Tuliokuja kumuangalia ABIUD baada ya Roma kumshirikisha kwenye ngoma ya NIPENI MAUA YANGU tujuane kwa like tu jamani oyoooo!!
@brunofidelis7895
Жыл бұрын
Tupo wengi sana
@lusekelo97
Жыл бұрын
Nipo namii
@nyirokizo8216
Жыл бұрын
duh! noma sana...mazee huyo ni wa pekee
@kijanamdogoalexoakakma541
Жыл бұрын
Hii interview inagusa sana, mie msanii tokea Kenya 🇰🇪. Hongera kwa kazi nzuri 💪
@losserianchristopher8292
3 жыл бұрын
Mungu Akikupa Hakuandikii Barua
@zabrongermanus-co1jj
Жыл бұрын
Hongera sana kwa kipaji
@jumaamartin7929
Жыл бұрын
Abiud hahika mwenyezi mungu amemjalia kipaji kikubwa ana kitu ndani yake kikubwa sana ndani yake.anahitaji saport kwakweli.
@justinmoses3730
Жыл бұрын
Mungu akupe maisha malefu nataka namba yako nikupe chochote brother
@jamesjoel9659
Жыл бұрын
Dah abiudi mungu akupe maisha malefu
@VictorieuxMugisakituku-g7m
6 сағат бұрын
Mungu anafanya usimuwache mungu
@ahadelsheltiel205
2 жыл бұрын
Ivi anae jua interview hii ilifanyika kini aniambie
@lusajomadigital-lv2vm
Жыл бұрын
sasa baada ya mandoga sasa ni abiudi kiukweli mimi mwenyewe nampenda abiudi amejua kunifurahisha .mungu wangu wa mbinguni ambaliki sana amlinde usiku na mchana
@kiruimoses4312
Жыл бұрын
The most valued resource in this world is talent and or skill covered with consistency. IPO SIKU
@enockmwilongo5771
3 жыл бұрын
Jamaa anajua aseee
@asiliyetuonlinetv5063
Жыл бұрын
Mungu akubariki sana Abiud ukawe mtu mkubwa sana na umtumikie yeye.
@user-rg7tx2cc1l
Жыл бұрын
Jamaaa anajua sanaaa🎉🎉🎉
@jumaamartin7929
Жыл бұрын
Abiud anaonyesha ni mbovu sana wa kucheka 🤣🤣🤣🤣
@alicekalemela7435
2 ай бұрын
Nilipata video clip ya Abiud akiimba ...ni Neema, neema ya Yesu, kuishi Leo ni Neema ya Yesu, nimemtafuta sana. Naombeni namba yake nimusupport.
@LevinaRichard
3 ай бұрын
Jamaa uyo yuko vizuri Mungu ambarik
@sheemwakuyumba2969
Жыл бұрын
Maisha banaaa yanatwasira ngm xnaa mungu siku zote n mwema akitaka kukupa anakupa to Kwa mda wake na akuna kipingamizi
@zahormohd
Жыл бұрын
@penueldjuma2845
Жыл бұрын
Ana vimanya bhana mpeni mahua yake right
@jacobojaks6386
Жыл бұрын
Roma kwa alichokifanya kwa abiudi wanakigoma wote tunamuombea na tunamuombea aludi home.
@chrisjacob4057
Жыл бұрын
Ina maana huyu ndo mshikaji aliye imba kwenye nyimbo ya roma
@salamanauthar5261
Жыл бұрын
Ndio
@chungabhq6413
Жыл бұрын
Kwenye maisha yako Kuna mungu ndio msaaaada wako
@nabothgershony2962
Жыл бұрын
ukweli nikwamba njia za Mungu sio za mwanadam na mawazo ya MUNGU sio yet .
@ernestgeorge8412
Жыл бұрын
Dah huyu jamaa yuko vzur ila nimeshanganzwa na mdomo wake kuwa gitaa... Khaa😂 yani mabit yamebadilika anapiga had amapiano mweeeeeee😂😂
@abiudibikota8708
Жыл бұрын
Home boy huyo🙏🙏🙏🙏
@saxannjo6173
Жыл бұрын
Big UP ABIUDI
@saumusalimuhassan2499
Жыл бұрын
Ni rizk yake kwakweli
@bukuruPhilibert
7 күн бұрын
Uyu jamaa aliumbwa na vyombo vyote vya mzikiii
@danielkisula8001
Жыл бұрын
Huyu jamaa ni balaa sana n mtu na nusu aisee akiimba gosple wachache watakaompata
Пікірлер: 36