Nmezijua nyimbo za hyu mama toka nikiwa mdogo,,nlikuwa napenda sana taarabu,kuna baba wa kipemba alikuwa anapenda sana kuzisikiliza akiwa dukan kwake,,maashallah bi fatma mpk leo namfuatilia♥️♥️
@kijijinikwetutv8
4 жыл бұрын
Kama una kabala kazi kutoka Zanzibar gonga like yako mpaka 2020
@fatmaunji1275
5 жыл бұрын
Mmmmmh nyimbo inanitoa machozi hiii namkumbuka marehem shemeji yangu akiludi job ananiwekea nisikilize Daaaah mwenyezi mungu ampunguzie adhabu ya kabriii🙏🙏🙏Asokasoro hakuna
@khayriyamussa6274
4 жыл бұрын
Allah amlaze pema peponi(Amiin)
@abdullakhalfan4668
Жыл бұрын
AMWONDOSHEE HASA SIO AMPUNGUZIYE YAARABBI.
@abdullakhalfan4668
Жыл бұрын
HIZI NYIMBO UNAONA LADHA HADI LEO KUZISIKILIZA.
@sukialkaabi9777
10 ай бұрын
🤲🏼
@issamuhammedi
2 ай бұрын
Mungu amfutie makosa yake yote na awarehem umma WA Muslim wote aminnn
@sakinaabdallah7713
Жыл бұрын
Dada fatma issa kwa ubora wake mashaallah maneno Safi kabisa♥️👏👏👏👏
@issamuhammedi
2 ай бұрын
Nasikiliza 2024 yani hizi nyimbo hazitachuja milele
@ashuashu3843
4 жыл бұрын
Hizi ndio nyimbo zenye maneno ya maaana.Old is gold.
@khamisjuma5481
3 жыл бұрын
Mungu akubariki mama angu
@assaddhamir5349
3 ай бұрын
Who's still watching 2024 😊
@mushken65
Жыл бұрын
Maneno na mpangilio wa Hali ya juu sana . Taarab asili nzuri sana 🇰🇪
@alitonya1123
Жыл бұрын
Wallahy hii ni sweet song japo sikua zama izo ila nimetokea kuupenda huu wimbo...Fatma aki u really got a blessed voice.
imependeza sana sana mpangilio na sauti nzuri dada umebarikiwa nayo.Hi Taarab inanipeleka ulimwengu mwingine wa hali ya juu sana. Love nikiwa hapa Kenya
@sakinaabdallah7713
Жыл бұрын
Si choki kusikiliza nyimbo zake huyu dada ina mafunzo kweli , but si kwa majuha mafunzo kwa waliyo n'a akili but ikiwa kichwa empty kakojoe ulale♥️♥️♥️♥️love home Zanzibar 😘😘😘
@jabirkombo5483
5 ай бұрын
Hhhhhh ushakojowa tyr ww
@issamuhammedi
2 ай бұрын
Love to kweli hizi old is gold kweli ukisikiliza Kuna hisia unazipata
@feisalboy6702
Жыл бұрын
Dah bi fatma issa ww utaniuaaaaa
@MohdAli-cg6ds
Ай бұрын
Itazikwa
@Gangalamu
7 жыл бұрын
Sijui nisemeje kuhusu huu wimbo ulivo mzuri tangu Mashairi Musiki na Muimbaji. Malkia wa tarabu na huu wimbo una mambo na waadha wote bora. Amazing to say the least
@mwaka308said7
Жыл бұрын
Thank you!for this sweet lovely song of mama Fatma...old is Gold.#
@SalehRashid-ry6td
9 ай бұрын
Kama unatizama 2023 gonga like hapo twende sawa
@Gangalamu
5 жыл бұрын
1 of ur best song ever Fatma Issa. What a lyrics composition and ur Melodius Voice. Wwwwwwooowwwwwww
@bismassshilla2025
6 жыл бұрын
mwenye lile hili hana...ndio shani yake AZA...huhuhuuuu!!! ni raha sana Fatma Issa
@issamuhammedi
2 ай бұрын
Acha tu hadi basi yani hadi unakuwa na hisia kali Sana na unyumbani wetu asikwambie mtu kuwa mzanzibar raha we
@azizasaid913
4 жыл бұрын
Kama unatizama Kama Mimi 2019 Weka like yako
@azizasalim8777
4 жыл бұрын
Habari somo mm nasikiliza nikiwa oman
@kassimuyahaya1483
4 жыл бұрын
Roho yangu hii nyimbo
@jumaaley329
3 жыл бұрын
@@kassimuyahaya1483 wn
@jumaaley329
3 жыл бұрын
@@azizasalim8777 NM j in love fundi,a
@jumaaley329
3 жыл бұрын
Ma!@@kassimuyahaya1483
@ahymokash9640
6 жыл бұрын
Pambeeeeeee kinancho nipa udhia nikule kuniapiza asokasoro hakuna aloumbwa na mwezao kinancho nikera sana nisonalo kupakazaaaaaaa
@othmanal-nabhany9243
4 жыл бұрын
Asokasoro hakuna aloumbwa na muweza,, ndio anavyotwambia mamaetu Bi Fatma Issa
@rashidkassid-mo9ip
Жыл бұрын
Ahsante bi Fatma kwa kazi nzuri isiyo chacha Wala kuoza.
@preetyroshylne1475
6 жыл бұрын
ASokasoroo hakuna aloumbwa na muwezaaa,,hongera bi fatma kaz nzur ,.
@salumsalum1775
3 жыл бұрын
Nani mwezangu anasikiliza 12 April 2021 gonga like hapo tuwe pamoja
@omarsaid3105
3 жыл бұрын
Real tyme taarab,essence of social civilisation in East African coastline... sio taarab mseto.
@mamat5661
6 жыл бұрын
Inanikumbusha mbali mnooo, binaadamu hatuyaoni yetu tunayaona ya wezetu
@faridbakar8242
4 жыл бұрын
2020 old is gold
@alzaah615
7 жыл бұрын
hakika ni tamu sana kukusikieni ndugu zetu mungu awabariki na atuzidishie umri mwingi allah yaallah zanzibar is gold ndugu zangu tutaweza kupokonywa yote but talent's ni zetu heko nyumbani
@user-eg7vl1tk1h
Жыл бұрын
Congratulations keep it up💪
@user-su2xt6ot9c
8 күн бұрын
Can't get enough
@Gangalamu
5 жыл бұрын
Sensational Fatma Issa Aaddaabbb, THIS song has it all, LYRICS singing and composition of highest calibre. Wwwwoooooowwwwwwew
Fatuma isa waaaaaa.naipenda vars kinacho nikira sana nisonalo kupakazaaa
@salmamussa4208
7 жыл бұрын
mashallah maneno kuntu
@qadhiyaalmughairi9095
6 жыл бұрын
Amina Yusud e
@bimumaulid1171
6 жыл бұрын
swadaktaa
@bimumaulid1171
6 жыл бұрын
swadaktaa
@sakinaabdallah7713
11 ай бұрын
Kswahili hichooooo❤💃🙋
@shafikamasudi2211
2 жыл бұрын
2021 still nasikiliza huu wimbo
@saudaissasaudaissa1329
9 жыл бұрын
Ikiwa nimekosea wajibu kuniongoza asantaa fatma issa
@asherinatamerali1217
7 жыл бұрын
haswaaaa😄😄😄
@fatumarizione3667
7 жыл бұрын
love you mamy big up wala msijedhani yakuwa nitawabeza niongozeni jamani
@mariamakeba
3 жыл бұрын
4 day in a leo nyimbo tamu🎼🎧🪕 Kinacho niumiza ni kule kuniapiza 🦚
@user-ie9dz9hm9q
10 ай бұрын
Nice muzic old is gold ❤👏👏
@abdallahdula6573
8 жыл бұрын
Old is gold 100%
@yusuphidrisa2100
8 жыл бұрын
hongera fatma issa
@aminamsakatile7219
6 жыл бұрын
mashallah Fatma Issa..ktk ubora walke
@user-jv1xb4zs2b
Жыл бұрын
Haoo chachaa
@innemussa1828
5 жыл бұрын
ahsant bint issa maneno mazuri!! Asokasoro hakuna!!!
@RahmaRamsha
Ай бұрын
2024Bado ipooo moto mashaallah ❤️
@ayshearsaeed5716
5 жыл бұрын
Kitu na boksi sichoki kuskiliza huu wimbo naupenda hatarii😂😂sauti dada madaha kama yote
@shamsahajri8145
2 ай бұрын
Old is Gold Salute to bi Fatma
@fatoumaahmed7670
4 жыл бұрын
J'adore cette chanson merci 💃💃💃💃💃
@maswamaswatech3830
7 жыл бұрын
hongera yako cz binadamu waleo hawajui km hakuna mkamilifu
@yaakubjuma8940
6 жыл бұрын
Kuwa haikuwa watoto ulowazaa mwenyewe......itakua???
@yaakubjuma8940
6 жыл бұрын
Asokasoro hakuna aloumbwa na muezaa.....
@yaakubjuma8940
6 жыл бұрын
Mwenye lile hili hana..... Tabia kutolingana sio jambo la kushangaza.....
@snahlicious
5 жыл бұрын
aso kasoro hakuna aloumbwa muweza mwenye lile hili hana ndio shani yake adha tabia kutolingana si jambo la kushangaza kinachonikera sana nisonalo kupakazwa kunisema sichukui kusengenywa haifai ni hekima njema rai kunionya sikatai la msingi niiteni na wala sitopuuza sikatai nambieni wallah ntawasikiza mengine msinidhani yakuwa ntawabeza nami ntawashukuruni kwa vile mmenifunza
@DonKhawwar2
3 жыл бұрын
Mashallah shukran sana
@ramadhansimba7760
5 жыл бұрын
Fatuma issa ni noma
@nanadahal4740
Жыл бұрын
MASHAALLAH OLD IS GOLD NAMPENDA SANA FATMA ISSA NYIMBO ZAKE ZOTE
@cutekhamid
Жыл бұрын
⁰0000
@aishamatangamatangamatanga1344
Жыл бұрын
Hakika zamani itabaki kua zamani sichoki kusikiliza ❤️❤️😘
@fatumamwangome2548
5 жыл бұрын
Masha Allah marehem baba yangu aliipenda sana hii nyimbo imenikumbusha mbali sana machozi yanitoka hasa niliskia dogo msilipe mwanya likaja likachachizaaaaaa
@ally1702
5 жыл бұрын
Pole sana
@ashuashu3843
4 жыл бұрын
Pole
@zainabsuleiman5920
2 жыл бұрын
Allah awarehemu wazee wetu waliotutangulia mbele ya haki awasamehe makosa yao Amiin 🤲🤲
@msakuzikondo536
2 жыл бұрын
N mimi Marehemu baba yangu aliupenda sana.Mungu akurehemu KK
@aishahassan4168
3 жыл бұрын
Asokasoro hakuna aloumbwa na muweza
@dahoudrashid216
6 жыл бұрын
Nice music old Zanzibar ftma nice ming ming
@khamisomar9419
6 жыл бұрын
Asante Fatma Issa
@dukanmchina6614
6 жыл бұрын
awsome hakika aliimba huyu mama
@mahamoudduchi3318
3 жыл бұрын
Maneno yalimchosha ndo akaimba hii nyimbo we sikiliza vzr tu iyo nyimbo utajua km aliwatungia watu fulani😄😄😄😄
@user-xb2hw4yt1t
4 ай бұрын
Best old is Gold I like it .❤❤❤
@firyalharbou4952
2 жыл бұрын
J'adore cette chanson je pense fort ma mère une très bonne chanson asante sana
@mushken65
Жыл бұрын
Karibu Sasa toka hapa kenya 🇰🇪
@perrychicken5876
6 жыл бұрын
Maanii na muimbaji mzuri Mashallah
@mayasahkhalfan6828
6 жыл бұрын
Kweli aso kasoro hakuna ...... maneno kuntu.
@snashiralmuaqly598
2 жыл бұрын
daaaaah yaani weeeee achaaaaaa tu
@mozasaid3869
4 жыл бұрын
Old is Gold 👍
@haroubjuma5107
4 жыл бұрын
Asokasoro hakuna
@feisalboy6702
Жыл бұрын
Ktk nyimbo uloimba hii ni kiboko yao
@rizikijabu742
5 жыл бұрын
Asokasor hakun jmni
@ire.kasidikasidiss8099
Жыл бұрын
Nice music with lovely view 👍👍
@fatmahussein9642
2 жыл бұрын
Nyimbo naipenda hii asokasoro hakuna mm mweusi lakin shepu ipo hahaha kweli asokasoro hakuna
@muntakindamba2053
Жыл бұрын
Nakupendaa
@user-su2xt6ot9c
8 күн бұрын
Zakale dhahabu kweli
@khaliphanassoro4851
4 жыл бұрын
Fatma issa vp bado unaimba
@rizikijabu742
5 жыл бұрын
Lovee mingming waalhh mungu akuweke
@salimathumanmayugo9926
3 жыл бұрын
Hamna mjadala kabsaa kama mawaidha, mane I ya hikma na yenye utulivu
@salimathumanmayugo9926
3 жыл бұрын
Maneno ya ukweli na mziki wa kukupa funzo
@mussakivumbi2930
5 жыл бұрын
Masha allah!!
@zainabsuleiman5920
2 жыл бұрын
Jamani mnyonge mjyongeni a la haki yake mpeni kwa upande wangu hatotokea muimbaji mzuri wakike kwa upande wa taarab kama huyu maana huwa anatunga mwenyewe mashairo mwenyewe mziki mwenyewe pia na kuimba huwa anaimba mwenyewe jee ameshawahi kutokea muimbaji akafanya hivyo hatokei huyu mama yuko juu amepewa sauti
@shuwekhamasoud1887
3 жыл бұрын
Nazikubali nyimbo za huyu mama bado yupo? Ananikumbusha mbaliiii 2021
@mohamedsuleiman7215
2 жыл бұрын
hujanishinda mimi yani ndo vile kashazeeka hoi bin taaban lakin ningelikuwepo enzi zake ningemuoa wallah....habibt wangu huyu nampenda rohoni.
@maryvictor3412
4 жыл бұрын
Vya kale dhahabu
@rahimaally6471
5 жыл бұрын
Aso kasoro hakuna alouumbwa na mueza
@fahashmohd6102
7 жыл бұрын
MashaAllah my Fav Fatma Issa
@halimanabir2380
5 жыл бұрын
lamsingi niiteni na wala sitopuuzaaa
@nassirmasoud2545
Жыл бұрын
Huu wimbo naupenda mno.naomba mwenye ataweza kunitumia pls
@fatmaissa3154
4 жыл бұрын
Maneno kuntu,hakuna mkamilifu chini ya jua
@ahmadakishingo1935
4 жыл бұрын
Kinachonikera sana nisonalo kupakazwa
@tvdlm2121
4 жыл бұрын
Mashaaallah
@haithamjuma6686
7 жыл бұрын
wajina'umeona'eeenh'amina
@akakuali8746
9 ай бұрын
Hauishi tamu
@aliabeid5122
4 жыл бұрын
Vibaya msinidhan yakuwa nitawabez
@nairathamad884
5 жыл бұрын
Mashaallah pambe maneno kuntu
@princehalawa_official7980
Жыл бұрын
Hizi ndio taarab
@rehimatanzania4337
4 жыл бұрын
Nice song
@halimanasihu1200
4 жыл бұрын
Ikiwa nnapotea wajibu wenu kuniongoza
@muminmohamedahmed2453
3 жыл бұрын
SWADAKTA +254 LIKES ZENU
@z.n.4672
8 ай бұрын
❤️🙏👍💐
@qeenlatty5380
7 жыл бұрын
siichok hii nyimb jmni dah uliimba hp sauti ssa ndio hoi mm
Пікірлер: 202