YANGA Wana bahati Sana ya kupata video analysts wazuri, watu watateseka Sana hata msimu ujao.
@yasrikomba7874
3 ай бұрын
Anaojua mpira anaongea kimpira ❤
@Johnsonchristopher-uc5er
4 ай бұрын
Kamwe athibitisha kua yeye ni kocha Rai's WA wasemaji viongoz WA yanga wte wanajua mpira
@MbwanaNdewa
4 ай бұрын
Ni mchambuz pia mbali na usemaji😮
@OfficialA83640
4 ай бұрын
Kwani mpaka anapata kz ya usemaji huko nyuma alikuwa anafanya kz gani?
@ashabakari1448
4 ай бұрын
Ni kocha pia
@BenPeter-vp2cy
4 ай бұрын
Ali kamwe ni analyst mzuri sana🎉
@kekeonlinetv
4 ай бұрын
Fei hana lolote mshamba Yule
@BenMahende
3 ай бұрын
KAMWE, Saluti sana, nilikuelewa kipindi Bado cjajua kama wew ni shabiki wa citizens, DAAH! Wewe umechaguliwa na Mungu from the original
@MuhungaMasengo-og3vk
4 ай бұрын
Mzize kamfata kaka yake nduguyake mayele kimbinza funga towapasi mengineyo mungu anajuwa
@BenPeter-vp2cy
4 ай бұрын
Ali kamwe ni analyst mzuri sana🎉
@vailethmsigwa1987
3 ай бұрын
Mungu amejua kutufurahisha
@sawackmlinga
4 ай бұрын
Good
@ErastoOmari-ij1zs
4 ай бұрын
Wachambuzi Wamaana Kabisa
@BenMahende
3 ай бұрын
Daima mbele, nyuma! Ng'0000000
@salimusalimu5038
4 ай бұрын
hivi ndy mpira unavyochambuliwa, Sasa mbna wachambumzi wenye dhamana hiyo hawachambui hivi ispokuwa mmoja tyy ndy anachambua😢
@salimusalimu5038
4 ай бұрын
AMBAGILE PEKEE ANAJUA KUCHAMBUA NANI ANABISHA
@ZainabuSengo
4 ай бұрын
Ramadhani Mbwaduke ndiyo kiboko ya wachambuzi
@KhalidSimai-di3no
3 ай бұрын
Ali anajua sana mpira
@georgesongo3617
3 ай бұрын
Tutaongea si muda mrefu lakini kikao kilikuwa kigumu sana mpenzi wangu.
@RamadhanMsangi-w1j
4 ай бұрын
Sosipita majerui
@georgesongo3617
3 ай бұрын
Tutaongea si muda mrefu lakini kikao kilikuwa kigumu sana mpenzi wangu.
@emmanuelmwamlima1027
4 ай бұрын
Jamani nauliza tu, hiv sospita bajan yuko wap?
@VictoriaLeonard-yh9rc
4 ай бұрын
Alipata majeraha na alifanyiwa oparesheni
@emmanuelmwamlima1027
4 ай бұрын
@@VictoriaLeonard-yh9rc asante sana ndugu yangu, sikuwahi kujua ndo umenijulisha Leo na nimuda mrefu sijamuona na nimekua nikijiuliza aliko
@georgesongo3617
3 ай бұрын
Msifie wewe huyo Fei toro
@kassidpandu866
4 ай бұрын
Hutaki kumsifia Fei tu lakini kila mtu anaona kiwango chake kiko juu kuliko pale mwanzo
@martinandugai2340
4 ай бұрын
Weeeee😂😂
@ramadhanvyombo5145
4 ай бұрын
Ata mimi ningeavoid,, Fei akitajwa mnamind, unaeza mtaja ata positively na ikageuzwa so to be safe si heri niavoid kumtaja
@imamhussein1104
4 ай бұрын
Kwani lazima? Usilazimishe kila mtu amsifie fei toto
@kheriakida3309
4 ай бұрын
Msikilize anachosema, hajasema fei mbaya, Ila anazungumzia wachezaji wazuri wanao ishep timu ambao watu hawawaoni, na hawawataji, tatizo letu ushabiki tumeuweka mbele kuliko uanamichezo, fei sio baki wala namba sita au kipa kuna watu wanaandaa mpira ili fei aonekane
Пікірлер: 39