Mimi naamini mchezaji anaweza kuwa bora sana hata kama timu yake inashika nafasi ya kumi nyie mmemchukua kibabage singida fountain gates ambayo iko nafasi ya 10 je anafanya vibaya?
@DaydreamHimself
2 ай бұрын
eti FAST & FURIOUS 😂😂😂
@mankamassawe-p3s
3 ай бұрын
Nawashangaa Sana wakinadebora wapowengi humu tupishen bn
@hakiba1207
3 ай бұрын
Semaji la kafuu😝😝😆😂
@jackisonngosha5533
3 ай бұрын
Ivi tukisema simba washuke dalaja inawezekana mwaka huu
@AshaNchira
2 ай бұрын
Chizi wee hayo yako
@EnoqueJoaoMamba
3 ай бұрын
Simba hina lia pole jamani
@EliasMwende
2 ай бұрын
ww acha
@christophermpogole4944
2 ай бұрын
Atarudije wakati umri umeenda, simba haichukui wazee!
@sethabeidkigodi8541
3 ай бұрын
Huna jipya
@alkhayriy7014
3 ай бұрын
Mbwa akibweka sana harudishi mawe ya adui
@DiwaniMwafongo
3 ай бұрын
Mlete mamako basi iili acheze na Debora.... koma kabisa..fedhuri ..mwanaharamu, nguo Kaa UV maCCM!!
@VIVIANMUKULU-kr8xp
2 ай бұрын
Acha matusi 😂😂
@azizymachadeson3577
2 ай бұрын
Ndo wamemletea Mama ako na Dada ako Wacheze nae , Uyo Dada ako Debora 😂
@DiwaniMwafongo
2 ай бұрын
@@azizymachadeson3577 . Limekuumaee......bwege we.... Hujui Kuna soka la wanawake bado uone kumtaja mamako ni tusi🤪
@ShabanMohamed-e9l
3 ай бұрын
Chama hawezi kucheza Simba achezee mala ngapi Bado hauja ongea uta ongea tu acha muda useme
Amekaa Simba miaka sita tumemtumia mpaka tumemchoka mchukueni akamalizie mpira wake huko. Mnakwenda nje ya nchi mna hela nyie?
@ErickBrichard
3 ай бұрын
Mbona kama unahasira hahaha em kunywa maji kdogo bhana e e nmeipenda hyo mwaka huu utakufa wallah duh huu mchezo hauhtaj hasira
@aileenmphuru5106
2 ай бұрын
@@ErickBrichard nife kwa sababu ya Chama aliyeikuta Simba na ameondoka akaicha. Kwani yeye ni nani walipita manguli wengi tu na bado Simba ipo. Itakuwa Chama kwani angecheza milele? Simba bila Chama inawezekana sanaaaa♥️🦁
Пікірлер: 40