POLISI LICHUNGUZENI HILI HUWA WANASEMA HVHV HUKU NI MAJAMBAZI. TUNAOMBA MLIANGALIE HILI. WANAWEZA WAKASEMA ANA MATATIZO YA AKILI AU ANA JINGINE TUNAENDA KUMTIBU KUMBE NI UTEKAJI NA YEYE AKAOGOPA KUSEMA
@yohanamdemu9232
19 сағат бұрын
Nani anawaamini hawa jamaa maneno yao yanaheuzwa na kupangiliwa kulingana na wakati na matukio
@bandovirustz
19 сағат бұрын
So sad😢😢
@TEDY-MTEMY24
15 сағат бұрын
Iwe tu wamesema kweli kwenye maelezo yao maana duh!!
@kulwamachugu936
18 сағат бұрын
Wewe miradi umeanza kutudanganya 😢
@DM_15
17 сағат бұрын
Ningekua mimi niambiwe nimeteka namfungulia kama awazibue vzri ndiomjue sija mteka bali nime mdhibiti. Anaetekwa anapandishwa kwenyegari la public surely?
Пікірлер: 10