Kiongozi mwenye uimara na ueledi mkubwa...hongera sio wote watakuelewa ❤❤
@Mima-cl2im
3 ай бұрын
Bashe acha ujanja. Siku za mwizi ni arobaini. Ushahidi wa Mpina, ni mkubwa na unenyooka. Bashe acha baba, acha baba, hapo umekamatwa. Wabunge wanaokupigia makofi hawawafanyii watanzania haki. Bashe acha baba unekamatwa, ushahidi wa Mpina umekubana. Bashe acha kizungu cha reja reja To confuse watanzania. Bashe acha kupaza sausi, umesema utaongea pole pole, mbona sauti iko juju?. Wewe weka mikono juu, ushahidi ni mukubwa. Nyaraka zote zipo. Mama speaker kuijenga Tanzania ni kuweka wazi hii kesi watanzania waelewe. Inaonekana Bashe anababaisha. Kwenye sausi yake kuna uwongo mkubwa.
@MahamoudMkumbi
3 ай бұрын
Napenda sana Bashe yupo serious sana, Ila mpina ni mtu anaependa uwazi sana sio bendera fata upepo kama wengine.
@JaneChissawilo-dr7nn
3 ай бұрын
Bashe uko vizuri sana! Mungu yupo na we we tunakuombea songa mbele .
Kiongozi wangu Bashe. Keep on going higher Hon. Bashe
@antipaskundi8511
3 ай бұрын
Waziri Bashe heshima kwako,mzee wa kunyoosha🙏
@user-gy5en6cy8o
3 ай бұрын
Kabisa
@josephmathayo5139
3 ай бұрын
Mh: Mpina ni Mbunge anayependa Serikali iwe wazi kueleza imewafanyia Nini WaTz.
@joelsaganya4077
3 ай бұрын
Bashe umejibu vyema, Mheshimiwa Mpina pia ameuliza vyema, ili tuendelee yanahitajika majibu sahihi kwa maswali magumu, wote mmetendea vyema kodi za watanzania, huu ni mtazamo wangu.
@furahafrank8267
3 ай бұрын
Mpina anachemusha serekari hili ni nzuri sana siyo ware wakupiga makofi tu.hili rinasababisha serekari iwe makini zaidi.
@RashidiSaidi-h4q
3 ай бұрын
Mpina bado anaota uwaziri
@kambamazig02024
3 ай бұрын
Ila sheria mpina hajui kuzitafsiri wakati mwingine tunashindwa kuelewa kama yuko upande wa cartel, hasa kwenye hili la sukari.
@musakasingo594
3 ай бұрын
Mh Bashe uko vzr, songa mbele ktk kazi,hao ni wapiga kelele wa shule ya msingi
@wahabisambali37
3 ай бұрын
Ni moja ya kiongozi ambaya ana ni inspire sanaaa,kaka bashe,nakubali sana uwezo wako
@AniziaKamanzi
3 ай бұрын
Japo Bashe ww smart Brain
@ReginaJoseph-cm3cx
3 ай бұрын
Ili usiwe waziri boya Mungu umshukuru wa kwanza
@salamasefu5494
3 ай бұрын
Mpina anawatetea walanguzi.why waingize sukari alafu wafungie mpaka inafika hatua wakafuatiliwe na police nia yao nini hao unao watetea mpina. Bashe fanya kazi yako bro in my blood. Muhimu kutenda kaki .mungu yuko na weww
@wazirimwanazuoni5567
3 ай бұрын
Uko vizuri kaka. Keep it up
@thomasmselle8632
3 ай бұрын
Mungu kwa bashe amewekwaa wa pili kwenye kushukuru.
@krizofrancisco5310
3 ай бұрын
Anajisahau
@WilfredMfuru
3 ай бұрын
Yaani katika mawaziri makini ni bashe
@kambamazig02024
3 ай бұрын
Bashe, hao walikuwa wanahujumu nchi pamoja na kwamba mliwapa kila kitu walichokitaka! Mpina unakuwa huna uzalendo na sheria nafikiri unazichukulia sheria za nchi kinyume kabisa! Kukosoa serikali ni sawa lakini kutafsiri sheria kwa uwelewa wa kila mtu inakuwa kazi ngumu. Mpina hatukuelewi unachokisema, unawatetea walanguzi ama uelewa wako unakuwa mfupi kwenye hili!
@musakasingo594
3 ай бұрын
Bashe siyo kuwa anashindwa, mfumo wa nchi hii hauwabani wahuni hivyo mh Bashe anajitahidi sn kwani hao ni watesaji wa wananchi, nchi hii mwenye nacho ndiye bingwa.
@user-fl3yl4or3e
3 ай бұрын
Bashe baada ya Samia Suluhu naomba Mungu uingie wewe ushike usukani naamini hutatuangusha
@kasimkassam9565
3 ай бұрын
bado hajafikiya kuwa rais, apo alipo tosha kwake
@AniziaKamanzi
3 ай бұрын
Bashe vs mpina wote mheshimiwe
@shabaniramadhani8026
3 ай бұрын
Huyu bashe nijembe kweli kweli. Ana deserve hata Uwaziri mkuu
@temuemanuel4671
3 ай бұрын
Bashe uko vizuri sana
@EdwardMghuna-rg8rx
3 ай бұрын
Mjowapo ya waziri walio nyooka Mungu akulinde
@pastorgodwinchengula7848
3 ай бұрын
Huyu jamaa namuelewaga Sana. Hata mh Makonda alisema alipoenda kwa mh hayati Lowasa enzi hizo Mzee alimwambia ningekuwa na vijana wenye msimamo wawili kama Makonda na Bashe basi asingepotezwa kisiasa na waliomshauri kipindi hicho.
@maulidabdulkadirguled1257
3 ай бұрын
Raisi anafaaa
@Doris-td7pf
3 ай бұрын
Bashe ni kichwa sana!
@AbdilahiMriri
3 ай бұрын
Ajenti mmoja kila Mkoa hatoshi hata kila kila Wilaya mmoja hatoshi kinachoweza kutosha kidogo ni viwanda kufungua maduka iwe ni kiwandani au mijini, kisha wakipungukiwa taarifa ni ndani ya miezi mitatu ipatikane taarifa kuanzia Mkoa Wizara na Ikulu.
@Peaceman185
3 ай бұрын
Watanzania msidanganyike na facial expressions za watu..bashe anauwezo wa kuzungumza na ukaamin lakn kumbe hata sio kweli...ushauri wangu ni umoja tu kwa watanzania amna mkamilifu kwa sector zote ila pia tusiwahi ktk hukumu make ss wenyewe hatuyajui tunayasikia tu juu juu By conclusion Mpina yuko sawa hata utetezi wa hoja wa bashe upo sawa ila wote tusiwaamin hadi kufikia kuwapa vyeo vya watu.
@RashidiSaidi-h4q
3 ай бұрын
Bashe kichwa ya maana anampa shule mpina
@AbdilahiMriri
3 ай бұрын
Mwaka jana tu kulikuwa na maduka zaidi ya 1000 walikamatwa wakidaiwa kuiba mbolea hiyo ya ruzuku, Leo mseme jambo la mbolea liko sawa tunakataa kabisa eneo hilo haliko vizuri.
@dannygidu7884
3 ай бұрын
Huyu ni mwamba sana,anaongea kwa fact,wakipatikana mawaziri kumi kama hawa,hii nchi itakuwa mbali
@FurahaMwajeka
3 ай бұрын
Bashe uko vzr kuongea with confidence lkn mimi kiutendaji hapana ...sukari umeshindwa kutatua
@bonifacerobert2960
3 күн бұрын
JAMANI MAMA ANNA MAKINDA, UPO WAPIIII? MBONA HUKASHAURI HAKA KAMAMA KUHUSU UHURU NA MAMLAKA YA BUNGE? MBONA KANALIFANYA BUNGE KUWA KACHAWA KA SEREKALI?
@AbdilahiMriri
3 ай бұрын
Lakini uhalisia ni kwamba ukimkuta mtu na makosa makubwa kiasi hicho ilitakiwa tusikie watu wamewekwa ndani na kufungukiwa kesi.
@AbdilahiMriri
3 ай бұрын
Lakini uhalisia kwa Nchi kubwa kama hii huwezi kuwa na makampuni machache ya Mbolea ambapo yako matano tu jamani.
@imanuelmalya1511
2 ай бұрын
Mpina ni ndo mpini wenyewe sasa..fanya kaz kaka tutetee wanyonge.
@muxxacaxxan9535
18 күн бұрын
Weng sio wazarendo wa nchi hii wamezoea upigaji,na Kila mtu anaambiwa nenda serikalim Kuna pesa why? Idon't understand this quote
@AbdilahiMriri
3 ай бұрын
Kwenda na police kwenye ma godown na Polisi na kukuta hali ni hiyo maana yake Waziri hufanyi kazi vizuri Mhe Waziri.
@user-cy8ux9ds7q
3 ай бұрын
Mhhh sio kweli hii hoja yako. Kama wafanyabiashara wanataka kuiyumbisha nchi lazima serikali itumie mifumo yake kuondoa uhuni huo.
@ChidyMfululu
3 ай бұрын
Komaa ndugu
@WilbertChambilo-yl1kc
3 ай бұрын
Kati ya wanaopiga Kazi kumsaidia mama ukiacha ngaz tatu za juu zaidi ni pamoja na Bashe, Biteko, mchengerwa, Rc mtaka. Huyu mpina anaweza isipokuwa Sifa zinamponza na kisasi.
@AbdilahiMriri
3 ай бұрын
Kwa upande wa Mbolea hakuna haja kuwa na limit ya waagizaji. Kila mwenye pesa zake aagize mbolea na kwa kuanzia hakuna haja ya Serikali kwenda kuvunja hazina kuchukua pesa cash eti wanasemaga pesa mbichi kutoa ruzuku ambapo uaminifu ni mdogo sana Mhe spika mbolea isamehewe Kodi kwa kiwango cha ruzuku ni msaada zaidi mhe spika.
@jaydenbedas5729
3 ай бұрын
Huyu spika ni mtu, kawafunika wote walomtangulia
@BIGBOSS-hl3bu
3 ай бұрын
Mpina anakawaida ya kukurupuka sana Hana maana anataka aonekane kuwa ni mtu wa maana ,Bashe piga kazi utapigwa na majungu mengi Kwa vile hizo ni kazi za watu lkn angalia WANYONGE kakangu
@musakasingo594
3 ай бұрын
Mh Bashe,nakupenda kwa msimamo wako mzuri,wewe ni mkweli kabisa,hao wametutesa sn kuna siku nimenunua Sukari kwa tsh 5500
Пікірлер: 80