Babu tale unaakili nyingi sana na una ongea kwa busara tuwaombee Mungu akupe mke mwema na wewe kaka yetu
@jumayussuf7746
Жыл бұрын
Sn love
@jumayussuf7746
Жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
@daudichengula1413
Жыл бұрын
Millad ayo ni mtu pekee dunia hii ambaye unaniispire Sanaa.. Ishi sanaaa brooo
@erastomwakalukwa3946
10 ай бұрын
😂😂😂alimfanyia interview mpaka MUNGU wa usukumani aka bi zuu,Zumaridi ,harafu hacheki😂😂😂
@alymaryam2331
Жыл бұрын
Mungu akujaalie mwisho mwema tale na akutilie wepesi kwa kila ulifanyalo🙏🙏🙏🥰
@daudimazengo7772
Жыл бұрын
I salute Babu Tale. Hakika hata mie naombea hii couple idumu. Hi Diamond, this time take action to this cute and humble girl Zuchu.
@user-kh3hr8si2j
10 ай бұрын
MashaAllah he is so kandy i really like him my Allah protect u ❤i wish i can have hubby like him ❤❤
@jamilaathumani5481
Жыл бұрын
Nimependa Sana Babu tale umekuwa muwazi na umefunguka hongera Kwa Hilo,,
@channyanjen9047
Жыл бұрын
Nasikiya raha Sana kwakweli, Allah aweke wepesi 🙏
@jamilaathumani5481
Жыл бұрын
Nimependa Sana Babu tale ulivyofunguka kuhusu mahusiano ya zuchu na diamond,,,nawatakia Kila la heri,,waoane inshallah,,
@saumusalimuhassan2499
Жыл бұрын
Ameen Yarabb 🙏
@amanimapenzi571
Жыл бұрын
Amen
@annickkipisa6761
Жыл бұрын
Ni mependa
@jacklyneotieno1564
Жыл бұрын
Maybe kwa ndoto
@yusternyirenda7231
Жыл бұрын
@@jacklyneotieno1564 Mmm! acha uchawi
@sureiamboo
9 ай бұрын
I love Tale now ❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@mapendosafi3429
Жыл бұрын
BABU tale nakupenda sana baba unaja helkima sana Tena sana
@peninashungu6633
Жыл бұрын
Kweli kabisaa Mungu awabariki tunawapenda aa Sana Hao wawili zechu na daimond
@RabiaWahadh
Жыл бұрын
Mashaallah Zuch Mungu Akufanyie Wepes Kweny Maisha Yako
@marycelestin6586
Жыл бұрын
Ameen
@dijerbhai8388
Жыл бұрын
Aaah huyu mzee nampenda jmn khaaaa❤😢
@mashramadhani1989
Жыл бұрын
Diamond na Zuchu ni couple nzr sana KULIKO hao wazungu weusi
@jamilajamila4572
Жыл бұрын
Babu tale unamtetea hapo mondy hawezi muoa zuchu zuchu anapotezewa muda tu
@marthamushi9390
Жыл бұрын
Mungu awajaalie na awafanyie wepesi waje wafunge ndoa🙏 Pia huyu babu tale ni anaonekana mpole jamanii anaongea kiustaraabu hadi raha🥰
@mariammsumi7783
Жыл бұрын
Babu tale👍
@khadijahali6856
Ай бұрын
Babu Tale ni mtaratibu kweli Ma shaa Allah.........
@saumusalimuhassan2499
Жыл бұрын
Ila Leo ndio nimeamini, nacheka peke yangu, nilikuwa siamini wambea, ila nimeipenda hii interview, part2 please, Millard Ayo.
@neemamayco1051
Жыл бұрын
Hata mm jaman nlikua siamin kbs leo ndio nimeamini mm pia
@jamilaathumani5481
Жыл бұрын
Nimeipenda Sana interview hii,,naomba pati 2
@shafiiwajad457
Жыл бұрын
Iv mnajua hii ndo mara ya ya kwanza uhusiano wa Zuchu na Diamond kuwa Confirmed kwenye media na source ambayo tunaiamimi na inatoka ndani kabisa😂😂😂😂 Millard 👍👍👍
@lifeofyuri4020
Жыл бұрын
I was looking for this comment una akili nyingi sana 😂
@esthermutabuzi4582
Жыл бұрын
Na sasa tunasubiri Diamond mwenyewe atuambie...let him confirm by his own mouth! The last time he opened his mouth, he said he didn't have a girlfriend🙈🤣
@auntiemylee3157
Жыл бұрын
Confirmed
@shafiiwajad457
Жыл бұрын
@@lifeofyuri4020 pamoja na wewe mama Sema tuna akili nyingi ❤️
@blessmimi
Жыл бұрын
@@esthermutabuzi4582 Diamond was Jux listening party and told whole crowd Zuchu is his wife ..I bet you forgot about that ? . What about the 10 slides bday post on his instagram on her birthday for the world to see all the videos of them kissing intimately?
@barakadaprince3742
Жыл бұрын
Millard mtu makini sana🙌🏿🙌🏿🔥🔥
@Mimy_keys
Жыл бұрын
Napenda Babu Tale Anavyo Ongeaga na Busara Sana 😊 MashaaAllah Tunawaombea Kheir InshaAllah 🤗👌
@FatumaDogo
Жыл бұрын
😂
@wisperfect5320
Жыл бұрын
Vipi ukiwa mke wake😂
@DavidMbwilo-qk1bz
Жыл бұрын
Babu tale you're the best broo
@mwanatz5980
Жыл бұрын
Wakati wanafuraha basi jambo jema ❤❤❤ tunawaombea kwenye hii dunia ya leo kupata furaha sio jambo rahisi maana wengine watajia pesa tu
@Nimah_qubo
Жыл бұрын
MashaAllah Tale anaongea na sauti ya unyenyekevu sana 😊
@peninashungu6633
Жыл бұрын
Tale uwa nampenda sana uwa aongei Sana
@lucymtuka3199
Жыл бұрын
Zuchu na Diamond nawapenda sana owaneni jamani
@pengefeza2563
Жыл бұрын
Mi nawaombeaga neema ya Mungu kila siku.
@safiyanirram-pf3sv
Жыл бұрын
Mashallha nimefurahi sana allha awazidishie lnshallha nimefurahi
@kekiplus1andonly
Жыл бұрын
Mheshimiwa mjengoni🎉 Kaongea,diamond kafika...ndo furaha yake.
@chttostrugglinglady
Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu awajalie wafunge ndoa salama🙏
@hawababy120
Жыл бұрын
Asante babu tale kutujua zaidi.❤
@vumbakingvumbaking9571
Жыл бұрын
Dua mwenyezi mungu akuongoze boss talle update mke mwema amini Simba nae mungu akuongoze umuoe zuhura Amin 🤲
@naillanalphanairakoze3880
Жыл бұрын
Leo sasa ndo kuamini kama niwapendanao.Juu @MillardAyo kasema😂.I really love this guy. Hujawapi kuni disappointed kwa maswali yako kwenye interview ❤
@user-wz5dz7io8x
Жыл бұрын
Mungu hawabariki wawe pamoja milele amen
@kissamwamunyange1018
Жыл бұрын
MashaAllah babu Tale
@SalmaSalma-wz1xv
Жыл бұрын
Kweli unaweza kutembea hata nawanawake kumi lkn bado ukakosa furaha ni jambo la kheri sana wamalize tofauti zao
@faudhiasalum7279
Жыл бұрын
Zuhura & Nasib👰🤵Aya.. Hongera sana
@mohammadoman8963
Жыл бұрын
Allah awajalie wafunge ndoa watatufurahisha sana maana tunawapenda
@rachelnyale2984
Жыл бұрын
WOW good news ❤❤
@breezybabilon5797
Жыл бұрын
Millard Ayo respect sana
@salamanauthar5261
Жыл бұрын
Subhanallah!!!' mpole ana dini'!! innalillaih Wainnaillaih rajiuun
@saadabakar7750
Жыл бұрын
Salama nikuulize hivi wewe ni mkamilifu,unajua kesho yako. Hapa kakusudia ana hofu ya M.mungu,ndio tunavyotakiwa binadaam haijalishi uko na Imani gani ya dini,Acha kuhukumu muomble dua hofu yake izidi kwa M.mungu.
@hawasaid7151
Жыл бұрын
@@saadabakar7750 yan hata sielewi kimemshangaza nn hapo.
@salamanauthar5261
Жыл бұрын
@@saadabakar7750 sijamaanisha Mimi ni mkamilifu' huyo babu tale bora asingesema ana hofu ya MUNGU' Mwenye hofu ya MUNGU' hawezi kukaa Uchi hadharani Kama tunavyo muona
@salamanauthar5261
Жыл бұрын
@@hawasaid7151 na uelewe ili iweje???
@catherinekiwipa9271
Жыл бұрын
@@salamanauthar5261 🤣🤣🤣🤣🤣🤣unafikir Mungu awez kuwauwa wote wanaokaa uchi ili abaki na wema wanaovaa stara hofu ya Mungu ni mavazi bas enderea kujifunika
@productivityprogressprince5156
Жыл бұрын
Mi mwenzenu nampenda saaana babutale😊😊😊
@josephmolle
Жыл бұрын
❤
@rajwaseif7735
Жыл бұрын
Hata Millard is wise The way anauliza maswali. Namkubali ni professional.
@ezronhussen5401
Жыл бұрын
Likes zenu jaman
@mbaraksaary5750
Жыл бұрын
Diamond kumbe anaswalia kiwango cha pesa inamaana anamuekea mungu vigezo babu usitupake mafuta bana amna kitu
@maryamjey6340
Жыл бұрын
😂 astafirullah
@dorinekwizera1483
Жыл бұрын
Mbarikiwe sana
@user-lo1ub5sv1t
Жыл бұрын
Safi sana Babu tale uko na uwazi
@kimah9855
9 ай бұрын
I pray them to marry🙌🙌🙌🙌🙌
@mashiassenga8849
Жыл бұрын
Ayo umetisha sana bro 😅😅😅
@lulumalima1739
10 ай бұрын
Mr. Tale you are a sensible man busara. Tunaomba Susi ndoa iwe watakuwa power couple. Diamond hajalitambuwa it's sad. Zuu $ Do, yeeeeeeeh
@IsaacJames-sv3zk
Жыл бұрын
💯💯💯
@godsdaughter2820
Жыл бұрын
Alafu zari anajidai eti Diamond loves her🥱🥱😩😆😆😆🏃🏃🏃
@salumunsabimana6502
Жыл бұрын
Babu tale na kuombeya duwa upate mke mwema mshee kuleya wa toto inshaalaah.
@khalsasalim7930
Жыл бұрын
Dada zuu hata ukiolewa kwa Ukoo ule na bwana ni samaki hapishi chambo uandae moyo mwengine wa spare😂 mara hii umetaka kuchoma nyumba kisa fantana
@lindambilinyi6253
Жыл бұрын
Ile familia co😅😅😅😅😅😅
@rich.kizza10
Жыл бұрын
Millard why huweki music background?
@godsdaughter2820
Жыл бұрын
Yani nimefurahiii I wish waowane kweli😮😢🙌🙌🙌
@sylviembirize
Жыл бұрын
Good Nice babu tard
@shishgal2274
Жыл бұрын
❤❤❤
@shammaabeod4050
Жыл бұрын
🔥🔥🔥❤️❤️❤️
@Tabiatz
7 ай бұрын
Nice
@catherinejullu6615
Жыл бұрын
Kaka yangu unaakili sana ❤❤
@subirajohn728
Жыл бұрын
Mond&Zuchu❤️❤️❤️
@MamaMama-xp4nk
Жыл бұрын
Nampenda babu tale kafanana na ba mdogo wangu
@nyawamwero587
Жыл бұрын
Acha umalaya wewe
@MamaMama-xp4nk
Жыл бұрын
@@nyawamwero587 mwambie mama ako aache kwanza yeye
@nyawamwero587
Жыл бұрын
@@MamaMama-xp4nk Umalaya utakumaliza, mtu hata humjui wasema kafanana na bamdogo wako!! Si umalaya ni nini!!
@gracewairimu800
Жыл бұрын
Yani nnavo mpenda babu tale mtu muwazi sana na Ana maneno ya busara sana mungu am bariki na Mke mzuri apate furaha na amani moyoni
@khadijahali4837
Жыл бұрын
😮😮
@NextoHunter-rm3cs
Жыл бұрын
Ayo TV 📺ni 🔥 🔥 🔥
@mujibushamba4383
Жыл бұрын
Ayo bomba
@vickykapama8386
Жыл бұрын
Wahanga walisema MTAKA CHA UVUNGUNI SHARTI AINAME!! Lzm Zuhura ajishushe na amti Chibu na vurugu zk na FANTANA😅😅😅😂😂
@user-xf3wm6vx9m
2 ай бұрын
Mungu akulindie Watoto wako😢
@dianabanga2625
Жыл бұрын
👏🏿👏🏿👏🏿♥️
@thelight-ur3oi
Жыл бұрын
Lakn tale hatukuekewi 🎉
@lindambilinyi6253
Жыл бұрын
Leo ndo naamin kumbe kwel hawa wapenz😳😳😳😳yaan me nilikuwa nadhan km porojo za mitandaoni tu
@hadijandenga6222
Жыл бұрын
Nawaombea sanaaaa
@jumayussuf7746
Жыл бұрын
Babu tale nikikuon nakumbukag mbali sn nakuoneag hurum sn mpak sasa hv hujaoa dah ulikuwa unampend sn mke wako hv nasisi waume zetu tutangulie km leo watakaaa mda mrefu hivi🚶♀️🚶♀️🚶♀️
@judithsijaona9875
Жыл бұрын
Juma afu unamume😢
@julianajoseph783
Жыл бұрын
Kwa upole huu wa Babutale ananimalizanga tuu
@aishasaidi1784
Жыл бұрын
Haya 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂fantana
@chany9950
Жыл бұрын
👍🏽👍🏽👍🏽
@hopefully7090
Жыл бұрын
Huyu amekwenda kusafisha hali ya hewa hana lolote kwanini Leo?baada ya zuchu.kufanya vurugu.
@mozuu1260
Жыл бұрын
Han ww akklizako kama zangu yeye na juma wamekuja kutuzuga
@@masimangolouis4730 wapi??dai aowi leo wala kesho
@abdillahomar4541
Жыл бұрын
Kumbe unajua leo
@ismailykazumal
Жыл бұрын
Mmeshaambiwa ndoa ni riziki lakini bado tu mnabisha Mungu ndo anapanga ndoa jamaniii
@ismailykazumal
Жыл бұрын
@@jacklyneotieno1564 Sawa Mungu tumekusikia wala hatukupingi, Kwasababu wewe ndo Mungu 🤔
@sakinaamani1486
Жыл бұрын
Mmmmm ssa hayaaa
@rajumrecords711
Жыл бұрын
Hofu ya Zuchu kutoka WCB ni kubwa. WCB itakufa. Lazima Tale amsifie Zuchu ili Asitoke WCB
@safariadrien5348
Жыл бұрын
Mulisema ivyo tena mmakonde alipoondoka. Hakuna player mkubwa kuzidi team no matter how big you are
@mohammadoman8963
Жыл бұрын
Hayo maoni yako tu
@ikouwasi7644
Жыл бұрын
pole sana
@rajumrecords711
Жыл бұрын
@@safariadrien5348 so wewe Kwa unavyoona WCB bado iko na nguvu? Kwa Msanii yupi?
@giztony2009
10 ай бұрын
Kuna watu wanafikilia kupitia miguu yani wcb ianguke kupitia zuchu wakati imekuwepo( wcb) kabla ya zuchu
@user-yl4sr8gw7f
10 ай бұрын
Kweli
@ghadaalzuhari2739
Жыл бұрын
Kwenye ndowa tuache bwana 😂😂
@omanmct135
Жыл бұрын
Kweli kabisa babutale❤❤❤
@noswingofficial9624
3 ай бұрын
This men is loyal
@STAVOO_WEEZZY
Жыл бұрын
Holla
@chuseboy
Жыл бұрын
Wa Kwanza hapa gonga like gys
@afyamkononi4778
Жыл бұрын
*KWANINI USALITIWE NA MWENZA WAKO KISA HUMRIDHISHI*, 🥊 Unawahi kufika kileleni kabla yake, 🥊 Unashindwa kuendelea awamu ya pili, 🥊 Dhakari yako inasimama legelege, 🥊Kukosa hamu ya tendo, 🥊Kutosimamisha dhakari. *NI LAZIMA ATAKUSALITI TU*. Kuishi ni "KUCHAGUA" na uchaguzi hufanywa na maamuzi. Chagua kuwa IMARA ili uishi kama mtawala. Tumia X POWER MAN , RUDISHA HESHIMA YA NDOA UNAAMBIWA HII NI ZAID YA VUMBI LA MCONGO🔥🔥🔥 Waliokwisha kuitumia wanajua nini namaanisha Ukiitumia hii always wewe utabaki kuwa shujaa💪💪 X POWER MAN COFFEE KIBOKO YA KIBAMIA NA NGUVU ZA KIUME💪 Ni dawa yenye nguvu sana ambayo inamchanganyiko wa dawa4 ambazo matumizi yake unaitumia kwa wakati mmoja tu ➡️Ni dawa yenye kutibu tatizo kabisa na kuisha sio kupata nafuu💪 1⃣Inaimarisha mishipa ya askari aliye legea kutokana na kujichua kwa mda mrefu.. 2⃣Inazalisha homoni na mbegu kwa wingi ambayo itakufanya uwe unapata hamu ya kuwa unarudia tendo hata mara4 zaidi. 3⃣Pia inakufanya uwe unachelewa kufika kilelen kwa dk25 au zaidi. 5⃣Kwa waliojichua maumbile madogo au waliozaliwa na maumbile madogo inakuza kuanzia inch6. hiyo ndio X POWER MAN COFFEE💪 inayotumiwa na watu wengi wanapona. Inapatikana Arusha,Moshi na Manyara kwa mikoa ya kaskazini Inapatikana pia na Dar es salam na inaweza kukufikia popote ulipo dar es salam ,Mwanza, Zanzibar ,moro,mbeya ,na mikoa yote Tanzania kwa bus ama boat NB; dawa hizi ni za asili (mitishamba) hazina madhara wala kemikali ya aina yoyote Kama unahitaji piga au niachie ujumbe andika ,#Nahitaji_dawa .taja eneo ulilopo nitakujibu haraka ✍🏿Tupigie sasa upate suluhisho la tatzo lako, Call/What's U 0658283250 X POWER MAN, ni dawa mujarab kwa ajili ya kumaliza matatizo hayo
@OmanOman-dn6dj
Жыл бұрын
😅😅😅Nicheke kidogo
@abdoulkarim7123
Жыл бұрын
Wemukubwabro Millard
@yusternyirenda7231
Жыл бұрын
Inshallah ikawe heri kwao, nawapenda mno zuchu na diamond mpaka naumwa pia huwa nawaombea usiku na mchana wawe mke na mume kiukweli kabisa hii ni kutoka ndani ya moyo wangu.
@saidsalum9587
Жыл бұрын
Swala 5 mzeee
@anicyaedward6257
Жыл бұрын
I love Babutale kwa interview zake ila Daimond kumuona zuchu that will never happen.....babu tale ata zari ulisema hvyo hvyo still Mapenz ya kaisha yan Daimond angekuwa anapenda hasingekuwa anasema yup single everywhere yan hakuna love pale mmoja wapo anatumika ....i love zuchu ila kwa mond kapotea
@mubuyafrancis3979
Жыл бұрын
Kwahiyo unataka aseme Nini sasa.
@mohdchuma78
Жыл бұрын
Wanatumiana kila mmoja anapt faida kiupande wke hakuna wakulaumiwa zuchu sio mtt istoshe ana wazazi wake kamili sasa apo hakuna upande wa hasara ht mmoja.
@pengefeza2563
Жыл бұрын
@@mohdchuma78 Hata Babu Tale humuamini?
@masimangolouis4730
Жыл бұрын
Wewe ni Mungu mpana rizki?
@anicyaedward6257
Жыл бұрын
Zuch udogo gani sasa 30 years plus au akifka 40 ndo mkubwaaa 😅😅😅...zuchu kapishana na nandy na wakina Hamisq ...wote ange sawq ...sema zuchu anajiweka kitoto ila sura yake Inaoneshs
@lucymtuka3199
Жыл бұрын
Mapenzi hayako kwenye sura tabia ni kitu muhimu sana
@amanimapenzi571
Жыл бұрын
Babu Tale Asante sana kwa kufunguka ndio watu wanao mdhihaki watu hawajaoea upendo wa kweli! Zuchu is being submissive kwa diamond but watu wanamchukulia anampenda diamond kushinda diamond anavyo mpenda...... Let me tell you my people, diamond loves zuchu more than anything in this world! From Sandra to Zuchu!!!!!? Na ukumbuke Mondi katoboa mwenyewe!!!!!
@jacklyneotieno1564
Жыл бұрын
😂😂😂ati more than anything????wacha kudanganya mwenzako.....anakanwa kipetero ki yesu then unasema anapendwa..... wanawake wengine wanapigwa busu tena live inasambazwa kwenye media halafu unasema anapendwa weee.... thubutu....dai yupo single
@halimayahya1948
Жыл бұрын
Et daimond alisema akifikisha kiasi hiki Cha pesa ataanza kuswali sisemi hvo kwakua mie ni msafi,daa yaan unavoongea mambo mengine ni aibu kuongea public zuchu anadini sana hv unamjua mtu mwenye dini wewe sad😢 ndio tukaambiwa kupata pepo ni ngumu na kabla hujapata hyo pepo nahisi lazma mtu auonje moto kwanza😅😂
@nasfatnasibu
Жыл бұрын
Unahic mvaa mabaibui na shungi pekee ndo anadini? Dini ipo katika moyo na Iman yako waweza vaa majuba na bado usiwe na Iman ya din yako hilo Ni vaz tu imekua Kama fashion
@m___ck799
Жыл бұрын
Yaani nimeshangaa pia!😢 hela ndiye inamfanya aswali ka sasa!!😮
@halimayahya1948
Жыл бұрын
Huumwi lakini sijaongelea kuhusu kuvaa nguo I don't judge her for her clothes, nimesema tale hamjui mtu mwenye dini na hata hv uzuri uislamu haujaacha kitu umeongelea had mavaz [Ewe Nabii! Waambie wake zako, na binti zako, na wake za Waumini wajiteremshie nguo zao. Hivyo ni karibu zaidi kuweza kutambulikana wasiudhiwe. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe ,Quran],uchi wa Mwanamke ni mwili mzimaa isipokuwa vingaja uso na miguuni kuanzia kwenye fundo
@hamidasalim7226
Жыл бұрын
Haya wewe utakaeipata pepo ukifika huko uwasalimie watu wa peponi
@aishaabdallah9327
Жыл бұрын
@@halimayahya1948 jina Kubwa Masikini Halafu anaongea Utopolo, Dini ipo moyoni wakati hyo aloshusha dini kashasema Stara za mwanamke ni mbili Ndoa Na Mavazi sijui anatetea nini sasa
@allaboutnandy9288
Жыл бұрын
Damage control
@erasmusmlay3284
Жыл бұрын
Mzee hajaoa kumb😂😂
@modernbeauty5309
Жыл бұрын
Yes, the Lion got full or it's just me. I won't mind if It's just me
Пікірлер: 347