Ee Bwana niaandae kwa ajili ya ndoa uliyonipe,mm pamoja na Ibrahim kalaita, kwa jina la yesu, mungu tusaidie ameeeeeeeennnnnn 🤲🤲🤲🤲
@AlicePaul-ro1lu
2 күн бұрын
Mungu naomba uniandae kwa Kile kichopo mbele yangu. Amen
@judithpeter2013
Ай бұрын
Amen Tunaomba utuwekee full ibada ya mwisho tuangalie
@sarahbarnaba8833
Ай бұрын
Mungu naomba uniandae Kwa ajili ya ndoa yangu
@veronicajohn7645
Ай бұрын
Bwana Yesu niandae katika kuifanya kazi hii nitakayo ianza tarehe 22/5/2023 ambayo nakabidhiwa 15.5.2023
@LovelyJoel
20 күн бұрын
Amen faith without action is die 😇🙏 I believe in the word of God as he says must be
@omuze1290
Ай бұрын
Ni kweli kabisa ila madarasa mengine ni magumu sana. Bila kuwa na tunda la uvumilivu na unyenyekevu, pia neema ya Mungu kukufunika hamna kufuzu.
@aderanderwa7623
Ай бұрын
Amina Mwalimu MUNGU Akubariki azidi kukuinua zaidi Shaloom
@mesiamkisi6518
Ай бұрын
Ameni naomba mwendolezo wa ibada Mungu awabaliki
@CANAANTZ_TV
Ай бұрын
Haleluya Jipatie vitabu vya maombi ya kiroho bureee Kwa njia ya WhatsApp 1=Maombi ya kuvunja madhababu za kichawi 2=Maombi ya kuzima mashambulizi ya kuzimu 3=Maombi ya vita vya kiroho Bonyeza picha kushoto mwa comment hii
@willbroadkaizirege4470
Ай бұрын
Amina.
@anaellamtalemwa3132
23 күн бұрын
Cjaona picha
@yassinshaban1343
16 күн бұрын
Niombee ninayo huduma ira nayumba sana mtumish ubarikiwe Sana niombee sana
@amanikisanga
27 күн бұрын
Mungu naomba uniandae kwa jili ya ndoa yangu
@vincentonsomu8372
17 күн бұрын
Mungu niandae ajili ya neno lako
@frankwilfred726
22 күн бұрын
Mungu niandie kwa ajili ya uponaji
@marryedson2762
Ай бұрын
Mungu naomba unisaidie kuyajua mapenzi yako juu ynagu
@godfreyoisso-mw2rr
Ай бұрын
Asante kwa maarifa mtu wa Mungu, barikiwa sana
@salomengowi3383
Ай бұрын
Amen 🙏
@LennyMallya-oj7nj
11 күн бұрын
Ameen tuomba full semina
@user-iq2ks4xt5n
24 күн бұрын
Amina baba barikiwe nimetoka na kitu
@AugusterJackson-eb6er
13 күн бұрын
Mungu wangu niandae bwana
@willbroadkaizirege4470
Ай бұрын
Amina, Amina, Amina.
@irynaedward2765
12 күн бұрын
🙏🙏🙏
@user-mt1vj9hh8p
Ай бұрын
ameni 🙏🙏
@user-mz9nx3pw3z
16 күн бұрын
Aminaaaa 😭🙏
@sarahvenance
Ай бұрын
Mungu atusaidie mm na mume wangu kutuandaa kiuchumi na ndoa yangu . Mwl nakupenda sana kila unapofundisha napanda kiimani Mungu akutinze Baba❤
@TinaKisomba-jt6yr
Ай бұрын
Amen🙏🙏
@edwinmshana1376
Ай бұрын
Amen
@yolandaluvakubusa8516
Ай бұрын
Ameen
@TyasonKinyaga
24 күн бұрын
Ahsant Sana baba
@frolencialupilya6209
Ай бұрын
Amen Amen
@tumainmwamatenge4575
13 күн бұрын
Amen amen
@emykimaro564
Ай бұрын
Mbarikiwe sana
@RachelBundala
21 күн бұрын
Amina
@raphaelmwamakimbula9642
Ай бұрын
💯♥️👏
@jomomwalubandu6468
Ай бұрын
🙏🙏🙏🙏🙏
@msambwajoseph
Ай бұрын
Ameeeni 4:31
@christinamasanja8698
Ай бұрын
Tuwekeeni kipande Cha mwisho tumalizie somo
@user-nu3eq2ck5j
Ай бұрын
Jaman nomben msaada nahitaj kuongea na mwalimu na niko mkoan na mpataja jaman wapendwa
@brownsebastianmwibi5647
Ай бұрын
😂😂😂😂
@cmoshi7014
Ай бұрын
Kwani kilitokea nini jumapili siku ya mwisho ya seminar kahama? Kwanini hatukuwa live?
@magrethmarco89
Ай бұрын
Tatizo la network mpendwa...karibu nchi nzima,mpaka leo hii ni shida tu
@cmoshi7014
Ай бұрын
@@magrethmarco89 ohhh Asante kwa kunifahamisha. Barikiwa
Пікірлер: 52