Hao wote hawakua rizki yako,,umri bado kikubwa jitume nakumuomba sana Allah❤❤❤❤❤
@user-ky1ni2ly9r
22 күн бұрын
Allah akufanyie wepesi pia Mimi nilishatakishwa ndoa na mamamkwe na nilisafiri kabisa mpaka leo sijaoleka ndio saa hii nimepata mwengine tena mrembo zaidii ya yule wa kwanza na yule wakwanza alio mwanamke akaja kutukana mamake na kupiga 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nikatafutwa kupewa umbea kwa hio dada hongera sana maamuzi uliyo chukua niyamsingi jikaze utapata mwenye kheir na wewe lkn Mimi sikua nimelala nae bado heshima yangu iko mama ila pia wewe utapata mwenye atakufuta machozi na kikupoza kidonda Love you baby girl ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@rizikimohamed2449
7 күн бұрын
Dada pole sana mashaallah ulivyo mzuri usijali Allah ana sababu atakujalia mume mzuri tu waheri
@Swamyhassan_sy
Күн бұрын
Pole sana dear😢hakika inauma sana mshukur mungu kwa kila kitu na kila kinachotokea kina sababu
@mariammm2574
3 күн бұрын
Pole sana ndugu yangu Jitahidi usifanye mapenzi nje ya ndoa ni haramu Pia bora ulivyoachana na mumeo kwa sababu hivyo ulivyofanya haikuwa sawa kuolewa ukiwa na mimba ya mtu mwingine Huyo mwanaume wako wa kwanza hakuwa mkweli na mapenzi ya dhati juu yako alikuwa anakutumilia kama chumba cha starehe tu MwenyeziMungu atakupa mume mwenye kheri na wewe mtakaopendana in shaa Allah
@zakiamohamed-ug5mx
22 күн бұрын
Pole sana mrembo muombe mungu atakupa aliye sahihii hakuwa wakwako huyo mshukuru mungu
@AishaBaraka-k1d
6 күн бұрын
Da pole Sana kipenzi kama mungu amepanga uolewe utaolewa
@SHADIAALLY-pv3ql
5 күн бұрын
Pole sana dada yangu maana ndoa kama ipo ipotu mungu atakujalia nautapata mume mzuri sana
@NajatyHassan
5 сағат бұрын
Pole dada angu ndy maixha lakin haya tunayopitia mamy❤❤❤❤❤
@mukeshimanataussi6939
6 күн бұрын
Pole Sana mwanamgu ungaliki mdogo jikaze utapata mume bora
@HalimaKassim-yz3we
22 күн бұрын
Mm namsukiliza sanaaa huyo dada lakini nilichokiona hapo yy ndio hakua na msimamo yaan una mimba ya mtu nahuyhuyo anakushaur uolewe na ww una kubali eti kisa mimba sasa hapo umejifunza nn
@MohamedMwachega-x6c
22 күн бұрын
@@HalimaKassim-yz3we nashangaa aliyataka mwenywe
@HalimaKassim-yz3we
21 күн бұрын
@@MohamedMwachega-x6c umeonae kwanza tuu swala la eti una mwanaume wako na ukaletwwa mchumba hapo ndio angeonesha msimamo kwamba liwalo na liwe sasa yy na akili zake akaona aolww na mtu asimpenda ili kuficha mimba siusenge alivo lala alitegemea nn
@user-lb5oi2wz6z
20 күн бұрын
Uyoo malayaa sawa jamaa alivoo ha wa videmu linafanya kazi viwandani viimalaya asa virangii na Talaka ujapewa vp
@ElietiSilausi
14 күн бұрын
We mdada mume mwema utampata kanisani.muombe Mungu atakupa wa kufanana nawe.pole my deary
Kwakua ni muislam siwanaruusiwa kuoa ata wake wanne awe tu mke wa pili sasa
@user-vq2cb7fn8f
19 күн бұрын
Wewe ni mwanamke jasiri hata km watu wanakutukana ‘ kila mtu anapitia mtihani ktk maisha yake’
@ZainabuOmary-ys8oq
16 сағат бұрын
pole dada yalinipataga mii yanafanana wanawake tunapitia maumivu mengi sana ila mii nilipata ujauzito nakunitelekeza nililia sana mpaka ujauzito uliharibika maumivu niliyoyapata ila baadae nilikuja nikajifarijika nikaanza maisha yangu nafanya kazi za watu maisha yakaenda nashukuru mungu kwa kila jambo allah akupe subra ila ulipojikoroga ww ni kuambiwa olewa na ukaolewa kweli na kama alikupenda kweli nae aliumia sababu mtu unaempenda hawezi kukubali uwe na mungine baadae nae apana nakushauri jali kwana hisia zako wanaume watakuliza mpk unapokutana nae usijue huyo nani tafuta pesa mapenzi yatakuja yenyewe tena ya heshima
@AthumaniMuhende
11 күн бұрын
❤❤❤ Allah akufanyie wepes inshaallah
@Naw89
19 күн бұрын
Allah akuhidhi mwanangu bado mdogo sana na mambo yako ni makubwa
@cassamoantumaneantumane3673
23 күн бұрын
Mbengo tv were the best from mozambique
@nasirikuzigile9228
22 күн бұрын
Wadada wafanyeni kazi ndoa za siku izi kama huna kipato au kazi au biashara yoyote mwanaume ata kuchezea anavyotaka lkn ukiwa na kazi yako au biashara yako na pesa zako mwenyewe mwanaume hakufanyi kama ivi kwanza atakuheshim hata kama atachiti ni kwa siri mno team strong tuendelee kuzitafuta mwaya tukiludi tuinjoy maisha yetu bila hawa mbwa kutuchezea akili😂😂😂😂 nipo zangu urabuni mwaya sina kesi na mtu wee huogopi😂😂😂😂
@user-sv6zy3hc8o
19 күн бұрын
Huna baya shoga angu hata mim nipo huku
@user-rj4cd7oc4x
12 күн бұрын
😂😂😂 Leo ndio nimekumbuka kumbe na mm niliwahbkuolewa
@HeryMrope
6 күн бұрын
😢Asalam aleykum Kila kitu dada kina wakati wake bila shaka Allah Kuna jambo kaliepusha kwako kwahiyo usilalamike mshukuru Allah kwa Kila jambo pia ushauri kwako usisnze kufanya zinaa kabla hujaolewa hiyo ni haramu inshaallah
@user-fi7hm6uu8d
18 сағат бұрын
zinaa ni haram hata kama umempenda mwanaume kiasi gani sister wangu
@SalhaRamadan
7 күн бұрын
Pole sana mdogo wetu mrangi mwenzetu uliolewa kisese nyumbani kwetu bereko ukweni kwangu Maisha yanakila changamoto mungu akusimamie popote ulipo
@tztanzania2262
7 күн бұрын
Shda ilianzia kwake hyo mimba😢
@salumissa6118
2 күн бұрын
Huyu mwanamke malaya tuu na ni mzinifu Allah amuongoe
@estherphilipo5845
2 күн бұрын
Pole sana dada mshukuru mungu uenda kuna jambo amekuepushia
@evertheobald1811
16 сағат бұрын
Kwakweli
@SuleimanKhdija
18 күн бұрын
Subhanallah sasa ndio anahojiwa ili iwe je Duh mtihani aibu 😮😮
@MartinaMsimbe-qk8ug
Күн бұрын
Huyu Dada ni mjinga hata was waandishi nanyie😅😅😅😅
@mohamedkisenga6654
23 күн бұрын
Ndoa mwez mmoja mambo kibao ovyoo sanaa umalaya ww dada chiz
@SaadiyaMohammad-og5bg
20 күн бұрын
Dadangu sio khire yako mungu atakupatea mwenginia mweynye khire mungu ajuwa zaidi subra dadangu usihuzunikia pz
@florakaria3793
6 сағат бұрын
Hufai unaolewa hivyo hovyo....dharau unayonwewe sio yy😊
@FauziaAyyib-dw6lj
6 күн бұрын
Pole sana dada Allah akufanyie wepesi
@WinWilly4162
18 күн бұрын
Kajeuri lakini😂 Pole Mungu atakupa mwingine,umri bado mdogo mno hata kwenye kufikiri kanafikiri kwa udogo ndo maana kameishia njia panda
@user-jz2su4co4d
11 күн бұрын
Ashukuru mungu maana kuna kitu kikubwa mungu kamuepusha nacho
@ifrahabi4834
4 күн бұрын
Kweli kabisa.
@Naju645
23 күн бұрын
Dada huna cha kujitetea unaeleza uongo mtupu unaolewaje na mwanaume ukiwa namimba yamtu mwingine nabado haitoshi unachati namwanaume kwenye cm yahuyo mume jifunze Kwanza kuwa na aibu bibie duh
@marytumaini797
23 күн бұрын
Ahana sawa 😂😂😂😂😂😂😂😂
@UmayyaNkya-ze3ri
22 күн бұрын
Cjuy ata anaongea nn ata cjamalizia upuuz mmoja
@georgedaniel4962
22 күн бұрын
Lishetani hilo hakuna mtu.
@ZawadiMwabadilanga
6 күн бұрын
Pole sana dada siyo rizki usi lie
@judithtitomalyeta4000
23 күн бұрын
Mhuuuu pole sana wanaume wanaumiza jamani
@raineryponera3278
21 күн бұрын
Muombe sana mungu kwa maana yeye ndo funguo ya Kila mlango 🙏🙏🙏
@kiluwagrata4329
11 күн бұрын
Poverty ndio chanzo cha ww kupitia yote hayo coz wazazi wasinge force uolewe na umri huo, pole sana cha muhimu ni kupambana tu achana na ndoa kwasasa focus na maisha yako binafsi
@mwanazuber3968
4 күн бұрын
Sio umaskini elewa tamaduni za makabila mengine mtu ukifikisha umri wa kuoa au kuolewa unatakiwa kufanya hvy kuepusha kuzini hovyo
@MariamRashid-sm5zw
12 күн бұрын
UYO BINTI NIMUONGO SANA MIMI NIMAMA ALIKUWA MALENGIYAKE YALIKUWA KWAHUYO ALIYEMPAGA MIMBA UYO ALIKUWA SIMUOAJI ALIKUWA MJINGA SANA ANGETULIA KWENYE DOA YAKE
@user-tr1nd7xn7t
18 күн бұрын
Dada yangu pole sana kuwatu na subra ALLAH atakupa Inshaallah ningelikuwa naeshi Tanzania ningekutafuta usijali ALLAH atakujaliya yatakwisha ni wakati tu!
@mohammadoman8963
2 күн бұрын
Kumbe wewe mwenyewe mwanamke hujatulia ndio maana mwanaume kakukataa😢😢
11:43 Mwana ulitaka mwana ulipata kumbe tulikwenda na ujauzito halafu huku taka kujishusha kwa. Kosa LA kwenda na ujauzito kwa mume. Mpya 2 yule bwana aliekuwa ujauzito akakutia kibri kama toka nitakuwa lakini hukufikiria kama anaekutowa kwa mumeo kawaida HUWA hakui kwa sababu anajuwa na kwake hutodumu sababu utadanganyika na mwengine kilichokikuta ni halali yako.
@user-wv4ue5yn8u
7 күн бұрын
Jifuze usiolewe namimba yamtu mwingine warangi kiboko
@janemugoya1316
7 күн бұрын
Pole dear your still young God's time is the best
@teedullah5708
23 күн бұрын
C ni upuzi tu huyu Sasa uraenda vp kuolewa na mume mwenqine Hali ya kuwa unamimba
@MohamedMwachega-x6c
22 күн бұрын
@@teedullah5708 nashangaa si angeambia familia ukweli kua ye ni mjamzito wakajua mbichi na mbivu kuliko ukubali uolewe na m2 hujampenda den urudi ulaumu
@husseinbakromar5865
19 күн бұрын
Ndoa hupanga na mungu na waislam Sheria wanne kama ataka ndoa anipe namba nikamilishe kisha wabongo mwajua kupanga tamthilia za kweli
@gladysmueni2534
8 күн бұрын
Madam msubiri Mungu.Wakati wa Mungu ndio mwema.mungu atakubariki na bwana mwema.Ndoa sio bora mme ila mme Bora
@JumaMkuchika-c8k
Күн бұрын
Muombe allah sana atakujalia atkupa wako
@ifrahabi4834
4 күн бұрын
Can someone make me understand. This young beautiful lady, is saying there was wedding, how did she became pregnant
@user-ij9te1ck9p
23 күн бұрын
Huyu binti ata km vp ni mpumbavu na jahili mkubwa
@IshaYahaya-s9o
5 күн бұрын
Kazuri mashaalah
@AishayoutubeMoosa-zn1co
5 күн бұрын
She is beautiful manshallah ❤
@Neema-qm9kk
2 күн бұрын
Kwa mtazamo wangu ninaona kama huyu dada Ana ujeuri.
@user-ih6ng6sf6o
5 күн бұрын
Pole San kwel kwa matatizo ulio pitia 😢 utapata mme bora tu
@khamoshmikidadi618
18 күн бұрын
Mtt mzur mashallah ningekua mwanaume ningemuoa 😢
@zr7808
14 күн бұрын
Nasiha kwa wadada wote musikuwe munaiminiya kila mtu na wala jistirini mwili wenu mupaka kupata rizki yako ya kuolewa
@bosiborimomanyi5592
22 күн бұрын
Nkt...eti mume mwenye amekipea mimba akuambie uolewe na mwingine.. hahahaha
@MohamedMwachega-x6c
22 күн бұрын
@@bosiborimomanyi5592 wallah eti,
@user-ft2vq5on6l
20 күн бұрын
Na bado unampigia simu mtu anakuambiwa uolewe huhisi km hakupendi
@hamisijuma3276
19 күн бұрын
Mungu atakupa, usijali awe mkristo au mwislamu
@hamidudongo1879
17 күн бұрын
Wewe Mpumbavu.. wewe sio muislam au utakuwa muislam jina
@ElizabethGwasma
3 күн бұрын
Pole dada
@user-uj5wg9mm2t
13 күн бұрын
Kwanza ukimfatilia vzr hyu bint co mzima hakuna mke hapa
@NasibuKijuu
16 күн бұрын
Pole san
@Dafetty
22 күн бұрын
Taila sana wew wanahaki wasikuoe😏😏😏
@chikujuma18
22 күн бұрын
Mwenyezi mungu atakupa mume sahihi inshallah pole mpenzi wangu
@RamadhanNyambi
20 күн бұрын
Namuomba mim aje niishi nae plz plz
@ISSAMAHAMOUDISSA
19 күн бұрын
Huna vigezo vyakujitetea dada angu we malaya
@chunaabdullah1333
17 күн бұрын
Huko na watoto wa kike ww Malaya mpevu?
@frpznz972
14 күн бұрын
Anko usiseme ivo anko
@fatumashisha141
14 күн бұрын
Sana
@MayleenDonaldharris
18 күн бұрын
Mimi cjamwelewa huyu dada kwanza muongeaji mno😜😝
@user-sd5hj2im4q
18 күн бұрын
Kosa lko uliingia ktk ndoa kiudanganyifu kwio huwezi kufaulu ktk kudanganya,, cheating make more loose
@AgnesDeonatus
19 күн бұрын
Ndoa ni baraka ya Mungu c matarajio ya mwanadam tuwe na subra
@AgnesDeonatus
19 күн бұрын
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@rashidimussa471
6 күн бұрын
Umalaya tu kukaa kwenye ndoa aah 😂😂
@user-pb4pn4yu8y
17 күн бұрын
Pole sana mdogo wng huyo mwanaume hakukupenda mwanaume anayekupenda kweli hawez kukurusu uolewe na mume mwingine tatizoletu ss wanawake tukipenda tunakuwa vipofu hata mtu hafai tunaona anafaa sababu tu moyo umependa pole kikubwa nikumuomba mwenyezimungu atupatie waume walio sahihi na na wenye hofu juu yake
@YasiniSaidi-z8b
4 күн бұрын
Pole mung aikujalia
@evertheobald1811
16 сағат бұрын
Mbona upuuzi mtupu hapa jamani mweeee
@PiliIsamil
22 күн бұрын
Pole sana dada wangu
@user-xv5yy6mv6i
2 күн бұрын
Dadapole usihuzunike Sana nikawaida ukubali ara ukeweza mm nipo nakujali Niko znz.
@samwelmigera7274
15 күн бұрын
Hakuna ridhiki Yako uyo tulia utapata wa kwako
@MashaMbwana
8 күн бұрын
Nakushauri kitu njoo zako arabuni utafute pesa achana na habar za mapenzi ukikamata pesa humtaman hata mwanaume 😊
@zainabumohamed4763
22 күн бұрын
Kwa kifupi hawa bado wote watoto,
@adammjomba5814
22 күн бұрын
Huyu Dada anamapenzi ya kweli Tatizo wanaume NI wakora. Ukiangalia huo mzunguko unaonyesha wanaume ndio hovyo.lakini pia huyu dada anatatizo hana nsimamo huku ana penda huku anapenda NI nduma kuwili
@VICTORIANMUINDI
22 күн бұрын
Pole sana lakini amini huyo mwanaume atapata amani siku moja atakutafuta amini dadangu
@ZabibuHamisi-pv7vv
8 күн бұрын
Pole sana dadangu
@ifrahabi4834
4 күн бұрын
Umesema bado arusi na umepata mimba. Sijakufahamu kabisa
@victornselu517
Күн бұрын
Mjuaji pia hajitambui una mimba unaolewa na mimba ya mtu mwinfine dunia imeisha hii
@user-kd2qj1sv9j
14 күн бұрын
Pole san kipnz p❤❤❤
@shuwehaharuna6309
7 күн бұрын
Unaongea vizuri mdogo wangu
@MaholeMinja
13 күн бұрын
Pole sana dada
@mwanazuber3968
4 күн бұрын
Warangiiii wanaume hata bure siwataki nisiwe mnafki🙌🙌🙌🙌🙌
Mie cmuelewi anaongelea tu story ya safari badala ya huo bwn aliemucha khaa siwezi endelea kwakweli
@jenniferzakaria3884
18 күн бұрын
Mm mwenyewe simuelew una mme Tena una olewa, kwendraaaaaaa
@JoyceSteven-tu2fi
18 күн бұрын
Nimecheka sana😂😂😂....m niko hapa najikaza kumuelewa
@Sidrasidra636
16 күн бұрын
Tulia w bado mdogo utapata wako wamasisha w jitulize tafuta kazi ya halali ufanye usi rukeruke 😢
@mariamsaid6334
15 күн бұрын
Yani unasimulia kitu ambacho umekisikia kwa mtu iyo sio story yako kbs acha kutuchosha
@MwanaAbdul-x9r
3 күн бұрын
Mh kumb so wakupew pole 😢😢
@user-dn7sc8lf8h
23 күн бұрын
hii ni tabia ya warangi, wamburu, na wanyaturu. Itakuwa huyu dada ni Moja kati ya hayo makabila. Au msambaa
@briankatani6770
22 күн бұрын
Kweli kabisa utaolewaje na una mimba ndiyo maana ulishinndwa
@Goldenbutterfly-hk1hp
22 күн бұрын
Mkundu ww msambaa kafikaje apa
@phorahmahaza638
22 күн бұрын
Mshenzi mkubwa makabila ya watu yamefikaje hapo huna adabu kabisa
@user-yx6zq9bp1s
22 күн бұрын
Ww una tabia mbaya kutukania makabila ya watu jiepushe na dhana yako mbaya kila sehem Kuna mchanganyiko wa watu Usijione ww na kabila lako ndo bora MwenyeziMungu ndo mjuzi zaidi
@fridakitemangu3446
22 күн бұрын
Unexperience gani na hayo makabila hayo kama Huna comment nzuri usiandike maana unachafua kabila za watu mungu akuhurumie sana wew
@neemajames5137
22 күн бұрын
Ila unatia aibu sana lazima akuache
@user-lm3lt7xx6l
10 сағат бұрын
Kosa hilo kujiweka ktk mahusiano .kumbe mambo ya kimba mtihan
@ashazuber6548
20 күн бұрын
Miaka 22 usha jua kila aina ya mdudu 😢😢jaman khaaa yaan aliye kupa mimba akuambie uwolewe na mwanaume mwingine na ww ukakubali loooh
@user-mv7km8lt5j
16 күн бұрын
Pole ❤❤
@nailahhemed7203
18 күн бұрын
Majibu ni hapa hapa duniani. Wewe uliingia kwenye NDOA kwa uhongo mkubwa na ukamkimbia mwenzio ulifikiria dunia itakuacha salama kweli?!.. Umevuna ulichopanda my dear. Mungu wa sasa hivi mkali sana. Tusiwatendee wengine mabaya tukifikiria mazuri yatakuja kwetu. Hayo ndio majibu ya mtihani ulioufanya my dear.
@nourannouuran3514
22 күн бұрын
Shenzi typ mnatia aibu sana ndo mnawaharibia wengine yaan naskia asra,mola msamehe tuongoze,unafaa kulia na utubu kwa mola wako,unaanza kujitangaza,nadhambi ya kutangaza dhambi ni mazito sana
@aminabadi8663
15 күн бұрын
Mungu atakupa wa kheri na ww lk mara ingine usikubali kunyamazia siri kama uliongea kwa fqmily yako hayo yasingetokea ukweli hua unakuokoa ima angelazimishwa huyo bwana alieka mimba akuowe ama akuhudumie hqtq ukiwa ama mume akikuowa anajua uko na mimba sio yake hapo ulikosea kuficha hawa wanaume tunakua nao lk niwatu wabaya sanaa kumi kwa mmoja akisha kukuharibia maisha kusimama nawe
Пікірлер: 389