"Mimi sitaki hela ,nna hela nyingi, mtuzeni huyu anaanza maisha "mtu na mwanaye, so lovely
@mwajahilisegela6544
5 жыл бұрын
Moses Nyirenda
@binurusm8886
5 жыл бұрын
Kweli Mipango ya Mungu haipanguliwi na mwanadamu, hongera sana Babu Seya, Mungu Aibariki Ndoa yetu, hongera pia zimwendee Mh. Magufuli, hakika uliona mbali, Mungu akulinde Rais wetu, Aamina.
@patrickKitambo
2 жыл бұрын
such a beautiful family...may God wipe away all the pains you faced during the trials
@zumbeshauri8114
5 жыл бұрын
magufuri mungu akuweke miaka mingi hakika furaha hii ilipotea sana kwa muda
@erickmichael1373
5 жыл бұрын
Jamani Mungu usiandike kwa herufi ndogo please
@asiaramadhani3419
5 жыл бұрын
Magufuri
@faridahamis2607
5 жыл бұрын
Kwakweli magu mungu ampe miaka 1000
@mariamumchele2478
5 жыл бұрын
Kweli
@taslimanyange2850
3 жыл бұрын
@@faridahamis2607 Nimejikuta natokwa machozi Mungu ampumzishe mahali pema peponi
@happynessswai3922
5 жыл бұрын
Ilipendeza sana Kuna mtu anangalia video na wakat huohuo anasoma comments kama mm?
@aminajuma9714
5 жыл бұрын
Happyness Swai ulijuaje happyness
@happynessswai3922
5 жыл бұрын
@@aminajuma9714 inapendeza sana
@daudirajabu6798
5 жыл бұрын
Kwakwa
@subiradalabu6616
5 жыл бұрын
😁😁😁😁🙌
@gospelfiretv9667
5 жыл бұрын
Hahahaaaaa umejuaje
@nancylitali3359
3 жыл бұрын
When ever I hear this song I feel so loved
@sabrahmashema842
5 жыл бұрын
Bora uchelewe kuoa au kuolewa ila upate mtu unaeweza kuvumilia mapungufu yake hongera babuseya we love u!
@mariamkalinga2628
5 жыл бұрын
Sabrah Mashema babu Seya ajachelewa alishakua namke baada ya kua gerzan alipoteza mke na mama Ake mzazi bada ya kuhukumiwa jaa
@sabrahmashema842
5 жыл бұрын
@@mariamkalinga2628 sawa mungu amsimamie ktk ndoa yake mpya na awape subra ktk kila pungufu..team seya😘
@rosemaiko9405
5 жыл бұрын
Hongera
@khatibuhijja459
5 жыл бұрын
@@sabrahmashema842 lkn. Mtt hanaadabu anamuimbia mamaake utadhani yy ndio kaowa
@sabrahmashema842
5 жыл бұрын
@@khatibuhijja459 hahaa yupo kwenye mood daddy kaoa
@kizamanikisasaproduction1146
5 жыл бұрын
Hata ikiwajeeee LAZIMA tutoke jela wale wabaya wetu eh wabaki na ______ nn jamani, KAMA UMEKUBALI HAPO MALIZIA
@sarahloveyouolivermtukidzi6704
5 жыл бұрын
Wabaki na AIBU''
@ziadasalim8807
5 жыл бұрын
wabaki na aibu
@theresiakaruhanga1169
5 жыл бұрын
Mungu ni mwenye haki na rehema zake ni you kwa wamchao
@tibekabaka8127
5 жыл бұрын
Wabaki na aibu
@ashamwandu3781
5 жыл бұрын
Kwakweli had I raha nimewatamania watoto wanamuunga baba yao,na mzee kajaa furaha .namungu akaishike mkono ndoa hii,ikajae upendo wako kweli na furaha wazae,mwanaume azeheki mashallah
@yahyarajab525
5 жыл бұрын
Baada ya ziki ni faraja
@scholasticafrancis1235
5 жыл бұрын
Asha Mwandu Amiiin
@marthakambona4809
5 жыл бұрын
I like every thing biharusi natural face
@wemakalamu3538
5 жыл бұрын
Mwenyeezi mungu aibariki hii family hakuna mkamilifu duniani
@odetherpaul5720
5 жыл бұрын
Kudo oiiiiuul
@samsonmagesa3959
5 жыл бұрын
Wema Kalamu Amen
@salamashabani7922
5 жыл бұрын
MUNGU HAWATUPI WAJAWAKE JAMANI, AMANI YA FAMILIA IMERUDI MAASHAALLAH MAASHAALLAH MAASHAALLAH💖😍
@naomicharles6002
5 жыл бұрын
Sa
@TheSalma1999
5 жыл бұрын
Mungu amsaidie na mwanae apate mke mzuri kama baba yake May God bless their reunion
@nyamogafamily4262
5 жыл бұрын
Me mchumba wake mbona!michango yenu tu harusi Karibu son
@modesterdavid8500
5 жыл бұрын
@@nyamogafamily4262 hahahahahahaaha khaaaaah
@amiriramadhan7753
5 жыл бұрын
Jamani kwani huyu mzee alvokua jela hakua na mke nyumbani au alirudi mke ashaolewa?
@mariamkiharo6345
5 жыл бұрын
@@amiriramadhan7753 yes alikuta mke kashaolewa
@Fgldesigns
5 жыл бұрын
@@mariamkiharo6345 Duh! Wanawake nao mpo na haraka...
@sizaulomi1478
5 жыл бұрын
Amani kwako na mke wako Mzee babu seya tunazidi kujifunza kupitia wewe.#MunguibarikiNdoayaBabuSeyaAmen.
@magrethjohn8576
5 жыл бұрын
Kwa Mara ya kwanza mwili umenisisimuka! All the baba,hata ulipofungwa nililia kama nakujua!Mungu awe nanyi upendo na amani vikatawale ndoa yenu!
@paulinamailec1710
5 жыл бұрын
Amen
@damasinyalile8649
5 жыл бұрын
Magreth John
@mwanahamisiabdi3320
5 жыл бұрын
Nlijkuta nampenda anko magu kwa ajri ya kumtoa babu sea na mtoto wake ccm oyeeeeeee
@benlaizer9936
5 жыл бұрын
Hakika Mungu ni Mungu wa haki tabasam limerejea ktk familia hii!! Asante Mungu asante Mh.JPM
@margarethsaramaki1100
5 жыл бұрын
Hongereni sana na Mungu awabariki sana
@godfreyally7787
5 жыл бұрын
Mbarikiwe sana kwa hatua nzuri
@nabwilelinet7027
5 жыл бұрын
Harusi tunayo au hatuna ikipamba sana weka nduruuuuu I like the song
@priscaandrew554
5 жыл бұрын
Thank you God,kweli kila jambo kwa wakati wake
@samsonmagesa3959
5 жыл бұрын
Prisca Andrew Amen
@perpetuapallangyo5714
5 жыл бұрын
Kila Mtu Kwa wakati wake, enjoy Babu Seya.
@shideashidea5570
5 жыл бұрын
Kabisaaaa
@andrewmagwila6219
5 жыл бұрын
Kweli kbs
@amiriwaziri6858
5 жыл бұрын
Magu wewe unafaa
@irenemagoto2646
5 жыл бұрын
Dah nimetokwa na machozi aisee hii familia nilikuwa naionea huruma sana kipindi iko jela yan nikiwaona hawa mapenzi yangu kwa Rais wangu Magufuri yanaongezeka be blessed baba rais wa wanyonge
@lisajackson5867
5 жыл бұрын
Nakupenda sana Rais wangu magufuri Mungu akulinde kw kuwasamhe coz muhukumu ni Mungu tu daah mpk nalia kwa furaha
@khadijanyoni2457
5 жыл бұрын
Hongera baba yetu, nimempenda mama amechangamka amecheza vzr big up mama nguza
@dollaxytvonline4190
5 жыл бұрын
Kama na ww n was kwanza kuona like hapa tujuane
@neemachabruma2678
5 жыл бұрын
Mungu akubariki kwakufunga pinga za maisha
@juliusmatilya4025
5 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu akawabariki katika ndoa yenu ya ukubwani. pia hongereni sana.
@daimavlog
5 жыл бұрын
Kipaji hiki jamani, kuimba live ndo kipaji chenyewe haki.
@dshynermcongo1564
5 жыл бұрын
Daaah hawa jamaa hawakuwah kufikiri km ipo cku watakuwa free na happy like this. Pongezi kwa jpm rais wetu.
@mussamohamed7209
5 жыл бұрын
Asant muheshimiwa magufuli tusingeyaona haya
@daimavlog
4 жыл бұрын
Mungu ni waajabu sana
@bernadethleonard2741
5 жыл бұрын
Mungu awabaliki San baba yngu tunakupenda watu waby walitk kukatish ndoto zenu washindwe kwajina la yesu namungu azidi kuwaonyesha nakuon Hy
@shakilamasoud8979
5 жыл бұрын
Magufuli Mungu akufanyie wepesi katika kazi yako. Kwakuichia hii familia huru
@solomonfaithbless5940
5 жыл бұрын
Solo and bassist are the best
@godfreylusega4095
5 жыл бұрын
inatia moyo
@rizikinash8221
5 жыл бұрын
Hapo,aliimba hatanvua inyeshe inyeshe lazima watoke jela waonyeshe mapenzi yao na magufuli palinifanya ni like na ku subscribe
@gidionseleman7318
5 жыл бұрын
Dah!! Wamemchelewesha sana huyu mzee kule jela, ila at least kapata mwali.
@erickputto3490
5 жыл бұрын
Gidion Seleman
@ptheboytz3300
5 жыл бұрын
Mungu ampiganie mzee wetu
@valkiniabaaichaki9663
5 жыл бұрын
p the boy tz
@jennifernafula7008
5 жыл бұрын
Hongera babu seya mungu akulinde sana we love you from kenya
@nuurinkluge7584
5 жыл бұрын
God Blessing them🙏🙏🙏💗💗
@mussakijangwa196
5 жыл бұрын
Haaaaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😋hata mvua ikinyesha lazima tutoke jela 😋😋😋 umedamshi baba 🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️
@prisilakapinga3781
5 жыл бұрын
Uhuuuuu
@bossdavid7644
5 жыл бұрын
Mussa Kijangwa hatari sana😁😁
@marthakambona4809
5 жыл бұрын
Dah Jera hakumpendezagi mtu hawa wali zeeka asahivi wamelejea hawatamsahau magufuri milele papi kocha na baba ake wanapendana sana
@alladiniamrani121
5 жыл бұрын
Mungu Mkubwa sana,Papy Kocha Uko vzr,Hiyo Sepetu!!!!,Mwegelo!!!uwoyaaa uko wapiiii,Daaah
@damianoadam1041
5 жыл бұрын
Mungu awatangulie.Mungu ambariki na kumlinda Rais wetu mpendwa Dr JPM kwa kujali wanyonge.
@levinaoscar8864
5 жыл бұрын
Safi
@lovenessmwaluko5576
5 жыл бұрын
saaaaaafiiiiiiiiiiii sana hongeraaaa,,sana Mungu hakika ni mwema nani alijua IPO siku itakuw HV Mungu awape umri mrefu zaid
@nuurinkluge7584
5 жыл бұрын
Simple weeding and beutiful 💝💝💝🙏🙏🙏
@stellahsanga163
5 жыл бұрын
mmeua jamani long time babu seya ....God bless u
@salmaothuman8412
5 жыл бұрын
Hongera mzee mseya mungu mwema 🙏🙏🔥🔥
@husnatgamaah1335
5 жыл бұрын
Sijui kwann huyu mzee nikimuangalia ananiumiza roho maskini😢, kama kwa Mungu kuna malipo basi mzee Mungu atakulipa kila haki yako ulopoteza😢😢
@annajustine5104
5 жыл бұрын
Hakika hii familia naipenda...Mungu aitunze.
@mariamukajiru1898
5 жыл бұрын
Hongereni sana, Mungu awawekee mikono mkae kwa Amani na Upendo .
@sapzuuramadhan2983
5 жыл бұрын
Papii mtundu uyo
@deboramrema2861
5 жыл бұрын
Hongera baba hakuna kama Mungu aliekuweka huru na leo umeoa hongera Mungu aidumishe ndoa yenu
@eliasrwechungura7503
5 жыл бұрын
Hongera sana Babu seya
@salomemkama6629
3 жыл бұрын
Baba na mwana, vile mtu na mtani wake 😘, Mungu azid kuwapa maisha maref
@gloriamalisa3033
5 жыл бұрын
to God be the Glory
@samwa9496
5 жыл бұрын
MashaAllah Mungu abariki ndoa na uzao wenu.furaha tele mmedamshi hakika Mungu ni mkuu
@mariamyusuph7356
5 жыл бұрын
Safi sanaaaaa!! Kila mja na fungu lake..best of luck
@manuelmongi9702
5 жыл бұрын
Dah smiling in tears , ,
@lydiathadeous6644
5 жыл бұрын
manuel mongi me too
@saidahj2543
5 жыл бұрын
This is nice
@benardmzumala9447
5 жыл бұрын
Mr kifaaa hongera uzeee ni namba na ujana ni namba MUNGU awape maisha marefu
@ziadasalim8807
5 жыл бұрын
wakati ukifika mungu anakuletea mtu sahihi papara si nzuri mwendo wa kutulia
@shimanysalvatory7722
5 жыл бұрын
Umeona Ziada eeh
@arafambegu7320
5 жыл бұрын
Thank u God
@wahidashabaz5982
5 жыл бұрын
baba maskin kazeekea jera ila mungu anakupenda bora upate mwezio wa kupunguza nae mawazo
@fatumaseif4593
5 жыл бұрын
Yaaan hadi raha jamani hongera zako babu Seya
@josephsanga474
5 жыл бұрын
Bi Harusi anahesabu mwenyewee helaa hatakii ujingaaa😂😂😂
@mariamkiharo6345
5 жыл бұрын
😀😀😀😀😀mpaka alivoambiwa na yule mpambe wake aweke mfukoni
@josephsanga474
5 жыл бұрын
@@mariamkiharo6345 hatakii ujingaa kwenyee mambo ya helaaa kabisaa yanii
@frankkanani
5 жыл бұрын
maisha ya babu Seya na Hasa mwanae Papi nayakubali sana
@munyongeshabani3532
5 жыл бұрын
Congratulation Mzee Babuseya from Burundi.
@rukiamohammed5031
5 жыл бұрын
Hongeren mungu aibariki hii ndoa lkn bi harusi ckuwez 🙌no mek up 😂😂 umetisha bila kinyago 🤣🤣
@machintangachibwena5922
5 жыл бұрын
Make up ya nini huyo ni African beuty
@shamahkakan9241
5 жыл бұрын
Kwa mbaali is ok
@stevesmumessie7974
4 жыл бұрын
Lovely really 😚😚😚😚
@oliviaseth4652
5 жыл бұрын
Mbarikiwe
@nazirseleman8362
5 жыл бұрын
jambo jema kaka inshallah Allah awatangulie katita ndoa yenu
@selemanijeanpierre7931
5 жыл бұрын
Safi nimefurai sana sana
@kissaodita9875
5 жыл бұрын
Hongera sana baba ,mungu anaweza
@doriceelias9489
5 жыл бұрын
Mungu abariki ndoa yenu amina
@aldoba2826
5 жыл бұрын
Huu wimbo ulipigwa ck nlpofunga ndoa watu wakafurahia pia.asanteni kwa wimbo mzuri
@rajabumalupu4184
5 жыл бұрын
Congo ni nomaaaa
@dennisdukes4187
Жыл бұрын
Father and son sang together jailed together released together such love
@fabianringo2808
5 жыл бұрын
Thank you JPM for making them free.
@judithmelvinealuchio8968
5 жыл бұрын
wow so beautiful and wonderful 👏👏🙏
@Amneamne-qi2du
5 жыл бұрын
Alf Mabrooq M/mungu awati lie baraka kwenye maisha yenu
@Basagamp4
5 жыл бұрын
Hii ni Tafsiri tosha ya Mwanaume Mashine. Baba na Mwana Mwana Wakiimba na Kucheza🤣🤣🤣😋😋😋
@aishamawalla1839
5 жыл бұрын
Yani mnaendana kabisa ni mungu alipanga Dada yangu mzuri mungu awatungukie katika safari mpya mapenz yenu
@kingoman7895
5 жыл бұрын
Nimejikuta nafuraha kama vile mm ndio nimepitia yote magumu kisha nikafikia haya yote kwa uwezo wa ALLAH.Nawaombea kwa MUNGU kheri zote za duniani na Akhera Ameen
@aminamohamed6413
5 жыл бұрын
Magufuli mungu akupe maisha marefu baba raisi wa wanyonge
@aminaharouna4614
5 жыл бұрын
Yaani nawapenda sana ni familia inayoshirikiana san na kupendana hadi raha mungu wazidishie wasipite vidudu watu
@nadiyakisho2178
5 жыл бұрын
jaman hongeren hatua nzuri iyo muda wote ulikuwa jela baba ila so mbay hakuna kitukilicho haribika mungu alishapanga ilo
Mungu akipanga hakuna wa kuzuia hongereni Maharusi wetu
@salumuabedi2020
5 жыл бұрын
Millard ayo hivi ndo tunataka King Kiba awe yaani atupe burdani mpaka uzeeni kama wakina Papa Mobimba vile lakini tunaona Kiba anafikiria ku stuff .
@jooutlook3557
5 жыл бұрын
Aki hawa wawili ni vipenzi wangu. May God bless them abundantly
@lydiathadeous6644
5 жыл бұрын
😭 huu Wimbo jamani 😭😭 MUNGU AWATIE NGUVU NA KUWAONGOZA BABA NA MWANA MUNGU KASIMAMA KAONEKANA MUNGU ANAJIDHIHIFISHAHA HAJALISHI ATAWAHI AU KUCHELEWA GOD IS GOOD ALL THE TIMES
@mklsolutionslimited9626
5 жыл бұрын
Hongera sana familia ya babu Seya,militias magumu sana kwa sasa mtelemko tu.
@blessedbeliever492
3 жыл бұрын
Pole sana kumpoteza mpenzi magufuli
@josephinevicent544
5 жыл бұрын
hongera jmn 😘😘😘😘
@MukireFatmaEvaste
11 ай бұрын
Nawapenda sana🇷🇼+🇨🇩
@dottolasway4010
5 жыл бұрын
Mungu awape afya njema
@ahmeidyoung2410
5 жыл бұрын
Hii tanzania raha sana anaekubali hii agonge like hapa
@nurureuben6512
5 жыл бұрын
Waooo...so lovely..
@nachieninyendo6189
5 жыл бұрын
Safi sana ndoa njema babu seya
@roidymwangove6440
5 жыл бұрын
Hii arusi imenushawishi
@roidymwangove6440
5 жыл бұрын
Kwa kweli nimeshawishiwa
@ziadasalim8807
5 жыл бұрын
pia nimashawika sema mungu hajauweka mkono
@nurumwingira1392
5 жыл бұрын
Hongera
@shamahkakan9241
5 жыл бұрын
Hongera sana SEYA the best of the best.
@rehemamsuya2263
5 жыл бұрын
Nimependa sana hii jinsi wanavyofurahia Hongera mzee umempa Seya wako
Пікірлер: 406