Ila tukubali ali kiba kaisha mana amefikia uku kufanya show za matangazo ya duka hii kali
@alexmalangalila8340
5 сағат бұрын
Sasa mbona alicyofanya show Canada sikuona comment Yako ndugu yetu unateseka ukiwa wapi na sio tu duka had harusini aliwahi kufanya kama ndo kuisha ndo huko unakojuwa kwaa akili finyu amka Brands ni wigo mpana ...
@kassimlugwe1760
5 сағат бұрын
Sasa asichukue maokoto kisa ni matangazo ...ww ulifanya show wapi
@TulMunawar
5 сағат бұрын
Bora apige show za kijijini kuliko aende kwa p Diddy ili awe tajiri wa dunia 😂😂😂
@salummwakalinga4330
5 сағат бұрын
Vipi wasanii wakubwa kutoka marekama wanaopiga show sebuleni uko uwarabuni nao wameisha tuambie kama haujui mziki anza kuufatilia usiongelee mihemko tu
@halidimgonza5945
4 сағат бұрын
na asipofnya mtasema anaringa
@NgasaBoy-m6s
7 сағат бұрын
Washamba nyinyi saivi unapata xhoo za duka umeixhaa
@zaidsaid5423
7 сағат бұрын
Uko na karoho kakichawi na ukiendelea hivi utaununua huo uchawi. Kumbe safari ya wachawi huanzia mbali hivi
@AishaNgoyi-vi2ku
7 сағат бұрын
Yaan ww tafta helaaa maskin acha makasiriko
@ndayisengaamissi6102
5 сағат бұрын
@@zaidsaid5423 nimecheka sana , 😂😂😂😂 kwa kweli Binaadam bwana , yana unatokea tu kumchukia mtu bila sababu.
@kloppmaniaynwa7977
5 сағат бұрын
He don't care about a shop or local hotel or butchery but he is a mastery of his arts and a good human being who cares for his culture and his local people.
Пікірлер: 48