Kutana na kijana Abiyudi Onesmo kutoka kigoma,Mkali wa kuimba huku akipiga vyombo vya muziki ndani yake kwa kutumia mdomo na mapua yake ikiwemo solo,gitaa,vinanda,bass na hata Drums.
Kijana huyu hutumia muda mwingi kuzunguuka mitaani kuonyesha kipaji chake kwa watu badae hukusanya pesa kuanzia shilingi 100 baada ya kuwapa burudani wanaomtizama,na kijana huyu anasema pesa kubwa kukusanya kwa watu anaowapa burudani kwa pamoja ilikua ni Milioni 30 Tena kwa Pamoja.
Pamoja na hayo yote Abiyudi anatueleza sababu zilizomfanya kwenda Dar es salam kutafuta maisha ya kimuziki tena kwa safari za kuungaunga muda mwingine hadi kutembea kwa miguu,Je? Unahisi ni kitu kimemfanya arudi tena kigoma baada ya kutoka Dar??
Karibu utizame Full story kwenye KZitem ya "Millardayo" ufahamu A - Z maisha ya Kijana huyu.
Негізгі бет ANAPIGA BASS, KINANDA,GITAA, DRUMS KWA MDOMO NA PUA HUKU AKIIMBA “NILIPATA MILIONI 30, SIO STAA”
Пікірлер: 207