Volvo, Scania, Benz, MAN, TATA nk ... Hayo siyo aina ya mabus, hizo ni kampuni ambazo engine zake zimefungwa kwenye mabus, mfano bus la Irizar linaweza kutumia engine ya Scania au Benz nk, hivyo hivyo na Marcopolo, ni mabus ya kichina tu ndiyo huwa yanatengenezwa na engine zake ambazo nyingi ni Dong Feng au FAW
@januarymassawe1945
Жыл бұрын
Ni meona ni magari mazuri sana kwakweli msafiri asafiri salama
@jumamageamagea7447
11 ай бұрын
Kwa hakika huyu jamaa anatumalizia mbs zetu tu,,yaani Volvo na Man zikawe bei ndogo kuliko Higer,,si ni uongo huo,,Na isitoshe MARCOPOLO si kampuni ya kutengeneza magari bari ni kampuni ya kuvesha bodi za mabasi, na ndio maana hata TATA nao wanaveshewa bodi na MARCOPOLO
@HasionShekiondo-ck2yn
10 ай бұрын
Yan we jamaa muongo sana sasa kama scania ni milion 300 je Yutong
@user-rg5sg1xz8p
8 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 marcopolo sio aina ya gari na scania ni msweden sio brazil
@uwezawamungumkuu.amaniafrika
6 ай бұрын
Macopolo ni scania na yatengenezwa suden.
@user-et7pu5xw8m
11 ай бұрын
Mkuu Hizo Bei ulizotaja siyo zenyewe ni zaidi
@user-rg5sg1xz8p
11 ай бұрын
Ujui kitu ww macropolo wanatengeneza bodi ww scania bus mpya 380 acha hizo ww yani man na higer higer ipo juuu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@sifaelmugitu8018
18 күн бұрын
Nimemuona jamaa mshamba sana wa mabus, yeye anadhani Scania au Benz ni aina ya bus, kumbe ni engine zilizotumika katika hayo mabus, sijui hajiulizi kwanini Marcopolo zina logo ya Scania
@EricaFrancis-kb5el
Ай бұрын
Sio kweli uongo mtupu hata mabas ya kichina hayauzwi pesa hio scania bei kubwa sana wewe
@Masas-wz9wj
8 ай бұрын
😂😂😂😂
@selemaniyohana5656
11 ай бұрын
Nahitaji Kama miamoja
@user-xc3pi1mr8u
Жыл бұрын
Nayapataje?
@ati2010-c7f
Жыл бұрын
Yutong bei gani?
@thomasbutingo17
5 ай бұрын
Mchina anatisha Yan Kawa mkombozi kwetu
@habibnjowele7751
Жыл бұрын
MWANDISHI hakuna basi linaloitwa MARCOPOLO Bali MARCOPOLO ni KAMPUNI ya kujenga body za MABASI kwa kutumia INJINI TOFAUTI TOFAUTI KABISA kama vile Benz engine, SCANIA ENGINE, MAN ENGINE, VOLVO ENGINE N.K! HALAFU FANYA RESEARCH YA KUTOSHA MAKALA YAKO NI TOO SHALLOW!
@harrynzowa8911
Жыл бұрын
True mzee nimeangalia naona simuelewi kabisa
@habibnjowele7751
Жыл бұрын
@@harrynzowa8911 kweli KABISA NDUGU YANGU! HAWA waandishi WETU HAWAJUI baadhi ya hadhira wanayoiandikia Ina ufahamu Zaid WA jambo HUSIKA!
@yusuflittanda2949
11 ай бұрын
Muongo wewe
@januarymassawe1945
Жыл бұрын
Ni meona ni magari mazuri sana kwakweli msafiri asafiri salama
Пікірлер: 20