Mtangazaji wa Azam TV Kenya, Ali Salim alipomuuliza Austin wa Gor Mahia ya kwamba ataondoka ndani ya klabu yake msimu ujao au atabaki, mwenyewe amekubali kuwa hatokuwa sehemu ya kikosi cha Gor Mahia.
Odhiambo pia amezungumzia safari yake ya masiha ya soka huku akimtaja Boniface Ambani.
Негізгі бет Austin Odhiambo wa Gor Mahia atangaza kutimka klabuni hapo msimu ujao
Пікірлер: 2