Nakupenda sana Diva❤❤❤❤MUNGU akupe hitaji la moyo wako dear
@rahabu1497
25 күн бұрын
Wakwanza Leo naomben like hata mbili jmn
@AmanaHussein
25 күн бұрын
Happy muharam happy new year leooooooo🫂
@RandB_Channel
25 күн бұрын
Nawewe Diva hajielewi maneno yakuambiwa yanvunja ndoa mingi sana na mmeo mwobote hamujielewi
@MwanakomboNassor-bw3by
24 күн бұрын
Masha Allah umependeza leo
@fatmaabdallah7709
25 күн бұрын
Diva ndugu yangu unajidhalilisha hivyo mpaka wafanyakazi wanakudharau wanakufungia mageti wakikuona😂😂😂
@AishaHaji-jn7sg
25 күн бұрын
Geti limefungwa ili😂 vitu vya mke mwenzio vitolewe 😂😂😂😂😂😂
@esthermakelemo2864
25 күн бұрын
Ila nyie walimwengu wachomozi
@rajabdibwa6415
25 күн бұрын
Huyu diva kama chizzy fresh😂😂
@user-np8wv7el5m
12 күн бұрын
Kwa kweli hii behind de gram ya diva nimeangalia mpka hii episode lkn redflag nimingi kwa kweli huyu dada akona subra Diva his ndoa uanilazimisha ww
@steveabel5819
23 күн бұрын
Jamani diva ndo utembee peku bila viatu🙌😂 15:55
@cdeleo9336
24 күн бұрын
Kwani huyu hiyo ndoa ni lazima? Duuh hatari
@Zainab_salat
25 күн бұрын
Amefunga ndoa😂😂😂😂 kwann unaficha, masha mmbeya
@rehemapeter8621
25 күн бұрын
Na shoga ake hawana akili et wakampige huyo mwanamke😂😂😂
@sund2553
23 күн бұрын
Hii ndoa unadharauliwa hadi na walinzi mi hapana haki uwiiii
@angelinamwakadi5226
24 күн бұрын
Jameni mlinzi si afuata maagizo😂😂
@annajoseph9955
25 күн бұрын
Diva ni mkorofi duh,,,mbabe looh
@nancyg8664
25 күн бұрын
jamani sipendi mtu anaenifokea naeza mnasa makofi
@user-em5fd4qr6g
25 күн бұрын
What kind of marriage is this?
@jamilaathumani5481
25 күн бұрын
Apo mwenye makosa ni abduli si mwingine..ila anakana tu kwa aibu
@sharifabahar9905
25 күн бұрын
😂😂😂anataka kununulia gari tulia ww
@Sunshine0222
25 күн бұрын
Napenda hichi kipindi
@deega1234
24 күн бұрын
15:41 bila viatu? kweli Diva? what diva r u!!
@salamalsawaqi1206
25 күн бұрын
Ongea kiswahiri wengine hatujui kizungu
@upendommbaga7070
23 күн бұрын
Diva katika kosa aliwahi kufanya duniani ni kuolewa na huyo kaka.. yaani hapo ndo heshima yake ilipopotea kabsa
@queenmilan2024
25 күн бұрын
Mawigi ya katani
@NaimaSalum-di8zj
24 күн бұрын
Duh sio kwa Wigi ilo
@user-wy9rv2vm4s
25 күн бұрын
Hayo mawigi shoga hayakutii wahka 😅
@NaimaSalum-di8zj
24 күн бұрын
We akili huna na uyo mwanaume hakupendi yani ujiongezi shoga na ilo wigi ndio umekua kichaa
@lucia20240
25 күн бұрын
Ila mawigi ya diva😂😂😂
@dublea4118
25 күн бұрын
😂 Ma wigs ya TheBawse😂
@steveabel5819
23 күн бұрын
Ni kasheshe😂 mawigi ya mtumba
@hannansaidahmed1943
24 күн бұрын
Ungejua kama unajidhalilisha tu ungeeachaga huo ujinga dada
@AmanaHussein
25 күн бұрын
Si Kwa udhalilishaji huu etii vitu vyangu. aibu ushatuambia vitu ni vyako office mzima hatauku pia hakuficha jamaniiiiii diva kiboko🤐
@sofiasimbasimbasofia2420
23 күн бұрын
Mumeo mshezi mshez duh siku kitakapo Kutoka mikononi ndio utajuwa diva jifunze kujibu wacha kuropoka
@lizzshayo2061
25 күн бұрын
Hahahahahah 😂😂😂😂 pwapwapwapwa
@user-wu8qe4fv4j
25 күн бұрын
Unapendeza ukiva nguo Akujistriri
@ramhuudulla8921
24 күн бұрын
Ujinga mtupu mwanamke anamnyambua mumewe kama si mumewe kisha mwisho wa siku wanalala pamoja mke anasubutu kukkuita mshenzi hadharan Kisha mwaame anaigiza anasimamia misingi ya dini wapuuuzi wote wanapotezeana muda tu Wala hawaana funzo lolote wala burudani yyt kwa jamiii kichechefu tu. Labda iwe wanaigiza mwanamke mdomo mchaaafuuuu kiliko hao washezi
Пікірлер: 48