Kwa majina anaitwa Nestory Irankunda,alizaliwa Tarehe 9 Feb 2006 Katika Kambi ya Wakimbizi Kasulu Mkoani Kigoma, Tanzania 🇹🇿 kutoka katika Wazazi Wenye asili ya Burundi 🇧🇮
Irankunda anatajwa kuwa yupo katika hatua za mwisho za kujiunga na Timu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani akitokea katika klabu yake ya Adelaide United ya Australia na mpaka sasa ameshachezea timu ya vijana Australia pia aliitwa mara Moja katika timu ya wakubwa
• BALAA 🔥MTANZANIA 🇹🇿 WA...
#tanzania #yanganasimba #simba #nestory #Irankunda #tff
Негізгі бет BALAA 🔥MTANZANIA 🇹🇿 WA KWANZA KUTAKIWA BUYERN/ ANA CHEZA AUSTRALIA / AFCON KITAUMANA
Пікірлер: 26