Babutale napenda vile unaongealea wasanii waliotoka wasafi, huna kinyongo hats, that is a sign of maturity and a good leader, soft spoken person, keep up the good work muheshimiwa all the way from kenya
@khamisbk8569
Жыл бұрын
Taleeeeeee..... Is talented one...
@shedrackdamian2870
Жыл бұрын
Mzee Ana ponti nzurii Sana 🙏🙏🇹🇿🇰🇪🇺🇬
@davidmsia4322
Жыл бұрын
Millard! Nice interview, reasonable questions! Informative... I wish, interviews zote za wasanii zingekua na ubora huu!
@shariffsuleiman2889
9 ай бұрын
I like this guy soo much from 254🇰🇪 Babuu
@dalalizanzibar9583
Жыл бұрын
Kwa hiyo dada yetu Zuu mnamuoa kwa mission 😢
@mimifineliving2022
Жыл бұрын
Dai alisema zuu atalipa zaidi ya bilion
@MrTop-wj7no
Жыл бұрын
Kwa kweli Africa haswa hizi nchi zetu East Africa tunahitaji zaidi Uelewa kuhusu Mambo ya mikataba wengi ni kelele Tu ooh kaonewa ooh kanyanyaswa daah 😂😂😂
@mlangaliromwenda6945
Жыл бұрын
Kipi ww unacho kielea kuhusu mikataba ya Africa na outside Africa. Mkataba nilazima uwe na mwisho. (Eg: 5 yrs or 30 yrs contract) f 🇦🇺
@diamondplatnumz.148kviews5
Жыл бұрын
Sahihi
@suzyjoseph6706
Жыл бұрын
Uko sahihi, niko ulaya mzungu kila issue ya pesa wanataka 80% rafiki yangu aliondoka akasema yeye ni maskini jeuri hawezi, mie nikapigakazi nikaongeza shift mbili nimekuwa mtumwa kwa miaka miwili ila sasa nina office yangu account zinasoma vizuri, sasa Leo jamaa yangu aliyekuwa maskini jeuri nikija Tanzania nampa elfu 30 ya kula hali ngumu, jamani tuheshimu mabosi tutafika mbali
@safariadrien5348
Жыл бұрын
Tatizo unashabikia mtu mpaka unaona akidaiwa anaonewa
@ahz6907
Жыл бұрын
Mambo mengi huwa tunayaongelea kishabiki tu.tuna safari ndefu.
@josephmwita996
Жыл бұрын
😀😀😀😀 eti bora Zuchu tumuweke ndani
@abdulrahimmohamed7066
Жыл бұрын
babu tale look like a good guy and father
@charlesmatesorehani5012
Жыл бұрын
Uyo kweri kabsa Yvan apa Holland 🇳🇱 tunamuskiya saana
@chizashungu1236
Жыл бұрын
NICE ONE BABU TALE.WCB THE BEST MUSIC LABEL IN ALL EAST AFRICA.
@innocentboykid2442
Жыл бұрын
Rich hajalipa lakn akaunt yake imezuiliwa na video zimwfutwa
@Amaxkey1
Жыл бұрын
Good
@zuweinaalhabsya8773
Жыл бұрын
Na kweli mboso Oman Muscat ❤❤
@juliennenzeyimana3274
Жыл бұрын
Babu tale nimstarabu kwakweri anajibu kwa heshima?
@javanindosi9332
10 ай бұрын
Jamn tunaomba tisht za Africa n boy tuzipat huku bulundi🇧🇮🇧🇮 tunazipenda sn
@subirajohn728
Жыл бұрын
Babu T👍👍👍
@Bob-kz2ql
Жыл бұрын
Kwamb utalipishwa hela kama watakuona wewe ni lulu tu😂😂😂😂kina mavoko tokea kaja hadi kaondoka alikuwa anaingiza hasara asa amlipishe kisa nn
@starlonejadamskp8224
Жыл бұрын
Nakubaliii manager
@ChocllatteMedia
Жыл бұрын
🔥🔥🔥
@saidndaro6630
Жыл бұрын
Respect man tale along side MILLA
@hajimgwami5224
Жыл бұрын
NI SAWA KWA YANGA NA FEI, HAIWEIKANA YANGA WAMLEE WAMTANGAZE ZEN AZAM WAJE WAMCHUKUE TU KWA MILIONI 100 NI UJINGA SANAAA
@youngjamaica5099
Жыл бұрын
Mpemba kafunga Duka🤗
@mungaieve796
6 ай бұрын
yes
@wahidamaulid9527
Жыл бұрын
na kwa zuchu anavouwasha 🔥🔥 kiasi alipe ivoo mkali kuliko dmond
@MrTop-wj7no
Жыл бұрын
Unaumwa nini
@diamondplatnumz.148kviews5
Жыл бұрын
Unaota wew
@Swahili14
Жыл бұрын
Mkubwa kwa sagarumba au? 💀
@wahidamaulid9527
Жыл бұрын
@@Swahili14 nimesema ukweli mmeumia napitaaa
@odaxcontawa
Жыл бұрын
Tale big brain
@user-zj9er4us6n
Жыл бұрын
🎉 miziki nikama pumzi
@tabithadaniel7364
Жыл бұрын
Babu tale toka awe Mh. amekuwa mstaarabu sana
@kekiplus1andonly
Жыл бұрын
Mboni bilioni 5😂😂😂😂
@edsonsizoki9693
Жыл бұрын
rich mavoko munasema kama hakulipa chocote hamukumunyanganya acount zake
@chancepascalkifula3970
Жыл бұрын
Si akuA napesa wamfanyaj na akuingiza pesa
@vangraphixvan8320
Жыл бұрын
Ww ulikuwshaid
@MrTop-wj7no
Жыл бұрын
@@chancepascalkifula3970 Rich alikuwa mvivu wa kutoa nyimbo ndio maana mapato yake yakawa madogo
@singidaone5628
Жыл бұрын
Kuondoka kwa rayvany ilikua kazi ngumu sana kumzuia kwa kua ni ndugu yenu wewe tale na madee
@kutokaughaibuni
Жыл бұрын
Anaitwa Raymond Shabani
@kutokaughaibuni
Жыл бұрын
Hahahah mzeee Kamaliza hahaha Katoa Code zote Hahhaa Google Ads Ukiweka Dola 3000 tu Basi Kila Kitu kina panda Hahaha Kim Mashavu anasema anamarobot hahaha
@bonabonala5559
11 ай бұрын
babu tale ni moja ya majambazi kwa inchi inayo chipukia kama tz nimajizi mnaua kipaji cha richi mavoko mnakataza media zisipigwe ngoma zake mnadiriki haa
Ila akuondoka kama alivyokuwa mwanzo ni vile kapotea
@oceahkabika8652
Жыл бұрын
Ndio wamekwambia hawawezi kuchonga kinyago aafu wakigawe bure
@nurumwakisu3335
Жыл бұрын
Nawe akili kisoda kwaiy yy anafany biashar ya hasara
@AbdallahJambia-fo1tn
4 ай бұрын
Elewa kitu mikataba ya kazi pia
@FurahaEliya-df5fo
Жыл бұрын
BABUTALE kumbe wewe naye mwongo hivi! Eti tunachukua kidogo kuliko tulizowekeza ni "UONGO HUO"
@fabianiemmanuel6630
Жыл бұрын
Haya tuambie ukweli ww hua diamond awekeza kias gan😃😃
@safariadrien5348
Жыл бұрын
Umeshawahi kumusimamia musani?
@eliashibundabalinze2754
Жыл бұрын
Unajua maana ya brand???
@FurahaEliya-df5fo
Жыл бұрын
@@fabianiemmanuel6630 Ukweli ni kwamba huwezi kuwekeza pesa nyingi halafu uchukue kidogo ya ulichowekeza. "Wewe inakuingia akilini unanunua embe 200k halafu uuze 200k h Iyo hiyo bila faida? Au uuze 100k?" Mimi kusema ni mwongo sijamaanisha hawajawekeza ninachomaanisha hawezi kuwekeza kwa msanii pesa nyingi halafu waziache tu zipotee eti wanachukua kidogo tu. Au nyie hamjamsikiliza vizuri BABUTALE alichojibu? Kuchukua pesa kwa msanii uliyeekeza nguvu kubwa kwake sio dhambi kwa sababu tayari umemfanya kuwa wa "Thamani" kuliko alivyokuwa mwanzo.
@FurahaEliya-df5fo
Жыл бұрын
@@safariadrien5348 rejea comment yangu tafakari kwanza nahisi hujaelewa maana yangu umeenda moja kwa moja kwenye mihemuko yako "hisia siku zote haikupi uwelewa sahihi wa jambo Ila tafakari ndio msingi pekee unaoweza kukupa kuelewa jambo" TAFAKARI KWANZA..........
@magejuliani5293
Жыл бұрын
Uko sahihi huwezi Lima usivune
@bama9271
Жыл бұрын
Sasa kama mavoko ilikuwa hivo,kwanini nyimbo zake zishikiliwe na wasafi? Acha uongo mzee
@vanemmy6043
Жыл бұрын
Mkataba broh..... labda yeye siyo wakulipa pesa but nyimbo zake
@ikouwasi7644
Жыл бұрын
C angeenda kushtaki hiyo biashara
@saidseif9645
Жыл бұрын
ajalipa mkwanja
@chalesmapua5115
11 ай бұрын
Kwann apo ndooo ujue jeshiiiiiii sio mtu mzulii wivuuu ndo tatizo lenuuu mulijua mondi ata kua mungu aina iyooo kulaaa chumaiyo watu wap mtwra kila mtu kondekonde way kondeeee
@amalone0
Жыл бұрын
Rayvanny msanii mpendwa WCB kwel tale hujakosea
@kutokaughaibuni
Жыл бұрын
B ni KWELI Huyu Mzee ni Jau
@jasjoesalam9382
Жыл бұрын
Nyimbo zote za mavoko zinashikiliwa na WASAFI hana access na nyimbo za zamani mpaka leo.
@suntzu8959
Жыл бұрын
Nyimbo ziligharimiwa na WCB. Nipe nikupe
@ahz6907
Жыл бұрын
Ungeuliza ni kwanini hivyo? Kuna mkataba? Je unasemaje huo mkataba?
@ikouwasi7644
Жыл бұрын
swali kwa nini ziwe chini ya wcb mpk leo?
@suntzu8959
Жыл бұрын
@@ikouwasi7644 hajazilipia.
@ahz6907
Жыл бұрын
@@ikouwasi7644 makubaliano ktk mkataba yanasemaje...mikataba ipo kulinda pande zote mbili.
@alphalungele-479
Жыл бұрын
Rich alilipishwa akaamua kuacha KZitem,Instagram, kwa Wafasi
@westcijosh
Жыл бұрын
Rich sawa akulipa ila platforms zake mmezishikilia ikiwemo youtube
@AmelbergaKempanju-uf1zh
Жыл бұрын
Hakuwa hata na iyo milioni mia tano kwenye platforms
@cooler3263
Жыл бұрын
I got some
@miniveronline
Жыл бұрын
Asambona channel yake ya rich mavoko bado mpo nayo
@DiorMabaril-qy6yp
Ай бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🌍
@izack9191
Жыл бұрын
Zinapigwa nje wapi?
@oyay2821
Жыл бұрын
Rich mavoko alitoka WCB ndio mukamzima kabisa
@dijahmriri523
Жыл бұрын
Sio kwa ubaya ila ongea ya babu tale sijaielewa
@dalalizanzibar9583
Жыл бұрын
Sio kwa ubaya, me sijakuelewa umemaanisha nini ili nikueleweshe
@dijahmriri523
Жыл бұрын
@@dalalizanzibar9583 😂😂😂😂😂Kwa nin anafanya mapozi Kama mwanamke
@ndukulusudikucho_
Жыл бұрын
Huenda kazaliwa Mwaume peke yake huenda hana mambo Yale lakini ameathiriwa na Dada zake
@daviddaudi964
Жыл бұрын
@@dijahmriri523 kumbe na mimi nimemuomba kama wewe. Ila wanaume wcb wote wanamapozi za kike, wa kike wanamapozi za kihuni
@becare2300
11 ай бұрын
Tambooo za tale
@daviddaudi964
Жыл бұрын
Mbona mapozi kama za kike vile, au ndo uhalisia wa wcb?
@AmelbergaKempanju-uf1zh
Жыл бұрын
Chuki tu una lolote
@saidiwakufuta
Жыл бұрын
Rich hakutoa hela saw Ila si mlichukuwa akaunt zake ndo maana Hadi Leo Hana akaunt zake
@AmelbergaKempanju-uf1zh
Жыл бұрын
Acha uwongo si alifungua akaunti mpya na isitoshe kwenye hizo platforms haifikii hata million tano
@jairosdaka7328
11 ай бұрын
Ray is not yet out from wasafi b live me or not
@njarubakiarie2235
Жыл бұрын
wizi mtupu
@nurumwakisu3335
Жыл бұрын
Tatizo hujui maana ya biashara na mkataba
@madcity5933
Жыл бұрын
500 million tz Kenya ni 30 M , nikipata hizo nishafunga mchezo , thats alot of money, pesa nzuri sana , nikishika hizo sai huku wataniita illuminati 😅😅
@fatmamsiliwa8485
11 ай бұрын
Kwahyo tufanyaje? Wakenya kama pesa yenu kubwa mbona munanjaaa had munajiua
@nyahingathadeo826
10 ай бұрын
Ndo maana uko Kenya mie Niko tz,lakin bado unavaa nguo za juma jux wa tz😀😀😀
@madcity5933
10 ай бұрын
@@nyahingathadeo826 😂😂😂
@annamwakibinga527
10 ай бұрын
Huyu bwana sauti yake ni hiyo?
@user-nf7yn8pt5d
10 ай бұрын
you can't carve a mask and then others come and take its interpretatio,even it the sons are recorded or.or what is thesignificance of this statement
@sheehamadnganzi8317
Жыл бұрын
Eti zuchu all over African? Your not serious my friend,do your research please
@ericklyatuu1301
Жыл бұрын
Kakwambia east Africa
@sheehamadnganzi8317
Жыл бұрын
@@ericklyatuu1301 I'm not idiot my friend I understand what he said
@amalone0
Жыл бұрын
Kasema east Africa sio unakurupuka
@amalone0
Жыл бұрын
Kasema east Africa sio unakurupuka
@Zanzibar2023Zanzibarzanzibar
Жыл бұрын
Hapo kwenye Naseeb kujaza France mara mbili ya wizkid umetulisha Matango pori Mjomba
@user-hn3km9ex5r
Жыл бұрын
Waache kujitetea mikataba yao mibovu fyuuuuu
@AmelbergaKempanju-uf1zh
Жыл бұрын
Ni vile ujui biashara
@aishaally1111
Жыл бұрын
Kama mibovu mbn wanasain ivo ivo si waache kwan wanalazimishwa
@makanjicharles9860
Жыл бұрын
we io mizur unayo??
@nasrasalumu7005
11 ай бұрын
Sema wewe mzee moro uitendei haki miradi haiendi migogoro kibao alafu nduguyetu wadamu ni aibu kubwa
@mrs2918
Жыл бұрын
rich mavoko mlichukua you tube yake na jina lake acha uongo kocho wewe
@muzafarsharif9465
Жыл бұрын
million 500 za bongo ni 30milions Kenya money kama sijakosea😂😂😂😂
@abubakarimsere
Жыл бұрын
Unazo!!??
@barakachalres9316
Жыл бұрын
Ila Kenya ndio nchi yenye njaa sana na maandamano kila siku
@abubakarimsere
Жыл бұрын
@@barakachalres9316 mwamba hajielewi😄😄😄😄
@___19965
Жыл бұрын
Do you have it?
@adamelly6051
Жыл бұрын
Bro wanakucheka ila uko sawa ni ksh 30million kenya
@nasrasalumu7005
11 ай бұрын
Mavoko mmemuua kipaji nyie niwanyonyaji muongo we mzee
Пікірлер: 141