Mungu amlale mahali pema .Ni wimbo wenye inabii hata sasa wema wanauwawa.
@safinaalfred1062
Жыл бұрын
Naupenda sana huu wimbo
@suleimansahal6433
17 күн бұрын
Mwanamziki Mkubwa... Lala Salama Patrick Balisidya
@JUMASEMBWANA
3 ай бұрын
Wema hawana maisha kwa kweli nidhuruma mpaka mwisho wa dunia
@NicholausSimiti
4 ай бұрын
Mungu akuweke mahali pema peponi lakin tungo zako bado ni hazina kwetu
@JUMASEMBWANA
3 ай бұрын
Wimbo uliojaa simanzi Majonzi elimu na ukweli mtupu dunia ya dhuluma ukiwa mwema na mkwli Huna maisha
@zuhurahamza20
Жыл бұрын
Old is gold
@bakarichina9948
2 жыл бұрын
Kiukwr mtupu,Duniani Sasa ivi nimaonevu kila kukicha,
@mlangiralameck9158
2 жыл бұрын
Historical song, nimeupenda Sana huu wimbo Una aksi maisha ya mpaka leo ,mtu wema huhangaika Sana ikiwa pamoja na kuuwa, mfano yesu kristu mwenyewe.
@charlesmullinda9303
4 жыл бұрын
Huwa sichoki kumsikiliza Balisidya. Alijua kuutendea haki muziki
@selemanshidda9688
3 жыл бұрын
This man was rich in melodies. He usually created new melodies as he was educated.He used his education to create new music melodies.
@kelvinkawea9722
5 жыл бұрын
Mungu ailaze roho yako mahala pema peponi
@JUMASEMBWANA
3 ай бұрын
Hiring ndizo tango zenye mafunzo na maudhui ya kuelimisha
@suleimansahal6433
17 күн бұрын
Inatukumbusha siku za mwisho za maisha ya Balisidya pale Kibaha...
@humphreymwihambi4330
5 жыл бұрын
Nimekumbuka mbali sana. Huyu mtu alikuwa kipaji. Tumekumiss Patrick Balisidya
@JUMASEMBWANA
4 ай бұрын
Muziki uliojaa mafunzo na mambo ya Dunia Leo mpaka mwisho wema Hawana Maisha kweli
@suleimansahal6433
17 күн бұрын
Wema hawana maisha
@nikolaschotta1876
2 ай бұрын
Legend
@Salimu-li5mn
3 күн бұрын
Duh
@violetmick2221
11 ай бұрын
Hatutakusahau tutakukumbuka daima Patrick
@violetmick2221
11 ай бұрын
🙏🙏🙏
@bennymarkotungaraza7520
4 жыл бұрын
this song ni moja ya masongi maridadi yaliyowahi kurekodiwa duniani: sikiliza wimbo wa Change clothes org ya Jay z ft Pharell utaona kwamba wamechukua mwongozo wa beat hii ya Balisidya.. Patric alikuwa na kipaji kikubwa mno..
@habibnjowele7751
4 жыл бұрын
Yaani kuna comments 3 tu! Anailillia Africa watu hatujui sijui waafrica tumekwama wapi??
@faustinamlomo8053
Жыл бұрын
Umenikumbusha mbali Umenitoa machozi
@Mrawira1
Жыл бұрын
Yaani. Mungu aingilie kati. Waafrica 😢
@athmanimkangara9290
Жыл бұрын
Listening sensible song October, 2023
@boniphacemsemelwa4455
2 жыл бұрын
Wabongo huwa hawachangii jambo la tija na msingi, weka masihara na vibonzo kama unataka comments
Пікірлер: 34