Hongera askofu umesema vizuri kulikko wabunge. Umekuwa muwazi kwa kazi nzuri iliyofanywa na hayatie John pombe magufuli. Pia umesema vema kuhusu shirika letu la ndege kumzidi spika wa bunge letu na CAG kwa kukuwa ni wasaka tonge
@damianocostantine9042
3 жыл бұрын
Askofu wetu wa zaman wa jimbo katoliki la Geita nakupenda sana mungu akupe nguvu uendelee kutoa huduma ya mungu
@johnmligo6966
3 жыл бұрын
Safi sana ASKOFU huu ndio UKWELI unaotuweka HURU.......
@ponsianamataka4607
3 жыл бұрын
Namuona hapo Baba Askofu Mkuu Nyaisonga wa Jimbo kuu la Mbeya. Alikuwa Baba yetu Dodoma.
@enockcharles6835
3 жыл бұрын
Ahsante sana, Watanzania ni muhimu sana kumuenzi Magufuli kwa aliyoyafanya.
@vantyger3254
3 жыл бұрын
asante baba waambie wajue aliyo yafanya magu ni yakuigwa
@LucasLusian-ik5bc
Жыл бұрын
Hongera baba askofu mwenye masikio asikie na mwenye macho aone
@emmaculatemwigune1424
3 жыл бұрын
Askofu wetu wa Jimbo la Songea barikiwa baba
@Deonfnyoni
3 жыл бұрын
Nakukubali sana baba askofu daru Mungu akubariki
@brandinahongerasanabugomba1583
3 жыл бұрын
Amina sana asikofu dalu sauti yako tumeisikia
@sabinaonline6575
3 жыл бұрын
Hahaaa ndege zinapishana Kama kunguru wa dar hahahaha nimefurahi Mungu akubariki Baba kwa kuliona hili,
@mugemainyas5241
3 жыл бұрын
Magufuli Mungu amweke pema . Miundo mbinu hii yeye ni muhusika mkuu.
@nardhismhagama6266
3 жыл бұрын
Umezoea kupokea sadaka ya malombi hatakama wakulima wamekosa kwenye dhuluma ya korosho husemi
@mugemainyas5241
3 жыл бұрын
@@nardhismhagama6266 andika kwa kingeleza hiki kiswahili hakieleweki.
@starentrepreneurgeneral
Жыл бұрын
Huyu Askofu anaakili Sana
@elyhillary2000
Жыл бұрын
Aminaaa
@princepiusmutaihwa9606
3 жыл бұрын
Khasante sana baba Askofu mkuu jimbo katoliki la Songea
@zegelibilishanga4761
3 жыл бұрын
Kama tungekuwa na mababa wazalendo kama ww nchi ingeenda mbele
@colmankissima4963
3 жыл бұрын
Askofu hana taarifa kuwa huduma ndiyo ilitafuna mashirika au kajisahaulisha makusudi. Cost benefit analysis muhimu kwenye kila biashara
@jenipherkyando4822
3 жыл бұрын
Nimejikuta nimefarijika sana baba umeniongezea siku nilikosa tumaini kama mti mbichi unachezewa hivi mti mkavu je?
@brandinahongerasanabugomba1583
3 жыл бұрын
Amina sana baba
@StephanoGwelino-so1cn
Жыл бұрын
Anatuchanganya waumini kama katumwa na chama atuachie kanisa letuu
@josephmgongolwa9496
3 жыл бұрын
Kwakweli magufuri adumu
@StephanoGwelino-so1cn
Жыл бұрын
Anapiga siasa
@justinashayo3743
3 жыл бұрын
Mmmmhh!!! Siasa au???
@mongogwelaanthony6867
Жыл бұрын
Baba askofu umenena vyema
@antoniambogolo3628
3 жыл бұрын
Asnte baba yet daru
@marryjustine18
3 жыл бұрын
Amina Baba
@mugemainyas5241
3 жыл бұрын
CAGE NI JINGA TU. ASANTE ASKOFU. HAPA SIONI MMEVAA BARAKOA SIJUH ASKOF DAR HAKUWEPO MAANA NA BARAKOA NAYO KAMA MAIGIZO.
@agustinogalusi1661
3 жыл бұрын
,
@billgussy6099
3 жыл бұрын
Huyu askofu alitaka CAG aseme uongo kinyume na taaluma yake?? Ina ogofya linapo semwa na askofu. Yoh 8: 32 Ukweli utawaweka HURU. Kuna ubaya gani wa kusema UKWELI shirika limepata hasara ili kuboresha na kurekebisha???
@TM.Sullusi
3 жыл бұрын
Wala hujamuelewa mkuu😂😂😂😂, point kubwa ni kwamba badala ya kujadili hasara but tumieni kilichopo tayari kurekebisha yaliyokosewa.
@theophilotheodosy5565
3 жыл бұрын
@@TM.Sullusi verrryyy gooood
@maishayakipepeo7309
3 жыл бұрын
@@TM.Sullusi umesema kweli, Naona askofu anasisitiza kutolenga hasaratu; (kutokata tamaa)hasa ukikumbuka baada ya ripoti ya CAG kulikuwa na discussion kama kuongeza ndege inafaa au la.
@billgussy6099
3 жыл бұрын
@@maishayakipepeo7309 discussion ni nzuri cha muhim ripoti ya CAG inapaswa kuchukuliwa kama chamgamoto na kuifanyiwa kazi badala ya kuibeza. Chukulia hiyo ATCL ni kampuni binafsi nadhan wangefurahi sana kujulishwa mapungufu yao ili wajirekebishe. Hili kwakuwa ni la serikali basi linafanywa la kisiasa.
@maishayakipepeo7309
3 жыл бұрын
@@billgussy6099 nakubaliana na nimekuelewa. Ni kweli kabisa ripoti ya CAG inatakiwa kuwa changamoto. Ndo maana mimi Naona criticism ya askofu haikuwa kwenye ripoti naona inalenga kwenye kauli iliyoanza kuongelewa bungeni iliashiria kana kwamba kuwa na ndege kumeleta hasara zaidi( kitu ambacho ni kweli).Lakini je ni kampuni lipi la ndege halijapata hasara wakati wa korona? Mimi nimeona critic ya askofu ilikuwa ikilenga hapo, kwamba kurudi nyuma na kuanza ku doubt si vema ila ni kuangalia upande wa faida na kuanza kuoverstep hasara. Ni maoni yangu na ndio maana sikuona kuwa mzee alipingana na ripoti.
Пікірлер: 37