Serikali ya Kenya imetoa ruzuku ya mbolea kwa wakulima. Lakini tatizo ni kuwa bei ya mafuta ya diesel ambayo hutumika pakubwa kuendesha shughuli za kilimo bado iko juu. Hali hii bado itaongeza gharama ya uzalizaji kwa mkulima na hivyo bei ya unga wa ugali bado itakuwa juu.
Негізгі бет Bei ya unga wa ugali bado itapanda licha ya ruzuku ya mbolea
Пікірлер: 1