Diamond is the king of East Africa.harmo bado sana.
@SafayaPlatnum-zz1dz
14 сағат бұрын
Hongera sana mond unatujaza jeuli shabiki zako amini tupo nyuma yako mungu akujaalie utupe burudani zaidi
@IbrahStaneliy
15 сағат бұрын
Simbaaaa ❤❤❤❤❤❤❤🇹🇿
@abdulrazack9577
15 сағат бұрын
Hatari sanaa
@Brownthekiller
16 сағат бұрын
Wa kwanzaaa🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@kakorejrboyz6447
16 сағат бұрын
KUNAWATU SAHV MZIKI WAO NI KUIMBA NYIMBO ZA MATESO YA MAPENZI😂😂😂
@BarbaraPatience-qt9cc
15 сағат бұрын
😂😂😂😂😂 nimecheka hadi basi..... aaaaah wabongo Bana!!!! Yaani mtakufa siku zisizo zenu na mzikwe makaburi yasiokua Yenu
@Ahmed-x1q8w
14 сағат бұрын
Tega skio kuiskiliza bailando ndio utajua hujui😂😂😂
@lodricophd728
14 сағат бұрын
😂😂
@BarbaraPatience-qt9cc
15 сағат бұрын
Hii ni kali zaidi bwana......
@AlfroLyd
14 сағат бұрын
Nilikuwepo bro, it was amazing DIAMOND PLATINUMZ 💎 Simba lama Simba alipo panda Jukuani
@EdwinJohn-vo8uf
15 сағат бұрын
Hatali sana huyu jamaaa
@fillyberthbayjohnnea6473
15 сағат бұрын
❤
@HijaRashid-g4q
15 сағат бұрын
aangalie tu simba asije akachenyetwa
@MuddySalumu-i2l
13 сағат бұрын
Noma sana
@kakorejrboyz6447
16 сағат бұрын
MONDI UKIFA HUNUKI😂😂
@HappyatHome-bn8wm
15 сағат бұрын
hv ndo ilitakiwa, hv ndyo wanaijeria walituzidi. kufanya ft na wamarekani mziki unaenda
@marlonstudios4408
14 сағат бұрын
Damn
@kennethbenjamin275
16 сағат бұрын
Huwa nawashangaa watu kwenda kwenye matamasha hayo naona kujiumiza na kupoteza hela tu
@SaimoAbusei
15 сағат бұрын
Wewe kabuku sio wote walala nje kama wewe
@aediayumgo8546
15 сағат бұрын
Hayakuhusu 😂
@bakarially253
15 сағат бұрын
Haya ni maneno ya mtu ambaye amepanga na mwisho wa mwezi umefika wakati hana pesa ya kulipia nyumba sasa anajitahidi kujifaridi na kuonyesha Kuwa yeye yupo serious dogo tafuta pesa roho mbaya na chuku ni dalili za umasikini
@fabianjohnas2328
15 сағат бұрын
@@SaimoAbusei🤣🤣😁 we jamaa miyeyusho sana
@omarykimamure7656
14 сағат бұрын
Walio zan tuta kaa xaiv wana kaa wao..
@habarugiraRodrigue
15 сағат бұрын
Kumbe kaalikwa 😂
@eleven-in5qw
13 сағат бұрын
Huu wivu chunguza usiwe kwenye ukoo mzima
@dismasdastan5493
14 сағат бұрын
Hapo sijui wanafundisha au ina maana gani?...
@dismasdastan5493
14 сағат бұрын
Duh....Upuuzi mtupu
@dismasdastan5493
14 сағат бұрын
Hiyo nyimbo haina maadili yoyote
@eleven-in5qw
13 сағат бұрын
Ingekuwa mwaisa angeongea mwaka mzima
@IssaIssa-h1d
14 сағат бұрын
Sasa apo diamond atanifanya niyakwake
@josephvenus3259
14 сағат бұрын
Simba NI number 1 all AFRICA 🎉🎉🎉 na wakubisha na abishe maanà WENGINE NI wabishi toka mkiwa tumboni mwa mama ZENU 😂😂😂
@salumualoyce5620
14 сағат бұрын
Nilitegemea kuona unapost kipande ambacho Diamond akiperform badala yake umeweka kipande cha Chely.
@DamasLehani
16 сағат бұрын
Mbona watu si wengi zaidi
@JacksonLuwumba
16 сағат бұрын
kjaze www
@tariqkhassim4059
16 сағат бұрын
WATANZANIA SJUI UPUNGUAN UTAWAISHA LINI KO SHOW YA JASON WE IKIWA NA WATU WENGI AU WACHACHE WE ITAKULIPIA KODI AU ITAKUONGEZEA NGUVU ZA KIUME😂
@davidsika5292
15 сағат бұрын
Yaaan kuna watanzania wajinga saaana
@BarbaraPatience-qt9cc
15 сағат бұрын
Unakichaa
@SaimoAbusei
15 сағат бұрын
Ivi unamacho lakini uyatumii binadamu kweli wifu aitakumaliza wewe umbwa
@DamasLehani
16 сағат бұрын
Shooo kama ya harmonize Toronto
@chizashungu8364
16 сағат бұрын
Harmonize ni nani katika dunia hii.Aendelee tu kujipatia riziki yake inatosha..Ali kiba,harmonize,mbosso,rayvanny,Ben pol,Aslay,jay melody namarioo,Nancybbillnas,jux,Maua sama,phina,lavlava,dvoice hawa watabaki kuwa wasanii wenu kuwatuburudisha humu ndani ya nchi.Huko Duniani muacheni THE BIG ONE. DIAMOND PLATNUMZ NDIYO MWENYE VIGEZO VYOTE VYA KIMATAIFA.ASANTENI KWA KUELEWA.
Пікірлер: 48