Dada safi sanaaa!! Kiswahili chako nimekipenda sanaa
@benjaminmushi9994
Жыл бұрын
Bazi kazi dada ,karibu tanzania dada Unajua kiswahili sana
@godfreymlanda5188
3 жыл бұрын
Nipo Tanzania nimefurahi Sana kujifunza leo Mimi nasomea ualimu nimehamasika sana kufuga kuku nategemea mwakani baada ya kumalza chuo kikuu nijiajiri kwenye ufugaji, je Nini au vitu gani vya kufanya ili nifikie hatua Kama hii ulipofikia?
@khalidmainala2570
2 жыл бұрын
hongera nikuulize hio mashini ya mayai inatoka ngapi
@user-ls2uj3fl1o
20 күн бұрын
Naomba kujuwa Hao kuku ni aina gani?
@annahannah140
3 жыл бұрын
Safii Dada
@eugenetv6881
2 жыл бұрын
Je ako Kenya 🇰🇪 am??
@noelimlinga9694
Жыл бұрын
Dada ena shikamoo na ongera kwa hii chanel
@FarmingWithJoshe
3 жыл бұрын
Safi sana
@furahamuywanga2427
2 жыл бұрын
Banda kama hilo linalotoa mayai nje kuku akitaga, ili walalie unafanyaje?
@joviangeofrey866
3 жыл бұрын
Nimeajiriwa ila naona kama nachereweshwa kimaendeleo maana nafuga ila nakosa usimamiz zaid ya masaa 10. Nalima na vanilla nakosa muda wa kutosha kwenda kumwagilizia
@user-yz5zn4tr6i
4 ай бұрын
Kama mmi apo amua tuu maamuzi ila jipange kwanza mamy
Пікірлер: 14