Daaah huyu jamaa ana sauti mashaallah saruti king kiba
@donantandrew2636
11 сағат бұрын
Hapa nilichokiona alikiba pia anajambo Lake morogoro, ndo maana kakubari kufanya hii kitu✌️✌️✌️
@msakadoobongeladada-uh3sk
4 сағат бұрын
Alli ana moyo huo ni Watu tu hawamjui
@jumajay8496
19 сағат бұрын
Mwaka huu tulimuona Rihanna akitumbuiza harusi ya mtoto wa billionaire ambani nncini india sasa kosa liko wapi billineoner wa kitamzania alimpa kazi ya kutangaza biashara ya mtanzania mwenzake.
@CamweziKarashnekov
7 сағат бұрын
Harusi ni sherehe hata mond alishagawahi kuimba kwenye harusi ila kamwe hawezi zinduwa duka, duka ni ubalozi wa machawa jamani, sasa duka ikizinduliwa na brand kama kiba machawa watazinduwa vyoo saaa😂😂😂
@msakadoobongeladada-uh3sk
4 сағат бұрын
@@CamweziKarashnekov wewe imezindua nini au bwabwaju tu??
@jumajay8496
19 сағат бұрын
Mwaka jana tulimuona diamond akitumbuiza kwenye harusi ya billionaire mmoja Kenya nairobi mtaa wa runda tena sebuleni.
@jowizjosiah5983
23 сағат бұрын
King 👑
@NemesMasawe
21 сағат бұрын
King kiba
@sajubwax9335
2 сағат бұрын
Vunja bei Siyomjinga ally kiba ni brand kubwa nayeye ndiyo ana m support vunja bei ili team kiba tuweze kufuata brand ilipo so hapo hakuna fala
@IsmailAlly-u3l
22 сағат бұрын
Daaaah Bei chee kinomaaa....👏👏👏
@thomaswilbert6431
10 сағат бұрын
Wanasema ally kiba ni mtu wa watu hataki ma bordgurd hapo analindwa na na Nani mbwa😅😂😂
@UwamuregeyeSamuel-rq7jz
Күн бұрын
👍👍👍😍😍😍
4 сағат бұрын
Hapo ndio wa bo bongo sasa, et et mmh ngoja nifunge bakuli mie
@baalawibaalawi5702
8 сағат бұрын
Dah watu wasio saka mafanikio yao kila siku hushangiria mafanikio ya wengine.
@janerachel1622
9 сағат бұрын
NAKUBALI MIMI NIMEOLEWA NA MJINGA,,NIKWELI NI WATU WAPESA MNOO WAO MAPENZI SIO ISSUE ILA PESA,,
@AishaNgoyi-vi2ku
23 сағат бұрын
❤❤❤❤🎉
@mosescalvinnyoha120
23 сағат бұрын
❤
@Lufuta33.
22 сағат бұрын
🎉🎉🎉🎉
@assaneissufo7241
9 сағат бұрын
Nyie makuma2 piga kazi kiba
@mukeshimanarose1334
Күн бұрын
😊😊❤🎉🇰🇪🇧🇮
@mudykaila7437
10 сағат бұрын
Uhkika
@rashidhashim102
23 сағат бұрын
Mwambieni vunja bei aje na visiwani unguja
@hafidhikasimu7436
22 сағат бұрын
Aje unguja mara ngap mbn kashafangua duka zaman mtaa wa raha leo...
@AhmedMohamed-mw3ev
22 сағат бұрын
Wazo zurii sana
@RashidAhamed-kq6pt
20 сағат бұрын
Hatushobokei ss anatujua awezikutuletea midosho😅😅😅
@alibachirofficial3939
19 сағат бұрын
Asha sem aishi kista. Levo levo ndio nini nyie wajinga
@allymahiyo2464
19 сағат бұрын
Ally kiba kiukweli kwa level yako wewe sio wa kuzindua duka bana unatuangusha let the truth be told,alafu kiingilio elfu tano ni dhalau ilioje.
@alibachirofficial3939
19 сағат бұрын
Yeye ashasema aishu kista
@dickprince8757
16 сағат бұрын
We mshamba kweli yan uwache ela at grossali akipewa kibunda atazinduwa
@mallemaOg
12 сағат бұрын
We unaumia nini sasa
@machichaally
11 сағат бұрын
Hapo msingi sio kulipwa kikubwa naye kaenda kutangaza Media Yake Crown.
@JumaGendeye-sv6yl
10 сағат бұрын
Kama mwangaa huyuuu 😂😂😂
@Mmms1w1Yyy1h1y1
20 сағат бұрын
Kamlipa shilingi ngapi vunja bei,msani wa kuzindua duka daaaa unauzunisha,alikba subiri na mimi nijichange change nifungue duka ntakuita msanii njaaa
@shwaibukhatibu2838
20 сағат бұрын
Njaa baba ako na mama ako na ukoo wako
@FaridaMhagama-fc1kr
20 сағат бұрын
wewe uyo ananjaa Bali ameenda kwamaelewano
@yohanalukindo3737
20 сағат бұрын
Hujielewi aisei
@shwaibukhatibu2838
20 сағат бұрын
@@FaridaMhagama-fc1kr fredi kamlipa sio chini ya milioni 50
@Eliasmagalatz
20 сағат бұрын
Anae sema ajichange kwao ukoo mzima yeye ndo tajiri wa ukoo wao na anacho miliki ni smart ya inifinix hot 5 laki na nusu mbwa wewe nenda ka p Diddy we utafungua tu duka usijali
Пікірлер: 65