Kama unakubali kufeli shule sio kufeli maisha, gonga like tujuane boss.
@auntdorah9141
3 жыл бұрын
Baba yake alimshirikisha ...wazazi wengine mna biashara kubwa lkn hamuwashirikishi familia mkifa kila kitu kinakufa...
@kingwatabata4230
3 жыл бұрын
MAHENGE MOROGORO NDIO HOME, BIGUP ALMAS💪
@elimidakashumba2422
3 жыл бұрын
Kama Tanzania imepata ma billionea wa madini ndani ya miaka miwili mfululizo je wazungu waliochimba tangu Karne wamevuna watrilioni mangapo Tanzania?
@edwardboaz9041
3 жыл бұрын
Ukimkuta mtu anajigamba anapesa huyo anazo za nyanya
@lovinomwamtambulo6629
3 жыл бұрын
Mbunge Mtarajiwa Salim jina maarufu Salim Almasi MAHENGE stand UP
@graceraphael6658
3 жыл бұрын
Asiyekujua,atahoji but I know you,I know your family ,na mapambano yako yote,you deserve to be a billionaire, also a leader coz you are blessed with good heart...kila la kheri my Uncle..Salim😍😍
@thomasvenance5186
3 жыл бұрын
Kondeboy kahaso Bwana acha ale vyake
@rukundoibrahim807
3 жыл бұрын
jama iko vizuri mwenye kuhoji na kuhojiwa.
@salamakombo3257
3 жыл бұрын
Nimejifunza hapa ya kuwa kumshirikisha mtoto ktk kutafuta ugari inamsaidia hata uko ktk maisha yake yoote hata uko alipopotea nguvu za babake zili murika uyu kaka anazo radhi za babake kiukweli
@fahimunyawi5318
3 жыл бұрын
Hongera sana kwa kupambna mbunge wetu mtarajiwa kaz kaz
@happysanga7680
3 жыл бұрын
Hongera achana na wanao kesha kumtukana rais hawana lolote
@adamabdullah8136
3 жыл бұрын
Mungu akusaidie
@moh_platnumz
3 жыл бұрын
Ila huyu jamaa anayo roho safi sanaa yan ukifika mahenge auwez kusikia anazungumziwa kwa ubaya yan ni mtu amabae anasupport sana watu asee
@Burner_Acc
3 жыл бұрын
Hongera zake ila headline is click baiting. Hajafanya kazi na Harmonize kama mlivyoandika bali kafanya mahali ambapo Harmo kadai kuwahi kufanya pia.
@mkingasana400
3 жыл бұрын
Anafaa kua mbunge kujieleza anaweza wanaulanga mpeni kura zote
@luckyofficialsports5466
3 жыл бұрын
Ongera sna mr Alimasi mm nimejifunza. Kua ukiamua kutafuta basi weka akili yko hpo ni usifanye jambo kwa kujaribu sema na mungu kua naamini hapa nitafanikiwa basi wee pambana kwa imani na kili moja tu
@marieconnect6389
3 жыл бұрын
Penye nia hapakosi njia na penye juhudi neema unakuja.
@halimamremi5375
Жыл бұрын
MASHAALLAH!!! MUNGU AKUENDELEZEE NA I.ANI YAKO MM NAOMBA KIBARUA TU JAMANI AJIRA HAKUNA!
Пікірлер: 143