Serikali imetoa wito kwa watumishi wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kufanya kazi kwa weledi na uadilifu ili kufanikisha lengo la Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan la kukuza sekta ya kilimo hadi kuchangia asilimia 10 ya Pato la Taifa ifikapo mwaka 2030, shabaha hii imesababisha kuongezeka kwa bajeti ya Tume hiyo kutoka bilioni 46.5 mwaka 2021/2022 hadi bilioni 373.5 kwa mwaka wa fedha wa 2023/2024.
Hayo yamejiri katika mkutano wa baraza la wafanayakazi wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji uliofanyika jijini Dodoma ambapo mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu Wizara ya Kilimo, Hilder Kinanga, amesisitiza umuhimu wa weledi na uadilifu katika utendaji kazi wa watumishi wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji. Ongezeko la bajeti limezingatia mahitaji ya Tume, na Wizara ya Fedha imeongeza ukomo wa bajeti kwa ajili ya uendeshaji wa ofisi za Tume.
#01trending #tanzania #umwagiliaji #kilimo #kilimobiashara #kilimochaumwagiliaji #MAKALA #story #storybook #ikulumawasiliano #DktSamiaSuluhuHassan #Rais #agriculture #agranews #agranewstoday #agricultural #agronomia #agroecologie #agriculturelife #agriculturalmachinery #kilimoufugaji #agrieconomy #kilimo #trendingtanzania #ikuluzanzibar #ikulutanzania #ikulu #ccm #ccmtz #chamachamapinduzi #agrfilms #agrf2023 #cnbctv #cnbcnews #kbcchannel1 @TBC_Online @ikulutanzania5474 @globaltv_online @kilimotv1730 @millardayoTZA @uhondotv5210 @WatchTanzania @Channeltenonline @CLOUDSMEDIA @chamachamapinduzi-official2767 @CNBC @CNN @bbcswahili7924
Негізгі бет BARAZA NIRC LAFUNDWA KUFIKIA MALENGO 10/30
Пікірлер