Mashaallah Allah awajariye kheri na afya njema mmslize hijja sallama mrudi salaam mtuombee na sisi mliyotuacha Allah atujaliye nasi tuwe miogoni mwamahujaji na atujaliye kheri na afya pia ili nasi mwaka wwt tuende khija tunawaombe inshallaj
@MUSSASILIMA-ts6dv
Ай бұрын
Allah awazidishiye uzima mahujaji wetu na awakubaliye hijja zao na ss watuombee tufike na watusalimiye bwana mtume na maswahaba wake amin
@ZuhuraKhamis-rw1it
Ай бұрын
Ya Allah wakubalie. Ibada zao na ss utujaalie tuweze tufika inshaallah
@mdika3811
Ай бұрын
Ya Rabbi, tujaalie tuwe wenye subira na shukrani katika nyakati zote. Tuongoze kwenye njia iliyonyooka, njia ya wale uliowabariki, na siyo ya wale walioangamizwa au walioipoteza njia. Ewe Mwenyezi Mungu, tubariki kwa afya njema na riziki halali. Tupe ilimu yenye manufaa na utuongezee imani. Tunakuomba utuepushe na maovu yote na utujalie kuishi kwa amani na upendo. Tunakuomba uwalinde na uwabariki wazazi wetu, familia zetu, na wapendwa wetu. Waepushe na kila aina ya madhara na wajaalie heri na fanaka katika maisha yao. Ewe Mwenyezi Mungu, tunakuomba utusamehe madhambi yetu ya zamani na yajayo, ya siri na ya wazi. Ewe Mwingi wa Rehema, utuongoze na utujalie toba yenye ikhlasi. Ameen ya Rabb al-Alamin.
@zuwenamasoud-jz7ju
Ай бұрын
Masha Allah Allah awajaalie kheri Hijja makbuul
@omante194
Ай бұрын
Allah nijalie na na mm niwe miongoni mwao amina amina yalabilalamin 🤲🤲🤲☝🏾
@qwerqasd8597
Ай бұрын
Allahuma aamin jamia
@user-ke3uo6ro4s
Ай бұрын
Amina
@ZanuraBakari
Ай бұрын
Mashaallah Allah awkubalia hijja zetu na mrud salama salmin bi idhinillah
@AbimsSails
Ай бұрын
Mashaaallah Allah awappe Killa la kheri na atujaalia inshallah mwakani pia sisi twende hukuu
@HamiduMashaka-ni6cs
Ай бұрын
Allah awatiliye wepesi katika katika ibada hii
@binurusm8886
Ай бұрын
Nimependa Huyu Baba Jinsi Anavyotoa Maelelekezo kwa Ufasaha, Mwenyezi Mungu Awaongoze InshaAlla.
@binurusm8886
Ай бұрын
Nami pia Naomba MNisalimieni Mtume Na Mjumbe Wetu jamani.
@frankaydeclassique6618
Ай бұрын
Allahumma Swalli alaa Sayyidina Muhammad
@MerwenSeidw
Ай бұрын
MASHAALLAH❤ jjazakallah ALLAH aibark zaid INSHAALLAH kheir
@JaziatBakary
Ай бұрын
Mashallh Allh awatakabalie hjja inshallh
@TibaMatokeo-kk3mj
Ай бұрын
Ametoa maelezo mazuri sana Mungu amjalie Kila la kheri
@HanifaSuleiman-sx4lq
Ай бұрын
Na ss M, Mungu atujaalie tufike huko
@FatumaRashid-db6cc
Ай бұрын
Allah awafikishe salama
@jumakapilima7295
20 күн бұрын
Bwana ni mmoja tu ambae ni Mungu
@mdika3811
Ай бұрын
Jamani na mm naombeni mnisarimie mtumie
@MustaphaKiluke
Ай бұрын
MashaAllah
@Khadees26
Ай бұрын
I wish am there in sha Allah
@SalamasaadHaji
Күн бұрын
Amin❤
@fatmaahmed8637
Ай бұрын
Mwenye ezi Mungu awatimize Hija n mrudi Salaama
@user-bw6cd7ml1i
Ай бұрын
Inshaallah mwenyezi mungu atujaalie na ss tufike huko inshaallah
@aquidamussamussaakida
Ай бұрын
Mashalha
@fatmam1997
Ай бұрын
Mashaallah❤
@ZiadaMwanfatima
24 күн бұрын
Inshahallah
@gamarmahsan8254
Ай бұрын
اللهم صل وسليم عليه duwa zenu jamani alla awatakabaliye haja yenu twa tamani na sisi kufika hapo
@SalamasaadHaji
Күн бұрын
Inshallah
@zeinayusuph4566
Ай бұрын
Alhamdulillah
@KaifaKaifa-uj1dz
Ай бұрын
Allah akbar
@setiseti5281
Ай бұрын
Maashaallah
@fatmaabdulazizy2272
2 ай бұрын
Mashallah
@aminaomary5567
Ай бұрын
Nimempenda Hutu shekhe anaongea vyema❤❤❤🎉🎉
@SwaahibulMakaan
Ай бұрын
Nisalimieni mtume muliopata fursa mkirudi mcheni allah
@Abuu-bakarAbdullah
29 күн бұрын
Yarab tuwezeshe
@petermogha7025
Ай бұрын
Imani ya Kila mtu isidharauliwe
@Kiyara0000
Ай бұрын
Masha Allah❤❤❤
@hamidashaban1203
Ай бұрын
Shekh unaetoa introdaction Allah akuridhie pepo ya firdausi na akuhifadhi
@user-gu8wv4bn4o
24 күн бұрын
Mashaallah,lakini zingatieni kanuni za hijja msiwe kama mzee yusuphu mwana izaya alielaanika,okye najati killar
@mdika3811
Ай бұрын
Mashallh 🙏🙏
@KarimuHamisi-nv4lq
Ай бұрын
Mwenyenzi akupen wepec mkubaliwe toba zenu na mrudi kwa usalama nasi mtuombee kwa allah atupe wepes nasi tusienda basi atupe wepec na sisi tufanye ibada hii mwaka wowot
@HanifaOman-oo4pl
Ай бұрын
Mtuombee Dua na sisi wapendwa. Allah awakubalie Duazenu.mnachok8takamk8pate huko mjitukufu
@maufoung
Ай бұрын
Huonyeshi matukio,unatuonyesha watu
@user-tu2ne7so3b
Ай бұрын
Nyoso zenu zipo kidunia zaidi
@user-tu2ne7so3b
Ай бұрын
Munafanya mzaha Allah ,hapendi mzaha
@eshasaid3258
Ай бұрын
Mashaallah❤❤❤mahujaji kufika madina munawar ❤❤❤❤❤
@dr.jjmwaka2596
Ай бұрын
Alahu. Akibaru
@jumakapilima7295
20 күн бұрын
Kulipia maktaba hawajafanya sawa,,,
@FatumaJuma-si9mt
Ай бұрын
E.mola.wajalie.wote.mahujaji.
@MuammaryAbdalla
Ай бұрын
hii saut ya huyu mzee ni yule ambae anatafsir kur ,ani
Пікірлер: 55