Ambao bado tunaitizama hii nwaka huu 2024 gonga like👍
@sondalasalumu5423
6 ай бұрын
Tupo
@jacksonutulivu9686
6 ай бұрын
Hata Mimi Bado naitizama
@rajabutangale1402
6 ай бұрын
🎉
@mosesmpesa9
5 ай бұрын
🎉
@mwombekiheriety7228
5 ай бұрын
Namesake 😂 we are together
@vennyblack3766
Ай бұрын
Kila nkija KZitem lazima ñifike hapa, nataman mtu a like tu Ili niludi Tena na tena
@mr.samfacts5975
2 ай бұрын
Ambao mnaangalia mda huu like hapa
@HanifaIssah
2 ай бұрын
Hivi ni mimi tu mchozi unanitoka kwa furaha au na wengine 🥰jaman Mwana Falsafa apewe maua yake anajua huyu kaka Jaman alaf yuko very humble ❤❤❤
@alicksalehe7073
11 күн бұрын
Ametisha
@cathymama4010
11 күн бұрын
Hata me machozi yamenitoka aisee😂
@Suleimanmohamed-y4k
4 күн бұрын
So ww tuh ata mm .Machoz yanenitoka
@goodluckuronu6759
6 ай бұрын
Nilichokipenda zaidi ni kitendo cha mheshimiwa kumpa lina zawadi alizopewa, big up sana mheshimiwa
@joelmasano3157
11 ай бұрын
asee nmejikuta natabasam kuanzia mwanzo mpaka mwisho.... ni chemistry ni fire sana
@lilianlaizer9067
7 ай бұрын
Mm mpaka 😭😭
@winiemajengo1679
7 ай бұрын
❤Nano anaangalia na mimi leo hapa kabla ya kuaga mwaka hahahahaa my favourate song ever my brother napenda sana kazi yakoooooooooo....Happy new coming year everyone
@scholahmwelange1406
5 ай бұрын
Hivi ni mimi mwenyew nacheka cheka ka fala au tupo wengi 😂😂😂
@cathymama4010
11 күн бұрын
Hata mimi dyaadyaa me nimecheka kwa furaha hadi machozi et😅😅
@SALEHSALEH-lk5jr
7 ай бұрын
Profesa Jay,Mwana FA na NIKI WA PILI nawakubali sana
@nassoromussa2423
7 ай бұрын
Dah! Yaani Mwana- fa asingepanda stejini angemuangusha sana Linah, na ndio watu wajifunze hapa kuhusu maisha...!
@HusseinBakari-d9x
10 күн бұрын
Yan linah alivyoomba jamaa aje stejin
@manasemlimbila9906
9 ай бұрын
Nimependa FA alipopotea Maokoto then akambarikia Linah 🎉❤
@ussihadji2248
10 ай бұрын
Really appreciate uchaguz huu wa Mh. Rais kwa naibu waziri pmj na waziri wa MICHEZO wanafanya kaz nzur sana kwa kwl ni watu wa watu 💜❤️
@abdallahmwanga5792
10 ай бұрын
PURE TALENT...🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💚💛💚💛💚
@kimpalambapj
8 ай бұрын
You're my sunshine, my moonlight and everything I dream about, Linah let's go...
@BerthaKadaso
7 ай бұрын
Kwa wanaojua muziki mzuri
@user-jw7yu8tp3i
7 ай бұрын
Amemsitiri kwa kumpatia maokoto, what a gentleman!
@vennyblack3766
2 ай бұрын
Ntarudi 2025 mtu aki like comment yangu ❤
@anordgerase3372
2 ай бұрын
😂😂
@user-ui1qs9yl1n
2 ай бұрын
MIMI NTARUDI 2050
@faudhiasalum7279
Күн бұрын
Mimi 😂😂😂201000
@andrew0502
11 ай бұрын
Nimependa bureee, it was a good moment! Linah ft Mwana FA
@Willo_911
11 ай бұрын
This is on fire. Love from Papua New Guinea ❤️🇵🇬🎼🎶🕺💃
@aminaheri2590
9 ай бұрын
Nimependa apo mweshimiwa alivyochukua maiki.kizazi Sana god bless you wazuri unapenda ukitabasam .
@user-yi1qp6qu4n
6 ай бұрын
Sana yani
@chrissameri465
6 ай бұрын
NILICHOKIPENDA PESA KAMWACHIA LINNAH, GENTLENESS
@evewangenye7774
4 ай бұрын
My favourite...natabasamu watching this. More love from Kenya 🇰🇪
@user-xs8qf4hl3n
7 ай бұрын
Nimeishiwa maneno.kikubwa zaidi upendo upo ❤
@alimasha7017
7 ай бұрын
I like where you gave the money to Lina.. you've supported her.. love you❤
@youngweezy3846
8 ай бұрын
Dah kuna wanamuziki alafu kuna wasanii 🙌🙌linah❤
@Ramadhani-k2j
3 күн бұрын
Apo brother Kaka kafikishwa Mtu na fani yake hongela dam yangu
@rashidsalim7078
8 ай бұрын
Ikiwa mungu itampendeza namuombea aje kua raisi
@user-dd9rh5ij9h
5 ай бұрын
From thika ngoingwa KIAMBU COUNTY in Kenya bigup this song bado kwangu naipenda Sana
@chingjr1741
7 ай бұрын
Ivi ni mm pekeang naerudiarudia kuangalia... 2/1/2024 apa still watching
@josephdionis4474
6 ай бұрын
Sio pekeako bro😊
@HitamiIbrahimu
6 ай бұрын
Hiii ikopw sana
@user-le4kh4ew2y
6 ай бұрын
Aisee hata mie bado naipenda hii ngoma love mtt wa kitanga ❤❤❤
@scholahmwelange1406
5 ай бұрын
Tupo wengi😅
@yegedegede3003
5 ай бұрын
Niko hapa pia
@fuadaladawi1255
5 ай бұрын
I love this song.well seng
@nassoromussa2423
7 ай бұрын
Linah anaposema "Niliotea!" Ni kama kusema kwamba "nashukuru kukuheshimu na kuishi vizuri na wewe." Somo: tujitahidi kuishi na watu vizuri mana huijui kesho ya mtu!
@kadengekitsao3885
11 ай бұрын
uzuri wa kujiandikia mistari ni huu hata uamshwe saangapi usiku, you just flow... Fa so humble ❤️,,,, sio kuandikiwa halafu ujidai
@vennyblack3766
4 ай бұрын
Hako ka heshima kusema thank you bro na magoti kidogo jaman❤❤
@amoskagika8884
3 ай бұрын
Hadi rahaaaa❤❤❤
@tigejuma9865
11 ай бұрын
Alivyo kua kwnye kiti amekaa alikua ndio mbunge...alivyoshika Mike ata mwendo ulibadilika...ukawa mwendo wq wana F.A.
@florencejames-jo1cz
7 ай бұрын
Naibu waziri sio mbunge
@Zayrish92
6 ай бұрын
@@florencejames-jo1czni mbunge pia wa muheza Tanga
@florencejames-jo1cz
6 ай бұрын
Inawezekanaje mtu mmoja kushika nyazifa mbili kwa wakati mmoja labda ilikua siku za nyuma
@halimarichard7323
6 ай бұрын
Inawezekana, huwez kua wazir mpk uwe mbunge. Mfano Ummy mwalimu ni wazir wa afya na ni mbunge wa Tanga. Mwana FA ni mbunge wa kwetu muheza
@halimarichard7323
6 ай бұрын
@ florencejames
@PhilipAndrew-et3nq
6 ай бұрын
Nawaombea linah na fa ingieni studio mtoe Ngoma nyingine bado tunahitaji kitu kizur Toka kwenu love you fun
Sema wizara iko na mtu makini mshikaji anatakiwa kuwa waziri husika
@user-vo7oq3gz9c
3 ай бұрын
Safi mwana FA mheshimiwa nzur sana kuitazama hata mara mia rais kaona mbali ikimpendeza uwe boss wa hiyo wizara mungu akubariki sana
@dgt6303
10 ай бұрын
Mheshimiwa Mzuka ulikuwa ushapanda. Llikuwa suala la muda tu😂
@AbuubakarAli-fj6br
8 ай бұрын
Yaan wew
@merykatondo9511
7 ай бұрын
Nmerudia mara kibao❤❤
@user-hp2yh7fq9d
2 ай бұрын
Mwana FA be alive 100 yrs brother Like you from Louisville Kentucky USA 🇱🇷🇱🇷
@bakarimatanomwachakure5090
13 минут бұрын
It's really a good show of love to music mwana FA salute, Linah salute, uliotea kweli jamani@ watch ing all the way from IS
@mayalakatema2576
5 ай бұрын
29/02/2024 tujue apa aiseee
@pkabdallah856
4 ай бұрын
Waoooo! Mmenipa raha sana nilivyoangalia natabasamu mwanzo mwisho
@fadhymtanga
10 күн бұрын
Ni mwaka 2024 nimerudi kutazama tena. Kuna kiwango cha heshima alichoonesha Linah (heshima ya Kikinga hasa) na kuna kiwango cha utu alichoonesha Mwana FA. Mungu azidi kuwatunza.
@stanleynombwe4865
9 ай бұрын
Hivinipo siku ntsjipsta namimi hafra zahivyo niwe napata frusa za kuhuzulia jamani 😢😢😢😢 ❤❤❤❤
@MagdalenaHoja-jh9qg
7 ай бұрын
Mungu nimwema ipo siku amini ata mbuyu ulianza kama mchicha,ipo siku tu utafanikiwa 6:38
@stanleynombwe4865
7 ай бұрын
@@MagdalenaHoja-jh9qg 🙏🙏🙏
@mubezibuberwa9249
7 ай бұрын
Ooow
@halfanhaji2907
7 ай бұрын
Mwana fa namkubali toka kitambo jamaa anajua na hana majigambo
@PaulinaSemindu-ob3de
7 ай бұрын
Wajina wangu linnah sanga nakupenda 🎉
@user-il8ir1uj3y
11 ай бұрын
Mja asili Aachi asili yake Wazuri mzuka umepanda amekumbuka mbali sana
@user-me7dq3mt2t
7 ай бұрын
Combination ilikua 🔥🔥🔥🔥🔥 san wamtish kinyam
@aminamwivita7690
4 ай бұрын
Congratulations keep it up good job ❤
@fuadaladawi1255
7 күн бұрын
Good matching nicemsong
@mgazaabeid5873
7 ай бұрын
Binamu nakukubali sana Tena sana kk. Hunaga kujisikia, kwa mtazamo wng, hata ukiwa rais utaperform ti!
@hafsalucky1088
11 ай бұрын
I love it❤
@salvationachugbu981
Жыл бұрын
Fa ❤
@herbethlukogela7657
5 ай бұрын
Daaaah this dude is talented
@heriethkusigwa7209
7 ай бұрын
I real feel the vibe ❤️🔥
@MahengeFredy
19 күн бұрын
Emotional xn.....mheshimiwa asantee kw kujishusha
@khamisramadhan5133
10 ай бұрын
Linah sanga sauti natural bless
@christinewomanoffaith5479
7 ай бұрын
Ila hiyo ni Play back hiyo
@SalvatoryMbigili-m2f
18 күн бұрын
Yalaiti nyimbo yangu bora ya muda wote
@danielmbiso5162
5 ай бұрын
Hiii n nomaa kabsaa ❤
@florencejames-jo1cz
7 ай бұрын
Nawakubali sana nihatar ogopaaaa
@EdghaMoses-js8lj
8 ай бұрын
Nimependa sana... Mheshmiwa ulivonyamyuka
@vennyblack3766
3 ай бұрын
Nimeludi Tena Leo 17 apr 2024
@salimkenya3491
7 ай бұрын
Hii ndo bongo wachana siku hizi sijui wanaimba nini
@hayrunurdini9961
2 ай бұрын
Hii imeenda jamani bonge la performance kuwahi kulishuhdia Nimerudia km marakumi ila bado
@sumailadamo9600
3 ай бұрын
2024 from mozambique
@NyamtigaIbrahim
19 күн бұрын
Huyu Ndio Kiongozi Anaejitambua Hana Papara Na Vijisenti Kaona Amwachie Linah Safi Sana Hamis Mwijuma
@josephhaule6045
3 ай бұрын
Hapa kuna cha kujifunza,sote tujifunze kujiheshimu na kuheshimiana,maana hakuna ajuae kesho❤...fa mwamba sana,linah,nidham sana.
@Muddysadik89
2 ай бұрын
Had leo 2024 tupo
@goodluckuronu6759
6 ай бұрын
Yaani maisha ya mtu yanapangwa na Mungu mwenyewe...usimdharau yeyote kwa hali yeyote ile, maisha yana fumbo kubwa sana
@alponwilla
4 ай бұрын
I can watch this 10000000 times, when music was music
@nicolebitendelo1420
6 ай бұрын
2024❤❤❤
@mhinimlilo8213
7 ай бұрын
Umetisha Sana mwana fA
@user-rc4mr1yq4z
Ай бұрын
Safi sana Mhe. Usiache asili Yako bhna.❤❤
@DamianoFisoo
2 күн бұрын
So social 🎉🎉🎉🎉🎉 nimempenda Bure maana hana majigambo hata kidogo kiongozi wa kuigwa
@user-rj8zh8ok7q
2 ай бұрын
❤❤❤❤👍👍
@aminatimbulo4207
5 ай бұрын
5:42 MAASHAALLAH 😍😍😍😍😍
@sebastianshigela7787
11 ай бұрын
I like it.
@user-oy1rn6yo5n
7 ай бұрын
Nakubali sana Mana Fa
@user-sy3dq6xr3i
11 ай бұрын
Music ❤
@user-eh7uk9wf2f
11 ай бұрын
Good linah and mhe
@mohamedindalo2663
6 ай бұрын
Lina unasauti sna tena.uko vzr sna
@jumaaabdillahi4534
Ай бұрын
Uko vizuri Linah ft Mwana fa naupnda wimbo
@mlonjadavid273
5 ай бұрын
Mwana FA hapo safi sana
@tinamadega
Ай бұрын
2024 bado tuko apa❤
@Udugwan
12 күн бұрын
Nijambo jema sana
@Chagha_lee_69
7 ай бұрын
Noma sana
@ShadyaIssa-gs2ej
8 күн бұрын
Nimejikuta natabasam zaidi 😊
@user-dd7ls4qg8s
4 ай бұрын
Mungu awape maisha malefu zaidi
@joycenose2356
22 күн бұрын
Nimeipenda❤
@user-ky2ch5rl7i
6 ай бұрын
Babu Tale nampendaga jaman...Ningtqman nionane nae tu nimwombe anisaidie kitu kimoja tuuu.
@kinginyale6682
4 ай бұрын
Best of all time
@robertjunior9916
5 ай бұрын
Mwana FA hana baya ❤❤
@icapaoffice1592
4 ай бұрын
Nimefika nakukumbuka xn kwny game mheshimiwa mwana fa respect for u in hip hop forever
Пікірлер: 301