Gnako warawara mzee wa kufunika duuh, nice brother
@sarahbilly6150
11 ай бұрын
2023 bado napata vibe ya hii nyimbo from Tanzania
@lidyannko7552
7 жыл бұрын
U kill me belle walahi!!! Wanaompenda belle like hapooo...
@shindanokibengo4590
7 жыл бұрын
God
@jakaonlinetv1920
7 жыл бұрын
nakukubali adi naumwa kama na wew unamkubali belle 9 gonga like show love mziki mzuri😂😂😂😂😂
@jumaramadhani1426
7 жыл бұрын
huwa napenda kusikia mziki mzuli kweli belle9 g nk wanajua noma sana
@vailethally555
7 жыл бұрын
katishaaaaa yan
@josephgadau5031
7 жыл бұрын
JAKA ONLINE TV
@atnessmasilamba7747
7 жыл бұрын
JAKA ONLINE TV nice
@yusuphdaudy3085
7 жыл бұрын
Vaileth Ally
@joshuaabel7127
7 жыл бұрын
usiogope maadui masteringi hawauwawi,wacha na hii trela hahahahaaa bele we noma sana
@inguj2144
7 жыл бұрын
woooooooooh!!so great ebana nimeipenda sana hii nice melody bg up belle9 pia bg up gnako
@abuwax4868
4 жыл бұрын
Nakubal
@alexsteven4362
7 жыл бұрын
Bonge ya video bonge ya melody..hanscana amefanya kazi nzuri...belle na g-nako salute sana guys..Jah Bless
@hamismalimungu9959
7 жыл бұрын
video nzuri sema kuna kasoro moja tu kwenye hii video nakasoro yenyewe hata haipo😂😂VIDEO KALI...
@godwillmawere5533
7 жыл бұрын
Oi oi oi oi Nimekuelewa ze baba
@vianeyminja575
7 жыл бұрын
Hamis Malimungu we chalii ni mkaliiii
@ramadhaniswalehe3
6 жыл бұрын
Iko poa
@hamismalimungu9959
4 жыл бұрын
@@vianeyminja575 baada ya miaka miwili
@swaggagamingtv6841
4 жыл бұрын
U crazy🤣🤣🤣😔😂😂😂
@user-ji7sy2wi7b
3 күн бұрын
Hii ngoma, 😢 naikumbuka sana kwa sasa 04/07/2024❤
@Radga23
7 жыл бұрын
kazi nzuri imetulia hongereni washiriki wote wa hii video you make it natural. Safi Belle9 & G
@fukijunior1747
7 жыл бұрын
aiseee bonge la ngoma saluti kwenu belle 9 & G nako
@japhetkakwezi9497
7 жыл бұрын
African culture kwa video..thats superb....Nmeipenda sana video, inaturudisha in our culture art and the music itself,,,haina ubishi ni KALI SANA....Hanscana is getting better every single time na hapa kaua kabisa...Nice one Belle and G plus the music producer...Good African music...keep it up..believe me, WE all love it...
@lucyleopold3324
7 жыл бұрын
bell 9 unajua mpaka naumwa sema nn vile wanakubania matuzo tu ila your a real musician from zero to hero
@staminachrissteve2569
7 жыл бұрын
tishaaa sana belle 9 afu kawaida ya gnako warawara huwaga hakosei....dope love track..
@frankgeorge9903
4 жыл бұрын
Siwezi kuchoka kusikiza hii ngomaa. 💥💥💥💥💥💥👏👏👏👏👏. Big up sana brothers
@prosperprosper3097
7 жыл бұрын
belle na g nako nyie n waxiiii ,hii ndio ngoma yang ya mwaka toen nyngne bhan ma-ole
@mosileselestine9169
7 жыл бұрын
ebwana video asilia bomba kinoma brothers big up sana kwenu
@johnsana8751
7 жыл бұрын
hahaha wee jamaa nakukubali sana br #belle9 hautabiriki na moja kati wasanii watakaodumu miaka buku cz ni mbunifu sana.... respect kwako Mzee Baba
@emmanuelsanga7811
4 жыл бұрын
My favourite artist of all time..
@josephgadau5031
7 жыл бұрын
daaaah kiukweli belle9 brother unatisha kinomaaaah nakuelewa miaka buku
@goodluckymartin334
7 жыл бұрын
Sichokii kuangali ngomaa kali cnaa nimeikubaliiiii usiogopee maaduiii masteriing awauwiii
@gka9147
7 жыл бұрын
Nampenda Siwadina
@billstefano
7 жыл бұрын
wooooow.this is what we call good music + good video..mmeua kama sio kunyonga..
@idrisaathumani4891
3 жыл бұрын
Belle 9 hapa umepita na biti kama hauna akili nzuri kmmake hili jingo sikinai nalo ✌
@simonseyongwe
7 жыл бұрын
Lit 🔥🔥🔥 Ngoma kali sana kichupa mmekitendea haki Kiafrika kabisa bonge la video 🔥🔥🔥🎶
@beautyqueen8069
7 жыл бұрын
Kenya's mark your register..🙋
@yusufjaffer6421
7 жыл бұрын
Beauty Queen of your a
@nyamoniwarioba4811
7 жыл бұрын
Jamaa Unique sana huyu, anabadilika kama Kinyonga aisee. Big UP Belle 9. Mzee G-Nako Warawara ahahaha umeua we ni noumaaaaaaaaaaa
@rashardpodo8851
7 жыл бұрын
una maole nipe nione ma one en only... daaaah! ngoma kaliii sanaaa hadi rahaa
@ramso__babanenga9958
5 жыл бұрын
naku bariii mzee mwenyewe. BELLE9.
@star1online8
7 жыл бұрын
Hujawahi kuniangusha bell9 bonge la chupa bonge la msanii big up
@godfreybenedicto3577
7 жыл бұрын
Dah mmetisha, yani nyie mmefanya ngoma sio Ya nchi hii..... dah mmetisha🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@mgimbatv8803
7 жыл бұрын
I can't understand Swahili language but hii bell 9 umenibamba vilivyo uko vizuri your ma ole
@goodluckymartin334
7 жыл бұрын
Ngomaa kali cnaa nimeikubaliiii nyccc combination brooohhhhh
@lydiasix9254
7 жыл бұрын
MUNGU azidi kuwafUngulia njia. jamaani hii Nyimbo KALI SANA
@sophiaaldin9536
7 жыл бұрын
MA Ole bonge L ngoma yaniiiiii
@joshuadenoni7616
7 жыл бұрын
dah belle 9 nimependa jinci ulivotangaza ma culture nafurah xana bonge la kideo much lv 2 u brthr
@mpjozzegalvanize4926
11 ай бұрын
Mainstream kukichafuka tunarud huku sikiliza mziki wa akili na uhakika wa kipaji🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@platejnr8552
7 жыл бұрын
belle9 umetishaaaaaaa nataka kichupa na g warawara
@saleheinnocent7636
7 жыл бұрын
G.original huna mambo mengi mzee!!!
@salehegiza8434
6 жыл бұрын
💃🙋🙌.sichoki kusikiliza hii ngoma kweli
@vicamarketing5004
7 жыл бұрын
very good music and video,belle tisa namkubali sanaaaa
@annapeter574
7 жыл бұрын
bell 9 ni fireeeeeeeeee anajua sana.hadi anaboa
@15kixot
Жыл бұрын
The intro though 🔥🎶
@thomaslandwhale
7 жыл бұрын
Big up Belle 9.... nice song and video clip. Love from Doha
@thomassedondi7389
7 жыл бұрын
G nako umeifanyia hii track mambo mbayaa👆
@hhfamily7835
6 жыл бұрын
belle 9 is killing it and G nako...aki wanastahili kuwa rated high kabisa..ngoma tamu
@jehovahlanga9587
7 жыл бұрын
bonge moja ya ngoma bonge ya kichupa vichwa vimekutana ni shidaaaa
@jumamichael4083
7 жыл бұрын
Gonga like kama umeitazama hii video zaidi ya mara moja kama mimi
@faidhajumanne3348
3 жыл бұрын
G unajua kuniuaa kwa maves yakoo😘😘😘😘
@davidjohn-jl4qx
7 жыл бұрын
nyimbo kubwa sana video amazing hongera belle tisa...
@simplylightness
7 жыл бұрын
aasee huu wimbo ni🔥🔥🔥🔥🔥nausikilza adi bas tena big up guys
@goodmziwanda307
7 жыл бұрын
timiyanga
@amanicarol9119
7 жыл бұрын
asanten kwa kutukumbusha na sisi kwenda kutembelea vijijini kwetu.Wanaopendwa waja.Nimechacha siwadinaaa@G9
@MichaelJames-tp6co
5 жыл бұрын
Ngoma ikosawa asilimia mia fahali yangu Africa tisha sana belle na G. Wamatusi waige kwenu muziki mzuli. like japo 100 nione kama tunajua muziki mzuri
@abasimagwiza6340
6 жыл бұрын
haaahaaaa.... mtoto tobo apa kati, vinabo....... .... sana bell 9
@prosperprosper3097
7 жыл бұрын
g ukiamuaga kwenye verse we n mbayaaa big up belle
@HalfaniRashid
7 жыл бұрын
Director Hanscana naelewa sana kazi za mikono yako, Mungu akufungulie milango na maujuzi zaidi mpaka wasaniii wa mbele waje kushoot video bongo, MUCH RESPECT DIRECTOR HANSCANA
@unsfinityjr2748
7 жыл бұрын
Bonge moja ya ngoa mmeumiza sn ivyo ndo tunataka sema G nakusubir Green Mountain Hotel nikupe pongez zako bro Kankara the finest from AR
@sadakilona8708
7 жыл бұрын
kwa nn uyu msanii hawampi nafasi kubwa.bel9 mama ako hajakupa baraka zake .ngoma Zako lkn ...?
@unsfinityjr2748
7 жыл бұрын
Sada Kilona belle9 nyota imefifia
@Views-mf8ir
7 жыл бұрын
Iyo mazingira ni Claaaaaaaaasic Big up
@jut1161
7 жыл бұрын
Dah hii kitu level nyengine kabisa
@archangelcliper2051
5 жыл бұрын
Haven't anything tell u Belle9 more than say.... UAR the Greater... Much love uar song...u knw wht u do.bro on 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 .
@hilarycharles3238
7 жыл бұрын
wameua sana ngoma Kali sana na kichupa cha maana
@breymbasa8647
7 жыл бұрын
mungu kakupa ruksa mzee piga kazi blessing
@danielsalila7680
7 жыл бұрын
Kaka kaleta vitu adimu,kwnye video yake nimegundua vitu vfuatavyo.1.kaenzi utamaduni wetu kwa kuwaonesha wamasai wanaodumisha utamaduni wao.2.kaenzi nyimbo ztu za kutambo kma vle siwadina....3. Jamaa kabadlika syo video tulizozoea kuziona kila siku.big up kaka
@smarttwin9198
7 жыл бұрын
Daniel Salila hhuujj
@Djso26
3 ай бұрын
Hii ngoma hii 🔥💯
@haitumikitena4978
7 жыл бұрын
Ngoma kaliiiii kichupa baraaaaaaaaaa
@godfreypaul290
7 жыл бұрын
Big up big up brother bonge la ngoma yaan
@emmakalou5920
4 жыл бұрын
Yaan video kaliiii kama hii sitaacha kuangalia mpka ifikshe 1 Million views..... ntaendelea kuwatch kila siku.
@moshimoshi6096
7 жыл бұрын
sna shaka na uwezo wenu hamjawah niangusha. uspagawe na maadui masteling hawauwaw......🎵🎶🎶🎤
@bongotrendingnewsbtntv8311
7 жыл бұрын
mimi ni mturuki hata sijuwi kiswahili...lakini ngoma tamu niaje...halaaaaaaa
@chuchubena7022
7 жыл бұрын
ngoma ya kikubwa sana aseeee hujawahi ni let down belle
@lussavara2381
7 жыл бұрын
ww BELLE 9 ni kichwa kingingine uongozi wako unatakiwa kuongeza ubunifu kidogo tu utakuwa na mafanikio zaidi ongezeni ubunifu kidigital otherwise good job binafsi huwa nakuelewa sana BELENAGO
@mikaomikao3053
7 жыл бұрын
nakukubali xana bell 9 kwa ngoma LA ma ole
@larenthmilaji7458
2 жыл бұрын
Safi sana nakupenda kinoma
@mariodattany
4 жыл бұрын
Belle Fanya Utoe Ngoma Nyngne Na G Nako Nakubal.Sana Mkiwa Pamoja
@princessaysher6603
3 жыл бұрын
Jamn hayup mtu 2020 Niko alone amaa 😋
@nawinahke710
6 жыл бұрын
Belle 9 nakkubal,njoo kenya
@gabrielmbuto5159
7 жыл бұрын
Nice sana
@allysijali248
7 жыл бұрын
Nyimbo nzuri na video kali bro
@allanmshana6558
7 жыл бұрын
kaka umetishana mzee ngoma kali sana kaka
@evanrwiza8681
7 жыл бұрын
duuuh mziki mzuri kupita kipimo cha kawaida
@gabrielmshana2512
4 жыл бұрын
G nako akoseag... Machalii wa kaskazn gonga like 2sepe
@bintyhermeshermesyembe8771
7 жыл бұрын
hataree..nakukubali tangia zamani
@morriswafasa7167
7 жыл бұрын
Representing Kenya
@abdurinassoro6141
5 жыл бұрын
Belle ujawai kinifelisha miaaaa bob
@fidelisyombya3737
7 жыл бұрын
Imekaa kiafrika zaid!!! mmewamalizaaaaaaaaaaaa
@chaddyraymond5813
6 жыл бұрын
Fidelis Yombya hungry g dc tv bhghudj8 ng dh68h gong 5
@GegoMnete
7 жыл бұрын
Aseeee bonge kichupaaaaaaaa
@eddiekambucha6399
4 жыл бұрын
My all time favorite song💞 ata kama haiku hit
@hamidabaltazar2184
6 жыл бұрын
Nawakubali sana ngoma yenu kali g wara wara ft bell9 kama kunamwingine anawakubali kama me gonga like twende sawa
@janccannonjr9178
7 жыл бұрын
G nakoooo noumaaaaa its so hot b9
@calamy100machuabo8
6 жыл бұрын
Yes,yes.Ta gud/Mozambik
@aminsamweli1690
5 жыл бұрын
Kiujumla ngoma Kali kinoma
@hamisally7523
7 жыл бұрын
mziki mtamu,video quality,melody tamu,yaani jamaa wanajua kiukweli,big up
@daudyombo9013
7 жыл бұрын
ninoma sana watu wa tz asilia sana na mapigo saba
@aysherkendrick9141
6 жыл бұрын
bonge la music,go go go go Belle,G nako kama kawaaaa
@kbclassicbeat
3 ай бұрын
2024 tupo wap🎉🎉
@jjnjau
7 жыл бұрын
huyo MTU GNacko ni noma!
@sheysarahnjeno9326
4 жыл бұрын
Nyimbo Kali balaaaa
@gaguole
7 жыл бұрын
hii nyimbo ungeimba mwenyewe tu belle.. ingekuwa kali kuliko ilivo.. anyway bado kali.
Пікірлер: 393