NY, Mungu awabariki Kwa kuturushia matangazo! Lakini wakati mwingine mnarusha vibaya, picha hazionekani, unakuta unafuatilia mahubir ambayo yalipita unakua kipande kizima hakionyeshi! TAFADHALI tuonyesheni vizur, tunamfuatilia sana huyu baba! Lakin sio wewe tu , hata MAGEMBE TV, nao wanatatizo ya mitambo, ushauri wangu jitahidini kuturushia vizur! Mungu awatie nguvu! Amina
@victoriamaige2862
2 ай бұрын
Roho ya kulola inakaa juu yake jamani injili hii lzm kuokoka Mungu akupe maisha marefu Baba Amina ubarikiwe
@jimmymwashambwa7364
9 күн бұрын
Na Mimi nimepokea baraka tosha za Yesu Toka mkutano wa Arusha amina
@marcosearnest3617
Ай бұрын
Asante Sana ijili mwoto niko Kenya 🇰🇪 nme barikiwa Sana
@user-mh2cn3fb6j
2 ай бұрын
Asante Sana mtumishi wa Mungu Mambo yote yatapita lkn neno litasimama pale pale
@geofreyngolua9553
2 ай бұрын
Aliluyaaa Bwana yesu Asifiwe sana Man of God
@rahabnkya8276
2 ай бұрын
Mzee magembe nimefurahi kukusikia leo. Mzee lazaro nk miaka ya miamba. Naipenda INJILI ya hawa watu. AMEEN
@smartmwakipesile3842
2 ай бұрын
Amina baba Mungu akubariki sana,Ee,Mungu unikumbuke na mimi nihubiri injili ya kweli na moto, mpaka mwisho, Mungu unisaidie, Mtumishi uishi miaka mingi baba nasi tuendelee kuiskia hekima ya Mungu ndani yako
@elishamumba4304
2 ай бұрын
Hii injili sijaisikia mda mrefu sana injili ya kweli Mungu akubariki baba
@user-gc8vb3gv8c
2 ай бұрын
Ubarikiwe baba mtumishi wa Mungu
@user-godfreyRobert
2 ай бұрын
Ubarikiwe baba🎉🎉
@AminielMbise-cl3fq
2 ай бұрын
Hii ndio injili ya kweli. Mungu bado ana watu wake kila eneo we have to worship God in spirit and truth. Not in any other way. God bless you brother Moses Magembe An glory unti God
@user-eg5lt4lu2z
2 ай бұрын
Tupo pamoja mchungaji..God bless you more... Niombee na mimi niweze kuitikisa dunia katika kizazi changu,
@DanielMwasenga-bx7bd
2 ай бұрын
Hongera sana baba naipenda sana injili hii
@rahabnkya8276
2 ай бұрын
Àaaamen, maliza Baba wachawi wote jiji hili. BARIKIWA MTUMISHI wa Mungu Mchj DR. Moses magembe
@BeatriceSangito-gi1ld
2 ай бұрын
Hakika hiki ni chombo cha Yesu kama alivyo sema kwenye Ezekiel amejisazia hakika hiki ni chuma cha Yesu
@elinaikerichardkisanga9193
2 ай бұрын
Asante Yesu kwa Roho ya ujasiri aliyo mvuvia mtumishi Mzee Magembe❤ 1:10:43
@EllieSammy-tf4gx
2 ай бұрын
Yesu akutie nguvu mtumishi wa Mungu aliye hai. Endelea kusema kweli wamebakia wachache wasemao kweli. God bless you.
@godwinkaunda9516
2 ай бұрын
Bravo man of God my the Almighty God Bless you
@user-cy6tb1bm4x
2 ай бұрын
Hakika namuona mungu barikiwa mchungaji mangembe
@janemuthui6130
2 ай бұрын
I give God all the glory Toboa Yote mtumishi Mungu wa kweli anjlikane Na aheshimiwe. ❤ Your ministering, be blessed in Jesus name
@JohnMalengua-jh6ps
2 ай бұрын
Barikiwa sana mtumishi kwa injili isiyo gushiwa
@rahelhango9236
2 ай бұрын
Chuma Cha BWANA YESU 🔥🔥🔥
@user-ep2cm5xo3k
2 ай бұрын
Uyu Mnjilist ni akiba ya Mungu kwa kizazi hiki.❤.
@jasperjackson8871
2 ай бұрын
Sema baba mchungaji na nimeipenda injilii iliyojaaa jeuri ya kiungu kwa kiwango cha juu sanaaa. Injili n motooooo❤️🔥🔥🔥🔥
@PastorlevisIsambechohassan
2 ай бұрын
Baba,Mungu wangu akubariki
@eliphaznkurunziza7405
2 ай бұрын
Mungu nakushukuru sana maana umefanya nikutane na chombo chako Baba askofu Magembe Burundi mimi na familia yangu tunakupenda Endelea baba
@ev.samsonrweongachannel658
2 ай бұрын
Mzee yupo sawa kabisa
@user-no2tw5vb8j
2 ай бұрын
This is my spiritual father indeed. Wonderful preaching
@ProsperMbena
2 ай бұрын
Kwanza ninapopata chakula Cha Roho kupitia Bomba Safi Magembe napata afya sana
@Nazareth8119
2 ай бұрын
Ubarikiwe sana Mtumishi kwa injili yako ya kweli.
@eunicelukanda1828
2 ай бұрын
Ndiyo, Yesu kristo yu hai milele
@alexkamba5264
2 ай бұрын
Asante kutuachia wazee kama hwa
@user-bm6dh8id1h
2 ай бұрын
Mungu akubariki baba unaisema kweli ya mungu ilivyo we love you
@ev.samsonrweongachannel658
2 ай бұрын
Upoko wa Mungu ukawe juu yake na Mungu ampe afya njema azidikuitenda kazi yake watu waokolewe
@jeremialaizer9978
2 ай бұрын
Injili hii n🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@ArcoiriscelestialTv
2 күн бұрын
Amina
@user-ri1by1ij4o
2 ай бұрын
Uko vizuri mtumishi wa Mungu,
@NEEMAJames-ns4ds
2 ай бұрын
BARIKIWA mtumishi. TANGA PIA TUNAHITAJI INJILI HIYO
@tlotwe.01.
2 ай бұрын
Hiki ni Chuma Cha YESU KRISTO Hakika! Kwa pumzi Hii Hakika YESU Yu Hai Ndani Ya Baba Mch. Maghembe.....Utukufu Kwa Kwa YESU KRISTO.
@user-gu6xy2hf5u
2 ай бұрын
Baba mungu akubariki naazidikukutumia
@prospermallya3092
2 ай бұрын
Siwaletei mafuta na chumvi bali Yesu,,pokea kwa jina la Yesu...hakika huyu ni mwamba wa kale
@user-lm7nd9ez2e
2 ай бұрын
Amina mtumishi wa bwana
@ChedyMlwale-kx9ms
2 ай бұрын
Barikiwa mch kwa injiri ya kweli
@bensonmoris463
2 ай бұрын
nimekubali
@lekinyaurey5772
2 ай бұрын
Mungu mbariki mtumishi wako mpemaisha marefu
@paulkamete2947
2 ай бұрын
Waoooooh i like this kind of Preaching! God bless you Man of God
@rahelkimario1497
2 ай бұрын
Amen baba.
@jimmymwashambwa7364
9 күн бұрын
Yesu njooo
@laizermsagalla
2 ай бұрын
Magembe yuko makini sana naYesu kumuhubiri
@EliaSaimon
2 ай бұрын
Amina mtumishi wa mungu nimebarikiwa sana
@jimmymwashambwa7364
9 күн бұрын
Injili iliyonyoooka ndiyo hii ninayo iamini na kuipenda sana
@godfreykawibesele8545
Ай бұрын
Natamani huyu mzee nipokee kijiti chake
@gracemachongwe431
2 ай бұрын
Aminaaaaaaaa, Aminaaaaaaaa, Aminaaaaaaaa
@shahazarpeter6097
2 ай бұрын
Ameeeee halijamaliza nguvu ndyo Baba
@RashidLukindo-yl2yl
2 ай бұрын
Magembe ni Jembe la Injili, binafsi amenikomaza kupitia Injili yake nimemwona Yesu!!
@user-qt7vs8pq5h
2 ай бұрын
Balikiwa baba magembe
@barakasikuomba7920
2 ай бұрын
Great servant of God
@mariamndwilo1104
2 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi wa Jehova
@JohnJoel-ro7lc
2 ай бұрын
Ilove this
@KyongoKyongo-rr8lm
2 ай бұрын
Tuna barikiwa sana Baba
@user-po1qk1jf7v
2 ай бұрын
Umenikumbusha mbari baba mwatondo enzi za kurora naye akiwasha Moto Kama ww umenibariki sana
@apostlejacksonkalinga5191
2 ай бұрын
Asante sana MCH
@OinothMunga
2 ай бұрын
Amina mtumishi wa Mungu
@BONIPHACEJOHN-kb1zb
2 ай бұрын
Pastor natamani sana kufanya kazi na wewe, injili hiyo ndiyo injili sasa ya Yesu kristo sio siasa na vichekesho
@NENO_UZIMA90
2 ай бұрын
Wakati ni sasa Ndugu!! Tunaweza
@odethamlyuka2552
2 ай бұрын
Amen mtu wa Mungu 1)mjue Mungu anayetaka kuabudiwa
@johnsebastian-bx6qn
2 ай бұрын
Amina baba Yesu atukuzwe
@user-sm7gj4mn5n
2 ай бұрын
Hakika mungu mwema barikiwa mchungaji
@vicentmsabila-fl6uj
2 ай бұрын
Chapa injili mtumishi wa Mungu aliye hai Dunia imjue Mungu wa kweli
@mpinabaharia2247
2 ай бұрын
Theolojia imelala kichwani
@martinakyoo148
2 ай бұрын
Kumekuchavkumepambazuka Kilombero ,Tanzania Kwa Yesu sasa
@mossessimon2493
Ай бұрын
Amen
@ev.samsonrweongachannel658
2 ай бұрын
Sikiliza neno ukitumia vitu inje ya Neno yaani yesu aunatofauti na mtu anaye tumia irisi
@perpetuamuna1633
2 ай бұрын
Aminaaaaa....
@awitness9020
2 ай бұрын
Kama Kuna number I ya baba huyu wekeni kwa mtandao Bishop toka kenya
@IsayaSchone-kt7uq
2 ай бұрын
Aminaaa kuuu
@user-by6zw5zf4e
2 ай бұрын
Hii ndio injili ya kweli makete tunaipata
@CalorineMushi
2 ай бұрын
Aisee mchungaji nafurahi nimeipenda iyoo ya kupiga shetani was arusha
@user-oy7ly5cg5y
2 ай бұрын
Aminaaa!!!!!!
@janemuthui6130
2 ай бұрын
I would like to know how I can attend one of your meetings I am in Kenya, Nakuru Jane Muthui
@joelmwamlima5686
2 ай бұрын
Sumbawanga utakuja lini?
@Nolaskoshayo
2 ай бұрын
Haleluya
@frolafelix
2 ай бұрын
jina la Yesu libarikiwe kwa chombo chake
@ayubumollel3647
2 ай бұрын
❤❤❤
@user-zl8un4xv8r
Ай бұрын
Hii ndio injili ya kweli
@ahazichunya4265
2 ай бұрын
Hakika utukufu mwingi uwe juu yako tunapona Mtumishi
@user-xh5ds2mb5w
2 ай бұрын
AMEEEN.
@mchungajimpigauzitv5703
2 ай бұрын
Balikiwa Sana mtumishi wabwana habali Njema ndiyo hiyo
@geofreyngolua9553
2 ай бұрын
Imen Imen
@officialbabaivan
2 ай бұрын
Yupo arusha au aneenda
@humphreybilly7437
2 ай бұрын
Amen Amen.
@user-cm5xv7gb2e
2 ай бұрын
Hii ndiyo isiyo chakachuliwa, watu wa vyombo jitahidi kuseti vyombo vizuri nimemsikia Baba akilalamikia vyombo
@user-do4qs8vx2s
2 ай бұрын
Hakika Mungu amekutia nguvu uinuliwe Mchungaji Magembe
@DavidMalimbegu-dq8tp
2 ай бұрын
Mungu wa mbinguni akubariki sana mtumishi wa Mungu umejitoa kuhubili injili isiyo goshiwa, mi binafsi nikukubari sana hiyo ndiyo injili iliyo iva Amina
Пікірлер: 139