Mungu wa Ibrahimu awabariki kwenye ndoa yao na damu ya Yesu Kristo iwalinde dhidi ya watu wabaya
@happyhaule671
2 ай бұрын
Mayatima wenzangu wa mapenzi wakwap 😭😭😭 hongera dada 🎉🎉
@MariamuRajabu-el9ev
2 ай бұрын
Tupo hapa🥲
@LughanoSaid
Ай бұрын
Nalia kimya kimya 😢😢😢😢😢 Mungu awabariki
@kisaagustino3278
17 күн бұрын
@@LughanoSaidusinichekeshe mim 😂😂
@mariagitau7453
4 ай бұрын
Ila umejua kutuweza wallah kichwa cha habari na video ni vitu tofauti kabisa😂😂😂 umetukomesha wambea😅
@AntoniaMarley-in8dr
4 ай бұрын
Hahaaaaaaaaa Kwa kwel
@minormine4417
4 ай бұрын
Umeona eee😂umbea umeniisha 😢😢
@josephinechaildofgod5371
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@mwakagarimwakipelelefi9738
3 ай бұрын
Siiangalii yote Asante Kwa comment yako 😂😂😂😂
@matridamsigwa4758
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@user-tg2jg7ul9n
4 ай бұрын
Achen wivu yaani huyo ndio mwanaume mwenye kujiheshim mpaka kwenye mavazi yaani kapata mume huyu dada
@lulumpeta6338
Ай бұрын
Na upara wake Hadi Raha seems he has manner
@RachelElias-ln1to
3 ай бұрын
Bwana harusi ana makusudi jamani kaaah
@Revinarenatus
2 ай бұрын
Jaman hongera sana Lucy mmh hiyo mbio nimeipenda nimejifunza kitu my dear
@MariamuRajabu-el9ev
3 ай бұрын
Mashallah adi raha mwaya❤🎉
@LughanoSaid
Ай бұрын
😢😢😢😢😢😢Kuna hawa 😅 halafu niko yatima mimi
@banajuliana758
4 ай бұрын
Uyu dada Ana mapenzi jamani❤
@monikaphilipo-tz2ij
4 ай бұрын
Smile is everything halloooo mmependeza❤
@mariagrayson5414
20 күн бұрын
Beautifull nakumbukia yangu ilivyokuwa ❤❤❤❤❤
@drascahbt999
3 ай бұрын
Hapo kwenye kijana mpole, hadi shem wetu kashituka "mimi"😮😅
@SuuhPrecious
8 күн бұрын
Najitabilia ndoaa 2024 kwajina la yesu atatenda
@user-vq1qx1dr4e
4 ай бұрын
Bwana halusi hataki mambo mengi kama mm 😂😂😂
@vyonneeugine7507
10 күн бұрын
Mashallah, mungu abarki ndoa yenu
@patricialucas7489
3 ай бұрын
Huu ujasirii nautoa wapii mim jaman uwiiiii🎉🎉🎉🎉❤❤😢
@jescarkinabo6281
2 ай бұрын
😂😂😂😂 nimecheka balaaa utaupata tuu
@PriscaCharles-c7v
20 күн бұрын
Ongera sana Dada mungu awalinde
@pheymack6682
4 ай бұрын
Adi rahaaaa❤
@estherkanyondwi1121
27 күн бұрын
😊Hongera sana dada furaha yenu na idumu
@pheymack6682
4 ай бұрын
Yuko simple adi rahaaaaaa
@ashminaabdulla8946
4 ай бұрын
Hongera my
@user-mh8wz7tz3i
4 ай бұрын
Amependeza sana
@susanaanas221
4 ай бұрын
Maskini mimi yatima wa mapenzi 😢!enewei..
@mwajumakudema5840
2 ай бұрын
Unafkiri upo peke yako basi😅😅😅
@DANCANMACHARIAKINYUA
4 ай бұрын
Wow best MC ever
@user-lh4bb8mm8w
3 ай бұрын
Wamependezana mashallah
@joycechilumba2370
Ай бұрын
Ongera sana
@hadijaabdallah4057
Ай бұрын
IPO siku na mm Mungu atajibu maombi yangu bado sijakata tamaa😢😢
@mayasajuma2251
7 күн бұрын
Ucjal dada mungu humpa kla m2 kw wakt wke
@user-cv2js2oc6g
Ай бұрын
Wanaume wa aina hii wanakuwaga wanaupendo mkubwa sana
@TatuHusseni-hs7mu
13 күн бұрын
Ikawe heri kwenu ❤❤❤
@neemamsanga253
20 күн бұрын
❤️💐💐waooo
@user-ft2vq5on6l
2 ай бұрын
La muhimu hapa jamani ni tabia ziwe nzuri waweze kudumu sio mavazi mazuri wala nini watu wanavaa vzr na siku mbili wanaachana jueni muhimu ni tabia waungana wangu ni km huyo ila nina miaka 20 sasa ya ndoa na hana kokoro hadi raha
@eunicesaimon9125
4 ай бұрын
Sema utu kaka mzuri nyiee
@EsterThomas-tr9sr
3 ай бұрын
Likaka flani lizuri 😅😅😅😅 goja niendelee kutesek 😢
@user-jt5ll2sk5c
4 ай бұрын
🎉jamani si atokee mmoja anipende hiv 😢😢
@agnessbahamu3931
2 ай бұрын
Walipendeza ila mke ako moto sanaa😅😅😅
@SalmaAbdallah-bv6vp
4 ай бұрын
Masha Allah ❤
@lovenesszedekia7814
4 ай бұрын
😂😂😂hyo kazi mlio mpa bwana harusi ya kushika hyo feni ni balaa
@edukimaro3489
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@AntoniaMarley-in8dr
4 ай бұрын
Hahaaaaaaaaa ila ww
@eggysulle7988
4 ай бұрын
Mwanammee kavaa simpo tue hana mambo ya kinadaimond kavaa ki king kiba no matashititi 😄
@irenembura8045
4 ай бұрын
Wanawake tunajua kupenda😂😂
@evasamwely7969
3 ай бұрын
❤❤❤❤❤
@hadharaally6523
Ай бұрын
Pacha wa zailisa ??
@FunnyDivingBoard-mw8rm
4 ай бұрын
Atapendeza cku ya ndoa
@yustersimon5104
4 ай бұрын
Bwana harusi kapendeza watu hawajasanuka tu kavaa kulingana na umri wake na mwili pia
@EfrasiaShirima
4 ай бұрын
Exactly
@user-fn3uo1wm6r
3 ай бұрын
Wakat wanakuja mbele nilizan mzima kumbe kalewa hahahah ila mzuriii
@appylin4031
Ай бұрын
Mbn hajakimbia😂😂ss
@user-nc6lb7ox1c
4 ай бұрын
Yani huyu kaka Yuko Kama wa kwangu hataki mambo mengi Ila Ana upendo sana
@hawaramadhani6954
Ай бұрын
Msitutishie jmn
@salamasaidi6620
Ай бұрын
@@hawaramadhani6954😂😂😂😂😂
@LovenessFedrick-cy9fh
4 ай бұрын
Ndo bahati yake awe kavaa hovyo awe kalewa ndo wake tuwaombee waishi kwa amani na upendo basi
@user-uj5wg9mm2t
8 күн бұрын
😂😂😂😂
@JOSYLINREVETA
4 ай бұрын
Yeye kashaolewa tutabaki oo shati halijachomekwa.
@hawamganwa8679
4 ай бұрын
😂😂😂kweli
@Marlyn08
4 ай бұрын
Kabisaa 😂😂😂😂😂
@matridamsigwa4758
3 ай бұрын
😂😂😂😂
@gracemassawe3670
4 ай бұрын
Watu sijui wanapataga wapi wanaume wakuwaowa
@marthangoko1309
25 күн бұрын
Mkop o
@neemamlay-om4bb
3 ай бұрын
Umenibamba😂😂😂
@lillianlewis8082
4 ай бұрын
Basi angevaa japo shati la mikono mirefu.
@EfrasiaShirima
4 ай бұрын
Mwenzio karidhka huona anavyomchezea😂
@mgesijoseph7912
3 ай бұрын
😂
@YosephaMsangi-yy8lz
3 ай бұрын
😂😅
@MiliamenockEnock
Ай бұрын
Jamani mngu awabaliki
@pasilizajohn6067
4 ай бұрын
Acheni wivu mbona kapendeza Sana
@user-gp1hb4xt1t
3 ай бұрын
Yaaan wangu hajui hata kujitkisa😅😅😅
@AlexanderJohn-ov3lq
Ай бұрын
Ndo ukome 😂
@Kidotii
3 ай бұрын
Bora kavaa kawaida ila ana behave...sio wale wenzangu na mie mwaka wa kufosiii😅😅 anakuaibisha mpaka unajuta
@pascosalvatory5274
2 ай бұрын
#MC UMETISHA SANA MPE SALAM #DJ KAPANGILIA SANA NMEMUELEEA ANAKITU ATAFIKA MBALI
@user-le9tb3jc8g
4 ай бұрын
Kapendeza kaka wa watu na wanapendana sema hataki mambo mengi
@NaahZephania
3 ай бұрын
woow jmn!!Na iwe ya kher jmn❤
@najmasalim-rg6ow
4 ай бұрын
Kaaah! Mume kaa mwalikwa aliestukizwa
@jacklinenkane821
4 ай бұрын
Atalipuka siku ya harusii 😅😅😅
@najmasalim-rg6ow
4 ай бұрын
@@jacklinenkane821 kwakweli
@mgesijoseph7912
3 ай бұрын
But sherehe so yakee ni mwalikwa tu
@user-ux6pr6mz2s
3 ай бұрын
Dj niuwe unikunywe supu😢😂❤❤❤❤❤❤
@Jojoskitchen-mm4wg
2 ай бұрын
😂😂😂Polee
@JescaEmgimwa-un5lw
4 ай бұрын
Kikumbwa mali imeletwa kwetu😂😂
@fetyalmas698
Ай бұрын
😂😂😂dada ucjimalize Hawa watu hawana dhamana ya moyo 😂😂😂😂najikuta nacheka km mazuri
@PAULINAAMMO
2 ай бұрын
Umejua kutukomesha wambea
@AlexanderJohn-ov3lq
Ай бұрын
Yaani😅
@user-jm4xq8fd5v
11 күн бұрын
Mmetosha
@HalimaJuma-s6v
Ай бұрын
kuma la mama akob
@DevothaSwai-ni5md
2 ай бұрын
Hizo title zenu ban
@DianaDotto-i3u
15 күн бұрын
Yan kunamud nawek band ili tyu niangarie wanaofung ndoa napend
@RachelMadege
3 ай бұрын
Asa mbona hatujaona mbio jamani wambea tukome
@MariamjonasKalaita
3 ай бұрын
Jamn mtuombee na sisi tupate wa naume
@amosmahona433
Ай бұрын
mmekula zangu ovyo kabisa
@Jahra2023-gm1qp
4 ай бұрын
Mmependezana ❤
@janethtemba6854
4 ай бұрын
Jamaa yupo vyombo
@mishikombowato1457
4 ай бұрын
😂😂😂😂
@user-ts5bu7os5d
4 ай бұрын
Umeanza kuwa muongo
@hongeramwinuka5334
4 ай бұрын
Pombe ikizidi ina haribu shughuli😂
@AntoniaMarley-in8dr
4 ай бұрын
Hahaaaaaaaaa
@user-uj5wg9mm2t
8 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@ashurahatibu5069
3 ай бұрын
gauni bustani😢😢😢
@RedemtaJustus
3 ай бұрын
Na mimi Mungu anijalie nipate Mume wakujiheshimu kama huyu baba jamani maana vijana wa siku hizi daah!
@mgesijoseph7912
3 ай бұрын
Ni balaa nakwambia
@LucyMichael-pn6pr
Ай бұрын
Sasa amezua gumzo gani jamaniii hapooo😀
@princessleonard9522
4 ай бұрын
Mie mume wangu anavaaga kama huyo hanaga mambo mengi ila anapendaga mie nipendeze ila kiheshima. Hawa wanaume wa hivi jaman wanakuwaga wapole sana nampenda sana huyu mwanaume Mungu alonipatia.
Hawa wenzetu wanaume cjui wanawapataga wapi jamni khaaa mungu atusaidie tuuu jamni
@najmasalim-rg6ow
4 ай бұрын
😂😂 nikimwangalia mume 😅😅 limelew San na huo mshati😮😂😂
@Zuu673
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@syliviakente9460
4 ай бұрын
Kuvaa ni art
@Official83640
4 ай бұрын
Hama unapokaa utapata tu mume mwema maana mazingira ya unapoishi yanachangia kukosa mume In'shaallah utapata
@ozuabrahamu8079
4 ай бұрын
Greace
@Revinarenatus
2 ай бұрын
Ooh mtabaki kusema kavaa vibaya ndo kashaoa hivyo
@IreneUtwa
Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@DeboraNgura
4 ай бұрын
Jmn apo kwa bwana harusi kushika feni😂😂
@AlexanderJohn-ov3lq
Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@user-uj5wg9mm2t
8 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@user-dy9fr2mi5n
2 ай бұрын
Hata cheza yake anaonekana mwema
@KhalidNa-bn4gp
2 ай бұрын
Aaan😅😅
@beatricemrisho8431
Ай бұрын
Hao bado hao mashauzi mengi sana sijui kama watafika miaka 5
@LucyMatemu
23 күн бұрын
Ww yako imefika mingapi jiheshimu!!
@LidyaJob
Ай бұрын
Anambio
@luuramadhan2771
Ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@user-jm4xq8fd5v
11 күн бұрын
Mc katokisha nitakupa mwaliko
@EvanaFelix-cr3hj
4 ай бұрын
Af mbna kapendza jaman ingawa kalewa 😂
@user-mr3qg9iq5k
4 ай бұрын
😅😅😅kapendza tu watu wananongwa nao
@NaomyJohn-hd4bq
4 ай бұрын
Weee watu walivyowengi lazima atoe aibu na pombe kdg😂😂😂
@israelkisaila8401
3 ай бұрын
Mbona kavaa hovyoooo? Hakumuandaaa?😮
@leahmagaiwa9099
3 ай бұрын
Anamjua mwanaume wake. Anapenda kumwona hivyo
@AloyceAloyce-oi8km
Ай бұрын
Kikubw uzma2 nakueshimian
@user-eu7dn4xr3w
4 ай бұрын
❤❤❤❤
@berthakapelle9750
Ай бұрын
Ila bi harusi umechachuka
@hawanaiye-pt6xv
4 ай бұрын
Amependeza yu
@user-mw8wc4rq6f
2 ай бұрын
Tuache kwa selective
@user-es7xd3bg7c
Ай бұрын
Dah nataman ila bhas tu
@matronmkenda3510
4 ай бұрын
Bibi harus mtu wa disco nini mbona nyimbo zote kashika kichwan ila wapo vizuri sana kila la heri kwenu
@veronicaaudax1013
3 ай бұрын
Sio wa disco. Mdada flan hvi akili mingi
@tiffahdangote7548
4 ай бұрын
Basi ata angechomekea ilo shati lake jamani
@joycehaule9717
4 ай бұрын
Kwakweli hakupendezakabisaa
@najmasalim-rg6ow
4 ай бұрын
Achomekee anakiuno hiko
@maimunashaban4932
4 ай бұрын
@@najmasalim-rg6ow😂😂
@user-zl5mt6lk4n
4 ай бұрын
wanaume wenye pesa nto walvo hawana urembo we kaa tu subiri mume mrembo utakosa mengi
@tiffahdangote7548
4 ай бұрын
@@user-zl5mt6lk4n Sasa anahela gani....sherehe IPO hivyooio....hakuna ata Dolla Moja aliyomwaga! Acha maneno ww! Gentlemen's are smart and posses dollars!
@user-qz2if6nc9j
4 ай бұрын
Wengine hawapendi mambo mengi
@rosemery3017
4 ай бұрын
Wenye peasa hawanaga mambo mengi aisee duh! 😍🤭😍🥰❤️
Пікірлер: 244