big up sana Dada yetu saida una kipaji cha kipekee usikate tamaa!
@efesomirdomdeke3972
7 жыл бұрын
Kiujumla ngoma kali hasa belle 9 kaimba kikwetu "ngugulile mtuka" good
@elisanjichanyange5485
6 жыл бұрын
Wozaaaaaa G nako umevunja balaaa safii sichoki kuutazama ... Mama amerudi vzr
@emanuellairumbe8236
7 жыл бұрын
leo naamka na hii ngoma mpaka nakuja kupaki natamani iendelee kugonga,,,kali xna
@geoffreycalvin2288
2 ай бұрын
Saida karoli ni angelique kidjo wa Tanzania ❤🎉
@djsteelpulsekenya5844
7 жыл бұрын
Wakenya mpo wapi hii ngoma safi sana big up...............like if you feel the same
@AbrahamNguyu
2 ай бұрын
G nako huyu jamaa n tallented 🔥🔥🔥🔥 belle 9 yuko n flavor yake peke ake 🔥🔥🔥
@blandinamnyinga8318
5 жыл бұрын
Ngusuka inguluvi yinange,ngugulila ikitenge,belle 9 huwa unanifanya nikumbuke iringa saaaaaana kila nikiitazama hii nyimbo.you both killed this song.
@WingoAsake
Ай бұрын
Ngoma tamu sana mpaka mwaka huu 2024
@onoratinyamwihyula180
6 жыл бұрын
sio siri bongo kuna watu wanajua entertainment g nako mmoja wapo
@gracejoseph8506
7 жыл бұрын
nakupenda sana saida, yani nikisikia sauti yako machoz yananitoka jinsi mungu ameweka kipaji na sauti nzur ndani yako, wimbo mtam sana
@ikencherish5770
7 жыл бұрын
Nimecomment kabla ya wimbo kuisha.....kama umeona huu wimbo ni fireeeeeeeeee like hapa
@erenestmtweve1396
7 жыл бұрын
mmetixha sana an big up bongo vipaji VIP
@festomazengo4565
6 жыл бұрын
oioi Nakubali ngoma Kali sanaaaaaa safiiii!!!!
@stevenkisinda3708
6 жыл бұрын
tunakutegemea toa nyingine kalii kama hii penda sana wewe pamoja na kazi zako
@maryidan5546
6 жыл бұрын
nawakukubali sana wote mmetisha sana Kali mno hadi inakera
@Jayjoeshoo
6 жыл бұрын
Bonge la Pini aiseee....Mimi ndio naiona mwaka huuu aiseeee....
@happynessmasere236
7 жыл бұрын
Wimbo mzuri, umepangiliwa na waimbaji wote 3. Mandhari, mavazi ni amaizing, Director uko vizuri. Acha nilale niamke.......Saida ni fire.
@musajack7276
7 жыл бұрын
wimbo mzuri sana hata video pia hongereni sana wahusika hongera pia hascana kwa kazi nzur we ni namba moja kwa sasa kibongo bongo
@polatech9460
7 жыл бұрын
Bughaleez Kafanya Vizuri Kutengeneza Mdundo mtam kama huuu..... Thumbs up To The Guy
@kevinmushitv3761
7 жыл бұрын
g nako uko vizur ngoma kali mam saiida
@kazibertfaustine3492
6 жыл бұрын
G nako bro . . nakukubalii sanaaa hujawahi koseaa collabo
@zainabbakari3603
7 жыл бұрын
Waoo zainaaa eee nyimbo kal kama wasanii wenyewee
@eunicemnanike1851
6 жыл бұрын
naupenda huu wimbo sichoki kuusikilizaa...
@danielamy551
7 жыл бұрын
Moyo wangu kichaka wahifadhi vingi wala sina mashaka kuruka vigingi....tukila ugali kidogo tumefulia watuache kidogo.......gnakoooooooo big up
@ugawinner7731
6 жыл бұрын
Yamusakata kiboko yagimatira. Nice song Saida
@matthewwachealsea5818
7 жыл бұрын
Mmmh Jamani Nishida 😍😍😍😍Daaah Namba moja hii Kali nimeikubali Mimi kinyama my+God!! Kama Nawee Imekuingia Gonga like hapa twende sawa😍😍😍😍😍😍😍😘😘Safi Sana Saida Unaweza mama.
@halimambwego8287
7 жыл бұрын
Nice song
@nancyrenatus6671
7 жыл бұрын
saf
@solomonedward3379
6 жыл бұрын
G wara wara unanikosha mwanangu nakukubali jembe kinoma yaan dah
@petermarusu5514
7 жыл бұрын
Vipi nijielezee? Belle 9 toka ngoma ya kwanza hajawahi angusha... carol karudi poa sana... having descipline kwenye hii industry huwezi dondoka moja kwa moja.... dont stop mama wa kihaya
nimeipenda bure jamani ngoma kali balaa hongereni sana
@hassanmudy1435
7 жыл бұрын
Saida karoli umenishnda tabia 🙌🙌🙌
@marianucambrose5638
7 жыл бұрын
Mdundo wa akiacl, mavazi ya akiacl, Safi sana mama #saida endelea kutangaza acil yetu 😘
@saviongaila3546
7 жыл бұрын
Heshima kwako Bele9 ,& G Nako mmemtendea haki mama saida
@jacksonlema9475
7 жыл бұрын
Naminii unakifahamu kipaji ulocho nacho sins haja ya kusema zaidi ila keep it up thanks for nice job with G nako
@alphoncemayala7817
7 жыл бұрын
Mimi napenda sana sauti za hawa watu, wamepangilia vizuli merod
@juliusuronu8812
7 жыл бұрын
Huyu mama ni icon muhimu sana kwa nchi yetu kama ni madini huyu ni TANZANITE...hakuna wakumfananisha nae ulimwengu mzima staili yake ni ya kipekee...KAMA UNAKUBALIANA NA MIMI GONGA LIKE HAPA
@datiusjustinianlaurian1351
7 жыл бұрын
Julius URONU aisehe mi nakubaliana na wewe
@athanusngesse5267
7 жыл бұрын
Julius URONU mwimbo mbaya
@faidhakassim8477
7 жыл бұрын
🔥🔥🔥
@florainocent3337
5 жыл бұрын
Ni fire asee
@asiaokeay1654
5 жыл бұрын
ni dhahabu ya asili kabisa hakuna tena
@winnytimothy4866
7 жыл бұрын
G warawara baba la baba umetxha xanah dingiliii nahyo xwagger yako yakudenc damn!...yu kill t druu.....ol in ol dis xong z damn hot.....big up xaider kip d3 gud music alive.....
@swidatyomary1380
6 жыл бұрын
Dah... Nzr sana ongelen jamn.......
@alexfelix7873
6 жыл бұрын
hapo hata vazi LA Taifa tunaweza pata hapo.Kiukweli ni wimbo mzuri +video yoote iko poa saana.Pia inavutia kuzisikia lugha za asili humo .Kihaya +kihehe daaa imekaaa poa sana .Hata na mkwe mnakaaa mnaangalia hata wazazi pia yaani hii hata babu yangu mzee lingwendu lazima aikubali
Africa Yangu ni NZURI Tizama Rangi zake zinavyo vutia Macho. Kudos Saida, Belle na Mnako 🤛🏿
@josephkayombo5210
7 жыл бұрын
Nice video ...mama huyu hatari zaidi napenda G-Nako alivyovunja vunja uwiiiiiiiii...MOYO WANGU KICHAKA
@salimuomary4501
7 жыл бұрын
kiukweli huyu Dada in noma said a nakukubali kinomaaaaaa
@judyjudy1495
6 жыл бұрын
mwe!!! am speechless, kazi nzuri mno.. Shangazi Saida Hachuji huyu mama mwe!
@dicksonmarko7926
7 жыл бұрын
Gnako ndyo patoranking wetu wa Bongo
@glorymaro3866
7 жыл бұрын
This song is bomba thank u malkia wanguvu Saida karol na fetuaring wako bele9 ang gnako
@fathiafatihia1279
7 жыл бұрын
weka mbali na watoto hiyo
@rahmangajime551
7 жыл бұрын
Nyimbo nzur video nzur mavaz mazur wameitendea haki wahusika
@kulwamagodya4161
7 жыл бұрын
mmmh hii ngoma kali tena sana toka audio had video izd kushka namb moja huko mbeleni
@angelfrank1092
2 жыл бұрын
Penda sana to ya mor Town
@andyjk5974
7 жыл бұрын
Wabongo tupo vizuri mno aisee. Big up
@missagatha1756
7 жыл бұрын
ANDy JK umeona Eeee?
@KefaTraveller
5 жыл бұрын
hii lugha inafanana na kiluhyia huku Kenya, ati ngulila kamutuka
@mhujoaloyce8766
7 жыл бұрын
Nyimbo nzuri wote mmetisha G nako, bell 9, na saida mwenyewe
@japhetshirima8697
7 жыл бұрын
duuuuuh hii sasa ni shidaaaaah
@enjoomaliya1399
Жыл бұрын
Fireeeee, wahaya twemanye.
@majdakenya1180
7 жыл бұрын
Nakubali hii mama Africa uko top
@azizymachadeson3577
7 жыл бұрын
G aseee we jamaaa dah aseee yani me ni fans wako toka enzi ya Naifata jujuu juu ilipo, G nako aseee unajua man Beg up Belle tisa na mama etu Saida,
@sistersade9039
7 жыл бұрын
saida sauti yako pekee ni kinanda, parfomace is amazing. wimbo wa kushtua mno. well done collabo
@othmanbinali4804
7 жыл бұрын
Aiseee!!! Nikisanga
@etonline2214
3 жыл бұрын
G nako ni mnyama sana
@vahley3162
7 жыл бұрын
hiii ngoma mmeua g nako mastyle yamekubeba una ubunifu wa hali juu sana
@lukasmaige5575
7 жыл бұрын
dûuuu usipo ipenda wewe mnafiki!!!
@Mkemia..Kirigiti
7 жыл бұрын
watu wabayaa, mafundi wa tatu ndan ya track moj, staki kusema xana. Ngoma qaliiiiiii
@kachelengajr8466
7 жыл бұрын
Mara zote utaendelea kuwa bora na kunifanya niendelee kuumia
@j.janeth2076
7 жыл бұрын
Saida,belle 9 and g nako the brightest combination in terms of voices and dancing was great,,,you did justice of this song
@fadhilikangusi
7 жыл бұрын
Mwambie Na Gnako akumbuke Lugha Yake kihehe🔥🔥🔥
@nehemiamsengi7648
7 жыл бұрын
Hadi naogopa jinsi saidi alivyouwasha moto hapo......ngoma ya karne 4 , big up saida, bery9 ,gnako ....ngoma ni fire kwelikweli.
@remigiuslilai9763
7 жыл бұрын
timu zisizo na maana kushabikia nyimbo mbovu....wanaacha nyimbo nzuri kama hiz....ebu skiza hii nyimbo jaman
@shukranikibona2728
7 жыл бұрын
Mamdogo Saida uko nakupenda tangu nikiwa mdogo..! Unanifariji by naturally..!
@bernardjosephmulokozi3901
6 жыл бұрын
Asante sana Mama wimbo mzuri,nategemea mazuri zaidi 2018
@hadassperez494
7 жыл бұрын
Niiice one mama and sons mmetisha 💯💯💯
@petertosh6860
4 жыл бұрын
Cheers 2020! To all Saida fans. Finya 'Like' kama unaipenda hii nyimbo.
@sultanimusa8112
7 жыл бұрын
classic bang big up sana mbona hii ngoma kali kuliko zote sema jamaa mwingine kule kwa waimbaji wasiojulikana wanabebwa na madj wasiojulikana mamae uza sana karanga hii nayo thanks kwa pasua kichwa hii hahahahahaha
@madlipzkenyamadlipz2951
7 жыл бұрын
saida we mwanamke nilikumiss sana we ni moto yaaan umenimalizaaa apa hasa apo kati wanapochanganya ngoma za asili leo jaman eeeeeh nadhani asili ya mtu haipotei
@kevynshayo4144
7 жыл бұрын
Yeeeeees hiyo ndo ngoma Kali kwa mwaka huu nimependa hiyo kiafrica zaidi
@linnetmbotto7212
6 жыл бұрын
Kwa moyo wangu wote nampenda Saida Karoli. Jamani wasimgeuze Diva wamuache awe our African mama
@janetmoraa8332
7 жыл бұрын
Juzi ilikuwa 200 and.. sasa inaelekea mia nne kujeni kujeni wimbo mzuri sana
@colinehelmas4406
7 жыл бұрын
keep it up
@blandinamnyinga8318
5 жыл бұрын
The fun part tuliishi mtaa mmoja na saida enzi zileeee za chambua kama Karanga,wapi issa jamaniii.niacheni nima mm watu tumetoka mbaaaali.
@leonardmissobo3765
7 жыл бұрын
tisha sana bonge moja la ngoma
@mercywambugu18
6 жыл бұрын
Kwenye mtandao hamchoki kufuatilia watuachee..watuachee
@mariamchikoko5498
6 жыл бұрын
ni sheeedah saida kalori mwaaaah
@janesarah6711
7 жыл бұрын
I can't count how much I repeat this song omg !!!!!
@yusufujohn7791
7 жыл бұрын
Jane Sarah true say
@aloycejames1207
6 жыл бұрын
G nako u made it. perfect!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Пікірлер: 843