🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Lisaaaaaaaaaaaaa ujuaji mwingiiiii mbele gizaaaaaaaaaaa wadauuu kuna ndoa tena hapooooo...!!!!?
@raayMahmid
Ай бұрын
❤❤❤
@swabrinamwaka2437
Ай бұрын
Neka neka wewe😂😂😂😂
@TeklaNdekeja
Ай бұрын
❤❤ abee shemeji kt🔥🔥aise tukumbuke mapema msim3 bado tunaipenda ni tam namafundisho mengi nega maopito Nimeng ila hapow anahakomi😅 ngoja tuone Hawa wanawake wa hum daah!
@zenaathumani8144
Ай бұрын
Wakwanza jamani likes zenu 🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao wote
@zenaathumani8144
Ай бұрын
Jamani hizi pesa yaani watoe uhai Wa roho za watoto hambazo hazina atia alaniwe huyu mwanamke 😢😢😢😢
@tatoo0098
Ай бұрын
Mmeniwahi jomon 😂😂😂😂😂😂
@MYME-u5d
Ай бұрын
Kitu kinazid kusonga na utamu unazid kukolea😋😋 hv huyu Aney mbona kaleta bomu ndan hayaaa!! ngoja tuone
@twinssauditwinssaudi7248
Ай бұрын
Pamoja
@زينزوادي
Ай бұрын
KAZIZURI POKEA 🎉🎉🎉❤❤ TUNAKUSUBIRI KWAHAMU
@mariamMilha-st3qu
Ай бұрын
Laaaaaauyu lisa mwisho wakomubaya wadauchares naye jinamizi 👁👁👁👁wadau iyisimulizi inanikumbusha muvi ya Maya na Ajiun munamukumbuka mwisho kama hujaiona yitafute iviivi badae
@mariamMilha-st3qu
Ай бұрын
Shukuran Mwandishi wa iyisimulizi namutafsri💐💐💐💐🫂🫂munajuwa kudufundisha Allah Awaripe kher nabalaka lakini usikawiyi kutupa hatimaye Ahemmed nini nikuukumiwa awo arishindamipango yashetani🙈🙈🙈🙈🔥🔥🔥
@lonakirao5275
Ай бұрын
Lisa ndoa huna tena ww😂
@AnnaMundia-d3o
Ай бұрын
Wanawake tupewe nn turidhike lisa uapewa kila kitu ..Yusrat uapewa kila kitu lakini munarejesha na maovu..jamani turekebishe ..thanks director
@tatoo0098
Ай бұрын
Huyu analaana ya ngono
@Evelynmoreen3655
Ай бұрын
Mi nahisi mwishoni Aney ataolewa na Ahmed atakapo pona kutoka kule mwaule mufuko alipo uliwa na kaka yake kasim.
@Rais__772daughters
Ай бұрын
Lisa atapoteza 4 akifikia 8😂😂😂😂😂
@MYME-u5d
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 yaan humu ni pata potea hakuna ndoa hapo
@TeklaNdekeja
Ай бұрын
@😅😅 wanawake km Lissa hee Yani mali kuliko ata mwenye mali, Lissa ndoa ataisikiat marashier-lq6kr2gl7n
@MYME-u5d
Ай бұрын
@@TeklaNdekeja humu ni full burudani lissa ndoa hakuna yusrat talaka mkonon 😆😆😆😆😆
@Rais__772daughters
Ай бұрын
@@MYME-u5dila yurs atapoteza kila kitu 😢😢heri agemueleza Ahmed kila kitu kutoka mwanzo agenda kwa baba watoto
@Rais__772daughters
Ай бұрын
@@TeklaNdekeja ogopa hawa watu wanaitwa wanawake ata shetani ni afadhali
@nurafedrick378
Ай бұрын
Yan mm huyoo nimkaribishee mtu ambaye niliwai mchukia tukiwaa collegee kama kaniroga huyu dada kaleta bomu kwanyumbaa neka anakula mali yawatu yani mwanaume bn hata umpee stl zote bado atakusaliti tuuuu Nimepa auheni huyuu Charles ashajua mubaya wake ni mke wake yani Mungu nimwema jamani lisaa jipange mama
@MamahetuChikuti-mp5lj
Ай бұрын
Mama yusrat aingilia mambo asiyoyajua,mwisho akijua ukweli sijui ataeka wp sura yake hajui km mwanawe ndo malaya tena mwenye maovu tu mengi
@tatoo0098
Ай бұрын
Hana adabu tu nayeye kwasabb kwanza angeuliza kulikon bila kuchukua maamuzi 😂😂😅😅
@MamahetuChikuti-mp5lj
Ай бұрын
@@tatoo0098 Heri pia maana Ahamed angemsamehe aendelee na uchafu wake,naende Kwa baba watoto sasa ukapambana na Lissa
@FatimaRamadan-s4f
Ай бұрын
Pia mama Ahmed ana shida ukiambiwa kitu bora ufatilie kimya kimya usipuuze siku watoto walipo zaliwa alipewa mesej akaipuuza sasa maumivu ya Ahmed nimakumbwa angezuiya haya mapema ingekuwa nafuu
Пікірлер: 32