ukweli gani. Hata kama Mama yangu awe Dada yangu au Shangazi yangu. Kama anaongea hivi nitasema ni uwongo.
@adelinabaitu3291
8 күн бұрын
Ila.watoto wetu mmezidi badala isome ni mapemzi tu tamaa acheni jamani mtatua
@Moshiarusha360
6 күн бұрын
Mm simuhukumu hakuna hasiyekosea ,mtu kuwa mbaya haijustify yeye KUFANYIWA ubaya,,ubaya Ni ubaya tu..pia kabla hatuja hukumu tujiulize sisi Ni wema kiasi gani
@Zaburi-
8 күн бұрын
Pata picha mke wa jamaa akiona jinsi mwanae akisimulia alivyokua akiruka na mume wake( maana huyu ni kama mtoto wao tu )
@margarethpolepole7438
8 күн бұрын
Hivi ni kweli kalawitiwa mbona kama siamini hii siyo mambo ya Siasa kweli
Пікірлер: 1,4 М.