Meneja anaejuwa Mziki mzuri ndio meneja wa kuupushi mziki wetu hongera san Bab Tale unaheshima kubwa 💯
@vicentmillanzi7552
Жыл бұрын
Babu Tale nakuelewa... Uko vzr sana👏👏
@Manlike96
Жыл бұрын
Daah huyu faza sijawahi kumskia akiongea ni very smart kwakwel
@youngchuda1568
Жыл бұрын
Harmonizer genius mpambanaji siitaji like za harmonizer🎉🎉🎉
@gibsonjosephat6352
Жыл бұрын
Anatumia nguvu nyingi akili sifuri 0.
@shadrackkamugisha4481
Жыл бұрын
Wanaotumia akili nyingi wapo wapi
@missmwayway4704
Жыл бұрын
@@gibsonjosephat6352 Utakufa mapema kwa chuki Mbuzi wewe
@musiccaentertainment100k8
Жыл бұрын
@@gibsonjosephat6352 wewe unatumia akilia na nguvu sufuri ukona nini😊😊
@omariaman7818
Жыл бұрын
@@gibsonjosephat6352katika akili sifuri hizo amepata mashabiki wengi sana
@dommycash1
Жыл бұрын
HUYU JAMAA TUMPE MAUA YAKE KABLA HAJAFA❤❤❤❤❤❤
@Waytozanzibar
Жыл бұрын
Safi sana, unyama mwingi 🫶💯🔥 Karibuni Sana ZANZIBAR muje mufanye utalii wa ndani wangu 🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧🫧
@mayombotz
Жыл бұрын
Nilichogundua Nyimbo za Konde WCB wanasikiliza. BIG UP Sanaaa
@DouglasMassop
Жыл бұрын
Kwani si walimzaa wao. Hakuna cha ajabu
@omanmct135
Жыл бұрын
Babu tale safi sana❤❤❤
@seifamani6364
Жыл бұрын
Babu tale nakukubali sana point zako za kuhusu mziki ur ao straight.. ila kwenye siasa bro honestly kiatu chako hakikutoshi natamani sana ukiendelea kuikuza hii tasnia na ukaachana na siasa....
@kahindorose9983
Жыл бұрын
I like the way this guy talk's if all men we like him, the world would be better.i love you tal
@MrTop-wj7no
Жыл бұрын
Best manager ❤️
@robertsafari6041
Жыл бұрын
Huyu mzee ni mkweli sana mpaka namkubali❤❤ BABU TALE wee mzima
@petironabii7632
Жыл бұрын
Nakubali uyo mzee
@petironabii7632
Жыл бұрын
Uyo mzee Ako sawa
@jumaali7205
Жыл бұрын
Huyu jamaa ni mkarimu Sana anajua kuzungumza wala Jana chuki napenda anavyo ongea🇰🇪
@richlymo
Жыл бұрын
Harmonize
@braystuskibassa3842
Жыл бұрын
Huyu bro mimi binafsi namkubali saana ni mkweli sana na hapendi majivuno n.k nakubali
@barakamshiu7146
Жыл бұрын
For me i would say babu tale is good meneja than kipara mwarabu
@zaidiissa3714
Жыл бұрын
Mirad vip bob achia full interview mbona hatukuelewe sikuhizi ushaanza kuzingua na ww humchezo niwakizamani
@user-lr3eh7wo4n
Жыл бұрын
Babutale shawa ❤love 6:06
@twahachongola1676
Жыл бұрын
Mungu akuweke babu tale
@JerinaNguto-vv1gt
Жыл бұрын
Ongera, sana babu
@teedullah5708
Жыл бұрын
Kweli tale
@anjuadnani2607
Жыл бұрын
nakuonda saana babu tale sauti yako yaupole na unabusara pia hujisikii
@abiboseleman1649
Жыл бұрын
babutale yupo km yanga hawataki wachezaj watoko
@jerryfaraja1094
Жыл бұрын
Sijaelewa hapa,,kwamba,,?
@kekiplus1andonly
Жыл бұрын
Yaani babu tale ni mtaratibu jamani😂😂😂😂😂😂
@eladiuspeter586
Жыл бұрын
Interview za huyu jamaa mara nying hazipo real. Mara nyingi zimekaa kisiasa. Salam ndo ataongea ukweli
@user-hn3km9ex5r
Жыл бұрын
Huyu mnafiki tu
@abduljafari881
Жыл бұрын
Kweli kabsa yaan
@abduljafari881
Жыл бұрын
Kweli huyu mnafiki
@georgemtui5204
10 ай бұрын
Angalia maneno yako
@ramayonline2281
Жыл бұрын
Huyu yupo really sana👏👏👏👏👏
@jessendegwahmusic488
Жыл бұрын
real ama really kakangu
@mrrajjy
Жыл бұрын
Ila msifieni harmonize kawachomoa
@akidakombo259
Жыл бұрын
Acha ungese Kama mnampenda mbona ngoma zake ampig redio na tv zenu achen unafki konde gan for every body 😅😅😅😅
@giftezekiel6247
Жыл бұрын
Biashara hazingatii sana hisia na mapenzi yako
@costantinejoseph4907
Жыл бұрын
Ni mtu wawatu huyu jamaa
@masendetv5942
Жыл бұрын
Upo vizur kaka
@jaypili7837
Жыл бұрын
Au vp mzee
@kennyruben684
5 ай бұрын
Mtu mzima Sana
@arafahhh5574
Жыл бұрын
Alimchukia kweli na alimuimba saana nyimbo za mafumbo na alimpa majina mengi tu
@amanimapenzi571
Жыл бұрын
Mmmmmmm
@JaymbwanziOg
10 ай бұрын
Hawa jamaa kwa unafiki tu, inabidi wapewe tuzo jmn. Unaweza ukaona wanongea mgomon hapa km watu wazuri. Ila Moroni mwao ni nyoka hatari. Hawafai hata kuumangia
@allykarupa1411
11 ай бұрын
Upo vizuri kk
@dethajohn7538
Жыл бұрын
Nice
@aadam722
Жыл бұрын
I could listen to this man all day, 🥰🥰🥰
@Waberoya
Жыл бұрын
una matatizo makubwa
@amanimapenzi571
Жыл бұрын
Same
@amanimapenzi571
Жыл бұрын
@@Waberoya jibu kizungu
@sanchoMohamedi-bh3nf
Жыл бұрын
@@amanimapenzi5710p😊l0l
@damaresi
Жыл бұрын
💚💚💚
@cessymadollaz
11 ай бұрын
MIT MARATARI
@amalone0
Жыл бұрын
Babu tale mzee wa busara sana
@user-dr3ve2pm5t
Жыл бұрын
😅
@adolphmwangoje2887
Жыл бұрын
Tale kwakuongea ukweli me napendaga sana
@zclassicfashionz
Жыл бұрын
Big iz big
@user-se3fz2nc8f
Жыл бұрын
Good
@mjumbewakristo8677
Жыл бұрын
Harmonize bange nyingi na sifa nyingi mpaka lebo chaliii 😂😂😂😂😂😂
@missmwayway4704
Жыл бұрын
Vuta na wewe Pepo la mguu mmoja wewe Achana na Harmonize
@mjumbewakristo8677
Жыл бұрын
@@missmwayway4704 makasiriko 🤣🤣🤣🤣🤣
@musiccaentertainment100k8
Жыл бұрын
Vuta nawewe utoke ngoma ya international 😊
@rajabukipara3008
Жыл бұрын
MNAFIK MKUBWA WEEH!😂
@abdullaalwikabil3371
Жыл бұрын
Utamwambiaje mwenzako alive milioni 300 kweli kunaupendo hapo
@jamesvmusic2677
Жыл бұрын
😂😂😂😂
@cessymadollaz
11 ай бұрын
NoMa SaNa
@demyfilms
Жыл бұрын
Hili li babu tale ni Rinafiki aisee
@mariamalongo8803
Жыл бұрын
Ila Take umeongea vizuri, Dio wale wrngine
@teddywanjau-yx5sc
Жыл бұрын
Aliyekuambia kuwa harmonize anataka kupiga picha na diamond? Ovyoooo!
@daudichoghoghwe5035
11 ай бұрын
Kwamara yakwanza kumkubali tale
@ayubundossi8903
Жыл бұрын
Sasa kama mtu anaweka vikombe chumbani unamhoji wa nini asee
@aminmohammed4249
Жыл бұрын
KWANI HAMNA FULL INTERVIEW YA HII?? Naona clip fupi fupi tu
Пікірлер: 107