Kuzimia lazima 😁😁😁😁na ukizinduka ukaskia tena sauti ya Mwanri unazimia ..
@thobiasngonyan7577
5 жыл бұрын
eliza kileo yaan atazimia ata mara kumi ;miss you eliza niceeeee
@dr.lottolotto5323
5 жыл бұрын
Alafu unakufa
@user-us9gl8jg4l
5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@adelynemizengo1514
5 жыл бұрын
😂😂😂😂
@chriskingnampoto3214
5 жыл бұрын
Hahaa
@abednego3876
5 жыл бұрын
HUYU JAMAA AHAMISHIWE MTWARA AKAPAMBANAE NA KOROSHOW.. Maana Huyu ni Master
@agathathobias8690
5 жыл бұрын
Abed nego watuachie mwanry wetu ainyooshe Tabora watoto sasa wanasoma
@josej9888
5 жыл бұрын
Hapo kusimamishwa ni uongo, ndo kishaota nyasi hivo! Kama matani vile kumbe kweli!!
@jeninunu9177
5 жыл бұрын
Safi sana huu ndiyo mpango bora kuondoa wavunja sheria sehemu zote
@maulidkabogota5922
5 жыл бұрын
Nitafurahi sana Mh Mwanri akipanda cheo kuwa Waziri.Anatufaa sana katika kujenga nchi yetu,hakuna masihara hapa nyoosha tu watu.Safi sana Eeeh.
@praxedadominic9864
5 жыл бұрын
Kwa waliosoma ipuli sec Tabora kama umemuona sir sichone gonga like
@anthonynhongokemalekela7707
4 жыл бұрын
Asante mungu kwa kumuona mkuu wangu wa sekondari 2015 ziba sekondari pendo ndaki naombeni like zenu jamani
@msofelighitrider5748
5 жыл бұрын
Kwakweli nimshukuru mungu sipo serekalini mana ninavyo jijua ningesukumwa ndani 😂😂😂
@mudhakirudauda7933
5 жыл бұрын
😂😂😂😂
@meena-ol6fo
5 жыл бұрын
Yaani mie ningemskizaaaaaa kisha namuuliza umemaliza muheshimiwa?halafu namwambia nihivi baba mkundu wako wewe naaliokuleta hapa nyaga nyie yaani nitaongea haraka maana najua watanivamia
@pitargamba9208
5 жыл бұрын
Hongela umegunduwa udhaifu wako.
@joankunambi9992
5 жыл бұрын
Msofe Lighitrider hahahaaa
@kuchenavhe0028
5 жыл бұрын
Haaahaaa
@efelimwambije708
5 жыл бұрын
njoo mbeya mheshimiwa, nimekubali kazi yako tena mungu akubariki.
@dottobussagwe5264
5 жыл бұрын
Hahahaaaaaaaz
@pelusiemanueli6926
4 жыл бұрын
Hahahahahaha kama. Umesikia. Ety. Ili jengo kuisha mpka. YESU aludi yen gonga like twende
@rashidmalilo3657
5 жыл бұрын
Mwanri wewe jembe Rais akupe cheo cha juu ukuu wa mkoa haukutoshi wewe ndio unaendana na kasi ya Rais.
@ezekielevarest6254
5 жыл бұрын
Mkuuu anapiga sana kazi asee
@emmanueljohn8970
5 жыл бұрын
JPM mwenyewe Hatumuwezi itakuwa Huyu.. Si ndo watu watalia kabisa
@adamchamoma5227
5 жыл бұрын
Mzee hatar huyu.
@zuhurasebastian5883
5 жыл бұрын
Rashid Malilo Tusipate kumsifia mtu akiwa anafanya maamuzi ya paniki tujiongeze kidogo wa ndugu
@boniphacenyamhanga9395
5 жыл бұрын
Piga kazi mwaniri , i like from Italian
@geraldgodsontv7982
5 жыл бұрын
Kama unamkubali mwanri mpeni likes zake
@shukurumgaya5950
5 жыл бұрын
Amezimia akianguka sawa tu huyu jamaaa ni hatarii gonga like
@histonezekiel8054
5 жыл бұрын
Hizi kazi bora niangaike mwenyewe au mnasemaje wadau
@rosemshanga746
5 жыл бұрын
Histon Ezekiel umeonaee
@histonezekiel8054
5 жыл бұрын
@@rosemshanga746 nimeona maana sasa utakufa bure na visivyo kuusu unaweza ukawa aujui chchct lkn likawa upande wako
@ramaccr7525
5 жыл бұрын
Histon Ezekiel apo lazima niangahike mitahani kwamaneno ayo na kwahizi asira ninazo bora niangaike
@robertjunior9916
5 жыл бұрын
Naomba CV ya Aggrey Mwanri
@marthapius5361
5 жыл бұрын
Robert Junior LUGE alikataa kuangalia CV
@mwanahalimamwachili9679
5 жыл бұрын
Duuh Hongera sana Mkuu Maana huruma zaregesha nyuma,Poleni sana.
@Philipoupdates
5 жыл бұрын
Uwaga upo rafiki
@mwanahalimamwachili9679
5 жыл бұрын
@@Philipoupdates Ndio Mi Popote pale Si Chagui Si Bagui.
@ngaksthegreat732
5 жыл бұрын
Engineer:🙄😌 Mwanri: usinitazame kwa jicho LA huruma hapa..!! ......................😂😂😂
@simonringo4701
5 жыл бұрын
Super Mwanry! Tofauti sana na hao vijana wanaoongoza kwa mihemko badala ya kutumia busara!
@wanderaothumani4919
5 жыл бұрын
Bila hivi nchi haiendi
@aminasaleh6134
4 жыл бұрын
huy mkuu wa mkowa angekuw rais wet wa zanzibar mwaka 2020 yaan zanzibar ingekuw nchi imara sana
@derricdeuc3628
5 жыл бұрын
Hilo dirisha amekunywaa 😂😂
@denismrutu9655
5 жыл бұрын
Derric Deuc 😂😂😂😂😂
@mboga7
4 жыл бұрын
Nimekubali iyo
@sifamugwaneza1178
5 жыл бұрын
Hapo ndipo utajua kwamba kuitendea haki kazi yako nimuhum au la!! Ambao bado wapo kwenye kiti waitumie nafasi yao vizuri maana mambo hayatabaki kuwa mazuri kilasiku, dah!! pole ako
@kassimjuma8713
5 жыл бұрын
Punda haeindi mpaka mijeredi. safi sana. mkoa wangu umepata mtu. sahihi.
@boniphacenyamhanga9395
5 жыл бұрын
Piga kazi baba wewe na Magufuri nawakubali sana kuliko viongozi wote nchini Tanzania Nyamhanga from Italian
@wakavengaog9016
5 жыл бұрын
Huyu Km Ni Babaako Aseeeeee............Utajuta Kuzaliwa Nae🤣
@johnmwandu2116
5 жыл бұрын
Daaah Shule yangu kabsaaa huko Igunga, mliosomea Ziba sec. Niwafahamu
@mwanju3981
5 жыл бұрын
mimi kongwa
@johnmwandu2116
5 жыл бұрын
@@mwanju3981 Michael Kongwa!?
@ezekielmbazi.8687
5 жыл бұрын
bora kujiajiri tuuu
@josephinemacha7112
5 жыл бұрын
Kweli brother
@joycenganyule3231
5 жыл бұрын
Ezekiel Mbazi. nice
@AliMohamed-kd1uc
5 жыл бұрын
Duuuu
@helmensliampawe7775
5 жыл бұрын
Watu wengi atujui kuajiliwa ni utumwa!!
@egnokinunda6959
5 жыл бұрын
Kweli
@barakastephano6144
5 жыл бұрын
Huyu mtu hunifurahisha sana, yaani huwatetemesha watumishi kama mzee magufuli tu. Big up kwako mh. Mwanri
@tabiafataki8917
5 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa uyo tungeletewa mkoa Moro ingekua vzr kuna madd mengi uku
@peterkyese4516
5 жыл бұрын
Umeonaaa eeh haswaa kilombero Kuna mavi mavi tyuu sijui rais hua aoniii 🙄
Safi sana mzee Mwanri,unamsaidia vzr mh.Rais ili taifa letu lisonge mbele,hawa watu wameaminiwa na kupewa dhamana lakini hawatekelezi ipasavyo as a result wananch wanaichukia serikali yao.
@Frankgamanuel
5 жыл бұрын
Mh.Salute Hio nafasi sio staili yako unatakiwa mh.Rais akupandishe cheo zaidi Hili kuwatete watanzania wote . Nilicho kipenda hapo huchunguzi hufanyike hasie na kosa ataenderea na majukumu yake kama kawaida bila kumuonea mtu. Halafu hawa wanao taka kula kwa nini wanataka kula wenyewe bila kukushirikisha? Wakumbushe kazi haendi hivyo hata wewe unaitaji kula.
@frankmkobalo9713
5 жыл бұрын
Duuuuuh rais magufuli naomba huyu jamaa utulitee dodoma anafaa sana na ataendana na kasi ya mkoa
@hihoonlinetvchannel1575
5 жыл бұрын
Namkubali sana mzeyeee..mfano wa kuigwa kwa viongozi wengine
@stellakashebo5052
5 жыл бұрын
Du Sawa amekosea anazimia MTU amjali maisha ya MTU hayalingani na hill jengo duuu mungu tuhurumie
@eunicemishel2562
5 жыл бұрын
Eti Yesu atakaporudi.Hivi unajua siku atakayo rudi
@peterkyese4516
5 жыл бұрын
Eng usimwangalie mkuu wa mkoa kwa huruma kweli weee baba just love you from mbeya city
@annachuma247
5 жыл бұрын
Pole patricia
@happynescharles1511
5 жыл бұрын
Ndo maana sina mpango na ajira zao kufanya kazi kiroho juu juu duuu maisha yenyewe hayaaa
@salumseif5838
5 жыл бұрын
Wabheeja sana bhabha..bhagololage kooi
@georgemashauri4657
5 жыл бұрын
Mzee nenda nao jumla jumla
@theonlyonebeautiful3726
5 жыл бұрын
😂🤣😂😂😂yaani huyu baba ananifurahisha sura yake tu hapo hajatumbua 🤣🤣wakomeshe wamezoea kuchakachua kila kitu wamesahau ni uzao wa magu upo kazini.magu hoyeeeeeeee💪💪👊
@peterkyese4516
5 жыл бұрын
Kwanini mwanri asihamishiwe morogoroo maana Kuna viongozi was morogoroo ni mavi mavi tyuuu....,🙄🙄🙄
@maxmaizer4631
5 жыл бұрын
Aapana acha kwanza akae uku tabora
@omarymwigura328
5 жыл бұрын
Mtu akianguka mm Sina tatizo 😂😂😂alafu huyu kuuli si ndio kafungiwa na Tff
@eliamwalukisa4173
5 жыл бұрын
Tukimpa nchi Huyu mzee tumekwishaaaa aisee
@maxmaizer4631
5 жыл бұрын
Hshahaaaa
@gabrielishmael5956
5 жыл бұрын
Kukosa ugali na hujajipanga ni noumaaaa....lazima uzimeee
@lamecktheonest225
5 жыл бұрын
Gabriel Ishmael mbaya zaidi uwe namadeni,, mayooo😁
@mapenzi_tz1511
5 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁
@jenifambafu2682
5 жыл бұрын
hahahaaaaaa uwiii kz kweli kweli ugali ni noma
@judithpaul9013
5 жыл бұрын
Lameck Theonest hahaha umenichekesha knom
@raziambwana2145
5 жыл бұрын
Gabriel Ishmael hahahaa
@mcmifukotz7267
5 жыл бұрын
INJINIA USINIANGALIE KWA HURUMAA 😂😂😂
@kelbeckmusicworld1736
5 жыл бұрын
😂😂😂😂
@felixcostantino9729
5 жыл бұрын
ema mifuko 😂😂😂
@theonlyonebeautiful3726
5 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@2pacshakur912
5 жыл бұрын
Utawala bora haupo hivyo
@denismrutu9655
5 жыл бұрын
ema mifuko 😂😂😂😂
@ndarogamba191
5 жыл бұрын
Nakukubali kwa kuwa u muwazi japo majuzi hapa uliboronga kwa kumtaka Mungu amshukuru Magufuli ila tulikusamehe kwa kuwa tulijua kutokana na mtu akizidisha umaridadi au mgema anaposifiwa💪💉
@hafidhramadhan3942
5 жыл бұрын
Wazee wa Bodi naomba muje hukuuu hahahahaha
@gloriachristianshirima5001
5 жыл бұрын
Baba Irene kaza butiiisukuma ndani haoooo
@praksedamweyo9467
4 жыл бұрын
hafidh ramadhan
@mmbandomacky2117
5 жыл бұрын
Kuzimia kwangu is not an issue......hhahahhahhhahah
@joelkidunye7270
5 жыл бұрын
Ujue ukiachana na maswala ya kuwa wameajiriwa na serikali,lakin kwa Tanzania watumishi wa uma wanaongoza kua na stress,mi nahisi icho ndo kitu kinachowafanya washindwe kutimiza majukumu yao,hawana furaha na hawana confidence pia dooh
@janestauffer111
5 жыл бұрын
Sio kweli ukifatwa maelekezo na sheria za kazi stress zitatoka wapi
@joelkidunye7270
5 жыл бұрын
@@janestauffer111 Jane moja kati ya sifa za mfanyakazi bora ni,,,anatakiwa awe anafanya kazi without any pressure, sasa sku izi kila public servant yupo under pressure
@janestauffer111
5 жыл бұрын
@@joelkidunye7270 why wanakuwa na pressure what's a reason behind...... Hivi ukifuata majukumu yako kuna mtu atakuingilia I think who a are not faithful in such ndio wanakuwa under pressure sana take this example ww ni mtoto unakaa na wazazi wako ukikosea na unamjua baba yako vile alivyo ukisikuia baba Huyo anarudi nahis unaweza kuzimia all the time unawaza baba akija nn kitatokea but kama hauna kosi wala unakuwa comfortable
@joelkidunye7270
5 жыл бұрын
@@janestauffer111 a goo example but let me make it to be more relevant,,, there are different processes and procedures before terminating or demoting a public servant try to search them,but I gues I need to explain it more to you
@sharifaabubakari6372
5 жыл бұрын
Mtakuja kuua mtu cku iwe kizaa zaa..Mwl. aliona mbali akakataa swala hili zipo taratibu maalum za maadili ya utumishi wa umma
@pitargamba9208
5 жыл бұрын
Kabisa Mungu akubariki
@reubenbusanji2904
5 жыл бұрын
Sharifa Abubakari kwani Wamefukuzwa?
@reubenbusanji2904
5 жыл бұрын
Huyo afisa angekuwa msafi asingezimia maana uaminifu wake ungemtetea bila shaka anajua makosa yake atavuna alichopanda
@aliciusalistides6748
5 жыл бұрын
Kazi za kuajiriwa na serikari hatari bora uajiriwe na kampuni maana unakuwepo ujijui utang'olewa link ase Mimi napiga MOBISOL safi
@J4UPro
5 жыл бұрын
Hajang'olewa kasimamishwa kupisha uchunguzi.
@barakamarmo8104
5 жыл бұрын
Maafisa Elimu ni wababe sana wanapokuwa maofisini,hawana huruma na walimu utadhani wao hawakuwahii kuwa walimu!!!sukuma ndani wote!!!
@athanaserazaro6517
3 жыл бұрын
Siku wakikuhamishia mwanza nitafrahi sn mzee nakukubali sn ujanja ujanja hakuna na kazi iendeleee
@filbertnashon7160
5 жыл бұрын
😀😀😀😀dirisha Hilo INJINIA amekunywa 😀😀😀 Mkuu
@mussahmanyehe267
5 жыл бұрын
Shida ni Eng kwann asisimamie kwa Raman? Ss maeng.tunaongozwa na rmn
@radhiasalum7156
5 жыл бұрын
Kama umesikia mtu akianguka akizimia mie sijali gonga like hapa😂😂😂
@edisonkayaman8851
5 жыл бұрын
Nakukubali piga kaz mungu atakuongoza
@oningskimriz9011
5 жыл бұрын
Uuizi lazima upungue tu wanazimishwa tu
@uncledavitv6481
5 жыл бұрын
kuzmia kwangu isn't a issue😂😂😂 Daaaah Mwanri unajua Kwamba we nijembe kabisa
@mariamsayari7880
5 жыл бұрын
Upo huku nawewe😂😂😂
@tuly_tulive_tv_online_0140
5 жыл бұрын
@@mariamsayari7880hbr
@mariamsayari7880
5 жыл бұрын
@@tuly_tulive_tv_online_0140 Poa
@mbondokambi8053
5 жыл бұрын
Hamna kitu hapo wamekukimbia kijanja
@mhemahenrick9043
5 жыл бұрын
Mbondo Kambi ip
@mligombuma2287
5 жыл бұрын
Afisa elimu anaanza kujiliza aonewe hurumaaa hahahaaaaa kazi kweeeelii kweeelii
@chibedechemical2111
5 жыл бұрын
Kama umeskia apsa elim gonga like tujuane
@fratebongole1827
5 жыл бұрын
Mungu amlinde jaman rc mwanri ni jembe
@mangalilikilawe6788
5 жыл бұрын
Aaha kuzimia me labda kama mtu amelala amezima is not isshu
@elinahdaudi8195
5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@mapenzi_tz1511
5 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁
@christinadismas7487
5 жыл бұрын
Haha
@micamathew6433
5 жыл бұрын
Amezimia mtu mmoja hapo, dahhh, kazi ipo
@jumasuleiman9570
5 жыл бұрын
Injinia amekunywa dirisha.....😂😂😂😂
@theonlyonebeautiful3726
5 жыл бұрын
🤣🤣🤣😂😂
@evansrichard4497
5 жыл бұрын
Wampe uwaziri wa Michezo ili awanyoshe
@edsonmunuo7112
5 жыл бұрын
😂😂😂😂kanywa kweliii
@saumuhassan6365
5 жыл бұрын
NAKUPENDA SANA *RC MWANRY*
@eriethjustine8362
5 жыл бұрын
Dirisha limenywewaaaaaaa
@mussahamissimba6889
5 жыл бұрын
Maamuz mugumu siku zote yana positive impact
@ahmedissa7882
Жыл бұрын
Kila la kheri muheshimiwa InshaaAllah
@ezekiellugali305
5 жыл бұрын
Uko sawa mzeee
@name-or9ll
5 жыл бұрын
Apo kuna ipigaji mzee wawajibike hapo atufanyi kazi kwa mazoea wape watu wengine wanao weza kazi mzee
@dianafredrick3362
5 жыл бұрын
Jamaani huyu mbaba noooumaaaaaa sanaaaaa
@andrewmsunga9425
5 жыл бұрын
😁😁😁😁😁 eti jambo halitaisha mpaka Yesu atakaporudi
@comrademlewaisavile336
5 жыл бұрын
Super nwanry ww ni zawadi Kwa wanatabora.piga kazi nakuelewa Sana mkuu
@wisemankitwana213
5 жыл бұрын
Mwanri Mungu anakuona kwakweli
@williamkeita1519
5 жыл бұрын
Mh mwary anachekesha sana kwa maneno yake.na anapiga kazi baraa.MIMI mtu akianguka its okey,mzee njoo hapa hii haihitaji elimu ya chuo kikuuu.Usiniangalie kwa huruma dirisha umekunywa
@warlenjerome347
5 жыл бұрын
*Hii ni zawadi kwa ajili ako wewe Kama rafiki,ndugu na shabiki wangu* nikuombe utumie angalau dakika 2 tu kuisikiliza zawadii hii 🔥🔥🔥🔥🔥 *GUSA LINK 👇👇👇 KUISIKILIZA* kzitem.info/news/bejne/1KOOp4CFsHhmlXo *USISAHAU KUSUBSCRIBE KULIKE NA KUCOMMENT*
@stevoovlogs8645
5 жыл бұрын
Daaaaaah mie ningekuwa mtumishi tabora walahi ningekuwa tayari nishasukumwa ndani maana siwezi kufokewa hvyo kifala
@corrolesscps
5 жыл бұрын
Stevoo Vlogs . Jitume vizuri bila kushurutishwa, na kuwa muaminifu na kazi yako, hamna atakae kufokea, hapa kazi tu, uwezi jitoe kaa chonjo wachie wenye kujiweza kufanya kazi kwa nia moja
@frankmosses1004
5 жыл бұрын
Mimi kuzimia is not an issue hahahaha kazi nzuri
@mathiasmalimi4555
5 жыл бұрын
Naomba huyu Mwari Aje Kigoma maana kunamambo hayaendi sawa sawa kunashule inamiaka 6 haikamiliki mpaka leo
@hpalacemusic
5 жыл бұрын
kigoma wampige kipapii hehe
@nasracebu7072
5 жыл бұрын
Mathias Malimi kgm atalazwa ziwani
@josephmtulo9385
5 жыл бұрын
Yaani watu hawaogopi aise yaani mikiki yote hii ya utawala wa rais wetu Magufuli lakini bado watu wanapiga! Haya mtazimia sana safari huu ni utawala mwingine aise
@bikozikomo9496
5 жыл бұрын
Umeona eeh ,ndo wa bongo hao
@mako331
5 жыл бұрын
Watu wengi hawajaelewa hii serikali si ya miaka ile, unabembelezwa unakoroga hapa unahamishwa badilikeni fanya kazi yako kwa weledi
@mwanaiddaud4224
5 жыл бұрын
Jaman Afisa Elimu wang mama mbigil pole
@reubenbusanji2904
5 жыл бұрын
mwanaid daud jamani mwanaid unafaa siku ya Idd
@harunakayega5531
5 жыл бұрын
Huyu jamaa unaweza ukamuona kama chizi lakin yupo makin sana hahahah
@lobalobaanase438
5 жыл бұрын
Watz tumesomea kuongea kuliko kz
@kimmseinvtz
5 жыл бұрын
Lobaloba Anase Kweli kabisa!!
@rehmadamian8020
4 жыл бұрын
Duh kama utani vile unasimamishwa kazi kuweni makini jamn serikali ya saivi sio ili ya zaman polen sana
@hilaliusjohn8386
5 жыл бұрын
We babu njoo huku hapa hauhitaji mambo ya chuo kuu!!!? Mwanri asema!!!!
@ponsiankahesi3458
5 жыл бұрын
Mheshimiwa MKUU wa mkoa Hapo viongoz piga chin hawajui kazi zao
@burtonsatshop2061
5 жыл бұрын
🤣🤣😅😅😅😂😂 daaah!!!...mkuu hatari sana,anamchukua ustaadhi na swaumu njoo usigope haya mambo hayahitaji chuo kikuu
@mashakaharuna405
5 жыл бұрын
Ee mungu viongozi kama hawa walikuwa wapi haonewi mtu
@fabianjulius5274
5 жыл бұрын
Very smart ...
@mrmganda3695
5 жыл бұрын
Huyu mzee namkubali sana, apo nchi ndo itaenda, hajali mtu kuzimia, hapa kazi tu, kuzimia kupo tu!!
Пікірлер: 766