Nilipokuw mtoto kiukwel nilizichukia sana hiz nymbo taarab ila akil yngu ilkuw ndog baad ya kusikilza ujumbe wa hz old taarab kwa kwel ndio zimekuw zinaniliwaz Allah awafanyie wepes katk kila hali kwa kwel ujumbe ni mzito sana
@Pollanese16
8 ай бұрын
I am so tickled. I have fallen in love with this genre. This is my JAM! I grew up in a small town in the US. I had no idea such a beautiful genre exists. This song right here, I know this is a classic bop and I am not even from there but this vibe makes me feel something special.
@muadhally5803
3 жыл бұрын
2021 gonga like 😛
@jonathansima5322
6 жыл бұрын
Mungu akupe maisha marefu mama inshaallah.........kheri adui shetani kuliko adui kiumbe wallah naielewa hii nyimbo htr
@bintshabani4564
5 жыл бұрын
Cute song
@snashiralmuaqly598
2 жыл бұрын
Yaani mimi nikiicikia nyimbo hiiii nakumbuka wachawi walivo yatia mafuta ya taaa maisha yangu
@saidali-hx4bk
Жыл бұрын
Mi pia nakumbuka mbali nikiskia wimbo huu
@udizungwahimalaya5213
Жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
@abdulrahmanhassan9374
2 жыл бұрын
Hi nyimbo nakupenda toka niko mdogo
@zainabsuleiman5920
2 жыл бұрын
Ni kweli kabisa hawana tofauti hasidi na fisadi ni kheri adui shwetani kuliko adui kiumbe
@abubakarkhamis3884
2 жыл бұрын
MashaAllah MashaAllah MashaAllah raha jaman raha kusikiliza huchoki waishia kurudia irudia tu
@inversedelcruise676
3 жыл бұрын
Mwisho Wa mwaka 2020 dec 25 leo, kama upo like
@hamisially34
Жыл бұрын
Yani siichoki kuisikilza hii nyimbo jinsi nilivyo zungukwa na Madui viumbe
@hmsrashd7910
Жыл бұрын
Enzi za utoto: tukiimba Kama burudani Ukubwani: ndio tunaelewa maana
@suleimanali5681
11 ай бұрын
😂😅😂❤
@user-zo9ti2xe1z
28 күн бұрын
hatr
@husnahussein6785
6 жыл бұрын
Warereeeee ! Waaaaaah ! Mashairi Mazuri sana... Na Sauti Maashallah keep it up !!!
@abuumsuyq7033
5 жыл бұрын
Yaan mashairi matam zanzibar kunawaimbaji wazurisana sautinjema sana pia mapigo yahizo dufu
@abassseif143
3 жыл бұрын
Tupo sawa 🤣🤣🤣
@captainabdul4906
3 жыл бұрын
2020
@thuaibaally6921
4 жыл бұрын
ah yani hii nyimbo bibi ang anaipenda ananimalizia mb zang kila sku jamani lkn nzuriiiii mpaka bibi anaipenda mashaalah
@snashiralmuaqly598
2 жыл бұрын
haaaaahaaaaaaaaa hichi kitu co mchevo voooo thuwaiba
@Drlove164
6 жыл бұрын
Nilipokuaa mdogo kdgo nikisikiaa nyiinbo zaake niliwahi kumwambia baba akaniposeee huuyuu nilimpeendaa sanaa mashair yaake na maneno mazuur sanaa , Mungu akupe kipaaj had pepon,
Bora adui shetani kama kiumbe malipo duni ahera kuisabu fatuma Issa maaneno kabisa maaneno yako
@NurdinMbaya
10 ай бұрын
Mashallah
@nawalidha931
3 жыл бұрын
Waa
@mwigaali9780
5 жыл бұрын
Bora adui shetani utamwita nakumpa kitakacho nakwenda zake ila adui kiumbe? Utaimaliza dunia na pembe zake
@allyzezefu7949
3 жыл бұрын
Bora adui shetani kiumbe hatari anataka akutangulize
@hajikhatibhaji7162
6 жыл бұрын
NI MANENO YA UKWELI MATUPU
@abassseif143
3 жыл бұрын
Lisemwalo lipo kama halipo ujue laja huyu ndio adui 💆
@user-xo7sg1pw7m
10 ай бұрын
MashaAllah 🎉❤
@zainabsuleiman5920
2 жыл бұрын
Hii nyimbo nikiisikia nakumbuka enzi zile za kwenda chuoni inapigwa kwenye kipndi cha burudani na sauti ya Zanzibar ama sivyo
@saidhamad7504
Жыл бұрын
100%
@saidbahanuzi
Жыл бұрын
100
@saidali-hx4bk
Жыл бұрын
Siku hizi inaitwa ZBC Radio zama hizo ikiitwa sauti ya Tanzania Zanzibar
@mulhatomar6953
Жыл бұрын
Yaan mm na ww mawazo sw enzi izo ukiisikia 2 wimbo huu ujuwe muda wa chuon tyr da 😋 zaman raha kwakwel
@rashidsaid1092
9 ай бұрын
Upo sahihi ukisikia hiyo unajua mda wa chuoni tyr
@NaomiShauri-le8jx
27 күн бұрын
Mashallah mama uko vzr
@AllyAlly-yb4pl
28 күн бұрын
2024
@zahorrashid5459
4 жыл бұрын
Hakikaaaaa.jamaniii.yakale dhahabu sn
@othmanalnabhany3208
3 жыл бұрын
Xannah kabisa lkn sasa mitusituuuuu
@rahmayusuph7934
4 жыл бұрын
Wanafki wapoo inawachoma
@omarymohamedi8811
6 жыл бұрын
hili goma balaa
@cutezyzaaa1407
6 жыл бұрын
hehehhe
@makamefoum8058
4 жыл бұрын
Nitafute kwa 0769311574
@SaidiAbdallah-nd2wm
2 ай бұрын
Vya kale ni dhahabu....
@ahmadisaid9304
2 жыл бұрын
Ama kweli zanzibar ni zawadi kutoka kwa mola kiufupi tunajua kweli na huyu dada hana mbaya na hana utovu wa adui kama mond
@babymuniral6840
3 жыл бұрын
💌
@zaidymambo1013
7 жыл бұрын
mngu akupec
@abdirashidmohamud231
7 жыл бұрын
I loved she is the singer I don't speak Swahili but I liked
@UlediHamadi
11 ай бұрын
Waooo
@hamzaahmed69
Жыл бұрын
Mashaalah kwa kweli
@masoudalriyamy6298
2 жыл бұрын
Hawa ndio wasanii sio tarabu zeni makwapa njee mikorogo mlokosa haya jifunzeni kwa wenzenu mnaijua tarabu njie nani alokupeni kibali cha kuimba tarabu mmeharibu tarabu yetu nyie kaziyenu kibao kata
@mbarakahmed3892
6 ай бұрын
Huyu mama kabarikiwa nasauti walai yani watamani umsikize
@munguamuekemahalianapostah3338
3 жыл бұрын
Malipo ni duniani akhera kwenda hisabu viumbe
@saidali-hx4bk
Жыл бұрын
Mate chini nnatema....tunusuru ya jalia nahisi Tabia mbaya..
@user-bx7ch9kz5u
2 ай бұрын
Mm ilikua zikipigw tu najua mida ya kula tayr 🤣 daah tuntok mbali
@abassseif143
3 жыл бұрын
Lisemwalo lipo kama halipo ujue lajaaa!! 👹huyo ndio hasidi
@cutezyzaaa1407
6 жыл бұрын
😚
@muhammadomar1787
4 жыл бұрын
Hata kuchoka hachoki adui kiumbe huyo
@udizungwahimalaya5213
Жыл бұрын
😀😀😀😀😀😀😀😀
@naissabard2519
6 жыл бұрын
mhh
@salehkhamis8653
2 жыл бұрын
maneno kuntu
@SurprisedBurrito-pw4wt
6 ай бұрын
Enzi zimepita binadamu nikiumbe hatali
@khamismusa7626
6 жыл бұрын
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha
@tunnaika
5 жыл бұрын
Lmaooooooo...ukweli ama vipiii lmaoooo hahahhahhahahha AUDHUBILLAH
@kingrichason3367
Ай бұрын
Tunatoka mbali sana 🤣
@Aminaali-bv9du
Жыл бұрын
Asokasro
@makamemufadhil627
3 жыл бұрын
Tujitahazar
@saadamabdulnasrijamal2483
Жыл бұрын
Yaani hichi kitu kilikua kinapgwa kweny sala. Sport club saa mbili asbh na saa nane mchane kweny taarabu ya sauti ya tanzania zanzbr miaka 99/2000
@zalfenassor6748
5 жыл бұрын
mwema adui hanaye
@abassseif143
3 жыл бұрын
Swadaktaaa!
@udizungwahimalaya5213
Жыл бұрын
Hana kabisaaaa
@khamisali547
2 жыл бұрын
loo pooh yasini
@ahymokash9640
6 жыл бұрын
Weweweee looo poooo yasini mate chini natema kunusuru ya Julia nahisi tibia mbaya
@dulaabdalatajanambayasimu7606
2 жыл бұрын
Boti issa km huna mume mm nipo try kukuowa kwa sauti tu umejaliwa hazina ya zenji.
Пікірлер: 169