Zuchu ana heshima mno,adabu, mtiifu, msikivu,mkarimu, mcheshi, mchapakazi, ana jalii na akili ndio maana watu wengi wanaobahatika kuishi nae au kuwa karibu yake wanajikuta wanampenda sana, diamond awe makini sana tena awe mtulivu mno na zuchu wake maana wapo watu wengi wanasubiria amuache tu wao wamchukue huo ndio ukweli, maana huyu sio mtu wa kwanza kumsifia zuchu hadi barnaba classic aliwai kumsifia zuchu balaa hadi ali kiba alishawai kumpa sifa, wanawake kwa wanaume ndani ya wcb, maboss wa diamond, mpaka madairecka na madansa wake anaofanya nao kazi huwa wanamsifia mno zuchu wakidai ni mtu mmoja mwenye roho safi sana pia hana mambo mwengi yupo peace mno hana baya mtoto wa watu
@neemakalugila7674
4 ай бұрын
Well spoken, binti wa watu hana tamaa na ana mapenzi ya dhati
@user-qr5bm9uy1s
4 ай бұрын
Nikweli kabisa Wana mzarau kwanje ila diamond atulie akiacha tu wanamchukua
@leonidamachuru5960
4 ай бұрын
Nampenda zuu pia
@elizabethchabluma-zw5qz
4 ай бұрын
Abdu unaongea vizuri❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@user-od2mc9ev6d
4 ай бұрын
Una ongeya point kabisa
@user-sj3wf5vz7l
4 ай бұрын
Na kweli zuchu ni mdogo lakini ana akili sana. Anajitambua mno. Inawezekana mama yake amemfunda kwa sababu mama yake anajua hizi industry vizuri sana.
@Smokeylucas
4 ай бұрын
Simba... Zuu ameenda😊
@saumumasha-in2qw
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 daimond achunge zuchu ataenda we hivi nionavyon😂😂
@yusternyirenda7231
4 ай бұрын
Zuchu ni mkarimu,mcheshi, ana heshima,anajali,ana upendo, mchapakazi mtiifu ndio maana watu wote wanaobahatika kuishi nae au kuwa karibu yake wanajikuta wanampenda mno, kweli diamond awe makini sana maana walimwengu wanamsubiria amuache tu wao wamchukue huo ndio ukweli
Пікірлер: 22