Acheni bangi nyinyi 80km/HR watu ndio wachukue wiki barabarani
@kristofuraha3369
Жыл бұрын
Kuweni makini huu ushindani utakuja kuondoka na maisha ya watu wengi. Pia njia ya Mbeya ichunguzeni sana!
@rajabramadhan4199
Жыл бұрын
Hili battle haliwezi kuisha kirahisi hvo katarama vs Ally's star 🌟
@deniseliuter3002
Жыл бұрын
Kwa mtu anaejua udereva speed kuanzia Themanini kushuka chini ni rahisi kucontrol gari pale inapopata changamoto lakini speed kuanzia 100 ni ngumu mnoo hasa miundo mbinu yetu si rafiki mi naona safari ya mwanza ni siku nzima haina haja ya speed sanaaa madhara ake ni makubwa hasa nyakati za usiku
@michaelgilbert1360
Жыл бұрын
Saa tisa usiku, chuma speed 126 acha chuma itembee,,au wapeni mafunzo ya kulaza mishale kwa usalama yan mwanza by saa moja na nusu watu waoge ma kwao 😂😂😊
@magejuliani5293
Жыл бұрын
Safi Sana! Ukaguzi wenu usalama wetu! Ila Nadhani msifanye sampling kagueni kila siku mpaka wazoee
@abubakarsalimu6930
Жыл бұрын
Safi wapi wee utembee speed 80 kl mita 1000 utafika lini xx
@magejuliani5293
Жыл бұрын
Kawia ufike
@michaelgilbert1360
Жыл бұрын
Nn maana ya saa tisa usiku acha chuma zitembeee
@maalimrajabu8942
Жыл бұрын
Latra wacheni vyuma vitembee
@amanishoo1813
3 ай бұрын
Mnashabikia mwendokasi ni wauaji kbs,hakuna miezi kadhaa hapa Allys liligongwa na tren unafikiri angekuwa mwendo wa kwd hayo mauaji na vifo vingetokea!!!??km mtu ana haraka atumie gari binafsi au apande ndege ndege,?
@mzarendo.com9624
Жыл бұрын
Mnaturudisha enzi hizo za ujima; za magari kutembea kilometa 40 kwasaa. Kwani mzungu aliye weka speed 160 hadi 240 ni mjinga? Acheni mabasi yafunguke barabarani ili abiria tufike mapema jamani Mwanza to Dar. Kuna umbali mrefu mno na sio masihara eti. Halafu nyie ni waongo kabisa ! Mfumo wa GPS umezimwa ina maana hapo hakuna tena mawasiliano na control room. Sasa inakuwaje tena mbaini makosa yote hayo ya mwendo kasi hali yakuwa GPS imezimwa? Huo ni uonevu mkubwa kwa kujitungia makosa juu ya hao wamiliki wa mabasi hayo husika. Na mwisho niseme tu kwamba hapo kuna hujuma za chini kwa chini zinatengenezwa na wamiliki wengine wa kampuni za mabasi dhidi ya hao wenzao ili kuwadhoofisha kibiashara katika ushindani wa mabasi. 🤔🤔🤔🤔🤔
@rafaelpaschal2245
Жыл бұрын
Wenzetu Uganda na Zambia kph kwa mabasi 100
@GodfreyCharles-j9g
Жыл бұрын
Anzeni na wapigadebe wanashabikia sana mwendo Kasi wakati wenyewe wana Baki stendi ushabiki ni mwingi sana na baadhi ya matajiri nawao wana taka gari ikimbie
@MarcoNM100
Жыл бұрын
Sasa 80 km/h ivi mwanza dar tufike saa ngap? Acheni hzo abiria wenyewe tunapenda kuwahi safar ndefu mno hiyo
@abubakarykivo7366
3 ай бұрын
Unaongea hivyo kwakua upo salama unatembea na upo tu maskani😢
@PriscaLyimo-oh5jc
Жыл бұрын
Ukweli 80 ni kasi ndogo sana. Walau ukomo uwe 100 au hata 95
@yesuyuhaipectv9176
Жыл бұрын
Kweli kabisa zambia wana 60,80,100 badilikekini magari ni ya kisasa hawatengenezi Barabara wanang'ang'ana na vidhibiti mwendo hicho kizibiti mwendo nimradi wa mtu kama ilivyokuwa gavana tanzania nikituo cha watu kuingizia biashara za kusumbulia watu niombe serikali iongeze speed iwe 60,80,100 wewe unaye sema waendeshe hivyo kwa safari ndefu wakupe siku moja uendeshe hiyo hari uone utakavyo choka.Badilikeni tuende nawakati,hizo speed mlizo andika barabarani zilikuwa zinatumika kwenye Landrover zilikuwa mwisho speed 100 na blaki zilikuwa siyo nzuri.Ebu serikali badilikeni speed hizi zibadilisheni nyinyi viongozi wa serikali mnatembea 80 kwa 100 zamani mabasi yalikuwa yanabeba mizigo juu yalikuwa hayana balansi.
@amanishoo1813
3 ай бұрын
Latra fanyeni kazi yenu msiwasikilize washabiki wajingajinga wa mwendokasi,ulemavu na vifo vinapotokea wanajifanya kusikitika!!!?ovyo kbs hawa
@erickmaleko7674
Жыл бұрын
Badilikeni magari haya ni ya kisasa wa2 tuna kwenda na muda cyo ku2chokeza kukaa mda mrefu kwenye mabac..mambo ni motooo 😂😂😂
@haniikim4876
Жыл бұрын
Yaani binaadamu bwana wakisababisha ajali mnaanza kuwasema hawapo makini kweli akil ni nywele
@Halima-wy7to
9 ай бұрын
Wegi nimataka tu sijui wanafuraia mwedo kasi wanini
@gideonngwebe
Жыл бұрын
Katalama ya moto
@Worldunite
Жыл бұрын
Hivi mmeshawahi au huwa mnasafiri na usafiri wa umma ili kujua changamoto tunazopata sisi wasafiri??? Nyie mnaruka kwa ndege au magari binafsi au ya ofisini mnasimama popote. Wekeni speed ya 100 ili wasichezee ving'amuzi
@abubakarsalimu6930
Жыл бұрын
Acheni chuma zitembee
@chamyfx9377
Жыл бұрын
Hayaaa😂
@abdulyabdunuru1476
Жыл бұрын
Nyie tengenezen barabara zenu bhana dar mbali Sasa mnataka tuingie saa7 usiku 😡
Пікірлер: 32