Mzee pambano nililitazama tena kwa umakini na niko hapa nchini Bahrain 🇧🇭 lakin ngoma ilikuwa ya moto sana mzee
@zodiacmmbaga9237
14 сағат бұрын
Siku mbaya kazin soon atarud stronger 🔥🔥
@nyawawawanyawawa935
17 сағат бұрын
Huyu kijana anayechopukia atafika mbali kwa kuwa na stamina nzuri urushaji wa ngumi slugger, head movement
@allyopi6101
7 сағат бұрын
Mwenyewe nimefurahi sana antony kupigwa
@JosephAlakonya
16 сағат бұрын
Alijisifu sana Ile siku
@alvinshikuku1718
3 сағат бұрын
Tyson all the time
@JosephMumuza
14 сағат бұрын
Kwakuanguka ivi joshuwa eti anaweza pambana na mkongomani martin bakole wala auwawe😂😂😂😂😂
@shabankarotta625
17 сағат бұрын
Kawa kama Mandonga tu 😂😂
@BarakaMangoloBahati
17 сағат бұрын
A J Amekuwa kama simba sc 😂😂😂
@evancekiyoyo4541
17 сағат бұрын
AJ ameshaisha 😢😢😢
@OnesmoEphrata
6 сағат бұрын
Anthony Joshua ame kuwa babu tayari
@msodokidasilva6739
15 сағат бұрын
Uyu asipostaff 😂 atapigika sanaa 😅
@nassorntandu4513
13 сағат бұрын
So sad, my man knocked down
@gabapentin8070
15 сағат бұрын
Uyu Antony Joshua anakua kama mandonga sasa😂😂aah
@HASSANBAKARI-q9c
16 сағат бұрын
Uyo nae angestaafu tu,,,anashinda 1,,,anakandwa 2
@Rakim-y2z
10 сағат бұрын
Before niliona comment nyungi sana kutoka kwa mashabiki wa AJ kuwa DUBOIS atashushwa round ya 4 au ya 5 knockout kumbe walikuwa wanmtabiria AJ huyu jamaa DUBOIS haeleweki mchezo wake hlf ana stamina ukimtizama kama vile anarusha ngumi hovyo lkn ni mgumu ana stamina na yuko sharp kushambulia.
@didierdrogbar2302
7 сағат бұрын
Kila mtu na nafasi yake ,nafas ya janq ilkua ya Daniel not Aj na hakuna marefu yasiyo na ncha , ili wazaliwe ma champion wapya lazma ma champion wa zamani wapigwe au wastaafu if possble that is how boxing lif is and it is what it is Men.congrats to Dubuos
@BigMan-f1v
13 сағат бұрын
😂😂tulimdharau mandonga kwa kudondoka km mlevi hya ona professional wa mchezo km Joshua alivyopigika na miguu kuwa km ya kuku
@neemamwangi4323
4 сағат бұрын
AJ amekua msanii cyo bondia tena
@omondiowino7875
15 сағат бұрын
AJ alikuwa na overconfidence kama Hezbollah lakini kikamlamba😂😂😂
@sonnyr1899
14 сағат бұрын
Francis alipewa maokoto yake akalitosa taifa lake na Afrika kwa ujumla.
Пікірлер: 28